Ni ngumu kumuona mwanaume akitokwa machozi kama hivi…. hii
imetokana na mke wake kumpiga makofi hadharani kwenye mji wa Meru nchini
Kenya ambapo Mwanamke huyo alikua anadai jamaa kamkana, japo
anasisitiza kwamba ni mume wake na ndio baba wa watoto mapacha akiwemo
mmoja alienae mgongoni, Mwanaume alikataa kabisa na kusema hata watoto
sio wake.
Taarifa ambayo imerushwa na KTN Kenya, ni
WANAUME WA KENYA WAZIDI KUNYANYASWA.....MWAMAUME MWINGINE APIGWA VIBAYA NA MKEWE
↧
↧
MOTO WAUA WATU WANNE WA FAMILIA MOJA JIJINI MWANZA ......BAADA YA KULA DAKU WALISAHAU KUZIMA JIKO
WATU
wanne wa familia moja, wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya
nyumba waliyokuwa wakiishi, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana.
Ajali
hiyo ilitokea eneo la Lumala Mashariki wilayani Ilemela na ilitokana na
jiko la mafuta, ambalo halikuzimwa baada ya wanafamilia hao kula daku
usiku; matokeo yake, lililipuka alfajiri.
Kwa
mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza,
↧
TANZANIA YAMJIBU RAIS KAGAME....YADAI IPO TAYARI KWA LOLOTE NA AKITHUBUTU ITAMCHAPA KAMA MTOTO
SERIKALI ya Tanzania imeipa onyo kali nchi ya Rwanda ikiitaka
isijaribu kuota ndoto za kuishambulia kijeshi, vinginevyo itajibu mapigo
kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa imeichakaza.
Kauli hiyo ya kwanza nzito imetolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje ya
Ushirikiano wa Kimataifa kufuatia taarifa ya matamshi makali
yanayodaiwa kutolewa na Rais Paul Kagame wa Rwanda, dhidi ya Rais Jakaya
↧
SERIKALI YATANGAZA VIWANGO VIPYA VYA CHINI VYA MISHAHARA KISEKTA
Serikali imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara
kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni
kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa
Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwani Wema, watakaolipwa kima kidogo zaidi
cha Sh40,000 ni wafanyakazi wa
↧
"KILA MTANZANIA NI LAZIMA ALIPIE SH. 1000 KWA AJILI YA KADI YA SIMU YAKE"....WAZIRI WA FEDHA AMESISITIZA TENA
SERIKALI imesisitiza kuwa itatoza Sh
1,000 kwa kila kadi ya simu inayotumika lakini pia inaangalia utaratibu
wa kufanya makato hayo kwa njia ambayo haitamuumiza mtumiaji wa simu.
Akizungumza jana jijini Dar es salaam,
Waziri wa Fedha,Dk William Mgimwa alisema kuwa kupitia tozo hizo
wanatarajia kukusanya Sh bilioni 160 kwa mwaka.
“Kupitia wawakilishi wenu na sisi
serikali
↧
↧
VIDEO YA WEMA SEPETU AKIPIGWA MATE YAVUJA.....
Video inayomuonesha staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu
akidendeka na mwanaume imevuja mtandaoni...
Haikuweza kufahamika mara moja lengo la Wema na mwanaume huyo
aliyefahamika kwa jina la Aidany ‘kujishoot’ wakifanya vitendo hivyo ila
wanaonekana wakiwa katika mazingira ya ki-Mr & Mrs.
Aidha,
katika video hiyo, Wema anaonekana kutumia nguvu kubwa kumshawishi
Aidany amsogezee mdomo
↧
"NAOLEWA KWA AJILI YA STAREHE ZA MAPENZI NA SI KWA AJILI YA KUZAA"...NATASHA WA BONGO MOVIE
MWIGIZAJI mkongwe wa maigizo na filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’
ambaye pia ni mtangazaji wa Radio Times FM, anayetarajia kufunga ndoa
kesho, amefunguka kuwa anaoelewa kwa ajili ya kustarehe na siyo kwenda
kuzaa kama wengine wanavyofanya.
Akizungumza na mwandishi wetu, Natasha alisema kuwa katika maisha
yake hakuna kitu anachokichukia kama kubeba mimba na umri alionao ndiyo
kabisa
↧
MASHABIKI WAMVAA PREZZO BAADA YA KUMPONDA MSANII DIAMOND WA TANZANIA
Msanni Prezzo wa Kenya atakuwa amepata
sample ya majibu ya baadhi ya fans wake ambao wengi ni wakenya baada ya kumdiss
Diamond Platinumz wa Tanzania kupitia akaunti yake ya twitter July 10.
Sample ya majibu hayo inaweza kuonekana kupitia comments
zote za fans kwenye habari iliyowekwa na mtandao wa ghafla wa nchini Kenya,
ambapo asilimia 99 wameonesha kutokubaliana na alichokifanya.
↧
IRENE UWOYA ALIA NA ULIMBUKENI WA PENZI LA MSANII DIAMOND.....
Kufuatia kuripotiwa kwa habari iliyopewa kichwa "DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!" , mwanadada Irene Uwoya ameamua kuvunja ukimya na kueleza dukuduku lake la moyoni....
Habari hiyo ililipotiwa jana na magazeti ya udaku ikisimulia jinsi Diamond na Uwoya walivyonasana na hatimaye kuvunja amri ya sita....
Katika habari hiyo, msemaji ni Diamond na wapambe
↧
↧
"RED BRIGADE YA CHADEMA NI KUNDI LA KIGAIDI"....MWIGULU NCHEMBA
Watanzania wenzangu,
Ni dhahiri kumekuwa na mijadala kadha wa kadha kuhusu vyama vya siasa
kuwa na vijana wao wa kuwa linda.
Nilionesha tofauti baina ya red
brigade na greenguard. Wanaojitetea wakakimbilia Dictionary bila kutumia
muda kufuatilia historia na chimbuko la kikundi hicho ambacho jina ,
matendo na malengo yake yako sawasawa na kule kilikoanzia.
Lakini
mjadala mkubwa ni
↧
MADHARA YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI....
Katika makala zetu ya maradhi ya ngozi tumeangalia maradhi ya ngozi yanayosababishwa na fangasi. Leo tuangalie
fangasi wanaoshambulia sehemu za siri, yaani Tinea cruris.
Fangasi wa maungo ya siri (Tinea cruris)
Aina hii ya fangasi ndiyo inayofahamika zaidi na
Watanzania wengi zaidi ya aina nyinginezo. Aina hii pia
↧
JESHI LA POLISI LATEUA ASKARI WA KUMFUATA AGNESS MASOGANGE ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AFRIKA KUSINI
Jeshi la Polisi litapeleka askari wake Afrika Kusini kuwahoji
washiriki wa video za wasanii wa muziki wa Bongo fleva, Agnes Gerald
‘Masogange’ na mwenzake Melisa Edward waliokamatwa nchini humo na dawa
za kulevya.
Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia Dawa za Kulevya,
Godfrey Nzowa aliiambia Mwananchi kwa simu jana kuwa watawapeleka
polisi kuwahoji na wanaamini
↧
"WAPINZANI BADO NI WACHANGA SANA KUWARUHUSU WAINGIE IKULU"... MKAPA
RAIS mstaafu, Benjamin William Mkapa, ameonyesha wazi kutoridhishwa na
mwenendo wa matukio ya uvunjifu wa amani hivi sasa.
Mkapa, mmoja wa
viongozi ambao wanajiamini katika kauli zao, amewataka Watanzania
kutochoka kusali na kuiombea nchi ili amani iendelee kutawala. Alisema
jukumu hilo linawahusisha watu, wakiwamo viongozi wa dini ambao wana
dhamana kubwa kwa waumini wao.Mkapa alitoa
↧
↧
BABU ANAYETAKA KUMFUFUA MWALIMU NYERERE AGEUKA GUMZO
Mzee (pichani) aliyeibuka hivi karibuni akidai kuwa ana uwezo wa
kumfufua Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere amezua gumzo.
Babu huyo
aliibuka katika studio za Kyera FM huko mkoani Mbeya akihitaji msaada wa
kumfikisha Butihama alipozikwa Mwalimu Nyerere mwaka 1999 ili amfufue.
Mzee huyo alikuwa na ufunguo mkononi ambao anadai ndiyo utakaotumika
kumfufua Nyerere. Anaeleza kuwa
↧
"RED BRIGED NI LAZIMA IANZISHWE...MBONA CCM NA CUF WANA KUNDI LAO?"...CHADEMA
SINGO BENSON
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitarudi
nyuma katika mpango wa kutoa mafunzo ya ukakamavu kupitia kikundi chake
cha red brigade.
Chama hicho kimesema, tayari Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha
Wananchi (CUF), vyote vikiwa miongoni mwa `vyama vikubwa nchini’, vina
vikundi vya aina hiyo.
Mkurugenzi wa Oganizasheni na Mafunzo Chadema, Singo
↧
MPENZI WA NAY WA MITEGO AIPOTEZA MIMBA YAKE BAADA YA KUANGUKA
Rapper Nay wa Mitego leo anasherehekea siku ya kuzaliwa ya mchumba
wake aliyekuwa mjamzito kwa huzuni kubwa baada ya mchumba wake huyo
kukipoteza kichanga chao kufuatia kuanguka jana usiku.
“Jana usiku mke wangu alianguka, alifikia tumbo kwahiyo akawa
anasikia kizunguzungu nilipompeleka hospitali daktari akasema mtoto
amekufa,” Nay .
Awali, Nay wa Mitego ameweka picha ya mchumba
↧
CHADEMA YABEBA KATA ZOTE NNE ZA ARUSHA
Uchaguzi uliofanyika jana Jumapili, Julai 14, 2013 wa kuwapata madiwani
wa Kata Nne --Themi, Kaloleni, Kimandolu na Elerai-- za mkoani Arusha
umemalizika.Huku Tume ya Uchaguzi ikisubiriwa kuwatangaza rasmi
washindi, taarifa za awali zinasema kuwa CHADEMA imepata ushindi kwa
kunyakua Kata zote Nne kama ifuatavyo:KATA YA THEMI: CHADEMA 678; CCM 326; CUF 313KATA YA KIMANDOLU: CHADEMA 2,665;
↧
↧
BINTI KIZIWI ATUPWA JELA MIAKA MITANO BAADA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA
MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia
madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji
‘punda’ wa biashara hiyo haramu.
Hivi karibuni, Video Queen wa Wimbo wa Masogange, Agnes Gerald
‘Masogange’ amedaiwa kunaswa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ akiwa na kilo
mia moja na hamsini za unga unaoaminika ni sehemu ya madawa ya kulevya. Ameshapanda
↧
JOHN TENDWA AZUNGUMZIA KWA VYAMA VYA SIASA
OFISI ya
Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini imevitaka vyama vya siasa kutii
agizo la kutoanzisha kambi za mafunzo ya kulinda amani maarufu kwa jina
la mgambo , huku ikisisitiza kwamba itachukua hatua za kisheria kwa
chama chochote kitakachoiuka , ikiwemo kukifuta.Aidha ofisi hiyo
imesema kuwa Katiba ya nchi imempa jukumu kila mwananchi kulinda
amani na usalama wa nchi, pia
↧
TAMKO LA RAIS KIKWETE KUHUSU VIFO VYA WANAJESHI 7 SUDANI
Tamko la Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuhusu tukio la DarfurRais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya
Ulinzi, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kuhuzunishwa
sana na tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa vijana saba hodari wa Jeshi
la Wananchi wa Tanzania waliokuwa wanalinda amani katika eneo la Darfur,
Sudan.Kwa hakika, Rais amesikitishwa sana na
↧
More Pages to Explore .....