Mdada mwenye miaka 9 mkazi wa kijiji kimoja nchini
brazil,mapema wikiendi hii amebakwa karibu na shamba la miwa na watu
wanaoaminika kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya...
Baada ya kumbaka, vijana hao walimchoma na miwa katika sehemu zake za siri na kumsababishia maumivu makali yaliyomfanya apoteze maisha...
<!-- adsense -->
BINTI ABAKWA NA KUCHOMEKWA MIWA SEHEMU ZA SIRI
↧
↧
ODAMA AWAJIBU WANAOMTUHUMU KUZIFANYIA " PHOTOSHOP " PICHA ZAKE NA KUDANGANYA ALIKUWA ULAYA
Baada ya kuzagaa kwa habari zikimtumu mwanadada wa filamu Tanzania
Jennifer Kyaka aka Odama kwamba huzifanyia makeke ya photoshop picha
zake na kuwadanganya wananchi kuwa amezipigia Ulaya, ameongea na na mwandishi wetu
kukanusha huku akionesha picha halisi zinazomuonesha akiwa mbele.
Baada ya tuhuma hizo kumkabili Odama, Mwandishi wetu alimtafuta mwanadada
huyo wa filamu na ndipo
↧
MBOWE ATIWA MBARONI NA KUHOJIWA KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Freeman Mbowe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kutoa kauli
za uchochezi dhidi ya jeshi hilo, vyombo vya dola na serikali kwa
ujumla.
Taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa na Msemaji wake, Mrakibu Mwandamizi,
Advera Senso, imesema kuwa Mbowe amekuwa akitoa kauli ambazo zimekuwa
na mlengo wa uchochezi na
↧
WANAJESHI WENGINE WATATU WA TANZANIA WAFARIKI DUNIA HUKO SUDANI, MAPIGANO MAKALI YAIBUKA HUKO KONGO KATI YA SERIKALI NA WAASI WA M23
WINGU zito limetanda kwa askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),
katika nchi za Sudani Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Wakati Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya wanajeshi saba wa
jeshi hilo waliopoteza maisha katika Jimbo la Darfur, Sudani kwa
kushambuliwa na waasi, nchini DRC yamezuka mapigano makali baina ya
waasi na majeshi ya Serikali.
↧
DALADALA YANUSURIKA KUINGIA BUCHANI MWENGE
Daladala lenye namba za usajili T 741 AEG baada ya kuhama njia na kuparamia mtaro uliopo jirani na bucha eneo la Mwenge.
Daladala lenye namba za usajili T 741 AEG linalofanya safari zake kati
ya Temeke na Mwenge asubuhi hii nusura liingie katika bucha iliyopo
maeneo ya Mwenge jijini Dar katika barabara iendayo Afrika Sana.
Daladala hilo lilisaidiwa na mtaro uliopo
↧
↧
HATIMAYE LUDOVICK JOSEPH NAYE AACHIWA KWA DHAMANA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia kwa dhamana Ludovick Joseph
anayeshitakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema
Wilfred Lwakatare, baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miezi minne.Ludovick
aliachiwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Aloyce Katemana baada ya kutimiza
masharti ya dhamana yaliyotolewa Juni 10 mwaka huu.Washitakiwa
hao waliofikishwa mahakamani kwa mara ya
↧
DRC NI UWANJA WA VITA KATI YA TANZANIA NA RWANDA ( PROX WAR)
PROX WAR au Proxy Warfare ni vita inayopiganwa kwa kupitia sehemu
nyingine. Katika vita 'ya kawaida' mapigano huwa kati ya nchi na
nchi.Kwa mfano, Vita ya Kagera ilkuwa kati ya Tanzania na Uganda, na
mapambano yalitokea katika nch zote mbili.
Katika
proxy war hali ni tofauti. Nchi A inaweza kupigana vita na nchi B
katika nchi C.Yaani kwa ufasaha zaidi, kwa mfano, kuna mapambano
↧
UKATILI: VIDEO YA MATESO YA KIJANA MWIZI AKISULUBIWA NA WANAKIJIJI BAADA YA KUVUNJA DIRISHA LA NYUMBA ILI AIBE
↧
AUNT EZEKIEL AMTOSA MUMEWE
Wengi walitegemea kuwa Aunt Ezekiel ataungana na mumewe Sunday katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani lakini hali imekuwa ni tofauti....
Aunt anayetumia jina la Rahma baada ya kubadili dini ili aolewe na mwanaume huyo, amemtosa mkaka huyo na kuendelea kula bata nchini huku akidai kuwa mumewe hana mengi.
"Sina mpango wowote wa
↧
↧
VIDEO: ILI UWE MWALIMU NI LAZIMA UWE "BAUNSA" KIASI HIKI??
↧
PICHA: WANAJESHI WA TANZANIA WALIO UAWA DARFUL WAAGWA
Capt. John Kivunge, a Tanzanian Staff Officer with JOC, reads a program of the brief ceremony.
Prayers from a chaplain.Prayers from an Imam for the fallen peacekeepers.
Military salute as the 'Last Post' rings out by Nigbatt in honour of the fallen heroes.
Start of the last journey home.
<!-- adsense -->
↧
RAIS OMARI AL BASHIR WA SUDANI ATOROKA NIGERIA BAADA MBINU ZA KUMKAMATA KUVUJA
Rais Omari Al Bashir wa Sudan jana alilazimika kutoroka nchini Nigeria baada ya mikakati ya kumkamata kuvuja..
Rais Bashir aliyekuwa anahudhuria mkutano wa viongozi wa serikali za nchi za Muungano wa Afrika AU, kuhusu afya mjini Abuja amelezimika kuukatisha mkutano huo na kutoroka nchini humo jana Jumatatu kwa hofu ya kukamatwa
Rais huyo
↧
WITO WA KUPINGA KODI YA LAINI YA SIMU KILA MWEZI KUFUATIA MABADILIKO YA SHERIA YA KODI 2013
<!-- adsense -->
Sisi
wananchi hatujashirikishwa kupitia mjadala wa Bunge kuhusu kodi hii
kwani Waziri wa fedha hakusoma hiki kipengele wakati wa hotuba yake na
tulikosa taarifa mpaka baada ya kupitishwa kwa sheria ya kodi hii.
Kodi hii inamkandamiza mtanzania wa hali ya kawaida na wa hali ya chini
ambao ni 67% ya wananchi wanaoishi chini ya kipato cha dola 1.25 (shs
2,000) kwa siku
↧
↧
JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA , BUXTON CHIPETA AFARIKI DUNIA
Jaji Buxton Chipeta.
Habari
zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu
Tanzania, Buxton Chipeta amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Kwa
mujibu wa mmoja wa wanafamilia, Jaji Chipeta alikuwa akisumbuliwa na
maradhi ya kisukari ambapo ilifikia wakati akalazimika kukatwa vidole
kadhaa vya miguuni.
Enzi za uhai wake, Jaji Chipeta aliweza
kujijengea heshima
↧
MWEZI WA RAMADHANI WAMFANYA WEMA ABADILIKE TENA
KUFUATIA Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa Filamu za Kibongo, Wema
Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au maarufu kama Madam amebadilika na kuondoa
vitu vyote visivyo vya asili mwilini mwake.
Wema alitupia picha yake
kwenye mtandao wa kijamii akionekana amekata nywele zote huku akiwa
ameondoa kope za bandia na kutoa kucha alizobandika kuashiria kuuheshimu
mwezi huu huku akibaki na kila kitu
↧
"NIMECHOSHWA NA WANAUME MASHAROBARO WA TANZANIA....BORA WANIGERIA WANAJUA KUPENDA"...REHEMA FABIAN
Mlimbwende aliyewahi kung’ara katika Shindano la Miss Kiswahili 2009,
Rehema Fabian anadaiwa kuangukia kimapenzi kwa mtoto wa Balozi wa
Nigeria nchini China aliyemtaja kwa jina moja la Allen anayetaka kufunga
naye ndoa.
Akichati na mwandishi wetu, kwa njia ya mtandao,
Rehema alikiri kuwa na mwanaume huyo ambaye ni mtu mzima na kweli ni
mtoto wa balozi huyo.
“Nimechoshwa na
↧
"SIWEZI KUMUOMBA MSAMAHA DIAMOND KWENYE TWITTER"...PREZZO
Rapcellency, Prezzo amesema hawezi kumuomba msamaha Diamond kwenye
Twitter kwakuwa anaamini hakuna alichomkosea na ni jambo la kitoto.
Akiongea jana mchana kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen,
kinachoendeshwa Mzazi Willy M. Tuva, Prezzo amesema Diamond ndiye
aliyemchokoza baada ya wasanii hao kutumbuiza mwanzoni mwa mwezi huu
kwenye tamasha la Matumaini.
Prezzo anadai
↧
↧
JAJI AJITOA KUENDESHA KESI YA MAUAJI YA PADRI MUSHI
Kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi imechukua sura mpya, kufuatia
Jaji wa Mahakama kuu ya Zanzibar, Mkusa Isaac Sepetu kujitoa baada ya
upande wa utetezi kuwasilisha ombi la mshatikiwa Omar Mussa Makame
kutokuwa na imani naye.Akisoma uamuzi baada ya kupokea maombi ya
upande wa utetezi, ambayo yaliwasilishwa Julai 2 mwaka huu, Jaji Mkusa
amesema kwamba uamuzi wa mshtakiwa ni haki yake
↧
NAPE AKWEPA KUZUNGUMZIA MATOKEO UDIWANI ARUSHA..."WAULIZENI VIONGOZI WA CCM ARUSHA"
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye
Katibu
wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM), Nape Nnauye, amesema wanaopaswa kuulizwa jambo lolote linalohusu
uchaguzi wa udiwani wa kata nne uliofanyika Jumapili wiki iliyopita,
jijini Arusha, ni viongozi wa chama wa mkoa huo.
Nape alisema
↧
KWA NINI CCM IKIHOFIE CHADEMA??
TANGU kuanzishwa kwa vyama vingi nchini mwaka 1992, tayari chaguzi nne
zinazoshirikisha vyama vingi zimefanyika.
Katika chaguzi hizo nne, Chama
Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kushika dola kwa ushindi wa kishindo
katika kiti cha urais, wabunge na madiwani.
Ushindi huu wa kishindo
umeendelea kupungua kutoka ngazi ya ubunge na udiwani, ambapo wapinzani
wamekuwa wakinyakua viti vya
↧
More Pages to Explore .....