HATIMAYE wale Wanawake wawili walionaswa na madawa ya kulevya Afrika kusini wametambuliwa kuwa ni mabinti wa KITANZANIA ..
Mabinti hao wanadaiwa
kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh.
bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.
Akizungumza na mwandishi wetu jana, Kamanda wa Polisi Kitengo cha Kuzuia na
Kupambana na Dawa za Kulevya, Geofrey
AGNESS MASOGANGE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AFRIKA KUSINI
↧
↧
CHANZO CHA KULEGEA KWA MISULI YA SEHEMU ZA SIRI ZA WANAWAKE ......( USHAURI NA TIBA )
Tatizo
la kulegea kwa misuli ya sehemu za siri za mwanamke au kitaalamu Vaginal prolapsed huwatokea zaidi wanawake wenye umri mkubwa ingawa pia linaweza
kuwakumba hata wenye umri mdogo. Tunapozungumzia kulegea kwa misuli ya
sehemu za siri hapa kuna tofauti kidogo na kutanuka kwa misuli hiyo.
Tukizungumzia
kulegea ina maana misuli ya ukeni inashindwa kubana na kuachia njia.
Hapa misuli
↧
WATOTO WAWILI WALIOKUWA WAMEPELEKWA "JANDONI" WAMEFARIKI WA AJALI YA MOTO HUKO LINDI
Lindi- Watoto wawili
wamekufa na mmoja wao kunusurika mauti, baada ya kuungua kwa moto
uliosababishwa na kibatari kilichounguza nyasi za kijumba walichokuwemo.Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Lindi, Renata Mzinga amesema ajali hiyo ilitokea mwishoni mwa wiki jana katika
mtaa wa
Mitwero, katika kata ya Rasbura ya Manispaa ya Lindi na kuwataja
waliokufa kuwa ni Maliki Kasimu (7) na na
↧
"JACK WOLPER ANATAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LANGU....KAMA SANAA IMEMSHINDA BASI AKAJIUZE AU AKAUZE VIPODOZI"...BABY MADAHA
MWIGIZAJI wa kike na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Baby
Madaha Joseph amemshukia mwigizaji mwenzake wa kike Jack Wolper kwa
kudai kuwa amekuwa akitumia vyombo vya habari kumsema na baadae
kujifanya anamuomba msamaha huku hana dhamira ya kweli.
Akiongea na FC
, msanii huyo amesema kuwa Jack Wolper anatumia jina lake ili apande na kuwa Maarufu (nyota ).
“Mimi ni mwanamke mpigaji
↧
HUYO NDO "MELLIS EDWARD" ALIYEKAMTWA NA MADAWA YA KULEVYA AKIWA NA "AGNESS MASOGANGE
Picha ya Mrembo Mellis Edward aliyedakwa na madawa ya kulevya Afrika kusini akiwa na Agness Masogange
Mellis Edward
Inahisiwa kuwa huyu mwanamke wa pili aliyetajwa na Kamanda
Nzowa kwa jina la “Melisa Edward” ni mdogo wake na
Agnes ambaye katika akaunti ya facebook anayo tumia jina la (MELLIS EDWARD) , Agnes amemuweka katika orodha ya family kama ‘sister’ katika akaunti yake ya
↧
↧
CHADEMA YAJIPANGA KUIMARISHA KITENGO CHA ULINZI NA USALAMA " RED BRIGADE" ILI KUWAKABILI VIJANA WA CCM WATAKAOLETA FUJO
MUHTASARI
Ili
kukabiliana na vitendo vya fujo vinavyofanywa na vijana wa CCM dhidi ya
wagombea, Wanachama na viongozi wa CHADEMA, Kamati Kuu imeagiza kwamba
kitengo cha ulinzi cha Chama “Red Brigade” kiimarishwe zaidi kwa
kuhakikisha kuwa vijana wote wa Red Brigade Nchi nzima wanapewa mafunzo
maalum ya UKAKAMAVU yatakayoandaliwa katika Makambi maalum katika mikoa
yote.
RIPOTI KAMILI
↧
"NASUBIRI WAKATI MWAFAKA WA KUMUONYESHA KIKWETE YA KWAMBA MIMI NI NANI".....HILI NI TISHIO LA KIHUNI LA RAISI KAGAME WA RAIS KIKWETE
Nikiwa katika upekuzi wangu, nimeshtushwa sana na kauli za KIHUNI za Rais Paul Kagame dhidi ya
Rais wetu Kikwete na nchi yetu kwa ujumla....
Rais Kikwete
ameepuka malumbano na Kagame kwa kukaa kimya , lakini inaelekea Kagame anadhani
ukimya wa Kikwete ni uoga kwake au labda anatafsiri kuwa anadharauliwa.....
Nadhani huu ni wakati mwafaka kwetu sisi watanzania kuungana
↧
ZITTO KABWE AWATAKA WANANCHI WAGOME KUILIPA KODI YA SIMU YA SH. 1000.....AMEDAI KUWA KODI HIYO ILIPITISHWA KINYEMELA
Sakata la kodi ya line ya simu limeendelea kuwakuna wanasiasa wetu ambao wamekuwa wakifunguka kwa nyakati mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii....
Baada ya January Makamba, Zitto kabwe naye amefunguka na kudai kuwa kodi hiyo ni batili na ilipitishwa kinyemela kwa sababu ilikuwa imeshaondolewa....
Huu ni ujumbe wake aliouweka katika account yake
↧
"NITAENDELEA KUPAMBANA NA WABISHI WASIOTAKA KUHAMA ILI KUPISHA MIRADI YA UJENZI"...MAGUFULI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameapa kupambana kwa kuwabomolea au
kuwakomesha kwa njia nyingine, watu waliogoma kuhama kwa ajili ya
kupisha miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa na wizara yake.
Katika hilo, tayari amekwishatangaza uamuzi mzito wa kuruhusu
kampuni ya ujenzi ya Jaspal Singh, kujenga barabara kwa kiwango cha lami
kwa kuzizunguka nyumba za wakazi waliogoma
↧
↧
"VYOMBO VYA HABARI HUWA VINAHONGWA NA WAPINZANI ILI VIWAANDIKE VIZURI".....SPIKA WA BUNGE
Spika wa Bunge, Anne Makinda, ameibuka na kauli yenye utata mkubwa
akivituhumu vyombo vya habari kwamba vinahongwa na wabunge wa kambi ya
upinzani ili viandike habari zao vizuri.
Bila kufafanua ni kwa jinsi gani wabunge hao wanatoa hongo hiyo mbali tu
ya kusema wanatoa kitu kidogo ili waandikwe vizuri, pia alikana
kuwakandamiza wabunge wa kambi hiyo na kuwabeba wale wa Chama Cha
↧
WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO- 2013
<!-- adsense -->
Muhula wa
kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza
mwezi Julai.
Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na
walimu kwa masomo husika.
Aidha, kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu
wa shule wameelekezwa kufanya taratibu za kuazima walimu wa muda na
kutoa taarifa kwa uongozi wa halmashauri husika kuhusu upungufu wa
walimu
↧
MAMA MZAZI WA PROFESA JAY AGONGWA NA GARI NA KUFARIKI DUNIA....
Picha kushoto ni Profesa J akiwa na mama yake mzazi Bi Rosemary
Majanjara Haule enzi za uhai wake...
Mama mzazi wa Msanii Profesa Jay amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kugongwa na gari maeneo ya mbezi juu jijini Dar alikokuwa anaishi na mwanae.
Habari zinadai kwamba, marehemu Bi. Rosemary Manjara Haule aligongwa na gari akiwa anavuka barabara
↧
MAMA AJIFUNGUA MTOTO ANAYEFANANA NA NYANI.....
<!-- adsense -->
Mwanamke mmoja amejikuta akimwaga machozi baada ya kumpoteza mwanaye dakika chache baada ya kujifungua....
Tukio hilo lilitokea siku ya jumatatu katika hospitali ya Kargo nchini Nigeria...
Taarifa zinadai kuwa mwanamke huyo ambaye ni mkazi wa kijiji cha SabonIcel alijifungua mtoto wa ajabu anayefanana na Nyani, hali iliyomfanya
↧
↧
RAIS KIKWETE AWASHANGAA CHADEMA KUTAKA KAMBI YA KUJILINDA...DR. SLAA NAYE AWATAKA POLISI WAYAVUNJE MAKAMBI YA CCM
Rais wa Tanzania amewashangaa na kuwalaani CHADEMA kwa kutangaza
kufundisha vijana namna ya kujilinda na kusema kuwa ni watu wa ajabu
kama wamefikia huko.
Mh. Rais kayasema hayo katika kuhitimisha kongamano la amani huku bwana Cheyo nae akisema kuwa hata kama ni kutaka kuwa rais wa nchi CHADEMA wamefika
kubaya....
Wakati mh. Rais akiwashangaa CHADEMA,Katibu Mkuu wa chama hiyo, Dr
↧
VIJANA WAVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI WAKIFURAHIA WIMBO WA MADEE " NANI KAMWAGA POMBE YANGU"
↧
MWANAMKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA BAADA YA KUMTUPA MTOTO WAKE CHOONI
Mwanamke mmoja mkazi wa Manga A Jijini Mbeya amehukumiwa kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la kutupa mtoto wake chooni.
Tukio
hilo lilitokea Juni 14, Mwaka huu katika eneo hilo baada ya watoto
waliokuwa wakicheza kugundua kuwepo kwa Mtoto katika choo cha shimo.
Mtuhumiwa baada ya kukamatwa amekiri kutenda kosa hilo na kwamba alifanya hivyo baada ya mzazi mwenzie
↧
PREZZO AMPONDA DIAMOND....
Majigambo ya Diamond kwenye vyombo vya habari kabla ya Tamasha la
Matumaini kufanyika kuhusu kumgalagaza Prezzo kwenye show hiyo
hayajampendeza Rapcellency na sasa ameamua kujibu.
Prezzo
ambaye jina lake halisi ni Jackson Makini alianza kwa kuweka picha ya
gazeti inayowaonesha akiwa na Diamond kwenye habari iliyohusu tamasha
hilo na kuandika ‘Hahahaha #DomoSeriously????
Rapper
huyo
↧
↧
PAJA LA WEMA SEPETU LAFANANISHWA NA NGOZI YA "KITI MOTO"
Baada ya mtandao huu kutupia picha ya paja la wema sepetu na kuelezea jinsi lilivyoharibiwa na MIKOROGO, wadau mbali mbali wamekuwa wakitoa maoni yao na kudai kuwa Ngozi ya paja hilo sasa haina tofauti na ngozi ya kiti moto ( ngurume)
Wema Sepetu ni miongoni mwa wasanii walioathiriwa sana na Mikorogo.Matumizi ya madawa ya kujichubua yamemfanya
↧
DIVA WA CLOUDS FM AJIPIGA TATOO YA KICHINA KIUNONI...
Katika kile kinachotafsriwa kuwa ni harakati za kulimwagilia maji na marashi penzi lake kwa prezzo, Diva wa clouds fm sasa ameamua kujipiga TATOO YA KICHINA kiunoni ili kumchanganya mwanakaka wa Kenya anayegombaniwa na warembo kibao...
Diva amejikuta katika ugomvi mkubwa na warembo wa Kenya ambao wanadai kunyang'anywa mpenzi wao.Miongoni mwa warembo
↧
MENGI AELEZA UHUSIANO WA RUSHWA NA DAWA ZA KULEVYA.....
MMOJA wa wafanyabiashara maarufu nchini, Dk Reginald Mengi amesema
kwamba huwezi kutofautisha watoa rushwa wakubwa na mlipuko wa dawa za
kulevya, ambayo kwa sasa yanatikisa nchi.
Dk mengi ameyasema hayo wakati akizungumza moja ya vikwazo vikubwa
vya uwekezaji nchini katika mazungumzo ya sekta binafsi na umma kwenye
uzinduzi wa taarifa inayozungumzia uwekezaji nchini kwa jinsi
↧
More Pages to Explore .....