Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) MKoani Arusha, Robson Meitinyiki,
amemtaka Katibu wa halmashauri Kuu (Nec) Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape
Nnauye, kuchunga kauli zake dhidi ya aliyekuwa Waziri Mkuu Edward
Lowassa.
Hayo
ameyasema leo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake
juu ya kauli ya Nape dhidi ya Lowassa kuwa, amepoteza sifa ya kuwa
mgombea wa uraisi
CCM Arusha Watoa ONYO Kali kwa Nape Nnauye Kuhusu Kauli Zake Kwa Lowassa.....Wasema kama Anamgombea Wake Anayempigia Debe Basi AMTANGAZE
↧
↧
Pigo Jingine Kwa Chama Kipya Cha ACT-Tanzania: Baraza la Kilimo Lapinga ACT Kutumika Kama Jina la Chama
Baraza la Kilimo Tanzania (ACT) limekitaka chama cha siasa cha ACT – Tanzania kutotumia jina hilo kwa kuwa tayari baraza hilo limekwsha sajili jina la ACT kama kifupi cha jina la Baraza hilo.
Akizungumza leo na mwandishi wetu, Mwenyekiti wa Baraza hilo Dkt Sinare Yusuf Sinare amesema kuwa jina ACT linatambulika kama kifupi cha Agricultural Council of Tanzania na kwa mujibu wa taratibu za
↧
Rwanda kushirikiana na Tanzania - Kagame
Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema serikali yake itashirikiana na
Tanzania pamoja na nchi nyingine zinazounda ukanda wa kati wa maendeleo,
ili kuhakikisha kuwa ujenzi wa reli ya kisasa inayounganisha nchi hizo
unakamilika.
Akizungumza
katika siku ya mwisho ya mkutano wa kimataifa wa wakuu wa nchi hizo
unaofanyika jijini Dar es Salaam, Rais Kagame amesema ujenzi wa reli
hiyo una
↧
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Nchini Afutiwa Dhamana
Mahakama mkoani Dodoma imefuta dhamana ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja kutokana na kukiuka masharti ya
dhamana aliyopewa ikiwemo ya kutowazuia wafanyabiashara kufunga maduka
yao wakati kesi yake ikiendelea mahakamani
Akitoa
taarifa mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa Dodoma, Rebecca
Mbilu, Mwendesha mashtaka wa serikali Rose Shio amesema
↧
Afumaniwa Gesti na Mume wa Dada Yake.
Binti aliyetajwa kwa jina la Biena mkazi wa Kawe jijini Dar, hivi
karibuni alipata aibu baada ya kufumaniwa ndani ya gesti (ipo maeneo
hayohayo) akiwa na mume wa dada yake.
Chanzo makini kilichokuwa eneo la tukio kilieleza kuwa, Biena na mume
wa dada yake aitwaye Abasi wamekuwa na uhusiano kwa muda mrefu kabla ya
juzikati kunaswa laivu wakiwa gesti.
“Beina anaishi na dada yake
↧
↧
Afya Mama Yake Diamond Bado si Nzuri
Afya ya mama mzazi wa msanii nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond Platinumz, Sanura Kassim ‘Sandra’ bado si shwari juzikati hali
yake ilibadilika ghafla na kuilazimu familia yake kumkimbiza katika
Hospitali ya TMJ iliyoko Mikocheni jijini Dar ambako amepewa kitanda.
Chanzo cha uhakika kimedai kuwa mama Diamond ambaye
amekuwa akisumbuliwa na maradhi yenye kuashiria kupooza,
↧
Nikifa mazishi yangu nataka yawe ya mwaliko maalum – Lady Jaydee
Lady Jaydee haogopi kufa na infact anataka mazishi yake yawe na mwaliko kama vile harusi zilivyo.
Katika muendelezo wa post zake ‘controversial’ Lady Jaydee ameweka
picha za majeneza mawili ya kifahari ambayo anapenda akifa azikwe.
Hata hivyo ana masharti – mazishi yatakuwa ya mialiko maalum na hatopenda mwili wake ufunuliwe.
“I’ve changed my mind Sitaki tena lile la purple
↧
Mshiriki wa Miss Tanzania Anaswa "Akichimba Dawa" Hadharani
Mrembo aliyewahi kushiriki Kinyang’anyiro cha Miss Tanzania
2005/06, Maureen Gislary, hivi karibuni amenaswa usiku akijisaidia haja
ndogo barabarani (kuchimba dawa) huku akiwa hana wasiwasi.
Ilikuwa mida ya saa 7 usiku maeneo ya Magomeni jijini Dar ambapo
mrembo huyo alionekana kuzidiwa na kuamua kufanya hivyo huku baadhi ya
watu wakimpiga chabo.
Hata hivyo, baada ya
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 27 March 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 27 March 2015
↧
↧
Kesi ya Mtikila Kupinga Mahakama ya Kadhi yapangiwa Jaji.
Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Machi 30, mwaka huu kusikiliza kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila, akipinga kitendo cha Serikali kupeleka Muswada bungeni wa kutunga sheria ya kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, kwamba uko kinyume na Katiba ya nchi.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Richard Mziray.
Katika kesi
↧
Urais CCM: Mtandao Waibuka na Mkakati Mpya Wa Kuwaunganisha Edward Lowassa na Benard Membe
Mkakati wa kutafuta jina la mgombea urais kupitia CCM unazidi kupanda moto baada ya kuwepo taarifa kwamba kundi la mtandao lililomuingiza Rais Jakaya Kikwete, madarakani limeanza mikakati ya kuwaunganisha vigogo wawili wa kundi hilo, Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kama moja ya mikakati ya kusaka ushindi.
Chanzo
↧
Sakata la Askofu Gwajima Kumtukana Askofu Pengo, Polisi Wamtaka Ajisalimishe Kituo cha Polisi cha Kati Haraka Ili Sheria Ichukue Mkondo Wake
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtaka Askofu JOSEPHAT
GWAJIMA wa Kanisa la Ufufuo na Uzima afike haraka katika kituo cha
Polisi cha Kati ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam
kwa mahojiano kuhusu tuhuma za kashfa na matusi.
"Tumepokea
malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari
Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa
↧
Nape Ampongeza Lowassa Kwa Kutii Maagizo Ya Kuyazuia Makundi Yanayoenda Kumshawishii Agombee Urais...Vijana Wadai Kuwa Lowassa Akiondolewa, CCM Ijiandae Kuumia
Siku moja baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kusitisha makundi yanayokwenda kumshawishi kugombea urais, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amempongeza kwa kutii agizo la chama hicho.
Nape amesema hatua hiyo ya Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli ni nzuri kwa kuamua kusitisha makundi kwenda kumshawishi agombee urais, ambayo kwa siku chache mfululizo yalikwenda
↧
↧
Tumia Bidhaa za AFRICAN BEAUTY PRODUCTS Kupata Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele na Mengine
Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips,
Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu
1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama
↧
Wabunge Dk Puja na Sebba Walioteuliwa na Rais Kikwete Waapishwa Rasmi Na Spika wa Bunge.
Mbunge wa kuteuliwa Mhe.Dkt Grace Puja akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma,tarehe 27/03/2015.
Mbunge wa kuteuliwa Mhe.Innocent Sebba akila kiapo ndani ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma,tarehe 27/03/2015.
↧
Treni Yagongwa Na Gari Eneo La Karume Jijini Dar es Salaam
Treni ambayo ilikuwa na kichwa kimoja ikielekea kuchukua mabehewa
asubuhi ya leo imegongwa na gari kubwa la mizigo eneo la Karume jijini
Dar na kusababisha foleni ndefu eneo hilo.
Tukio hilo limejiri asubuhi ya saa 12 alfajiri ambapo gari hilo
lilikuwa likipita kwa kasi bila kufuata alama za barabarani zinazoonesha
sehemu ya reli.
Akizungumza na mwandishi wetu, Ofisa Oparesheni
↧
Dar es Salaam: Wafanyabiashara wa Kariakoo Waendelea Na Mgomo Kushinikiza Mahakama Imwachie Huru Mwenyekiti Wao
Wafanyabiashara wa eneo la Kariakoo Jijini Dar es Salaam wamefunga maduka yao hii leo, kushinikiza mahakama kumuachia huru Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini Johnson Minja.
Hapo jana Mahakama Mkoa wa Dodoma ilimfutia dhamana Minja kutokana na kukiuka masharti ya dhamana aliyopewa ikiwemo ya kutowazuia wafanyabiashara kufunga maduka yao wakati kesi yake inaposikiliwa mahakamani
↧
↧
Ikulu Yatoa Waraka Kwa Wagombea.....Kama wewe ni Mtumishi Wa Umma na Ulikuwa Na Ndoto Ya Kugombea Ubunge Au Udiwani, huu Waraka Unakuhusu!
Ikulu imetoa waraka mpya kwa watumishi wa umma wenye nia ya kuwania
nafasi mbalimbali za kisiasa, ikiwamo urais, ubunge na udiwani katika
Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Kwa mujibu wa waraka huo, mtumishi wa umma anayetaka kuwania moja ya
nafasi hizo za kisiasa, atalazimika kuacha kazi na kulipwa mafao yake,
endapo jina lake litateuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kama
mgombea.
↧
Je, Rais Kikwete Amevunja Katiba Kuteua Wabunge Wawili Kwa Muda Huu Uliosalia?......Mwanasheria Mkuu wa Serikali Amelijibu Swali. Tazama Hii Video
Mwanasheria mkuu wa Serikali, Mh. George Masaju amesema leo Bungeni kuwa Katiba haikuvunjwa kwa Rais Kikwete Kuteua wabunge Wawili, miezi mitatu kabla ya Bunge la Kumi halijavunjwa.
Masaju aliyasema hayo wakati akijibu mwongozo ulioombwa na Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Bw. Felix Mkosamali.
Akijibu hoja ya kiinua mgongo kwa wabunge hawa
↧
Wafanyabiashara Jijini Mwanza Waendelea na Mgomo Kisa Mwenyekiti Wao Kunyimwa Dhamana
Baadhi ya maduka katika mitaa mbalimbali mkoani Mwanza yakiwa yamefungwa huku wananchi wakihangaika kutafuta huduma hiyo.
Asilimia kubwa ya maduka yamefungwa.
...Hali ilikuwa hivi katika mitaa mbalimbali jijini Mwanza.
********
Wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao kwenye Mtaa wa Liberty jijini
Mwanza, wamegoma kufanya biashara zao wakidai mwenyekiti wa chama cha
wafanya biashara
↧
More Pages to Explore .....