Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Sakata la Escrow: Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Afikishwa Mahakamani

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, leo imemfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Afisa Mtendaji Mkuu wa wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini-RITA, Bw. Philip Saliboko kwa tuhuma za kupokea rushwa. Kwa mujibu wa mwendesha mashtaka waTAKUKURU Bw. Denis Lekayo, Saliboko anatuhumiwa kupokea rushwa ya shilingi milioni arobaini, laki nne na elfu ishirini na

Mchungaji Gwajima Ajisalimisha Polisi Kuhojiwa Juu ya Lugha Chafu Dhidi Ya Askofu Pengo.

$
0
0
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo, Josephat Gwajima amejisalimisha kituo cha polisi kati kuhojiwa juu ya kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo. Mchungaji Gwajima anatuhumiwa kumkashifu na kumtukana hadharani Kardinali Pengo.    Matusi hayo   ni  yale yaliyoonekana kupitia mitandao mbalimbali

NEC Yaikana Kauli ya Mwenyekiti wake.......Yasisitiza Kuwa Kura ya Maoni Iko Palepale

$
0
0
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesisitiza kwamba tarehe ya kufanyika kwa kura ya maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa ipo pale pale na hakuna mabadiliko yoyote kama inavyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.   Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey alisema kwa mara kadhaa baadhi ya vyombo vya habari vimenukuliwa vikiandika habari kuwa

Kumekucha: Kipenga Ndani ya CCM Kupulizwa Juni Mwaka Huu.......Kinana Asema Chama Kitasikiliza Sauti Ya Wengi Kumteua Mgombea

$
0
0
Filimbi  kwa ajili ya kuanza kampeni za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi za udiwani, ubunge na urais, itapulizwa rasmi Juni mwaka huu.   Katika hatua nyingine, chama hicho kimesema kitasikiliza sauti ya wengi katika kumteua mgombea wa urais, wabunge na madiwani katika Uchaguzi Mkuu ujao, ilimradi mgombea atakayepaziwa sauti na wengi awe na sifa stahili.  

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 28 March 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  Tarehe 28  March  2015

Hukumu DNA Mtoto wa Nay April 8

$
0
0
Lile sakata la mtoto kuwa si wa Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa mujibu wa madai yaliyotolewa na mzazi mwenzake, Siwema limeingia hatua nyingine baada ya ofisi ya mkemia mkuu wa serikali kusema majibu kamili ya kipimo cha vinasaba ‘DNA’ yatatolewa Aprili 8, mwaka huu. Akizungumza na Risasi Jumamosi juzi jijini Dar, Nay alisema kila kitu kimekwenda sawa, hivyo

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Yabaini Madudu Makubwa Serikalini.......Rais Kikwete Atoa Maagizo Makali

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amekabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014 na kuagiza vyombo vya dola kuwabaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za umma, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria.   Pia, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao

‘Gaidi’ wa Amboni Tanga Atiwa Mbaroni Akiwa na Bunduki Yenye Risasi 29 na Mabomu Matatu

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.   Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.   Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la

UKAWA: Ikulu Hiyo 2015......Wakutana Zanzibar na Kukubaliana Kuweka Mgombea Mmoja Kila Jimbo

$
0
0
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema kila chama ndani ya umoja huo kiko huru kutoa fomu na kuandaa wanachama wake watakaoshindanishwa katika mchakato wa kuwapata wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.   Tamko hilo lilitolewa na viongozi wakuu wa Ukawa baada ya kumalizika kwa kikao cha siku mbili kilichofanyika Shangani, Zanzibar kujadili hali ya kisiasa na

Davina: Mume Wangu Ataniua Kwa Wivu

$
0
0
Staa  wa  kike  anayetesa  katika  filamu  za  kibongo  Halima  Yahya  'Davina'  amefunguka  kuwa  mumewe  anamuonea  sana  wivu  kiasi  cha  kumfanya  ajihisi  kama  malkia  katika  ndoa  yao. Akiteta  na  Mpekuzi, Davina  alisema: "Mume  wangu  ananionea  sana  wivu  hasa  siku  hizi  nilizojazia, lakini  wivu  wake  unaongeza  chachu  ya  mapenzi. "Yaani  nikichelewa  kidogo  tu 

Baada ya Kuzimia, Akizinduka Askofu Gwajima Atakiwa Kuripoti kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Kesho Kutwa Kutoa Maelezo

$
0
0
Wakati  Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akijisalimisha kwa Jeshi la Polisi, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amemtaka alipoti ofisini kwake kesho kutwa kutoa maelezo kuhusiana na tuhuma za kumkashifu kiongozi mwenzake wa dini.   Makonda amemwandikia barua Askofu Gwajima akimtaka kufikia ofisini kwake kutoa ufafanuzi juu ya maneno makali dhidi ya kiongozi huyo

Gwajima Azimia Akihojiwa Polisi.....Akimbizwa Hospitali ya Polisi Kurasini, Ahamishwa Usiku. Alipoteza Fahamu Muda Mfupi Baada ya Kuhojiwa Kuhusu Mali Anazozimiliki.

$
0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alizimia na kisha kukimbizwa hospitali wakati akihojiwa Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.   Gwajima ambaye alijisalimisha kituoni hapo saa 8:22 jana mchana akiitikia wito wa polisi uliomtaka kufika kutokana na tuhuma za kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 29 March 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  Tarehe  29  March  2015

Rais Kikwete Atoa Msimamo wake Kuhusu Mahakama ya Kadhi......Asema Muswada wa Sheria uliko Bungeni ni Kwa Ajili Kutambua Uamuzi Unaofanywa na Kadhi.

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete amefafanua msimamo wa Serikali katika mjadala unaoendelea wa Mahakama ya Kadhi, na kuweka wazi kuwa Serikali haina mpango wa kuianzisha, wala kuiendesha.   Mbali na hiyo, Rais Kikwete ambaye jana alizungumza na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini mkoani Dar es Salaam, pia alielezea kusikitishwa kwake na tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania, lililowaelekeza waumini wao

Hali ya Gwajima Bado ni Tete......Bado yupo Chumba cha Uangalizi Maalumu (ICU) TMJ. Dr. Slaa, Baregu Wamtembelea.

$
0
0
Wakati hali ya kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa tete kwa siku mbili mfululizo, Jeshi la Polisi na waumini wa Askofu huyo wanadaiwa kuvutana hospitali inayofaa kumpa matibabu. Askofu Gwajima, alizimia ghafla juzi majira ya saa 2: 45 usiku akiwa kwenye chumba cha mahojiano katika Kituo cha Polisi Kati, baada ya kutuhumiwa kumkashifu na kumtukana kiongozi

Abdul Bonge, Mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection Afariki Dunia

$
0
0
Aliyewahi kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.   Chanzo cha kifo cha Abdul Bonge bado hakijafahamika ila msiba upo Manzese Tip Top.   Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN

Zitto Kabwe Achaguliwa Kuwa Mkuu wa Chama cha ACT-Tanzania

$
0
0
Kiongozi mpya wa chama cha ACT Tanzania, Zitto Kabwe akionyesha alama ya chama ambayo ni "Uwazi" baada ya kuchaguliwa.      Zitto akihutubia wajumbe.                 Zitto akihutubia wajumbe wakati wa uchaguzi huo.                 Wajumbe wakiserebuka wakati wa uchaguzi huo.        Wajumbe wakifurahi kwa kushikana mikono kuonyesha umoja.    Wajumbe wakipiga

Urais 2015: Lowassa Aongoza, Mwingulu Nchemba Ang'ara Kama Kijana Anayekubalika Zaidi

$
0
0
Taasisi isiyo ya kiserikali ya Positive Thinkers Tanzania imetoa ripoti yake ya utafiti kuhusu mwanasiasa anayekubalika zaidi na wananchi katika nafasi ya Rais ajaye.   Lowassa aongoza na nafasi ya 2 imeenda kwa Dr. Wilbroad Slaa huku Mwigulu Nchemba aking'ara kama kijana aliyeongoza kwa kukubalika kwa kukamata namba 3. Ifuatayo ni orodha ya wanasiasa waliongia 10 bora na asilimia ya

Hiki Ndo Chanzo cha Kifo cha Abdul Bonge, Mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection

$
0
0
Kifo cha mdau wa muziki nchini ambaye ni mwanzilishi na meneja wa kundi la Tip Top Connection, Abdul  Shaban Taletale, kilichotokea Magomeni-Kagera jijini Dar es Salaam, juzi jioni kimeendelea kuzua utata kufuatia mtuhumiwa wa mauaji mtu aliyetajwa kwa jina la Nassoro Idd kuingia mitini.   Akizungumza na mandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi

Kafulila Aikana ACT- Tanzania

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, ambaye ni Katibu Mwenezi wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amesema hana sababu yoyote ya kuhama chama chake na kujiunga na chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).   Kafulila alisema hayo jana alipokuwa akijibu swali kuhusu kusambaa kwa tetesi katika mitandao ya kijamii kwamba, anahamia chama hicho akiambatana na
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images