Habari zilizopo katika magazeti ya leo Jumatano ya Tarehe 25 March 2015
Habari zilizopo katika magazeti ya leo Jumatano ya Tarehe 25 March 2015
↧
↧
NEC: Ni vigumu kura ya maoni kufanyika Aprili
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeelezea wasiwasi wake kuwa kura ya maoni kwa Katiba inayopendekezwa huenda isifanyike mwezi ujao
kutokana na kusuasua kwa uandikishwaji wapiga kura katika daftari la kudumu lawapigakura mkoani Njombe.
Akizungumza na waandishi wa habari, jana mjini Njombe, Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian Lubuva, alisema kuwa upigaji wa kura hiyo huenda usifanyike
↧
Dawa za kulevya: Wabunge wataka wahusika wanyongwe.
Serikali imewasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya ambao unawabana wauza ‘unga’ ukipendekeza kuwa watakaobainika kufanya biashara hiyo haramu watozwe faini ya Sh. bilioni moja au kifungo kisichopungua miaka 30, huku wabunge wakitaka watakaobainika wapigwe risasi hadharani au wanyongwe.
Aidha, atakayekutwa analima, kusambaza mbegu, kusafirisha,
↧
Ngonyani: Siombi Radhi,Nipo Tayari Kwa Lolote.....Nilienda Kwa LOWASSA Kwa Ridhaa Yangu na Sitaki Mtu Anichagulie Marafiki
MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Bw. Stephen Ngonyani (CCM) ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Umoja wa Wazazi Taifa, amesema wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu, hapaswi kutafutiwa marafiki wala ndugu walioonesha dhamira ya kuwania uongozi ndani ya chama na kuwaunga mkono.
Alisema kitendo chake cha kwenda nyumbani kwa mwanachama wa CCM anayedaiwa kutaka kuwania nafasi ya urais kwenye
↧
Mgogoro Ndani ya Chama Kipya Cha ACT-Tanzania Wanukia Tena.....Mwenyekiti Aliyetimuliwa Amtupia Lawama Zitto Kabwe
SAKATA la uongozi ndani ya Chama cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania), limeendelea kuchukua sura mpya baada ya uongozi uliodaiwa kuvuliwa madaraka, kudai Bw. Zitto Kabwe ndiye aliyesababisha mgogoro katika chama chao.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Kadawi Limbu alisema chanzo cha mgogoro unaoendelea katika chama hicho ni Bw.
↧
↧
Wezi wa Ng'ombe Wachomwa Moto
Watu watano wamekufa katika matukio matatu tofauti, wakiwemo watatu waliouawa na miili yao kuchomwa moto na wananchi wanaojiita wenye hasira, baada ya kutuhumiwa kuiba ng’ombe 40 katika Wilaya ya Bunda Mkoani Mara.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philipo Kalangi, tukio la kwanza lilitokea Machi 24 mwaka huu, majira ya saa 3:00 asubuhi katika kijiji cha Kunanga wilayani Bunda
↧
Muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya Wapitishwa........Ukikutwa na Dawa za kulevya faini bil.1/-, kifungo miaka 30
BUNGE limepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, huku adhabu ya kifo kwa watakaokutwa na dawa hizo, ikishindikana kuingizwa kwenye muswada huo, isipokuwa mapapa na vigogo wa biashara hiyo, wameongezewa adhabu ya faini ya Sh bilioni moja na kifungo cha maisha.
Hata hivyo, baadhi ya wabunge bado wameendelea kung’ang’ania kuwa sheria hiyo ijumuishe
↧
Marufuku kuvuta sigara hadharani
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid
amesisitiaza tamko la kupiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya
umma ili kuilinda jamii kutokana na madhara yatokanayo na moshi wa
sigara.
Tamko la Waziri limekuja ikiwa ni siku mbili tu
baada ya maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani, moja ya magonjwa
yanayosababishwa na uvutaji wa tumbaku.
Agizo hilo
↧
Mbunge adai trafiki hupangiwa ‘hesabu’ na wakubwa wao
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Conchesta Rwamlaza, amedai
kuna minong’ono kuwa askari wa usalama barabarani hupangiwa kiwango
cha kukusanya na kuwakilishwa kwa viongozi wao na hivyo kuwafanya kujali
zaidi fedha kuliko kusimamia sheria za barabarani.
Akiuliza swali bungeni jana, Rwamlaza alihoji serikali inasemaje kuhusiana madai hayo.
Akijibu
swali hilo, Naibu Waziri wa Mambo
↧
↧
Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA
Wakati Taifa likielekea katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa
kufanyika Oktoba, mwaka huu, ushindani wa wazi wa kisiasa kati ya chama
tawala (CCM) na vyama vya upinzani kupitia Ukawa unaonekana bayana.
Kambi hizo mbili, zinatunishiana misuli huku kila moja ikijigamba kuibuka na ushindi na hatimaye kushika dola.
Licha ya kauli za majigambo kutoka kambi hizo,
bado hakujawa na uhakika
↧
Mbona Makada Wengine Wa CCM Wakifanya Haya Mambo LOWASSA Halalamiki?........Kwa nini Lawama Ziwe Kwa Lowassa Pekee?
January Makamba amechapisha vitabu vyake na kugawa kwa wajumbe wote wa mkutano mkuu, mbona Lowassa hakulalamika?
January Makamba alinunua Simu za Gallaxy Sumsang zaidi ya 140 akazigawa kwa wajumbe wa baraza UVCCM ZANZIBAR.
January 2013 alipokusanya marais wa vyuo vikuu Tanzania nzima Mt. Uluguru Hotel na kuwalipa laki moja na nusu kila moja ili watoe tamko kuwa anafaa kuwa rais, mbona
↧
Askari Magereza na FFU wakamatwa na noti bandia na sare za JWTZ
Jeshi la polisi mkoani Simiyu linawashikilia askari wawili wa jeshi la
magereza na polisi kwa kukutwa na noti bandia ikiwa ni pamoja na sare za
jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ).
Akitoa taarifa za kukamatwa
kwa askari hao, Kamanda wa polisi mkoani hapa Naibu Kamishina, Charles
Mkumbo alisema kuwa askari hao walikamatwa juzi majira ya saa 9 mchana
katika mtaa wa Old Maswa kata ya
↧
Habari Zlizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 26 March 2015
Habari Zlizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 26 March 2015
↧
↧
Lowassa Amjibu Nape Nnauye.....Ahoji ni Kikao gani Cha Chama Kilichomtuma Kutoa Tamko??....Apokea Maandamano ya Vijana 60 Toka Mbeya Wakimtaka Agombee Urais
SIKU moja baada Katibu wa itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Nape Nnauye kutoa kauli ya chama hicho kuhusu makundi yanayojitokeza
kumshawishi waziri mkuu mstaafu Mhe Edward Lowassa kugombea urais, kuwa
yanaweza kumkosesha sifa kiongozi huyo ya kuwania nafasi hiyo, Mh.
Lowassa amejibu kauli hiyo na kudai anashangazwa nayo huku akihoji
imetokana na maamuzi ya kikao gani ndani
↧
Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake
Rahma Mashamu ambaye ni mama mzazi wa watoto wawili mmoja wa miaka 11 na
mwingine 15 wanaodaiwa kubakwa na baba wa watoto hao akilia kwa uchungu
wakati akihojiwa na waandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo,
wilayani Kibaha mkoani Pwani.
-------
Mkazi mmoja wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani
amekamatwa na polisi akituhumiwa kuwabaka watoto wake wawili wadogo kwa
zaidi ya miaka
↧
Vijana wengi hawana nguvu za kiume
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana
wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia
dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi
wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo
linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.
Alisema hali
↧
Bunge mjini Dodoma lapitisha leo muswada ya Sheria ya Takwimu 2014 na muswada wa Usimamizi wa Kodi 2014
Hatimaye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha miswada miwili iliyowekwa kiporo kutoka katika mikutano iliyopita ya Bunge kwa sababu tofauti.
Miswada hiyo ni Muswada wa Sheria ya Takwimu na Muswada wa Usamizi wa kodi ya mwaka 2014, ambayo haikuweza kupita kutokana na kukosa akidi na pamoja na kuhitaji kufanyiwa marekebisho.
Mswada wa sheria ya Takwimu haukuweza
↧
↧
Rais Kikwete Ateua Wabunge Wawili Wapya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wabunge wawili (2) wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Walioteuliwa ni Dkt. Grace Khwaya Puja na Bwana Innocent Sebba.
Rais amefanya uteuzi huu kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 66 (I) (e) ambapo amepewa mamlaka ya kuteua wabunge wasiozidi 10.
↧
Mume amuua mkewe kwa Panga Shinyanga
Mwanamke mmoja amefariki dunia mkoani Shinyanga, aitwaye Vumilia Kulwa
(21) baada ya kuuawa na mumewe akiwa nyumbani kwa wakwe zake.
Kamanda
wa polisi wa mkoa wa Shinyanga, Justus Kamungisha, amesema mwanamke
huyo mkazi wa kijiji cha Mwongozo kata ya Mwenge tarafa ya Nindo
wilayani Shinyanga, ameuawa na mumewe, Singingi Luyengeja (30) baada ya
kumkata panga kichwani na kufa papo
↧
Mwalimu Kizimbani kwa kubaka Mwanafunzi Geita
Jeshi la polisi wilayani Chato mkoa wa Geita, limemfikisha kizimbani
mwalimu wa shule ya sekondari Makurugusi kwa tuhuma za kumbaka
mwanafunzi wa kidato cha pili.
Mwalimu
huyo, Iddy Gerald (21), anatuhumiwa kufanya ubakaji huo Machi 23 mwaka
huu saa 7:45 usiku ndani ya chumba chake kilichopo katika kijiji cha
Makurugusi.
Mbele ya mahakama ya wilaya ya Chato, mwendesha mashitaka
↧
More Pages to Explore .....