Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Tarehe 23 March 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Tarehe 23 March 2015
↧
↧
Afande Sele Ajitoa CHADEMA Kwa Madai Kwamba Zitto Kabwe Ameonewa.......Ajiunga Rasmi Na Chama Kipya Cha ACT-Tanzania
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Seleman Msindi 'Afande Sele' naye amejiunga rasmi na chama cha ACT-Tanzania.
Afande Sele ambaye alikuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) amejiunga na ACT-Tanzania jana wakati wa mkutano na
wanahabari uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Msanii huyo alisema kuwa amechukua uamuzi huo baada ya
↧
Lowassa HAKAMATIKI.....Bodaboda, Machinga na Wanafunzi wa Chuo Kikuu UDOM Waandamana Kwenda Kumtaka Agombee Urais.....Wamkabidhi 800,000 ya Kuchukulia Fomu
Vijana zaidi ya 300 ambao ni wawakilishi wa wanafunzi wa vyuo vikuu
mkoani Dodoma, waendesha bodaboda na wamachinga, wamefika nyumbani kwa
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumtaka agombee urais.
Vijana hao walifika nyumbani kwa Lowassa eneo la Area C saa 5.00 wakitembea kwa miguu wakiongozwa na bodaboda.
Baadhi yao walikuwa wamebeba mabango yaliyokuwa na ujumbe tofauti
↧
Taasisi Ya Kiislam Yaitaka Serikali Iwakamate Maaskofu Waliotoa Tamko......Yasema Wasipokamatwa Itahamasisha Waislam Wote Kupiga Kura Ya HAPANA
Taasisi ya dini ya Kiislam imeitaka serikali kuwakamata maaskofu na wachungaji ambao inadai wametoa matamko ya kichochezi na endapo serikali itashindwa kuwakamata, basi jumuiya hiyo itawahamasisha waamini wa dini ya kiislam popote walipo kuipigia kura ya Hapana Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba.
Kauli ya taasisi hiyo yenye misimamo mikali inatokana na Tamko lililotolewa
↧
Zitto Kabwe Ataja Sababu 5 Za Kujiunga ACT......Azoa Wabunge 10 Fasta, Vigogo Lukuki wa CCM na CHADEMA Wachukua Kadi za Chama Hicho.
Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe, amesema atafanya kazi kukijenga
chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kwa kukipaisha
kama alivyofanya kazi akiwa ndani ya Chadema.
Amesema akiwa kiongozi Chadema kwa miaka zaidi ya 20 alifanya kazi ya
kukijenga chama na kuhakikisha kinatoka kuwa na
↧
↧
Video:Nuhu Mziwanda Afunguka Makubwa Kuhusu Kupigwa na Shilole Pia Kutokujua Lugha ya Kingereza
Kwa mara ya Kwanza, Nuhu Mziwanda amefunguka mambo kibao ya chumbani baada ya kufanyiwa mahojiano ya kina na Udaku Tv
.
Tazama Video hapo chini umsikie alivyolizungumzia suala la kunaswa vibao na Shilole pamoja na changamoto za lugha ya kiingereza.
↧
Watu 6 Mbaroni Kwa Kumiliki Silaha Kinyume Cha Sheria, Kulima Bangi na Kuingia Nchini Kinyume cha Sheria Mkoani Dodoma
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi
la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa
mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na
kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia
operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na
uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha
matukio hayo
↧
Lowassa Ni Moto Wa Kuotea Mbali.....Mamia ya Wachungaji Waandamana Kuelekea Nyumbani Kwake Kumtaka Agombee Urais Huku Wakiwa na Mabango
Mbunge
wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akimkaribisha mratibu
wa msafara wa wachungaji mbalimbali wa Makanisa ya Pentekoste
kutoka maeneo mbalimbali nchini, Mchungaji Bernedict Kamzee kutoka kanisa
la Glory of Crist la mkoani Katavi.
Mchungaji Benedickto Kamzee kutoka Kanisa la Glory
of Christ la Katavi amesema wamefikia uamuzi huo wa kuja Dodoma kuonana na Edward
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Tarehe 24 March 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Tarehe 24 March 2015
↧
↧
Je, Unataka Kupunguza Kitambi? Una Maziwa Yaliyolala na Unataka Yasimame? Una Chunusi Usoni? Unatatizo la nguvu za Kiume? BOFYA Hapa Ukutane na Dr Kessy
Pendeza na Dr Kessy Products . Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu,
zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo
ya Haraka
1.Tengeneza shep, mahips au makalio
Dawa ya kupaka 50,000
Vidonge 80,000.
2.Punguza maziwa na kuyasimamisha- 40,000/=
3.Punguza mwili pamoja na kilo- 60,000/=
4.Ongeza nguvu za kiume
↧
Watu 6 Wafariki Dunia Usiku Wa Kuamkia Leo baada ya Magari Manne Kugongana Huko Nzega.....Hapa kuna Picha 10 Toka Eneo la Ajali
Watu 6 wamefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa vibaya katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne huko Undomo wilayani Nzega usiku wa kuamika leo.
↧
Sakata la Mahakama ya Kadhi: Askofu Gwajima AMTUKANA MATUSI Askofu Pengo kwa Madai Kwamba ni MSALITI.....Atoa Tamko Zito la Mahakama ya Kadhi
Sakata la Uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi limeendelea kuitikisa Nchi hasa kutokana na matamko mbalimbali yanayotolewa na viongozi wa Kiroho.
Hivi Karibuni, Baraza la Maaskofu Tanzania lililotoa tamko kuwataka wakristo wote nchini wapige kura ya Hapana katiba inayopendekezwa kwa sababu serikali inaianzisha kulipa fadhila kwa waislam....
Baada
↧
Rais Kikwete: Polisi Mjiandae Kukabiliana Na Vurugu Za Uchaguzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amelitaka
Jeshi la Polisi nchini kujiandaa kikamilifu ili kukabiliana na vurugu
zozote zitakazojitokeza wakati wa uandikishaji wapigakura, upigaji Kura
ya Maoni ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba,
mwaka huu.
Akifunga mafunzo ya maofisa warakibu wasaidizi katika Chuo cha
Taaluma ya Polisi, Dar es
↧
↧
Lowassa ampuuza January Makamba......Asema Hana Muda Wa Kujibizana Nae Maana Kufanya Hivyo Ni Kumpa Sifa Asizostahili
Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, amesema watu wanaosema anawalipa watu wanaomshawishi awanie nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, ni upuuzi na uongo na kwamba hawezi kuwajibu kwani kufanya hivyo ni kuwapa sifa wasizostahili.
Lowassa aliyasema hayo nyumbani kwake jana mjini Dodoma, kufuatia baadhi ya vyombo vya habari, kumnukuu Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
↧
Ujumbe alioutuma kwa mke wa mtu wapelekea fumanizi hili
Sakata hili limetokea maeneo ya Mabibo Hostel
ambapo kijana ambae ni mwanafunzi wa chuo alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.
Baada ya kukamatwa na mume wa mwanamke
huyo, mwanafunzi huyo amesema kuwa mume wa mwanamke huyo alimkuta akiwa
ndani kwake akijaribu kumshawishi mke wake ili alale nae, lakini
anajitetea kwamba ni bahati mbaya tu imetokea hivyo.
↧
Baada ya kuambiwa mtoto si Wake, Nay wa Mitego Asema Yupo Tayari Kupima DNA
Kufuatia sintofahamu kati ya wapenzi wawili,
Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’, ambaye ni msanii wa Bongo Fleva na
Siwema Edson juu ya mtoto wao mwenye umri wa miezi mitatu, mwanaume huyo
amesema yupo tayari hata kwa vipimo vya vinasaba (DNA) ili kuthibitisha
kuwa Curtis ni mtoto wake wa damu.
Siwema ambaye Nay anadai kumfumania kitandani akiwa na mwanaume
mwingine mjini Mwanza
↧
Mbaroni kwa kukutwa na Viungo na Mifupa ya Albino
WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Henry Mwaibambe alisema kuwa tukio hilo limetokea juzi katika kijiji cha Kyota kata ya Kimwani wilayani Muleba mkoani humo baada ya jeshi hilo kuweka mtego kwa watuhumiwa hao ambao
↧
↧
CCM Yamuonya Tena Lowassa....Yasisitiza Muda Wa Kampeni Bado
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema vitendo vinavyofanywa na Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ni ukiukwaji wa Katiba na kanuni za chama hicho.
Aidha, kimesema vitendo vinavyofanywa na Lowassa ni kampeni za wazi za urais anazoendesha kabla ya muda kufika na hivyo kukiuka Katiba na kanuni za CCM na kuonya kuwa kama ataendelea na kampeni hizo haramu atapoteza sifa
↧
Mchungaji Anaswa Gesti Laivu akiwa na Mke wa Mwanajeshi
Dunia inaelekea mwisho. Mchungaji mmoja wa Kanisa la
Pentekoste, raia wa Kenya aitwaye Pasca Mugambi hivi karibuni alinaswa
chumbani ‘live’ katika gesti moja iliyopo Manzese Tip Top akiwa na mke
wa askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye ni muunini
wake.
Chanzo kilicho karibu na mke
wa mjeshi huyo kilisema kuwa mchungaji huyo alikuwa akifanya shughuli
zake za
↧
Serikali ina haki ya ‘kuipigia debe’ Katiba mpya
Serikali imesema kuwa ina haki ya kuwahamasisha wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa ndio iliyohusika kuiandaa.
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Ummy Mwalimu alisema hiyo ni sehemu ya kazi ya serikali, lakini pia ame wataka viongozi wa dini wafanye kazi yao ya kuhubiri dini na sio kuingilia masuala ya kisiasa.
Mwalimu aliliambia Bunge kuwa wajumbe wa
↧
More Pages to Explore .....