Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Askofu Wa Kanisa Katoliki Amjibu Migiro......Asema Viongozi Wa Dini Wana Haki ya Kuwaambia Waumini Wao Kupigia Kura Ya HAPANA Katiba Inayopendekezwa

$
0
0
Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge mkoani Kagera, Seveline Niwemugizi amesema, viongozi wa dini wana haki ya kuwaelimisha waumini wao waweze kujua kinachoendelea wanapoona kuna mambo hayaendi sawa katika jamii.   Niwemugizi alisema pia wanayo haki ya kuwaambia waumini wao kuipigia kura ya Hapana, Katiba Inayopendekezwa kwa sababu ni wajibu wao kufanya hivyo.   Akizungumza na gazeti

Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 19 March 2015

$
0
0
Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  Tarehe  19  March  2015

Mwanao wa Kumzaa Unaweza Kumtesa Kiasi Hiki?

$
0
0
Mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, Violet Manyondo (40) anadaiwa kumtesa na kumfanyia vitendo vya kikatili mtoto wake wa kumzaa, anayejulikana kwa jina la David (14).David ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika shule moja ya msingi iliyopo Mzambarauni, Dar kwa sasa haendi shule kutokana na majereha aliyonayo kiasi cha kuwaliza majirani. Akizungumza na

Mwanaume Auawa Kikatili Kisa Ushirikina

$
0
0
Mtu mmoja  aliyefahamika kwa majina ya Donald Peter Mwakajonga (62) mkazi wa Kijiji cha Mkunga wilayani Rungwe, Mbeya ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni imani za kishirikina.    Habari kutoka kijijini hapo zinasema mwili wa Mwakajonga ulikutwa na majirani ukiwa nje ya nyumba yake.    “Mwili wake ulikutwa ukiwa nje ya nyumba yake hapa Kata ya

Rais Kikwete Awaonya Wahujumu wa Katiba Mpya

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete ameziagiza mamlaka za ulinzi na usalama kuhakikisha shughuli ya kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura, upigaji kura ya Katiba Inayopendekezwa unafanyika kwa amani na wasioitakia mema nchi wasibadilishe matukio hayo kuwa fujo na kuingiza nchi kwenye vurugu.   Alitoa kauli hiyo juzi wakati akifungua mafunzo elekezi kwa wakuu wapya 27 wa wilaya walioteuliwa hivi

Taasisi yataka Lowassa apitishwe kugombea urais.

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeombwa kutumia busara wakati uteuzi wa jina la mgombea urais kwa kupitia chama hicho kuangalia mtu anayependwa na wananchi bila kukiathiri kwa kuteua mtu asiyekubalika. Wamempendekeza Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (pichani), kuwa ndiye wanayemuona anaefaa kutokana na kukubalika. Wito huo ulitolewa na taasisi ya Ilawa Improvement ya mkoani Njombe

Kinana: Wabunge wa CCM Pimeni Upepo, Msisubiri Mpaka Wapinzani Wawaangushe

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema si busara kwa wabunge na madiwani wa chama hicho, kusubiri hadi waangushwe na wapinzani wao, badala yake wanapaswa kupima upepo kama bado wanakubalika au la, kitendo kitakachowafanya waondoke madarakani kwa heshima.   Alisema hayo mjini Namanga alipohutubia mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya kuitembelea Wilaya ya

Zitto Kabwe Kuliaga Bunge Rasmi

$
0
0
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) jana aliteta faragha na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushauriana naye kama ajiondoe kwenye ubunge baada ya chama chake kutangaza kumvua uanachama.   Lakini pia mbunge huyo jana hiyo jioni alipanga kuonana na spika wa zamani Samuel Sitta kuzungumza naye kuhusu suala hilo, ambalo habari za uhakika zinaeleza kuwa amedhamiria kuliaga Bunge hata

Sangoma Akamatwa na Kichwa Cha Mtu

$
0
0
Picha  ya  Maktaba Wakati kamatakamata ya waganga wa kienyeji ikiendelea kupamba moto katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, mmoja amenaswa akiwa na viungo vya binadamu, kikiwemo kichwa ambacho bado kilikuwa na nywele zake.   Mganga huyo, Nyamizi Makunga (70), mkazi wa Kijiji cha Igurubi wilayani Igunga, Tabora, alitiwa mbaroni juzi. Mbali na viungo hivyo, pia alikutwa na vifaa vingine,

Kamikaze Afunguka Kuhusu Kumnyang'anya Demu Bob Junior na Video ya Malavidavi Chumbani

$
0
0
Mwanamuziki Kamikaze amefunguka kuhusu Kumnyang'anya Demu Bob Junior na Video iliyovuja akiwa na Mrembo Sabby Chumbani Huku Mrembo huyo ambae ni Demu wa Bob Junior Akijinadi Kwa kumwita Kamikaze Baby na kusema wako vacation: Msikilize  Kamikaze  Akiongea  hapo  chini.

Maaskofu Wanataka Wakristo Wapige Kura ya HAPANA......Taasisi za Kiislam zinataka Kura ya HAPANA.....BAKWATA Wao Wamekuja na Tamko Jipya

$
0
0
BARAZA la kiislam nchini (BAKWATA) limewataka waamini wote wa dini ya kiislam nchini kuisoma Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba ili kuielewa na kuipigia kura ifikapo tarehe 30-april kwaka huu. Kauli hiyo ya  BAKWATA inakwenda tofauti na  Mwamvuli wa Jukwaa la Wakristo Tanzania, ambalo  ni pamoja la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)

Sugu: Wasanii hawakunisaidia kupata ubunge, walijipendekeza CCM

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, amesema hajaweza kufanya kitu chochote kuwasaidia wasanii kwakuwa wakati anagombea ubunge hakuna aliyekuwa nyuma yake. Sugu amelazimika kusema hayo baada ya shabiki kutaka kujua ni kitu gani alichowafanyia wasanii tangu awe mbunge.   “Hao wanaozingua wakamuulize Kikwete studio aliyoitangazia dunia kawapa wasanii iko wapi na kamkabidhi

Miaka 20 Ya Lipumba Kuusaka URAIS na Kiu Isiyokatika 2015

$
0
0
Pofesa Ibrahim Haruna Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf) siyo mtu wa kutiliwa shaka kuhusu ‘madini’ aliyonayo kichwani. Ni msomi aliyebobea kwenye masuala ya uchumi duniani.   Amezaliwa Juni 6, 1952, katika kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora. Safari ya elimu iliyompa uprofesa aliianza mwaka 1959, akisoma elimu ya awali na msingi katika shule ya Sikonge.  

Upelelezi Kesi ya Ugaidi Inayomkabili Kiongozi wa UAMSHO Bado kukamilika

$
0
0
Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika. Kesi hiyo ilitajwa jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Janeth Kaluyenda.   Wakili wa Serikali Mwandamizi, Tumain Kweka aliomba tarehe nyingine

Diamond: Wanaosema Mimba ya Zari Imetoka Walaaniwe

$
0
0
MwanamuzIki ambaye pia ni Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameshangazwa na madai kuwa eti mimba ya mpenzi wake Zarina Hassan ‘Zari’ imetoka na kuwataka Wabongo kuacha tabia ya uzushi. Akizungumzia madai yaliyokuwa yamezagaa mtandaoni kuwa ile mimba yake aliyokuwa akiilea kama yai kwa Zari imechoropoka, Diamond alisema:   “Hee! Eti mimba ya Zari imetoka!

Menina Aficha Kovu Pajan kwa Tatuu

$
0
0
Binti anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki, Menina Atick amelazimika kutumia mimu ya kujichora tatuu pajani ili kuziba kovu kubwa lililopo eneo hilo nyeti. Msanii huyo mwenye figa tata alinaswa na mwandishi wetu maeneo ya Mikocheni kwenye Ukumbi wa Escape One akiwa amejichora tatuu na katika kufuatilia ikabainika kuwa, kovu kubwa lililoharibu eneo hilo ndilo lilisababisha urembo

Hukumu ya Mbunge wa Bahi April 29

$
0
0
Hukumu ya kesi ya kuomba na kupokea rushwa inayomkabili Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel inatarajia kutolewa  Aprili 29, mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hakimu Mkazi, Hellen Riwa anatarajia kutoa hukumu hiyo baada ya Mahakama kusikiliza na kupitia ushahidi pamoja na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo na pande zote mbili katika kesi hiyo.   Badwel anadaiwa

Basi Lapinduka Hifadhi ya Mikumi na Kuua Watu 7

$
0
0
Watu saba ambao wote ni wanaume wamekufa papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda mjini Ifakara, wilayani Kilombero mkoani Morogoro kupinduka ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mikumi katika  barabara kuu ya Morogoro – Iringa. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alithibitisha jana kutokea kwa ajali hiyo majira ya saa

Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 20 March 2015

$
0
0
Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  Tarehe  20  March  2015

Matonya Atupwa Jela Miaka 30 Kwa Kubaka

$
0
0
Mfanyakazi wa ndani, Joseph Matonya (26) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na viboko 12 baada ya kupatikana na hatia ya kubaka mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Mwanagati mwenye umri wa miaka 14. Akisoma hukumu hiyo katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Hakimu John Msafiri alisema kuwa mshitakiwa huyo atatumikia adhabu ya viboko ambavyo atachapwa sita akiingia na
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images