Siku chache baada ya kifo na maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), Kapteni John Komba, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amemlilia akieleza kuwa ni mtu ambaye alikuwa ‘muumini asiyeyumba wa safari ya matumaini.’
Marehemu Komba ambaye alizikwa Jumanne iliyopita kijijini kwake Lituhi, anatajwa kuwa alikuwa rafiki wa karibu na Lowassa.
Katika taarifa yake
Lowassa Atoa Waraka Mzito Kumlilia Komba......"Moyo Wangu Unabubujika Machozi ya Damu Kila Nikimkumbuka Komba"
↧
↧
Flora Mbasha: Nipo tayari kurudiana na mume wangu
Muimbaji wa muziki wa Injili, Flora Mbasha amesema yupo tayari kurudiana
na mume wake Emmanuel Mbasha, ikiwa atakwenda kumuangukia miguuni na
kumuomba msamaha.
Flora alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari baada ya
kumaliza kutoa ushahidi wake juu ya kesi ya ubakaji inayomkabili Mbasha
ambayo inasikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala.
“Mbasha nimemsamehe
↧
Nimepokea Kwa Masikitiko Makubwa Sana Kufukuzwa kwa Zitto Kabwe CHADEMA
Nimepokea kwa masikitiko taarifa kuwa ndugu yangu Zitto Kabwe amefukuzwa
kwenye chama cha Chadema. Ni habari ya kusikitisha unapotafakari
demokrasia tunayojitahidi kuijenga.
Zitto amekuwa mwanachama wa
Chadema tangu akiwa kijana mdogo. Mwenyekiti wa chama hicho , Freeman
Mbowe, amenukuliwa mara kadhaa akikumbushia jinsi alivyoshirikiana na
Zitto kuhamasisha vijana wengine waliokuwa
↧
Nape Adai Dr. Slaa ni MUONGO na MZUSHI Aliyebobea Kiasi cha Kuitwa Dokta......Aanika Maovu Yote ya Slaa, Amtaka Amrudie Mwenyezi Mungu Haraka
Tarehe 08/03/2015, Dr. Wilbroad Slaa Katibu Mkuu wa Chadema kupitia kwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Ndugu Mabere Marando alitoa tuhuma kwa Serikali na kuwahusisha baadhi ya viongozi wa juu wa CCM kuwa wanapanga njama za kumdhuru Katibu Mkuu huyo wa Chadema.
Kimsingi tuhuma hizi ni za kipuuzi, lakini uongo huu usipojibiwa unaweza kugeuzwa kuwa ajenda na Chama hiki cha Chadema kwa kukosa
↧
Breaking News: Ajali Mbaya ya Roli na Basi Yaua Watu 50 Mafinga......Kontena la lori hilo limeilalia basi
Ajali mbaya imetokea Jumatano hii maeneo ya Mafinga mkoani Iringa
katika kijiji cha Changarawe baada ya lori la mizigo lililokuwa
likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya lililokuwa likikwepa shimo kubwa
lililopo katikati ya barabara, kugongana na gari la abiria la kampuni ya
Majinja lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Dar es Salaam.
Kontena la lori hilo limeilalia basi na watu wengine
↧
↧
Mpango wa Kumuua Dr. Slaa: Mlinzi Wake Alipuka....Adai CHADEMA ni MAGAIDI......Asimulia Jinsi Alivyoteswa na Kupoteza Nguvu za Kiume
Siku chache kupita baada ya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere Marando kufichua njama za Mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama hicho Wilbroad Slaa, bwana Khalid Kangezi kupanga mipango ya kumuua katibu huyo huku akishirikiana na Vigogo wa Chama Mapinduzi CCM pamoja na Mkuu wa Usalama wa Taifa Mkoa wa Kinondoni,naye Mlinzi huyo ameibuka na kufichua siri
↧
Majonzi Yatawala Hospitali ya Wilaya Ya Mafinga Baada ya Kuwasili Miili Ya Waliopata Ajali Leo
Simanzi ilitawala katika Hospitali ya Wilaya ya Mafinga wakati maiti zilizopatikana kwenye ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga
Mkoani Iringa,zikiwasili.
Zaidi ya 45 wamepoteza maisha katika ajali
hiyo iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja
lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
Ni majonzi
↧
Taarifa Ya Jeshi La Polisi Nchini Juu Ya Mauaji Ya Albino
Katika juhudi za kukomesha matukio ya kihalifu yaliyoibuka hivi karibuni ya kuwaua na kuwajeruhi ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) kwa visingizio vya imani potofu za ushirikina, Jeshi la Polisi nchini, limeendelea kupambana na vitendo hivyo vya kikatili ili kuhakikisha kwamba matukio kama hayo hayaendelei na wenzetu wenye ulemavu wa ngozi hawaishi kwa hofu ya kutendewa uhalifu.
↧
Zitto Kabwe Asisitiza Kuwa Yeye Ni Mbunge Halali Wa Kigoma Kaskazini.......Asema Hana Taarifa Ya Kuvuliwa Uanachama CHADEMA
Siku moja baada ya mahakama kuu kutupilia mbali ombi la mbunge wa Kigoma kaskazini Mh Zitto Kabwe kujadiliwa na vikao vya CHADEMA kuhusu hatma ya uanachama wake na kutakiwa kulipa gharama za kesi hiyo, mbunge huyo amedai kuzisikia taarifa hizo kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari lakini hana taarifa rasmi.
Hayo ndio yalikuwa majibu ya awali ya mbunge huyo wa Kigoma kaskazini
↧
↧
Majeruhi wa Basi Lililoua Watu 42 LEO Wazungumzia UKAIDI Wa Dreva wa Basi Hilo
Watu arobaini na wawili wamefariki dunia huku ishirini na wawili wakiwa
wamelazwa hospitalini baada ya ajali ya barabarani iliyotokea asubuhi ya
Jumatano, Machi 11, 2015 huko katika eneo la Changarawe, Mufindi
katika mkoa wa Iringa.
Ajali hiyo ilitokea baada ya basi la
abiria la kampuni ya Majinja Express lililokua likitokea Iringa
likielekea Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na
↧
Rais Kikwete Atuma Salamu za Rambirambi Kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kufuatia Ajali Mbaya ya Basi Iliyoua Watu 42 Mafinga Leo
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Mafinga katika mkoa wa Iringa eneo lijulikanalo kwa jina la Changarawe, ambayo imepoteza uhai wa watu zaidi ya 40 waliokuwa wakisafiri kwa basi hilo na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Katika salamu zake hizo, rais Kikwete amewahakikishia wafiwa wote kuwa yuko
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 12 march 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 12 march 2015
↧
Mjamzito Afariki Baada Ya Kuangukiwa Na Mti Korogwe
Ndugu wawili akiwemo mwanamke mwenye ujauzito wa miezi saba, wamefariki dunia katika kijiji cha Zege kata ya Dindira wilayani Korogwe, wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa vibaya baada ya kuangukiwa na mti wakati wakitafuta kuni msituni.
Waliokufa kutokana na kuangukiwa na mti aina ya msambu ni Mariam Saidi (17), mwanafunzi wa kidato cha nne katika Sekondari ya Dindira na Selina
↧
↧
Padri Feki Wa Morogoro Apandishwa Kizimbani.......Ashindwa Masharti Ya Dhamana, Atupwa Rumande
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imempandisha kizimbani Josephat Asenga (47) mhasibu wa kujitegemea ambaye ni padri feki mkazi wa mtaa wa Lusanga, kwa mashitaka ya udanganyifu na kujifanya padri wa Kanisa Katoliki.
Mbele ya Hakimu Mkazi Agripina Kimanze, wakili wa Serikali Gloria Rwakibarika alidai kuwa mshitakiwa kwa nyakati tofauti kati ya Mei mwaka jana na Machi 5 mwaka
↧
Ufisadi Mwingine Wa Milioni 700 Wizara ya Nishati
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa maelekezo kwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG) kufanya uchunguzi wa Sh milioni 699 zinazodaiwa kutolewa na Wizara ya Nishati na Madini kwenda Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambazo zinaonekana kuyeyuka katika mazingira yasiyoeleweka.
Agizo hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe katika kikao kilichofanyika
↧
Wasomi Waipigia Magoti CHADEMA Imsamehe Zitto Kabwe
Wasomi na wachambuzi wa masuala ya siasa nchini, wamekishauri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumsamehe Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto kwa kuwa bado anahitajika kujenga chama hicho.
Mmoja wa wasomi wa chuo cha Diplomasia, Mhadhiri Mwandamizi wa chuo hicho, Balozi Charles Sanga alisema kuwa pamoja na umuhimu wa kuheshimu katiba ya chama, ameshauri chama hicho kingefanya
↧
Majina ya Abiria Wote Wa Ajali Ya Basi Iliyoua Watu 42 Mafinga Yako Hapa.
"Ni ajali ambayo haijawahi kutokea katika maeneo haya," ni baadhi ya maneno yaliyosikika kutoka kwa wakazi wengi wa mjini Mafinga na vitongoji vyake, ambao jana walishuhudia ajali katika historia ya mji huo.
Ajali hiyo ilihusisha lori aina ya Scania namba T 689 APJ, mali ya Cipex Company lililokuwa likiendeshwa na Maka Sebastian (26) na basi aina ya Scania namba T438 CED, mali ya
↧
↧
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA
Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Kauli ya hiyo ya Bunge imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza kumvua uanachama Zitto, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar
↧
Aunt Ezekiel Akanusha Kujifungua....Asema Video ya Mtandaoni ni kipande cha Filamu Yake
Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel
kujifungua, mwanahabari wetu ametia timu nyumbani kwa Aunt na
kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na
taarifa za kujifungua si za kweli.
Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua
kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video
kinachomuonyesha mwigizaji
↧
Taarifa Mpya Za Idadi Ya Waliofariki Katika Ajali Ya Basi Na Lori Jana
Zoezi la kuwatambua maiti waliofariki katika ajali ya basi la
Majinja iliyotokea katika eneo la changarawe wilayani mufindi hapo jana
linaendelea katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali ya rufaa
ya mkoa wa iringa na hospitali ya wilaya ya mufindi ambapo ndugu wa
marehemu wameendelea kumiminika kuwatambua ndugu zao.
Taarifa iliyotolewa asubuhi ya leo na Mganga mkuu wa
↧
More Pages to Explore .....