MKURUGENZI Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk James Diu, amejichanganya mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuhusu matumizi halisi ya fedha alizozipokea kutoka kwa James Rugemalira ambazo ni Sh milioni 80.8.
Akijitetea mbele ya baraza hilo, Mkurugenzi huyo ambaye pia aliwahi kushika wadhifa wa Meneja Udhibiti Uchumi katika Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati
Mtuhumiwa Wa Fedha za Escrow Ajichanganya......Ni Yule Kigogo Wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Ambaye Alihojiwa Jana na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma
↧
↧
Mwanafunzi wa Sekondari Afikishwa Mahakamani Akituhumiwa Kuhusika na 'Ugaidi' Uliotokea Katika Mapango ya Amboni Tanga
WAKAZI 10 wa jijini Tanga, akiwemo mwanafunzi wa sekondari wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na makosa matano tofauti kuhusu tukio la kuwanyang’anya polisi silaha pamoja na kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Sajenti Mohamed Rashid Kajembe.
Mwanafunzi aliyefikishwa mahakamani ni Rajab Bakari (19) wa shule ya sekondari na mkazi wa
↧
"Kajala ni rafiki MBAYA Kuliko Wote Duniani, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu
Hatimaye Wema Sepetu kaamua kufunguka kuhusu Ugomvi Wake na Kajala.
Yaani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho.
Amedai Kajala ni miongoni mwa marafiki wabaya aliowahi kuwa nao na kasema
anajuta sana kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret
vibaya sana.
Msikilize mwenyewe akiongea
↧
Mwakyembe Ajibu Tuhuma Za Ununuzi Wa Mabehewa FEKI zinazodaiwa kumfanya Atolewe Wizara ya Uchukuzi na Kupelekwa Afrika Mashariki
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Harrison Mwakyembe, amesema kuhamishwa kwake katika Wizara hiyo akitokea Wizara ya Uchukuzi, si kwa sababu ya kuepushwa na kashfa ya ununuzi wa mabehewa feki.
Alisema uamuzi wa kuhamishwa Wizara umefanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa sababu tofauti na hizo kama zilivyoandikwa katika gazeti moja linalotoka kila siku .
Dkt. Mwakyembe
↧
Lowassa, Mbowe Watoa Mkono Wa Pole Kwa Waathirika wa Mafuriko Shinyanga
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa na mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, wametoa salamu za pole na rambirambi kwa wananchi wa kijiji cha Mwakata wilayani Kahama walioathirika na mvua ya mawe na upepo mkali hivi karibuni.
Akizungumza kwa niaba ya Lowassa ambaye pia ni mbunge wa Monduli, mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis
↧
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya March 10 -2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya March 10 -2015
↧
Kauli ya Mama Maria Nyerere Baada ya Kuzushiwa Kifo
Mama Maria Nyerere ambaye ni mjane wa mke wa Rais wa kwanza wa Tanzania,
hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jana jioni alizungumza na kituo cha
runinga cha Taifa, TBC na kukanusha uvumi ulioenezwa katika mitandao ya
kijamii kuwa ameaga dunia.
Akizungumza na mtangazaji, Mama Nyerere alimuuliza, "ukiniangalia
unanionaje?" ambapo mtangazaji alimjibu, "nakuona mzima!" huku
↧
Breaking News: CHADEMA Washinda Kesi Iliyokuwa Imefunguliwa na Zitto Kabwe Kupinga Kamati Kuu Kumjadili.......Aamuriwa Kulipa Gharama Zote za Kesi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda kesi dhidi ya aliyekuwa mwanachama wake Zitto Kabwe.
Katika hukumu hiyo iliyotolewa leo na Jaji Mziray,Mahakama imewaruhusu CHADEMA kuendelea na taratibu zake za Awali. Aidha, Mahakama imeamuru Zitto
Kabwe alipe gharama zote za kesi.
Ikumbukwe kuwa, mwaka jana Zitto Kabwe aliweka pingamizi mahakamani kuzuia kikao
↧
Hawa ni Watanzania Wenzetu......Wanatafuta Wachumba, Wapenzi, Waume na Wengine Wanataka Ma-Wife!!!!!.....
Habari Mpendwa Msomaji wa mtandao huu.Tuliahidi kuyarusha hewani maombi ya wasomaji wetu ambao kimsingi wamekuwa wakipigana usiku na mchana kupata waume na wake.
Kama ilivyokawaida yetu, Mpekuzi ni mtandao wa jamii ambapo Maudhui yake ni kuihabarisha jamii ya kitanzania kwa kila tukio tunalolipata.
Ili kuhakikisha kwamba haki inatendeka,
↧
↧
Kauli ya Zitto Kabwe baada ya Kushindwa Kesi Aliyoifungua Dhidi ya CHADEMA.
Mahakama Kuu ya Tanzania, leo imetupilia mbali
shauri lililofunguliwa na Zitto Zubeir Kabwe mwaka jana, akipinga kikao
cha Kamati Kuu ya Chadema kumjadili, akikitaka chombo hicho cha sheria,
kukielekeza chama chake, kusubiri kwanza rufaa yake aliyokuwa amekata
katika Baraza Kuu.
Mahakama iliyoketi chini ya Jaji Mziray, ilikubaliana na hoja za
mawakili wa Chadema, waliosema kuwa
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Tundu Lissu Atangaza Rasmi Kuwa Zitto Kabwe Si Mwanachama wa CHADEMA
Mwanasheria mkuu wa chama cha upinzani nchini CHADEMA, Tundu Lissu leo ametangaza kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa Kigoma Kasikani Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe.
"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo
↧
Flora Mbasha Atoa Ushahidi wake Kwa Siri Kuhusu Kesi ya Ubakaji Inayomkabili Mumewe, Emmanuel Mbasha
Kesi ya kudaiwa kumbaka shemeji yake inayomkabili
mfanyabiashara na mwimba Injili Bongo, Emmanuel Mbasha imeendelea
kuunguruma leo katika Mahakama ya Ilala jijini Dar ambapo mkewe Flora
alifika na kutoa ushahidi kwa siri.
Kesi
hiyo ilianza kuunguruma kwenye ofisi ya hakimu (Chamber), mishale ya
saa 5 hadi saa 8 mchana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama wa Wilaya
ya Ilala, Flora
↧
↧
Picha: Zitto Kabwe Alivyovuliwa Ubunge wa Kigoma Kaskazini Leo
Mnadhimu Mkuu Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu, akitoa tamko la kumvua uanachama Zitto Zuberi Kabwe leo.
Waandishi wa habari wakifuatilia tukio hilo.
Lissu akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa maswali na wanahabari.
Katibu Mkuu wa Chadema Willbroad Slaa (kulia) akifuatilia mkutano huo wa kumvua uanachama Zitto Kabwe.
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zuberi Zitto
↧
Baamedi 700 Watunukiwa Vyeti Vya Kimataifa
Kampuni ya bia ya Serengeti imewatunuku vyeti wahudumu wa baa 700, walioshiriki mafunzo ya kimataifa ya Diageo Master Academy (MBA), yaliyoandaliwa kwa ajili ya kuwapa wahudumu hao ujuzi wa kufanya kazi kwa weledi.
Akitunuku vyeti hivyo kwa wahitimu hao jijini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Masoko wa Vinywaji Vikali, Stanley Samtu, alisema mafunzo hayo yatawawezesha wahitimu hao kushiriki
↧
Albino Kukatwa Mkono: Waganga 10 Pamoja na Baba Mzazi Watiwa Mbaroni
Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu 17 wakiwemo waganga wa jadi 10 wakihusishwa na tukio la kikatili katika kijijini cha Kipeta , Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambako mtoto mlemavu wa ngozi (albino), Baraka Cosmas (6) mwishoni mwa wiki alishambuliwa na kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana.
Miongoni mwa watuhumiwa waliokamatwa ni watu saba ambao
↧
Nuh Mziwanda Azungumzia Ishu ya kutafutiwa mwanamke Ambaye Hatampiga
Kuna tetesi zilizoenea kuwa wa dada wa mjini akiwemo muigizaji, Jacqueline Wolper wamemchoka msanii Shilole kwa madai kuwa amekuwa akimpiga mpenzi wake Nuh Mziwanda mara kwa mara na wanataka kumtafutia mpenzi mwingine ambae hatampiga, mpango uliopangwa siku ambayo Shilole alimpiga Nuh na wasanii waliokuwepo kuingilia.
Soudy Brown amemtafuta Shilole
na kumpa taarifa hizo na kusema sio
↧
↧
Je, Unatamani Kuzaa Mtoto Wa Kike?......Hapa kuna njia Kuu 5 Ambazo zitakusaidia Kutimiza Ndoto zako za Kupata Mtoto wa Kike
Ulimwengu wa sasa umeendelea sana kiasi kwamba matatizo mengi katika
jamii yanatatuliwa kwa msaada wa wataalamu mbalimbali. Mojawapo ni suala
la mtu kuzaa mtoto wa kike au wa kiume.
Ingawa njia hizo
nitakazoziandika hapa pengine hazina uhakika mia kwa mia, lakini wapo
watu wengi wamejaribu na zimewasaidia. Hivyo nina matumaini kwa kufuata
maelekezo haya unaweza kupanga na kuzaa mtoto
↧
Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume Halisi
Wema Sepetu amekanusha kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chaz Baba japo
amedai kuwa muimbaji huyo wa muziki wa dansi ndiye mwanaume wa pekee
ambaye hakuwa na masuala ya kiswazi baada ya kuachana.
Wema ameiambia U Heard ya Clouds FM Jumatano hii kuwa Chaz Baba kwa sasa ni mshkaji wake na hata alipooa alimchangia pesa.
“Chaz Baba alikuwa ni msikaji wangu naweza kusema ndio boyfriend
↧
Bob Junior: Sikupenda Ndoa Yangu Ivunjike
Msanii na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema hayakuwa mapenzi yake kuacha ndoa yake ivunjike. Bob Junior amesema kuwa kilichotokea ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.
“Nitaoa lakini sio miaka ya karibuni ni miaka ya mbele sana kwa
sababu niliingia kwenye ndoa halafu mwisho wa siku ndo haikukaa muda
mwingi ikanishinda,” amesema.
“Yaani siwezi tena kusema
↧
More Pages to Explore .....