Kufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma.
Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa
Hatua Za Haraka Zilizochukuliwa na Serikali Katika Kukabili Maafa Yaliyosababishwa na Mafuriko Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga
↧
↧
Wanajeshi wa JWTZ na JKT Waliohukumiwa Kunyongwa hadi Kufa Wakata Rufaa
Wanajeshi wawili waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya
kupatikana na hatia ya kumuua Swetu Fundikira ambaye ni mtoto wa ndugu
wa marehemu Chifu Abdallah Fundikira, wamekata rufaa kupinga adhabu
hiyo.
Wanajeshi hao ambao ni ndugu , MT 75854 Koplo Ally Ngumbe wa Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Kunduchi na MT 85067
Koplo Mohamed Rashid (JKT Mbweni),
↧
Mwalimu Aliyekuwa Akiishi na Kinyesi Ndani Akimbizwa Muhimbili
Mwalimu wa shule ya Sekondari Kibasila, Gaudensia Albert aliyekuwa
akihifadhi kinyesi ndani kwake kwa miaka miwili amepelekwa Hospitali ya
Muhimbili baada ya daktari wa Hospitali ya Temeke kubaini ana matatizo
ya akili.
Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule hiyo, Kyando amesema baada ya kugundulika
kwa tukio hilo walimpeleka Hospitali ya Temeke kwa kuangalia afya yake
ambapo daktari
↧
Walioua Albino Geita Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa
Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, jana imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa wanne baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua mlemavu wa ngozi (albino), Zawadi Magindu (32).
Washtakiwa hao wanadaiwa kutenda kosa hilo Machi 11, 2008, katika Kijiji cha Nyamalulu, Wilaya ya Geita, mkoani Geita baada ya kumvamia marehemu saa 11 jioni akiwa nyumbani kwake akila chakula cha
↧
Sintah Amtandika Madongo Nuh Mziwanda Kwa Kutegemea KIUNO ili Aishi......Inadaiwa hata Akizingua Kufanya Mapenzi Shilole Humchapa Makofi
Sintah kaamua kuvunja ukimya kuhusiana na 'Ubwege' wa Nuh Mziwanda ambaye anaripotiwa kuchapwa makofi, ngumi na mateke na mpenzi wake Shilole.
Nukuu ya hapo chini si maneno yetu, ni maneno ya mwanadada Sintah tuliyoyanukuu kama yalivyo toka kwenye blog yake
“Jamani jamani mnaosema ooh umasikini mmbaya kwanini Shilole
anamdhalilisha bwana yake, jamani kwani huyo ‘
↧
↧
Kesi yake na Ruge, Lady Jaydee Ahukumiwa
Hatimaye ile kesi ya kudaiwa kuuchafua uongozi wa
Clouds Media Group na mkurugenzi wake wa vipindi na uzalishaji, Ruge
Mutahaba iliyokuwa ikimkabili staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo
‘Jide’ imetolewa hukumu ambapo mwanamuziki huyo ameamriwa kutozungumza
chochote (amefungwa mdomo) juu ya walalamikaji hao.
Habari za kuaminika kutoka kwenye chanzo
makini zilidai kwamba hukumu
↧
Lulu Michael Afunguka Maneno Mazito Baada ya Kuandamwa Mtandaoni kwa Matusi Kutokana na Kifo cha John Komba
Kufuatia kifo cha ghafla cha Kapteni Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) na Mbunge wa Mbinga Magharibi mkoani Ruvuma kwa ‘leseni’
ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Damiano Mtokambali Komba (61), staa
wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kuathirika
kisaikolojia kutokana na kushambuliwa mitandaoni.
Baada ya Komba kufariki dunia
Jumamosi iliyopita, baadhi
↧
Mafuriko Kahama: Watoto Watano Wazikwa Makaburi Mawili......Serikali Yaamuru Miili Ifukuliwe
Wakazi wa Kijiji cha Mwakata, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga, jana
walilazimika kufukua makaburi mawili walimokuwa wamezika watoto watano
wa familia moja waliofariki dunia juzi baada ya mvua kubwa ya mawe
kunyesha kijijini hapo.
Ufukuaji wa kaburi hilo ulifanyika mchana na kuitoa miili ya watoto hao,
Luku Masemba (14), Paschal Masemba (11), Mulyante Masemba (9), Sesela
Masemba
↧
Sakata la Kumbaka Shemeji Yake: Emmanuel Mbasha Amwaga Machozi Mahakamani
Mwimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya
kumbaka mtoto wa miaka 17, juzi alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya
Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.
Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.
Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho
waandishi na
↧
↧
Uliziona Picha za Albino Walivyotwangana Ngumi Jana IKULU???.....Kama bado, Picha zote ziko hapa
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, watu wenye ulemavu wa ngozi
(Albino), wamepigana ngumi na mateke wakigombea kuingia kumwona Rais
Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la aina yake lilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ambapo
lilianzia kwenye eneo la mapokezi Ikulu mara baada ya walemavu hao
kukaguliwa na kuwekwa kwenye chumba maalumu cha kupumzikia wageni.
↧
Here Are Most Embarrassing Things Footballers Have Ever Done On The Pitch
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Football is the beautiful game mostly because of what happens on the pitch. Football
can be a funny old game. We have seen some both good and bad things
happen on the field and these moments, make the game of football so
unique.
From the goalkeepers to the players to the fans, it’s safe to say this
game
↧
"I Prefer Guys With Big p'en!s" - Amber Rose Declares
The video vixen says men with tiny erectile organs are not good enough for her to manage.
She disclosed her opinion during an interview with Power 105's 'The Breakfast, When asked if sizes do count during $ex, Amber laughed and said "yes, it does".
The radio anchor then added, "what do you think of guys with tiny d**ks? if he wants me then he should get an enlargement.
↧
Wema Kamwaga Mboga, Kajala Ajiandaa Kumwaga Ugali
Baada ya siku za hivi karibuni, Wema Sepetu kuamua kumwaga mboga kwa
kumfungukia shosti wake wa zamani Kajala Masanja kwa kusema si rafiki
mzuri na pia amefilisika, inadaiwa Kajala anajiandaa kumwaga ugali.
Rafiki wa karibu wa Kajala aliyeomba hifadhi ya jina lake, alimtonya
mwandishi wetu kuwa maneno anayoyatoa Wema yanamkosesha amani mwenzake
na kwamba siku si nyingi Kajala naye
↧
↧
Ng'ombe Hazeeki Maini: Mtazame Mzee Majuto Akilifaidi SHAVU La Nisha
Katika pita pita zangu kwenye kurasa za waigizaji kwenye mitandao ya
kijamii nimefanikiwa kukutana na picha hizi tamu za Mzee
Majuto akiwa na mrembo Nisha wakipeana vitu adimu..
Kilichonifurahisha katika picha hizi ni hizi pozi zao mbili
tofauti, kwanza wanaonekana kama wanachombezana mara wanaonekana
kama wamefumaniwa…hahahaha hatari sana.
Nisha aliandika maneno
↧
Utapenda alichojibu Meninah kuhusu tetesi za kutoa mimba ya Diamond!
Kuna tetesi za miezi kadhaa sasa mtaani (ambazo sisi binafsi
hatujaweza kuzithibitisha) kuwa Meninah alitoa mimba aliyopewa na
Diamond Platnumz.
Wawili hao waliwahi kudaiwa kuwa na uhusiano lakini wote walikanusha.
Mtangazaji mahiri wa masuala ya udaku nchini, Soudy Brown kupitia You
Heard ya Clouds FM amejaribu kumchimba Meninah kuhusiana na tetesi hizo
ambazo zinaongeza kuwa
↧
P-Square wakikubali kipaji cha Joti Mdebwedo, watamani kucheza kama yeye!
P-Square wanaweza kumtafuta Joti siku yoyote kuanzia mwaka huu.
Hiyo ni baada ya mmoja wa mapacha hao maarufu zaidi Afrika, Paul
Okoye kupost kipande kifupi cha Joti akicheza wimbo wa Koffie Olomide
kwa style iliyomvutia.
Paul ameipata video hiyo kutoka kwenye akaunti ya Instagram iitwayo ‘Nigeriagirlskillingit’.
“Hahahahahaha i can’t wait for psquare to start dancing like
↧
Rais Kikwete Azindua Rasmi Studio mpya za Azam TV ......Ni Studio ambazo Ukiziangalia unaweza ukazifananisha na za CNN, Aljazeera au BBC
RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete,
mapema leo amefanikisha uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo
maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.
Akizungumza kwenye uzinduzi
huo Rais Kikwete, alisema amefurahishwa sana na ubora wa studio hizo
kwani uwepo wake umeweza kututoa kimasomaso Watanzania wote kwa ujumla
kwani studio hizo zina hadhi namba
↧
↧
Sauti ya Kapteni Komba Kuendelea Kurindima CCM
Sauti ya Kada wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Kiongozi wa Kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba, huenda ikaendelea kusikika katika vibao vipya ambavyo alishaviandaa.
Akizungumzia msiba huo, katika mahojiano ya ana kwa ana na Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando, Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete alisema Komba alikuwa
↧
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) Wasema Mvua Iliyonyesha Shinyanga na Kuua Watu 42 ni TONADO
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Agnes Kijazi amesema mvua iliyonyesha Shinyanga na kusababisha maafa kwa jina la kitaalamu inajulikana kama ‘Tonado’, ni mara ya kwanza kutokea hapa nchini.
Kijazi alisema katika ofisi za mamlaka hiyo wakati wa ziara ya Kamati ya Wabunge ya Miundombinu, jijini Dar es Salaam.
Alisema utabiri waliokuwa wameutoa wa saa 24 ulionesha
↧
Kinana Asema WIZI Serikalini Umekigharimu Chama Cha Mapinduzi (CCM)......Ahoji kwa nini Matajiri Waibe, Adhabu Wapewe Masikini?
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema wizi ndani ya Serikali ni moja ya mambo mawili yanayoangusha chama hicho na amewataka wanachama wake kutokaa kimya na badala yake, kupigia kelele vitendo vya wizi kwa watendaji wa Serikali.
Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu huyo ameeleza kukerwa na dhana ya utawala bora, ambayo amesema imekuwa ikitumiwa kama kivuli cha
↧
More Pages to Explore .....