Serikali imeahidi kumpatia kila Mtanzania kitambulisho cha uraia mwaka huu.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima alisema hayo mjini Dar es Salaam wakati alipokuwa akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Alisema Serikali ya Rais Jakaya Kikwete itaendelea kusaidia NIDA ili kufikia malengo ya serikali ya Awamu ya Nne ya
Kila Mtanzania Kupatiwa Kitambulisho cha Uraia
↧
↧
Shilole Atia Aibu Msiba wa Komba
Mwanamuziki wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed
‘Shilole’ amepondwa vibaya katika msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga
Magharibi, Mhe. Kapt. John Komba, baada ya kuvaa kigauni kilichombana na
kumuonyesha maungo yake ya mwili mbele ya viongozi mbalimbali wa
Serikali akiwepo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya
Kikwete.
Mwanamuziki wa miondoko ya mduara, Zuwena
↧
Ofisa wa IKULU Ahojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma......Adai Hajui Sababu za Rugemalila Kumpatia Mamilioni
Mnikulu Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rugemalira na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi, ingawa amekanusha kuomba fedha hizo.
Gurumo alitoa utetezi huo Dar es Salaam jana mbele ya baraza baada ya kusomewa mashitaka ya kutumia cheo chake cha uongozi wa umma vibaya na kujipatia fedha hizo, jambo ambalo
↧
Bibi Asimulia Mvua Ilivyoua Wajukuu Zake Wanne na Wengine 38 Kahama
Maafa makubwa yameikumba Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya watu 42 kufa papo hapo na wengine 82 kujeruhiwa, kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali, iliyonyesha katika Kijiji cha Mwakata Kata ya Isaka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema jana kuwa tukio hilo halijawahi kutokea mkoani humo.
Baadhi ya majeruhi, akiwemo Paulina
↧
Chris Brown’s baby mama, Nia Gonzalez’ n@de pics go viral online.......( Ni Picha CHAFU ya Mpenzi wa Chris Brown)
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Chris
Brown’s baby mama – According to MTO, Chris has a baby with a
woman who has dated quite a number of rappers. Ouch! Thought he was
different. Her name is Nia Gonzalez and she’s in her 30s.
She has a lot of n@de model photos and
has appeared in a few music videos. She’s reportedly been around the
↧
↧
Balozi wa Marekani Ashambuliwa Kwa Kisu Korea Kusini
Muonekano wa Balozi wa Marekani nchini Korea Kusini, Mark Lippert baada ya kuchomwa kisu
Mark Lippert (katikati) akiwa anajifuta damu.
Kim Ki-jong akiwa amekamatwa na polisi baada ya kumchoma kisu balozi wa Marekani.
Mark Lippert akisaidiwa kunyanyuka baada ya kuchomwa kisu.
****
BALOZI wa Marekani
nchini Korea Kusini, Mark Lippert ameshambuliwa kwa kisu usoni na katika
↧
Mahakama Yamtaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabishara Nchini Awaambie Wafanyabiashara Wasifunge Maduka, Vinginevyo Dhamana yake Itafutwa
Hakimu
mkazi wa mahakama ya Mkoa wa Dodoma Rebecca Mbilu amemtaka mwenyekiti
wa jumuiya ya wafanyabishara nchini, Johnson Minja kuwaambia wafanya
biashara nchini waache kufunga maduka yao wakati wa kesi yake kwani ni
sharti mojawapo la dhamana yake.
Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Wafanyabiashara Nchini, Bw.
Jonson Minja (mwenye koti) akisomewa mashtaka yake katika
↧
Waishio Mabondeni Shinyanga watakiwa kuhama.
Kutokana na Mvua zilizosababisha maafa Mkoani Shinyanga na kusababisha
watu 42 Kufariki na 91 kujeruhiwa Mkuu wa mkoa huo amewataka wananchi
waishio maeneo ya mabondeni kuhama ili kuepuka madhara kujitokeza
kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Akitoa
Tahadhari hiyo kwa wakazi wa Mkoa huo Ally Nassoro Rufunga amesema kuwa
kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa walishatoa taarifa
↧
Ishu ya Utata wa Taarifa ya Msichana wa Kazi Kubakwa na Baba Mwenye nyumba
Baba mwenye nyumba anashutumiwa kumbaka msichana wake wa kazi baada ya kumlaghai.
Ishu hiyo imetokea Chang’ombe DAR ambapo
majirani walitishia kuandamana kwa kuwa baba huyo anashutumiwa lakini
hakuna hatua yoyote ya kisheria iliyochukuliwa.
Majirani wamesema kuwa binti huyo
aliwafuata akiwa analia na kulalamika kuwa tumbo linamuuma kutokana na
baba huyo kumlaghai na kisha kumbaka,
↧
↧
Ndoa ya Babu wa Miaka 107 na Bibi wa miaka 95 Yazua Gumzo Mtandaoni
Tumezoea kuona vijana au watu wa makamo
kufunga ndoa lakini ilikuwa ajabu kwa vikongwe hawa kuchukua uamuzi huo
wakiwa na umri mkubwa.
Vikongwe hao Dikam mwenye umri wa miaka 107 na Ka’a Nafung mwenye miaka 95 Nigeria wameamua kufunga ndoa huku wakiwashangaza watu kwa uamuzi wao huo kutokanana umri wao.
Imeelezwa kuwa ndoa hiyo ilifungwa
kutokana na kila mmoja mwenza wake kufariki
↧
Wachungaji wa Leo Majanga Matupu.......Pastor Impregnates 20 Members of His Congregation and Claims the Holy Spirit Told Him to Do it
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Ebere Amaraizu, DSP, a spokesman for the Enugu State Police Command told NaiJ that general overseer of Vineyard Ministry of the Holy Trinity, Pastor Timothy Ngwu, was arrested for abusing his female members.
"The pastor claims to be obeying prophetic/spiritual injunction to do the will of God, which is to
↧
Rais Kikwete Akutana na Viongozi wa Chama cha Albino Tanzania Ili Kusikiliza Kilio Chao
Kikao cha Rais na watu wenye ulemavu wa ngozi Albinism almanusura
kivunjike baada ya walemavu hao kuhamishia mgogoro wao wa uongozi ikulu
na kusababisha vurugu iliyopelekea watolewe nje ya jengo la ikulu na
baadae kuanza kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Mapema asubuhi walemavu hao walifika eneo la mapokezi ikulu ambapo
waliokuwa wameorodheshwa kwa ajili ya kuonana na rais waliakikiwa
↧
Imagine This Lady is a Teacher, What if you were a Student?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Imagine this lady is a teacher, What if you were a student? Will you understand the lesson 100% ...
Teachers of now days..Eishh
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
↧
↧
Zari Flaunts The 24 Carat Ring Diamond Platnumz Got Her (Photo)
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Zari must be the luckiest woman on earth. She has that one man who
treats her like the queen she is. And now that she is expecting Diamonds
first child, all she needs to do is make a wish and it happens. Though
she has been trying to keep her life off the lime light, she couldn’t
help but floss her latest
↧
Vigogo Wa Escrow Wasitisha Kamati ya Maadili ya Uongozi wa Umma Kusubiri Uamuzi wa Mahakama Kuu
Baraza la Maadili ya Uongozi wa Umma, limesitisha kusikiliza mashauri mawili likiwemo la
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip
Saliboko hadi pale Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi juu ya uhalali wa
mashauri hayo, kusikilizwa na baraza hilo.
Shauri lingine lililositishwa kusikilizwa na baraza hilo ni la
aliyekuwa Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria Wizara
↧
Waziri Mkuu Awatembelea Waathirika Wa Maafa ya Mvua Shinyanga.......Awafariji na Kuwaahidi Misaada
WAKATI Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili mjini Shinyanga kwa ajili ya
kujionea maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa ya mawe katika kijiji cha
Mwakata kata ya Isaka wilaya ya Kahama, idadi ya watu waliokufa
imeongezeka na kufikia 42 na idadi ya majeruhi ni 98.
Pinda baada ya kuzuru eneo la tukio, aliwaahidi waathirika wa tukio hilo kuwa Serikali itawasaidia kwa kadiri
↧
Asomewa Mashitaka Akiwa Chumba Cha Mahabusu
Mfanyabiashara Abubakar Kasenje (28) amesomewa mashitaka ya mauaji
kwenye chumba cha mahabusu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa
sababu alikuwa anashindwa kutembea kwa madai ya kuumwa kiharusi.
Kasenje alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka yake
mahabusu akiwa amekaa chini huku miguu yake ikionekana kutetemeka.
Alisomewa mashitaka lakini hakuruhusiwa
↧
↧
Walimu Wahusishwa na UBAKAJI Kwa Wanafunzi
KESI za kulawiti watoto mashuleni imeelezwa kuwa wanaofanya ukatili
huo wa kijinsia kwa watoto hao baadhi yao ni walimu wanaowafundisha na
kwamba kutokana na walimu hao kuhitajika shuleni hapo baadhi ya uongozi
wa shule umekuwa ukishindwa kuwachukulia hatua ikiwa ni pamoja na
kushindwa kuripoti katika dawati hilo.
Mkaguzi Msaidizi wa Polisi ambaye pia ni Mkuu wa Dawati la Jinsia
↧
Kauli ya Rais Kikwete Baada ya Kukutana na Chama cha Albino Jana Ikulu
Serikali kwa kushirikiana na Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi
(Albino) Tanzania (TAS), wamekubaliana kuunda kamati ya pamoja,
itakayojumuisha pia viongozi wa waganga wa jadi na wadau wote wakuu
katika mapambano dhidi ya mauaji ya Albino.
Kamati hiyo ya pamoja itaweka mikakati ya kuwabaini wale wote
wanaohusika, kuanzia wakala, waganga na hatimaye wale wanaonufaika na
viungo vya
↧
Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa
Kesi ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima
Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi
Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.
Kesi hiyo ilitajwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema kwa
ajili ya mashahidi wanne wa upande wa Jamhuri kuendelea kutoa ushahidi
wake lakini haukufika mahakamani.
Ilidaiwa Aprili 12,
↧
More Pages to Explore .....