MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.
Inadaiwa kabla ya kujinyonga jana saa 12 asubuhi, alimkata mapanga mkewe akimtuhumu kutembea nje ya ndoa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alisema wanandoa hao walikuwa na
Mwanaume Ajinyonga hadi Kufa kwa Gauni la Mkewe Kisa kikiwa ni Wivu wa Mapenzi
↧
↧
Ungekuwa wewe Ungefanyaje??....Jamaa anamtaka Kimapenzi Mchumba wa mtu kisa kawasikia Usiku Wakifanya
Hii story nimekuta inajadiliwa sehemu flani, nikaona si mbaya nikusogezee na wewe mdau.Jamaa anasema alikuwa Lodge na mpenzi wake wamejipumzisha.
Kama unavyojua mambo ya Lodge, hasa unapokuwa na mke wako au mchumbaako, jamaa anadai walijiachia vyakutosha ili mradi tu kila mmoja aifurahie siku hiyo.
Kumbe purukushani zao za chumbani zilikuwa
↧
Wawili Wafariki Dunia Baada ya Kufunikwa na Kifusi Wakichimba Vito Tanga
Wakazi wawili wa kata ya Kigongoi wilayani Mkinga, wamekufa papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo walipokuwa wakichimba madini aina ya vito.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki alibainisha hayo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu matukio mbalimbali mkoani humo.
Aliwataja waliokufa ni Nyange Mussa (21) ambaye ni mkazi wa kitongoji cha Hemsambia
↧
Zabuni ya Ujenzi wa Barabara za Juu Kutangazwa Mwezi Ujao
Zabuni ya ujenzi wa barabara za juu jijini Dar es Salaam inatarajiwa kutangazwa mwezi ujao.
Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli alitoa taarifa hiyo wakati wa hafla ambayo serikali ya Japan ilitia saini mkataba wa kusaidia serikali fedha za ununuzi wa magari ya kubebea wagonjwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na mashine ya kukamulia mafuta ya alizeti wilayani Chato.
Ingawa Magufuli
↧
Ombi la Maranda wa EPA Kusikilizwa Februari 18
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 18, mwaka huu kusikiliza ombi la kwenda kutibiwa nchini India, lililowasilishwa na mshitakiwa wa kesi ya wizi wa Sh milioni 207 katika Benki Kuu (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) Rajab Maranda.
Kesi hiyo ilitajwa kwa ajili ya kusikiliza ombi hilo lakini Hakimu Mkazi Frank Moshi, aliahirisha kwa kuwa jopo la mahakimu wanaosikiliza
↧
↧
Kituo cha Televisheni cha EATV na East Africa Radio Chazindua kampeni ya #ZamuYako2015 Kwa Ajili ya Kutoa Elimu ya Uchaguzi
Kituo cha Televisheni cha EATV na kituo chake cha East Africa Radio wameandaa kampeni maalumu itakayojulikana kama Zamu yako 2015 kwa ajili ya kuwakumbusha na kuwaelimisha vijana umuhimu pamoja na uwezo walionao katika kufanya maamuzi sahihi kwenye masuala makubwa ya kitaifa yanayohusu siasa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Mkuu wa Vipindi wa
↧
Wafanyabiashara Mwanza Wafunga Maduka tena
Maelfu
ya wakazi wa jiji la Mwanza kwa mara nyingine tena, wameendelea kuonja
adha ya migomo, ambapo jana wafanyabiashara zaidi ya 600 wenye maduka
makubwa na ya kati yaliyopo katika mitaa mbalimbali ya jiji hilo
wameamua kufunga maduka yao na kuisababishia serikali hasara ya
mamilioni ya shilingi.
Mgomo huo wa maduka ambao ulitangazwa kufanyika Februari 11 mwaka huu
na viongozi wa
↧
Wakulima wa Miwa Mvomero Waandamana Kudai Malipo
Jeshi la polisi wilayani Mvomero mkoani Morogoro limezuia maandamano ya
wakulima wa miwa Turiani waliotaka kuandamana kwa lengo la kulalamikia
kiwanda cha Mtibwa kushindwa kulipa madeni yao kwa muda mrefu.
Wakizungumza
kwa jazba wakulima hao wakiwemo wazee wamesema hawaoni sababu ya jeshi
la polisi wakiwa na silaha kuwazuia kufanya maandamano ya kudai haki yao
kwani ni muda mrefu
↧
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Asema Ratiba ya Mchakato wa Katiba iko Palepale
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali George Masaju amesisitiza kuwa mchakato wa Katiba
mpya unaendelea vizuri na kwamba muda uliopo unatosha kwa ajili ya zoezi
la kampemi pamoja na kupiga kura ya maoni.
Akizungumza katika mahojiano muda mfupi baada ya kukutana na wahariri
wa vyombo vya habari, Mwanasheria Mkuu Masaju amewataka wananchi
kuondoa hofu juu ya uwezekano wa kufanyika kwa kura ya
↧
↧
Sakata la Escrow: Mwanasheria wa TANESCO Abadilishiwa Kesi
Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa amefutiwa mashitaka ya kupokea sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kusomewa mashitaka ya kupokea rushwa ya Sh milioni 161.7.
Urassa aliondolewa mashitaka hayo baada ya Wakili kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai kubadilisha hati ya mashitaka dhidi yake.
Akisoma hati hiyo
↧
Ajiandalia MAZIKO Kwa Miaka 14 sasa Mkoani Rukwa
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mkazi wa mjini Namanyere mkoa wa Rukwa, Gilbert Paul (37) aliyejiandalia maziko yake miaka 14 iliyopita, bado yu hai.
Kwa sasa mtu huyo ameanza maandalizi ya kuchimba na kujenga kaburi la gharama, ikiwa ni pamoja na kununua jeneza.
Paul, baba ya mtoto mmoja na mchoraji maarufu mjini Namanyere aliyehitimu Kidato cha Nne 2001 katika Shule ya Sekondari
↧
Mkazi wa Mwanza Ajishindia Bajaji ya 6 ya Promosheni ya Tutoke na Serengeti
Bajaji ya sita ya kampeni ya Tutoke na Serengeti, safari hii itaelekea mkoani Mwanza baada ya bwana. Ramadhan Abubakar kutangazwa kuwa mshindi wa Limo Bajaj, kufuatia ushiriki wake yakinifu tangu kuanza kwa kampeni hii.
Akiongea kwa njia ya simu, Abubakar (28) ambaye ni fundi umeme na mkazi wa Nyamagana, Mwanza alielezea furaha yake baada ya kuelezwa na SBL kwamba ameshinda Limo Bajaj
↧
TAKUKURU Yaapa Kutoacha Mtu Sakata la Escrow
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema kuwa haikurupuki katika kuwashughulikia na kuwafikisha mahakamani viongozi wanaotuhumiwa kujipatia fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kwamba ushahidi pekee ndiyo itakaofanya kuwafikisha mahakamani watuhumiwa.
Akizungumza mara baada ya kuzindua jengo la ofisi ya mkoa la Taasisi hiyo mjini Kigoma juzi, Mkurugenzi Mkuu
↧
↧
Serikali Yaiagiza TANESCO Kushusha bei ya Umeme....SUMATRA nao Waagizwa Kushusha bei za Nauli
Baada ya kushuka kwa bei ya mafuta nchini, wakati wowote kuanzia leo Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) linatarajiwa kutangaza bei mpya za umeme ambazo zitakuwa na unafuu kwa wananchi.
Kutangazwa kwa bei hiyo ni agizo la Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene la kuwataka kuangalia uwezekano wa kushusha gharama za umeme ili kushuka kwa mafuta kuwaguse moja kwa moja wananchi wa
↧
Baada ya Kukosea Kufunga Vifungo vya Suti, Wassira Aamua Kumtafuta Sheria Ngowi ili Amtengenezee Suti zake
BAADA ya kuandamwa sana katika mitandao ya kijamii kuhusu kutofunga vizuri vifungo vya suti yake, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Stephen Wasira ameamua kumuona mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi ili aanze kumtengenezea suti zake.
Mhe. Wasira ameamua kukutana na mbunifu huyo aliyeanza mara moja kumchukua vipimo vyake ili amtengenezee mavazi yake ambayo atakuwa
↧
Batuli Afunguka Kuhusu Mambo ya Chumbani na Nguo za Ndani Anazopendelea Kuvaa
STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefungukia mambo
yake ya chumbani na kuanika kuwa anapenda kuvaa kufuli zenye rangi
tofauti.
Akizungumza na Gpl, Batuli ambaye anaendelea kufanya
vizuri Bongo Movies kila kukicha, alisema kama binadamu wengine na yeye
linapofika suala la viwalo hivyo vya ndani, anapenda kununua vingi
vyenye rangi tofauti.
“Nanunua nyingi lakini
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
↧
Kova Apiga MARUFUKU Maandamano ya Vijana wa CUF
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) kutokana na kile ilichosema yana lengo la kusababisha uvunjifu wa amani.
Maandamano hayo yaliyokuwa yafanyike leo, yalikuwa yaanzie Buguruni hadi Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kufikisha madhumuni yao.
↧
Mkuu wa Wilaya Awapiga Marufuku Waganga Watoa UCHAWI
MKUU wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Betty Mkwasa amepiga marufuku shughuli zote za waganga wa kutoa uchawi maarufu kama lambalamba.
Alisema sasa itaandaliwa amri halali na akisikia kijiji kina lambalamba, mtu wa kwanza kukamatwa ni Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji kwani inaonesha waganga hao wamekuwa na ushirikiano na viongozi hao.
Alitoa kauli hiyo juzi baada ya kutembelea kijiji
↧
Serikali Kuachana na Nguzo za Umeme za Miti
SERIKALI imesema inaendeleza jitihada za kuachana na matumizi ya nguzo za umeme za miti, badala yake itatumia nguzo za zege ikiwa ni hatua mojawapo ya kuboresha huduma ya usambazaji na upatikanaji wa umeme nchini.
Hayo yalibainika mwishoni mwa wiki katika kikao baina ya uongozi wa Kampuni ya Sunshine Group Ltd na wataalamu wa sekta ya umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Shirika
↧
More Pages to Explore .....