Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Abiria wa Basi la Champion Afariki Dunia Akiwa Safarini

$
0
0
MKAZI wa Dodoma, Ramadhan Zuber ambaye alikuwa abiria kwenye basi la Champion amefariki dunia akiwa safarini.   Akizungumza na Mpekuzi mjini Kibaha, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alisema kuwa Zuber (29) alikuwa akisafiri toka Dar es Salaam kwenda Dodoma.   Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 16, saa 3:30 asubuhi katika kijiji cha chamakweza wilaya ya

Majambazi Yavamia Duka la M-Pesa na Kupora Milioni 45

$
0
0
MAJAMBAZI watano wakiwa na silaha za moto na mapanga wamevamia duka la fedha la Mji mdogo wa Sirari na kupora Sh milioni 45 za Kitanzania na fedha za Kenya elfu 50.   Katika hekaheka hizo majambazi hao wamejeruhi watu wawili akiwemo mwalimu wa shule ya msingi Sirari anayeitwa Mataigwa Muhono (30) aliyepigwa risasi mguuni na mdogo wa mwenye duka ambaye alikuwa akitoa huduma Mara Masabi (23)

Jokate Amzawadia KANDAMBILI Wema Sepetu

$
0
0
Mbunifu wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi mbalimbali. Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, hivyo ameamua kumpelekea zawadi  ya bidhaa zake za Kidoti kuonesha heshima

Ukawa: Muhongo, Werema, Tibaijuka wafikishwe kortini

$
0
0
Wakati maazimio nane yaliyotolewa na Bunge kwenye mkutano wa 16 na 17 mwishoni mwa mwaka jana kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha zaidi ya Sh. Bilioni 300 za akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yakiwa hayajatekelezwa yote, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema watu waliofikishwa mahakamani katika sakata hilo ni dagaa tu na kwamba kambare

Wanafunzi 48 wasichana wa shule ya sekondari ya Muungano wanusurika Kufa baada ya bweni lao Kuteketea kwa moto

$
0
0
Wanafunzi 48 wasichana wa kidato cha kwanza wa shule ya sekondari ya vipaji maalum ya Muungano wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo baada ya bweni lao kuteketea kwa moto na vifaa vyao vyote.   Mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo ya wananchi Mh Zawadiel Maruchu amesema, moto huo ulianza kwenye bweni hilo kuanzia saa moja usiku wakati wanafunzi wakijiandaa kupata chakula

CCM Yakerwa na Viongozi wasiopenda Kujiuzulu

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha  Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana,  amewaagiza viongozi wa chama hicho kujenga tabia ya uadilifu katika kutekeleza majukumu yao ya kazi. Aliyasema hayo wakati akizungumza na wanachama wa CCM katika ziara yake ya kichama mkoa wa Magharibi.  Alisema sifa kubwa ya kiongozi  bora ni yule ambaye anawajibika ipasavyo, ikiwamo unapotokea ubadhilifu wakati wa

Sakata la Escrow: Chenge, Tibaijuka, Ngeleja kikaangoni leo

$
0
0
KAMATI Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake Philip Mangula, leo inawahoji makada wa chama hicho waliopokea mgawo wa fedha za Escrow.   Makada ambao watawekwa kikaangoni kutokana na kupokea mgawo huo, ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, Wiliam

Wastara: Bongo Movie Imeingiliwa na Mapepo, wasanii tupige magoti tusali

$
0
0
Msanii anayefanya vizuri kunako kiwanda cha filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba tasnia ya filamu kwa sasa inaonekana kama imeingiliwa na pepo mbaya kutokana na mambo kwenda ndivyo sivyo kila kukicha.   Akizungumza na Gpl, Wastara alisema tasnia ya filamu imekuwa ni ya migogoro, chuki huku bei ikishuka  jambo ambalo siyo sahihi kwani litawarudisha nyuma wasanii wakati hata

Mvua Kubwa Kulitikisa jiji la Dar es Salaam....Mikoa mingine yatajwa, Tahadhari yatolewa

$
0
0
MAMLAKA ya hali ya hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha katika maeneo ya Ukanda wa Pwani.   Taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mamlaka hiyo, ilisema mvua hiyo itanyesha kwa zaidi ya milimita 50 ndani ya saa 24 kuanzia Januari 18 hadi 20 mwaka huu.   Maeneo ambayo yataathirika na mvua hizo ni Mikoa ya Ruvuma, Mtwara

Irene Uwoya anataka Watanzania wamwambie ni Kitu Gani Wanakipenda Kwenye MWILI Wake

$
0
0
Mwigizaji  Irene Uwoya, hivi juzi  aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu.    Swali  hilo liliibua maoni mengi huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....   Nimeona sio mbaya nikishare na wewe swali

Tunataka Rais Ajaye Awe na Hofu ya Mungu

$
0
0
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Watanzania kuhakikisha rais watakayemchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, lazima awe na hofu ya Mungu.   Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana, wakati akizungumza katika hafla ya kusimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya.   Alisema kiongozi huyo, mbali na kuwa na hofu ya Mungu,

Jeshi la polisi ladhibiti wananchi waliotaka kuiba mafuta baada ya lori kuanguka, Morogoro.

$
0
0
Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limefanikiwa kudhibiti wanachi waliobeba madumu wakitaka kuiba mafuta baada ya lori la mafuta kuanguna katika eneo la Mikese mkoani Morogoro.   Dereva wa lori Deogras John hilo akizungumzia tukio  hilo la ajali amesema chanzo cha ajali alikua akijaribu kumkwepa mtoto aliyekua akivuka barabara ndipo gari ikapoteza mweleko na kupinduka mara kadhaa ambapo

Majambazi yateka mabasi 6 jijini Arusha....Abiria Wavuliwa nguo na kuporwa, Wanawake wanyang'anywa hadi shanga na vitu vingine vya ndani

$
0
0
WATU zaidi ya 40 wanaodhaniwa kuwa majambazi, wameteka mabasi sita ya abiria yanayofanya safari kati ya Jiji la Arusha na Nairobi, Kenya na kupora mali na fedha ambavyo thamani yake haijafahamika. Tukio hilo ambalo limethibitishwa na Jeshi la polisi, mkoani Arusha llitokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la Mbuga Nyeupe, wilayani Longido Mkoa wa Arusha baada ya watu hao kuweka mawe

Rushwa ya Ngono isiwe kigezo cha Uongozi-Bavicha

$
0
0
WANAWAKE wa (CHADEMA), Arusha,wametakiwa kujitokeza kwa wingi, kugombea nafasi mbalimbali za uongozi bila woga katika uchaguzi mkuu ujao na kuonywa kujiingiza katika kashfa za kutembea na viongozi wao ili wapate nafasi hizo. Akizungumza jana na Baraza la Wanawake Chadema Mkoani Arusha (BAWACHA), Makamu Mwenyekiti Taifa wa Baraza hilo, Hawa Mwaifunga, amesema kumekuwa na tabia kwa

JWTZ yafanikiwa kupunguza dhoruba Mtwara

$
0
0
Wanajeshi zaidi ya 300 wa Jeshi la wananchi wa Tanzania, wamefanikiwa kudhibiti sehemu ya ardhi iliyobaki isiendelee kumezwa na maji ya bahari kwa kutumia mawe na vifusi vya mchanga katika eneo la Msimbati lililopo Mtwara vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio kanali wa jeshi Saidi Nkambi anayesimamia oparesheni hiyo amesema zoezi hilo linakwenda vizuri

Wapiganaji wa Taifa la Kiislam (ISIS) Wadai Fidia ya Dola Milioni 200 Kuwaachia Mateka wa Japan

$
0
0
Video ikiwaonyesha mateka wa Kijapan, Kenji Goto Jogo na Haruma Yukawa, walio katika nguo za rangi ya chungwa, wakiwa na Jihadi John anayedai fidia ya Dola milioni 200 ili kuwaachia mateka hao. Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe, ambaye anategemewa kuokoa maisha ya mateka wa Kijapan. Kenji Goto Jogo (kushoto) mwandishi wa habari wa Japan na Haruna Yukawa mwanajeshi kutoka kampuni

Aunty Ezekiel Achukizwa na Uamuzi wa Mzee Majuto

$
0
0
Wakati  mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo.   Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine. “Suala la wezi lipo miaka mingi na

Waziri Awaomba Radhi Wanafunzi Waliopigwa Mabomu ya Machozi Kenya

$
0
0
Waziri wa Usalama nchini Kenya Joseph Nkaissery amewaomba radhi wanafunzi wa shule ya msingi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi wakati walipokuwa wakiandamana kupinga kunyanga'anywa kipande cha ardhi ambacho kilikuwa uwanja wao wa kuchezea. Bwana Nkaissery amempa siku moja mnyakuzi wa ardhi hiyo kuondoa sehemu ya ukuta iliyobaki baada ya wanafunzi kuuangusha na kisha kuondoka

Walioteka Mabasi 6 jijini Arusha na Kuwadhalilisha Abiria Wakamatwa na Jeshi la Polisi

$
0
0
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limewatia mbaroni watu kadhaa kwa kuhusishwa na tukio la ujambazi wa kuteka mabasi sita ya abiria yaliyokuwa yanatoka nchini Kenya kuelekea jijini Arusha.   Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema katika msako huo ulioanza jana wamefanikiwa kukamata watu hao katika maeneo tofauti

Wanachama, Viongozi wa chama kipya cha ACT Watwangana Ngumi ndani ya Ofisi ya Msajili

$
0
0
Vurugu zimetokea jana kwenye ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini baada ya makundi yanayopingana ndani ya Chama cha ACT-Tanzania kukutana ana kwa ana katika ofisi hiyo kwa ajili ya kikao cha usuluhishi.   Baada ya kukutana kwa makundi hayo, ghafla walitokea vijana wanaodaiwa kukodiwa na Mwenyekiti aliyesimamishwa, Kidawi Limbu na kumvamia Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images