Baada ya subira ya wiki mbili ili wenyeviti na wajumbe Mtaa wa
Migombani – Segerea, Dar es Salaam waapishwe na mamlaka husika bila
mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia wakili
binafsi.
Wakati hali hiyo ikitokea Dar es Salaam, wilayani Rombo mkoani
Kilimanjaro baadhi ya wenyeviti wa vijiji walioshindwa wamekataa
kuwaachia ofisi viongozi wapya wakidai kuwa
Baada ya danadana nyingi, Wananchi waamua kumwapisha Mwenyekiti wao wa Mtaa
↧
↧
Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni Komba zatangazwa kupigwa Mnada baada ya kushindwa kulipa deni lake CRDB
Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba zimetangazwa kupigwa mnada kutokana na kushindwa kulipa deni analodaiwa na Benki ya CRDB.
Mali hizo zinahusisha eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 2,214
lililopo Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, kiwanja namba 1030
kilichosajiliwa kwa jina la John Damiano Komba na Salome Komba.
Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa kwenye vyombo
↧
Mwanamke hana jeuri ya kumkatalia mpenzi wake kupiga picha za Uchi- Juliana Kanyomozi
Muimbaji wa Uganda, Juliana Kanyomozi amefunguka kwa urefu kuhusiana na masuala mbalimbali kwenye mahojiano aliyofanyiwa na mtandao wa SatisfashionUG.
Miongoni mwa mambo aliyohojiwa ni pamoja na kuvuja kwa picha za utupu
za muimbaji mwenzie wa Uganda, Desire Luzinda. “Kwanza kabisa katika
kesi nyingi kamwe huwa sio kosa la mwanamke,” anasema Juliana.
“Kama wewe ni mtu mzima na
↧
Amber Rose Atupia Picha zake za Nusu Uchi Mtandaoni
Mwanamitindo Amber Rose ameamua kutupia picha nyingine zinazoonyesha sehemu ya mwili wake katika mtandao wa Instagram.
Amber ametupia picha hizo ikiwa ni siku moja tangu aweke picha
zeke nyingine zilizokuwa zikionyesha maungo yake akiwa katika vazi la
bikini nyeusi.
Amber mwenye miaka 31, mama wa mtoto mmoja, ametupia picha hizo jana
zenye unafuu kidogo kuliko za
↧
Picha za UTUPU za Msanii maarufu Kenya, Risper Faith zasambaa
Picha chafu za mwanadada maarufu nchini Kenya, Risper Faith zimevuja na kusambaa kwa kasi katika mitandao maarufu ya Kenya na Uganda.
Picha hizo ambazo zinadaiwa kusambazwa na mpenzi wake baada ya kuzinguana, zinamwonyesha mwanadada huyo akiwa ametunuka huku makalio yake na mambo mengine adimu yakiwa hadhari na picha nyingine inaanika
↧
↧
[ VIDEO ] : Diamond na mpenzi wake Zari wakifanya Yao FARAGHA huku wakisifiana walivyoumbika
Nani alidhania kuwa Diamond ni shabiki wa wimbo wa Mr Blue ‘Pesa’? Apparently staa huyo ni shabiki wa ngoma hiyo iliyomrejesha vyema mfalme wa Mapozi nchini.
Katika video ambayo Mama Kijacho Zari Tlale amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram wakiwa faragha, Diamond anaonekana akifurahia kufuatiliza wimbo huo na kulipachika pia jina la Zari kwenye mstari alioungeza mwenyewe.
“Niko busy
↧
Kuwa Staa Raha Sana: Diamond Katumiwa Video ya Nusu Uchi na Mrembo wa Kenya akimtaka Amchukukue yeye bila Malipo
Unaukumbuka Wimbo wa Diamond Platnumz alioimba "Ntampata wapi ??""...Unaambiwa mabinti kibao wameanza kujigonga kwake kutokana na wimbo huo.
Mrembo na Mwanamitindo anayeitwa Tiara , Mwenye Umri wa Miaka 23 toka nchini Kenya amemtaka Diamond aende nchini Kenya kumchukua tena bila malipo yoyote....
Tiara amedai yeye ana vigezo vyote anavyovitaka Diamond Platnumz.
↧
Mazungumzo ya amani Sudani Kusini yafanyika Arusha
Wakuu wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda wamekutana jijini
Arusha na viongozi wa nchi za Sudan na Sudani
Kusini zinazokabiliwa na mapigano ikiwa ni sehemu ya jitihada
za kutafuta suluhu ya mgogoro huo.
Lengo la kukutana kwa viongozi hao ni kushuhudia utiaji
saini wa makubaliano ya mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea kwa
usimamizi na
↧
Hali bado tete kwa wafugaji Morogoro
Hofu imeendelea kutanda kwa wafungaji mkoani Morogoro kufuatia
bodaboda kuendelea kuwavamia na kuwapora wafugaji kila wanapoonekana
katika mji wa Morogoro kwa madai ya kulipiza kisasi baada ya mkulima
mmoja kuuwawa katika bonde la Mgongola ambapo wafanyabiashara, wafugaji
na wanaofanya shughuli za ulinzi wamelazimika kuukimbia mji wa Morogoro
na baadhi ya wanafunzi wa vyuo kurudi
↧
↧
Kinana apokelewa kwa mabango jimbo la Uzini
Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM Abdulrahaman Kinana amepokewa
kwa mabango na wananchi wa kijiji cha Miwani jimbo la uzini wilaya ya
kati mkoa wa Kunisi Unguja Zanzibar wakimuomba kuwatatulia kero
mbalimbali za kijiji hicho, ikiwemo maji,barabara na huduma za afya,
sanjali na kuingilia kati mgogoro wa kutoelewana baina ya mbunge na
mwakilishi wa jimbo hilo la uzini.
Kufuatia
↧
Kampuni ya Simu ya TTCL Yafilisika
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetangazwa kufilisika, kutokana na kutokuwa na mtaji baada ya mwekezaji, Kampuni ya simu za mkononi ya Bharti Airtel, kushindwa kuwekeza kwa miaka 14.
Kutokana na hatua hiyo, Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC) imeamua kupeleka suala hilo bungeni ili kuweka mipango ya kimkakati kuifufua kampuni hiyo. Kwa kuanzia, Msajili wa Hazina
↧
Mshindi wa mtoko wa mbugani kwenye promosheni ya Tutoke na Serengeti Apatikana
Mshindi wa mtoko wa mbugani kwenye promosheni ya Tutoke na Serengeti Bw. Deogratius Peter Bongole (24) kutoka Rombo mkoani Kilimanjaro akiwa anapewa maelekezo kuhusu safari yake ya kwenda Mbuga ya wanyama ya Serengeti baada ya kutia sahihi mkataba wake wa safari hiyo .
Pichani Juu ni mshindi huyo akiwa na Meneja mauzo mkoa Kilimanjaro Orest Mmbaga (kushoto) na Afisa mauzo Moshi
↧
Zitto Kabwe Ajibu tuhuma za IKULU, Akiri Rais Kikwete amekwisha futa Misamaha ya Kodi
KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imekiri kuwa hadi sasa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ipo, lakini pamoja na kusainiwa na Rais bado haijaanza kutekelezwa jambo linalosababisha misamaha ya kodi izidi kupaa.
Hayo yalibainishwa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kabwe Zitto, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kauli ya Ikulu
↧
↧
Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana leo
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inakutana leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali likiwemo suala la Uchaguzi Mkuu baadaye, mwaka huu.
Mambo mengine yatakayojadiliwa na Kamati hiyo ni pamoja na kucheleweshwa kwa mchakato wa daftari la kudumu la wapiga kura, kujadili mchakato wa kura ya maoni ya Katiba mpya na maandilizi ya uchaguzi wa
↧
Mwanafunzi wa Mwaka wa Pili katika Chuo cha Ualimu Rukwa Auawa Kinyama
Mwanafunzi wa ualimu aliyekuwa anasoma mwaka wa Pili katika Chuo cha Ualimu Rukwa, Manispaa ya Sumbawanga, Zakayo Anosisye (25) ameuawa na watu wasiofahamika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob Mwaruanda akithibitisha kutokea kwa mkasa huo alisema kuwa, mwili wa Anosisye uligundulika asubuhi ya Januari 19 mwaka huu katika Kitongoji cha Chanji “B” mjini hapa.
Kamanda huyo
↧
Picha: Zari anavyokodolea macho simu ya Diamond kama Beyonce kwa Jay Z.
Wapenzi Diamond na Zari wamekuwa wakifananishwa na couple tofauti za
mastaa duniani kwa picha na pozi tofauti.
Kupitia instagram yake Zari
amejifananisha na Beyonce kwa jinsi anavyofuatilia shughuli za Diamond
kwenye simu yake muda wote wanapokuwa pamoja.
↧
Picha: Vanessa Mdee na Jux wakila bata Zanzibar ndani ya Vazi la "Nusu Utupu"
Bongo fleva ilitawala Zanzibar ‘Ngome Kongwe’ 17 Jan kwenye usiku wa
show kali Jux, Vanessa Mdee, Navy Kenzo ‘Nahreel na Aika’ ambayo
ilifunguliwa na Baby J na Mirrro.
Baada ya show, Jux na V Money walinaswa walikula bata kabla ya kuondoka Zanzibar huku Vanessa Mdee akiwa ndani ya kivazi cha nusu Uchi.
↧
↧
Vikongwe Wapigana Mabusu Hadharani....!!!
Mohamed Khalfan ambaye ni kikongwe wa miaka 78 mwenye ulemavu wa
ukoma na mkewe, Habiba Shomari (68) hivi karibuni waliwashangaza watu
baada ya kuamua kumwagiana mabusu hadharani.
Tukio hilo lilijiri kwenye Kambi ya Walemavu wa Ukoma ya Chazi
iliyopo Kata ya Chazi wilayani Mvomero mkoani Morogoro ambapo kulikuwa na
kikao cha serikali za mtaa kutatua mgogoro wa ardhi.
Akizungumza
↧
"Bora niwe Fundi Nguo ili Niwaepuke ‘Masnichi’ Waliopo Bongo Movie"- Wolper
Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji.
Akizungumza na Gpl, Wolper alisema ameamua kujikita huko kwa sababu ameona Bongo Movie hakuna maendeleo zaidi ya umbeya na hata soko la filamu linazidi kushuka.
“Mimi ni msanii wa muda mrefu sana
↧
Shindano la Nani Mkali: Jokate Amfunika Lulu Michael
Mwanamitindo na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate
Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth
Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana
mitandaoni nchini.
Mtandao mmoja wa hapa nchini umeendesha zoezi la kuweka picha zao
kali zinazowaonesha wote wawili wakiwa na muonekano na picha kali huku
wakiuliza nani zaidi ya mwenzake.
↧
More Pages to Explore .....