LIVE VIDEO: MKUTANO KATI YA OBAMA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU
↧
↧
MMILIKI WA FACEBOOK NA WAFANYAKAZI WAKE WASHEREHEKEA KUPITISHWA KWA SHERIA YA NDOA YA JINSIA MOJA
Mmiliki
wa mtandao wa kijamii Facebook CEO Mark Zuckerberg amejiunga na
wafanyakazi wa kampuni yake waliozidi 700 katika matembezi ya kusherekea
maamuzi ya mahakama kuhusu haki za ndoa ya jinsia moja. Matembezi haya
yamefanyika mitaa ya San Francisco Jumapili Asubuh.
Sheria hio inayo sherekewa Imeruhusu wanandoa wa jinsia moja kumiliki leseni ya ndoa ndani ya siku 30 baada ya kuoana.
↧
TRENI YA MWAKYEMBE ILIPATA AJALI ASUBUHI YA LEO.....HUDUMA YA TRENI KESHO HAIPO
Leo
mnamo saa 11:30 asubuhi vichwa viwili vya treni ya huduma la jiji la
Dar es Salaam vilipata ajali ya kugongwa na roli la mizigo aina ya Fusso
katika makutano ya reli na barabara ya Kawawa jijini Dar es salaam ,
katika jali hiyo dereva wa Fusso alifariki duniani papohapo hata hivyo
Utingo wake alinusurika.
Hata
hivyo vichwa hivyo vya treni vilipata mkosi tena wa ajali ambapo
↧
PICHA ZA RAIS OBAMA ALIPOTUA KATIKA ARDHI YA TANZANIA
Rais
Baraka Obama akicheza ngoma alipokua akipita kwenye moja ya vikundi
vya ngoma za asili vilivyokua vikitumbuiza kwa ajli ya ujio wake mara
tu aliposhuka kutoka kwenye ndege ya Airforce One
Mwenyeji
wake Rais Jakaya Kikwete akitabasamu wakati mgeni wake Rais Barack
Obama alipokua akitikisa mwili kwa hisia za ngoma za asili zilizokua
zikitumbuizwa uwanja wa ndege wa
↧
VIDEO NZIMA YA OBAMA ALIPOTUA NCHINI TANZANIA.....
↧
↧
TANZANIA YAUMBULIWA....GAZETI MAARUFU LA MAREKANI LAANIKA UKATILI UNAOTENDEKA NCHINI
<!-- adsense -->
Tanzania imekosolewa na gazeti maarufu la Marekani wakati Rais Obama akipokewa kwa nderemo na vifijo.
Gazeti hilo maarufu nchini Marekani la The New York Times, limechapisha habari za kuonesha matukio ya ukatili yanayofanyika Tanzania.
Habari hiyo iliyochapishwa katika toleo lake ya Juni 30, imeleza tukio la kuteswa na kuumiza kwa kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari,
↧
GEORGE BUSH NA OBAMA WATAKUTANA ANA KWA ANA KATIKA ARDHI YA TANZANIA LEO
Rais wa Marekani, Barack Obama na mtangulizi wake, George W. Bush,
leo wanakutana ana kwa ana kwenye ardhi ya Tanzania watakapoweka mashada
kwenye Ubalozi wa zamani wa Marekani uliolipuliwa mwaka 1998.
Rais
Obama ameweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza mweusi kuchaguliwa kuongoza
Marekani, akipokea wadhifa huo kutoka kwa Rais Bush, ambaye aliiongoza
taifa hilo kuanzia mwaka 2000-2008.
↧
MAREKANI KUFUNGUA UKURASA MPYA KATIKA UWEKEZAJI BARANI AFRIKA
Serikali
ya Marekani imeahidi kufungua ukurasa mpya kwa Nchi za Afrika Mashariki
kwa kuongeza uwekezaji katika sekta mbalimbali ili kuinua uchumi wan
chi hizo.
Kauli
hiyo ilitolewa jana mjini Dar es salaam na Rais Barack Obama kwenye
hotuba yake kwa wafanyabiashara wakati wa ziara yake ya siku mbili
nchini Tanzania.
Alisema
kuwa hatua hiyo inalenga kuongeza kiwango cha bidhaa kutoka
↧
MFALME MSWATI WA SWAZILAND AAONDOKA NCHINI NA AMEWATAKA WATANZANIA WABADILIKE
Mfalme
Mswati wa Swaziland akisindikizwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati
alipoondoka kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini
Dar es salaam kurejea nyumbani baada ya kufungua maonyesho ya Biashara
ya Kimataifa kwenye uwanja wa Mwalimu Nyerere Julai 1,2013.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na mfalme Mswati wa Swaziland ambaye
aliondoka nchini baada ya
↧
↧
MAHAKAMA YAWATIA MBARONI WAPENZI WAWILI WALIOAMUA KUTALII WAKIWA UCHI
Njemba moja, Stephen Gough aliyewahi kuwa mwanajeshi
amekamatwa na polisi katika Jiji la Portsmouth, Uingereza baada ya
kukutwa na mpenzi wake wakidunda kutalii mitaani wakiwa uchi wa nyama.
Mwanamke
Melodine Roberts aliyefuatana naye aliachiwa na polisi kwa kuwa mara
baada ya kuonywa kuacha tabia hiyo, aliacha lakini mpenzi wake huyo
aligoma na hii ni mara ya 14 akifanya hivyo licha
↧
PICHA ZA WANANCHI TOKA UBUNGO WAKISUBIRI MSAFARA WA RAIS OBAMA
↧
NANDO WA TANZANIA APENDEKEZWA KUTOKA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER...KURA YAKO INAHITAJIKA
Mchezo unazidi kuwa mgumu kadri siku zinavyozidi kwenda sababu idadi
ya wanaopaswa kuendelea na mchezo ndivyo inavyohitajika kuwa ndogo
mpaka siku ya 91 atakapobaki mtu mmoja wa kukabidhiwa $300,000 kama
zawadi ya BBA The Chase.
Nominations za wiki hii zimewagusa baadhi ya
washiriki ambao hawajawahi kabisa kupendekezwa kutoka, na wengine ambao
wameshawahi kupendekezwa mara moja na
↧
MAZISHI YA MANDELA YAGOMBANIWA NA VYOMBO VYA HABARI PINDI ATAKAPOFARIKI
Mashirika makubwa ya habari ulimwenguni, yapo kwenye vita nzito ya
kugombea hakimiliki ya mazishi ya Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson
Rolinhlala Mandela ‘Madiba’
Shirika la Habari la Afrika Kusini (SABC), kwa sasa lipo kwenye mzozo
na lile la Uingereza (BBC), mvutano uliopo unahusu chombo chenye haki
ya kuwa cha kwanza kutangaza taarifa zote zitakazohusu mazishi ya Mzee
Madiba.
↧
↧
KWA HERI BARACK ABAMA....KARIBU TENA NA SAFARI NJEMA
Rais
Barack Obama wa Marekani ameondoka nchini mchana huu kurudi nchini Marekani,baada ya kumaliza
ziara yake ya siku mbili hapa nchini iliyoanza jana....
Rais Obama na mwenyezi wake Rais
Jakaka Kikwete,leo walifanya ziara ya kutembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion
iliopo Ubungo jijini Dar es Salaam na kuzindua rasmi mradi huo....
Tunapenda kuungana na Rais Jakaya Kikwete na
↧
HAYA NDO MAMILIONI YA PESA ALIYOINGIZA DIAMOND KWENYE SHOW ZA MWEZI ULIOPITA ....
Staa wa Kesho, Diamond ameendelea kupiga hela kwa show nyingi
zinazomfuata kila kukicha. Wingi wa show hizi unazidi kumfanya kuwa
miongoni mwa wasanii wachache wa Tanzania wenye pesa nyingi zaidi.
Tumejaribu kuangalia baadhi ya show alizofanya mwezi huu, atakazofanya
mwishoni mwa mwezi huu na mwezi ujao ili kukadiria ni kiasi gani anaweza
kuwa ameingiza. Baadhi ya show tunafahamu ni
↧
PICHA ZA GEORGE BUSH ALIPOKUTANA NA RAIS OBAMA TANZANIA KABLA HAJAONDOKA
↧
GEORGE BUSH AMESHAANZA KAZI YAKE ILIYOMLETA... ...MKUTANO WA WAKE WA MARAIS UMEFUNGULIWA NA RAIS KIKWETE
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe George W.
Bush na Mkewe Laura na Mama Salma Kikwete wakati wa ufunguzi wa mkutano
wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya
Serena jijini Dar es salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa marais wa Afrika
Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini
↧
↧
MCHUNGAJI WA KANISA LA EAGT JIJINI MBEYA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 NA VIBOKO 12 BAADA YA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI
MCHUNGAJI
wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of Tanzania(EAGT) la Iwambi
Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na
viboko 12 baada ya kukutwa na makosa mawili ya Kubaka na kumpa mimba
Mwanafunzi wa miaka 19.
Akisoma
hukumu hiyo Hakimu wa mahakama ya Wilaya ya Mbeya Ndugu Gilbert Ndeuruo
amesema Mahakama imemtia hatiani kutokana na ushahidi
↧
FEZA KESSY AENDEKEZA TABIA YA KUPIGWA DENDA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
Mshiriki wa Botswana, Oneal ameendeleea kuyafaidi mate ya dada yetu ambapo wakati huu jamaa huyo aliamua
kupiga magoti wakati akimwaga "sera za nguvu" kwa Feza na kumwambia kuwa
maisha yake yalikuwa shagala bagala kabla hajakutana na mwakilishi huyo
wa Tanzania.
Maneno hayo matamu yalimwingia vyema Feza ambaye alikuwa akitabasamu
muda wote kuashiria upendo mzito kwa
↧
WATUHUMIWA WA MAUAJI YA MWANGOSI WAACHIWA HURU
Na Gustav Chahe, Mufindi( Kamanda wa matukio)
MAHAKAMA
ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka yaliyokuwa
yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema) Hamad Yusuph na wenzake 42.
Kiongozi
huyo pamoja na wenzake walikuwa wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo
la kufanya mkutano bila kibali pamoja na kuharibu mali ambazo ni kofia
za
↧
More Pages to Explore .....