HUU NI UJUMBE WA RAY C AKIWASHUKURU MASHABIKI WAKE KWA KUMUOMBEA MPAKA AMEPATA AHUENI TENA
↧
↧
MTOTO WA MIEZI MINNE ATUPWA AKIWA HAI MAENEO YA BAMAGA
Huyu
ndiye malaika wa Mungu aliyetelekezwa maeneo ya bamaga nje ya chuo cha
ustawi wa jamii karibu na TBC hapa akiwa amebebwa na mmoja wa mfanyakazi
wa ITV baada ya wasamaria wema kumleta ITV...
Anayeonekana kwa nyuma ni
mmoja wa vijana waliomuokota mtoto huyo
Baadhi ya wafanyakazi wa ITV wakimshangaa mtoto aliyetupwa.
mchomeblog
<!-- adsense -->
↧
YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA GEORGE BUSH NA WAKE WA MARAIS
Rais
Jakaya Kikwete akiwa na Mke wake Mama Salma Kikwete wakizungumza na
Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa George Bush wakati wa kikao cha wake
wa Marais wa Afrika kinachofanyika katika hoteli ya Serena hapa Dar es
Salaam.
Rais
Jakaya Kikwete akizungumza na Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa
George Bush muda mfupi kabla ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa wake
wa Marais wa
↧
OBAMA AWAOMBA RADHI WANANCHI WALIOKOSA KUMWONA BARABARANI...
Kana kwamba alisikia kilio cha
wakazi wa Dar es Salaam waliokuwa na shauku ya kumwona lakini
ikashindikana, Rais Barack Obama wa Marekani amewaomba radhi kwa hali
hiyo.
Akizungumza
juzi wakati wa dhifa iliyoandaliwa kwa ajili yake na ujumbe wake na
Rais Jakaya Kikwete katika Ikulu ya Dar es Salaam, Obama alisema akirudi
nchini siku zijazo, atapita mitaani akiwa katika gari
↧
"NAWACHUKIA SANA WASANII WA BONGO MOVIE MAANA NI WEZI WA WAUME ZA WATU"...AMANDA
MSANII wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amesema anawachukia
sana wasanii wa kike wa Bongo Movie kutokana na tabia zao za
kuchukuliana mabwana.
Amanda alisema wasanii wengi wa filamu wana tabia za kuibiana mabwana
kitendo ambacho kinamkera na kusababisha kuwachukia kwani wanavyofanya
siyo heshima na inawaharibia sifa kwa jamii pamoja na kuichafua tasnia
yao kwa jumla.
“
↧
↧
"NIMETEMBEA KWA WAGANGA WA KIENYEJI NA KUGUNDUA KUWA MTU ALIYENIROGA NI MSANII MWENZANGU"...STEVE NYERERE
Makubwa yameibuka baada ya msanii Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, kufungua kinywa
na kusema kuwa ugonjwa wake si bure bali amepigwa kipapai.
Akizungumza
na mwandishi wetu,Steve alisema kuwa kufuatia
kusumbuliwa na ugonjwa wa ajabu kwa kipindi kirefu sasa na madaktari
kushindwa kuelewa kila walipompima, staa huyo anaamini kuwa amerogwa na
msanii mwenzake.
“Nimetembea kwa wataalamu wa
↧
TUKIO LA KUBAKWA KWA MSANII MAARUFU WA BONGO MOVIE....
Kuna habari mbaya ambazo zilianza kusambaa mtandaoni jana.Habari hizo zinazomhusu msanii maarufu wa bongo movie ambaye anadaiwa kubakwa (Mtungo ) na wanaume kadhaa.
Habari hizo zinadai kuwa, Msanii huyo wa kike mwenye jina kubwa hapa nchini alikutwa na balaa hilo baada ya kuwachanganya kimapenzi washikaji wawili ambao ni kama marafiki na hivyo
↧
"KAMA BABA YAKO ANGEKUWA NI SHOGA, WEWE BARACK OBAMA USINGEZALIWA"...HII NI KAULI YA WANANCHI WA KENYA
Akiwa nchini Senegal,Rais Obama alinukuliwa na vyombo vya habari akiyasisitiza mataifa ya afrika kuhusu kutambua uwepo wa MASHOGA na kwamba haki zao za msingi ni lazima ziheshimiwe...
Kauli hiyo imewachefua wengi hasa viongozi wa dini nchini Kenya .
Jana, kiongozi wa kiislamu alimuuliza obama swali gumu sana kwamba "Atajisikiaje endapo atabaini
↧
MAMA WA MIAKA 52 AKAMATWA KWENYE CHUMBA CHA MTIHANI AKIMFANYIA MTIHANI BINTI YAKE
Mwanamke mmoja mfaransa (52) amejikuta mikononi mwa polisi
wa jiji la Paris katikati ya mwezi june, baada ya kukamatwa kwenye chumba cha
mtihani akimfanyia mtihani wa Kiingereza mwanae mwenye umri wa miaka 19, huku
akijiweka kisichana zaidi wasimshutukie.
Ripoti kutoka nchini humo zinasema mwanamke huyo
aliyejulikana kwa jina la Caroline D aliingia kwenye chumba cha mtihani akiwa
↧
↧
"SUGU AMESAFISHWA KWA KUMTUKANA WAZIRI MKUU. FIKIRIA TUSI HILO LINGETOKA KWA MLALA HOI "...MBWANA
KILA
mtu anajua kuwa sheria na haki ni vitu viwili tofauti. Usilazimishe
kupata haki, kwasababu sheria imeonyesha juu ya madai yako. Kufanya hivyo ni kujipotezea muda wako unaoweza kuutumia katika kazi nyingine za maendeleo yako.
Pamoja
na yote hayo, lakini wakati mwingine si sahihi kujificha kwenye mhimili
wa kisheria kwa kufanya mambo ambayo ni tofauti katika jamii. Kila mmoja
↧
MACHANGUDOA WAULAANI UJIO WA OBAMA....WANADAI HAUKUWA NA PESA IKILINGANISHWA NA ULE WA BUSH
Katika hali ilisiyokuwa ya kawaida, machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack
Obama kwa kile kinachodaiwa kuwa haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za
pesa.
" Tumesikitishwa sana na ujio wa Obama kwani tulikuwa tumejipanga
kupiga hela ndefu sana .
"Bahati mbaya watu wake tuliokuwa
tunategemea kuwanasa walikuwa busy na wale wa mikoani walizuiwa" Walisema akina dada
↧
"GEREZANI KUMENIFANYA NIMJUE MUNGU VIZURI SANA"....HII NI INTERVIEW YA LULU MICHAEL
<!-- adsense -->
Kwa mara ya
kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya
interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu.
Lulu aliye
na muonekano wa ‘udada’ zaidi alihojiwa jana kwenye kipindi cha Take One
cha Clouds TV kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema.
Katia interview
hiyo, Lulu aliongea masuala mengi kuhusu maisha yake ya sasa, mipango
yake
↧
MAHAKAMA YAWAACHIA HURU VIONGOZI WA CHADEMA BAADA YA MWIGULU NCHEMBA KUSHINDWA KUTHIBITISHA AINA YA TUSI ALILOTUKANWA
Mwita Waitara
Mahakama
ya Hakimu Mkazi Mjini Singida jana imetupilia mbali kesi iliyokuwa
inawakabali viongozi wawili wa CHADEMA Ndugu Mwita Waitara ambaye ni
afisa sera na utafiti makao makuu na mshauri wa chama hicho Dk Kitila
Mkumbo.
Katika hukumu yake aliyeiyosoma mbele ya wakili wa washtakiwa hao
Tundu Lissu, hakimu wa Mahakama hiyo Masham alisema kuwa washatakiwa
hawana kesi
↧
↧
AJALI ZAENDELEA KUTUMALIZA WATANZANIA.....TUNAOMBA RADHI KWA PICHA
Ajali hii ilitokea jana jioni tarehe 02/07/2013, baada ya gari dogo
lililokuwa linatokea maeneo ya Ubungo kwenda uelekeo wa Buguruni
kumgonga mwenda kwa miguu aliyekuwa anavuka barabara katika maeneo
Gereji (garage)...
Damu
ilimtoka kwa wingi sana mara baada ya ajali katika maeneo ya kichwani,
na hapo ilipotokea ajali kuna kivuko cha waendeo kwa miguu
Darubini Leo
<!--
↧
MFANYABIASHARA AWAGONGA NA GARI WATU 6.....KISA NI WIVU WA MAPENZI
↧
JESHI LA MISRI LAMUONDOA MADARAKANI RAISI MOHAMMED MORSI
jeshi nchini Misri limemuondoa
madarakani Rais aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia nchini humo
Mohamed Morsi na imemteuwa kiongozi wa muda wa nchi baada ya maandamano
makubwa yanayoipinga serikali.Akihutubia
kwa njia ya televisheni jumatano jioni, mkuu wa jeshi, Abdul Fatah
Khalil Al-Sisi alisema katiba ya Misri imesitishwa kwa muda na mkuu wa
mahakama ya katiba ameteuliwa kuwa
↧
SHILOLE ATINGA DUKANI HUKO MAREKANI AKIWA NA TAULO TU...
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali
ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini
Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha
kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha
akiwa amefunga taulo kwenye matiti.
↧
↧
WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
Wakati baadhi ya watanzania wakifurahia madudu ya washiriki wetu ndani ya jumba la Big Brother, wenzetu wa Ethiopia wameanza kuchukua hatua stahiki dhidi ya mshiriki wao aliyekubali kufanya mapenzi hadharani....
Kundi la wanashiria toka Adds Ababa limetangaza kuwa kwa sasa lipo katika hatua za mwisho za kukamilisha mashitaka dhidi ya mshiriki wa
↧
UWOYA AJICHORA MAKANYAGIO YA MWANAE MGOGONI
Staa wa muvi za Bongo, Irene Pancras Uwoya ameonesha upendo wake kwa
mwanaye Krrish Ndikumana kwa kujichora ‘tatuu’ mgongoni yenye nyayo
(makanyagio) ya mtoto huyo na kuzisindikiza na jina lake kwa juu.
Baada
ya mchoro huo kukamilika, Uwoya aliitumbukiza kwenye mtandao wake wa
kijamiii wa Facebook na kutazamwa na watu kibao ambao waliipenda.
Hata
hivyo, baadhi ya watu waliozungumza
↧
KWA MARA YA KWANZA RUNINGA NCHINI UINGEREZA ITARUSHA ADHANA YA ASUBUHI
Ukiwa unakaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani, kwa mara ya kwanza kabisa
chaneli ya 4 ya televisheni ya nchini Uingereza itakuwa ikirusha hewani
moja kwa moja adhana ya sala ya asubuhi.Justine Bower mkurugenzi
wa masuala ya umma wa chaneli ya 4 ya televisheni ya nchi hiyo amesema
kuwa, kanali hiyo itakuwa ikirusha moja kwa moja adhana ya asubuhi kwa
ajili ya wananchi wa Uingereza.
Ameongeza
↧
More Pages to Explore .....