WAZIRI
Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, amesema usafiri wa pikipiki
maarufu kama bodaboda ni sera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kusaidia
kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana.Akizungumza katika
haraambee na uzinduzi wa mfuko wa waendesha pikipiki maarufu mkoani
Arusha, Lowassa alisema sera hiyo ni ya kuwakomboa vijana.Alisema kuwa kitendo cha wafanyabishara wa Arusha
"BODA BODA NI SERA YA CCM KUSAIDIA VIJANA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AJIRA "..LOWASSA
↧
↧
MWANAUME AKATWA MAPANGA AKIDAIWA KUCHUKUA MKE WA MTU HUKO TABORA
Ramadhani
Mahanga ambaye amenusurika kuuawa baada ya kukatwakatwa mapanga na
kijana mwenzake anayefahamika kwa jina la Juma Hamisi ambaye alidai
anatembea na mkewe na hivyo kuchukua uamuzi wa kutaka kumuua katika
kijiji cha Isenga manispaa ya Tabora.
Baba
wa kijana Juma Hamisi ambaye anadaiwa kumkatakata mapanga Ramadhani
Mahanga akiwa amekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya
↧
BINTI AOZA MKONO BAADA YA KUANGUKA KATIKA BAISKELI....MADAKTARI WAMESHINDWA KUUPONYA, MAOMBEZI YAHITAJIKA
Janeth Nicholaus (25)mkazi wa Rwanzari Manispaa ya Tabora akionesha mkono wake
wa kulia ukiwa tayari umeanza kuoza baada ya kupata ajali ya baiskeli
maarufu daladala wakati akitokea nyumbani kwenda Soko kuu la Tabora
mjini ajali ambayo ilitokea kwenye makutano ya barabara ya NBC.
Huu
ndio mkono wenyewe unavyoendelea kuharibika baada ya kupita hospitali
kadhaa hapa Tabora mjini na
↧
WAPENZI WADONDOKA NA KUFA WAKATI WAKIFANYA MAPENZI DIRISHANI
Wapenzi wameanguka na kufa baada ya dirisha walipokuwa wakifanyia mapenzi kufunguka ghafla nchini China.
Wawili hao
wanasemekana kudondoka kutoka kwenye dirisha la jengo moja la makazi
kwenye jiji la Wuhan nchini humo pale dirisha hilo walilokuwa wameegemea
kufunguka.
Mashuhuda walivieleza vyombo vya habari vya China kwamba
wapenzi hao walikumbatiana wakati wakianguka kwenye njia ya
↧
KAMERA ZA JUMBA LA BIG BROTHER ZAMUANIKA POKELLO WA ZIMBABWE AKIWA MTUPU ....
<!-- adsense -->
Mshiriki wa Zimbabwe ( POKELLO ) katika shindano la Big Brother Africa amejukuta akiumbuka tena baada ya kamera za jumba hilo kumuanika akiwa mtupu kama alivyozaliwa ndani ya mabafu ya jengo hilo...
Hii ni nafasi nyingine ya kipekee kwa wafuatiliaji wa shindano hilo ambao hawakubahatika kuiona sinema hiyo ya bure.
Kuitazama video
↧
↧
LOWASSA AMTAKA OBAMA ASIZUNGUMZIE MAMBO YA USHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA AKIWA TANZANIA
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo yaNje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward
Lowassa, amemtahadhalisha kujiepusha na kauli za kuunga mkono ushoga.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, ameliambia NIPASHE Jumapili
ofisini kwake jijini hapa jana kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa
jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini.
Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia
↧
OFISI YA CCM WILAYA YA MBINGA YACHOMWA MOTO
Katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi akionyesha sehemu iliyoanzia moto kuwaka na kukamata pazia.
Kama unavyoona katika picha hapo ni ndani ya ofisi baada ya moto kuwaka
Katibu
wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga Anastasia Amasi anayeonekana
katika picha akitoa maelezo kwa nje ambapo walimwaga mafuta aina ya
petroli dilishani na kuwasha moto
↧
KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA MAKETE ATUPWA JELA MIEZI 9 KWA KOSA LA KUTOTII AMRI YA POLISI
Mahakama
ya mwanzo Makete mjini wilayani Makete mkoani Njombe imemuhukumu katibu
wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wilaya hiyo Bw Godfrey
Mahenge (63) kwenda jela miezi 9 kwa kosa la kutotii amri halali ya
jeshi la polisi Makete
Akitoa
hukumu hiyo hakimu wa mahakama ya mwanzo Makete mjini Mh. John
Mpitanjia amesema mtuhumiwa huyo alitumia lugha ya matusi kwa askari
polisi
↧
DENTI WA KIKE APEWA KICHAPO CHA MBWA MWITU BAADA YA WAZAZI WAKE KUMNASA AKIWA GEST HOUSE NA MPENZI WAKE
Mwanafunzi
mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana,
tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la Yombo Vituka
jijini Dar es salaam.Hata hivyo mfumaniwa mwenzake ( mwanaume ) hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia.
Wazazi wenye uchungu na hasira wakiwa na binti yao mara baada ya fumanizi.
Wazazi wakimpiga binti yao kwa
↧
↧
WATANZANIA 60 WAKAMATWA AFRIKA KUSINI WAKATI WA ZIARA YA OBAMA
Watanzania
60 wamekamatwa Afrika Kusini kutokana na maandalizi yaliofanyika nchini
humo ya kumpokea Rais Barack Obama wa Marekani.
Rais Obama aliwasili Afrika Kuisini wiki iliyopita kwa ziara ya siku tatu akitokea Senegal. Watu
hao wamekamatwa baada ya kudaiwa kuishi kinyume cha sheria Afrika
Kusini.
Baada ya Watanzania hao kutiwa mbaroni na vyombo vya usalama
wamehifadhiwa
↧
GEORGE BUSH NA MKEWE KUTUA NCHINI KESHO
RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura wanatarajiwa
kesho kuwa nchini kuhutubia kongamano linalojadili wajibu wa wake wa
marais katika kuinua wanawake duniani.
Kuwasili kwa Bush, ni mwendelezo wa wiki hii Jiji la Dar es Salaam
kuwa katika pilikapilika za kupokea ugeni wa watu maarufu. Kongamano
hilo limeandaliwa na Taasisi ya George Bush na litafanyika kesho na
↧
WAGHANA WAMLAANI NANDO WA TANZANIA KWA KUZINI NA DEMU WAO ( SELLY) NDANI YA BBA......MAMA MZAZI WA BINTI AMTETEA
Wiki iliyopita wapenzi Nando wa Tanzania na Selly wa Ghana waliucheza ule mchezo wa kikubwa katika Big Brother ‘The Chase’
inayoendelea, na inasemekana baada ya Ghana na Afrika kwa ujumla
kushuhudia mechi hiyo ya kirafiki watu wa karibu na mpenzi wa Selly
wamemshauri ampige kibuti.
Wote tunafahamu kwamba washiriki wote wa BBA wana
maisha yao nje ya Big Brother na inawezekana kila
↧
MAANDALIZI YA KUMPOKEA OBAMA YAKAMILIKA...HIZI NI TASWIRA ZA IKULU LEO ASUBUHI
Taswira mbalimbali zinazoonesha maandalizi ya mapokezi makubwa ya Rais
wa Marekani Barack Obama atapowasili Ikulu jijini Dar es salaam mchana
huu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama ilivyo kawaida yake amepita kila
mahali kuangalia kwamba mambo yanaenda vizuri, ikiwa ni pamoja na
kusaliamiana na makundi ya wananchi wa Dar es salaam walioko katika
lango kuu la Mashariki.
↧
↧
JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA LAKANUSHA KUHUSUKIA NA VITENDO VYA UBAKAJI HUKO MTWARA
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
limepokea taarifa kwamba waandishi wa Habari kadhaa wamepelekwa Mtwara
kwenda kumhoji msichana mmoja kwa madai ya kubakwa na wananjeshi wa
JWTZ.JWTZ linapenda kuwafahamisha wananchi
kuwa endapo taarifa hizo zitatangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya Habari
wazipuuze kwani hazina ukweli wowote zaidi ya kuwa ni za upotoshaji.Msichana
huyo
↧
MAKAMU WA RAIS KENYA ADAI KENYA INA MARAFIKI WENGI TOFAUTI NA MAREKANI NA KAMWE HAWAWEZI KURUHUSU SERA YA USHOGA YA OBAMA
NAIBU
wa Rais Bw William Ruto, jana alivunja kimya chake kuhusu hatua ya
rais wa Marekani Barack Obama kutozuru humu nchini kwa kusema hatua
hiyo haina madhara yoyote kwa Kenya.
Huku akiongea
katika kanisa la Katoliki la St Gabriel Bahati, kaunti ya Nakuru, Bw
Ruto alisema nchi hii ina 'marafiki’ wengine wengi duniani ambao inaweza
kushirikiana nao huku akiongezea kuwa
↧
OBAMA AMEKWISHATUA NCHINI TANZANIA
↧
UPEPO WAMUUMBUA AMBER ROSE
↧
↧
VIDEO YA RAIS OBAMA AKIWASILI KWENYE UWANJA WA NDEGE WA JK NYERERE
Rais wa Marekani Barack Obama mchana wa leo amewasili nchini tayari kwa
ziara yake ya leo na kesho jijini Dar es Salaam. Rais huyo aliyeongozana
na mkewe Michelle na wanae wa kike wawili Malia na Sasha amepokelewa na
mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa
wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere<!-- adsense -->
↧
TUJIKUMBUSHE MAMBO MACHACHE YANAYOTENDEKA KUHUSU OBAMA AMBAYE TAYARI YUPO TANZANIA
Obama akiwa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete
Rais
wa Marekani Barack Obama amewasili nchini Tanzania leo Jumatatu kwa
zara ya siku mbili, ikiwa ni kituo chake cha mwisho cha ziara yake
barani Afrika akitokea nchini Afrika Kusini.
Obama
ambaye ameambatana na mkewe Michelle Obama amepokelewa na mwenyeji wake
rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Salma Kikwete
↧
MKE WA OBAMA ATEMBELEA WAMA FOUNDATION NA KUKUTANA NA MAMA SALMA KIKWETE JIONI HII
Mke
wa Rais wa Markani mama Michelle Barack Obama akiwasili katika ofisi za
Wanawake na Maendeleo WAMA jioni hii wakati alipotembelea katika ofisi
hiyo na kuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Mwenyekiti wa WAMA Mama
Salma Kikwete katika makao makuu ya taaisis hiyo leo...
Rais Barack Obama
na Mke wake Michelle Obama wako katika ziara ya siku mbili ya kikazi
nchini Tanzania wakiongozana
↧
More Pages to Explore .....