STAA wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa vimbwanga, Wema Isaac Sepetu amezua bonge la timbwili kwa wafanyakazi wake wa ndani wa kiume na kike akiwemo mlinzi.
Tukio hilo lililonaswa na vifaa vyetu vya kisasa vya kunasia matukio ya mnato na video, lilijiri juzikati nyumbani kwa mwanadada huyo, Kijitonyama, jijini Dar na kusababisha majirani kufaidi sinema ya bure ya matusi ya nguoni.
VIDEO YA WEMA SEPETU AKIWAPOROMOSHEA MATUSI MAZITO WAFANYAKAZI WAKE WA NDANI
↧
↧
CHUO KIKUU HURIA TANZANIA KITAMTUNUKU PhD RAIS OBAMA
Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT),kimepanga kumtunuku Rais wa
Marekani, Barack Obama Shahada ya Heshima ya Uzamivu kwa kutambua
mchango wake kwa jamii husasani kwenye maendeleo ya kukuza uchumi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana,Makamu
Mkuu wa chuo hicho,Profesa Tolly Mbwete alisema tuzo hiyo imethibitishwa
na Baraza Kuu la Chuo hicho baadaye
↧
BABY MADAHA ALIZWA NGUO ZAKE ZA NDANI....
KATIKA hali ya kushangaza, msanii wa filamu na muziki Baby Joseph
Madaha amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuibiwa nguo zake za ndani
alizokuwa ameanika nje maeneo ya Mikocheni jijini Dar.
Chanzo cha habari ambacho ni shosti wa karibu wa mwanadada huyo kilichoomba hifadhi ya jina lake kilitiririka:
“Alizifua
kama dazeni nzima hivi na kuzianika nje kisha kwenda kwenye mishe zake
↧
SAKATA LA BINTI ALIYEJIFUNGULIA BARABARANI MKOANI MOROGORO
BINTI mmoja aitwaye Josephine Michael mkazi wa Kijiji cha Kiegea nje
kidogo ya Manispaa ya Morogoro, Jumatano iliyopita alijifungua
barabarani wakati akikimbizwa hospitalini kwa kutumia usafiri wa
bodaboda.
Tukio hilo lililowashtua watu wengi lilitokea asubuhi kwenye Kituo
cha Daladala Cha Nanenane kandokando ya Barabara Kuu iendayo Dar es
Salaam.
Mwandishi wetu alifika eneo
↧
NAIBU MKURUGENZI WA CUF ATEKWA NA WANAUSALAMA HUKO MTWARA
Naibu
Mkurugenzi wa Oganaizesheni Uchaguzi na Bunge wa Chama Cha Wananchi CUF
- Shaweji Mketo ametekwa na wanausalama na wanajeshi waliopiga kambi
Mtwara MJINI.Mketo alienda Mtwara MJINI jana na Leo asubuhi
alihudhuria mahakamani ambapo kesi ya Mwenyekiti wa vijana CUF taifa
(JUVICUF) Katani Ahmed Katani iliahirishwa.Baada ya ahirisho
hilo, Mketo alikutana na wanachama wa CUF walioko
↧
↧
MAMIA NCHINI AFRIKA KUSINI WAJITOKEZA KATIKA MAANDAMANO YA AMANI YA KUPINGA KUJA KWA RAISI OBAMA
Waandamanaji
Nchini Afrika Kusini wakiwa wamebeba mabango yanayopinga kuja Kwa Raisi
Obama nchini Humo wakati wa maandamano ya Amani ya Kupinga Kuja Kwa
Obama Katika Jiji la Pretoria Nchini Afrika jana Jioni - Juni 28
Waandamanaji
Nchini Afrika Kusini Wakisali mbele ya Bango linalopinga Kuja kwa Raisi
Obama Nchini Humo wakati Raisi Obama alipotua Nchini Afrika Kusini
Jioni ya jana
↧
DPP ASHINDWA KUMSHITAKI SUGU KUTOKANA NA MAPUNGUFU YA HATI YA MASHITAKA..... SUGU YUPO HURU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Dodoma Mjini, jana ilimuachia huru Mbunge wa
Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (41), maarufu kama Sugu aliyefikishwa
mahakamani kwa kosa la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Waziri Mkuu
Mizengo Pinda baada ya hati ya mashtaka kuonesha mapungufu.
Kutokana na uamuzi huo wa Mahakama imeutaka upande wa mashtaka
kurekebisha hati hiyo na kumfikisha tena mshtakiwa
↧
NAY WA MITEGO AMPARAMIA PANCHO NA KUDAI NI SHOGA BAADA YA KUTOBOA JICHO LAKE MITHILI YA BINTI MREMBO ANAYESAKA BWANA
Kuna beef la chini chini kati ya Pancho na Nay wa Mitego baada ya Nay kudai kuwa Pancho ni SHOGA...!!
Madai ya ushoga yameibuka baada Linah kuweka picha akiwa na Pancho studio.Katika picha hiyo, Pancho anaonekana katoboa JICHO mithili ya BINTI MREMBO anayesaka mwanaume wa kumwondolea "mawazo"....
Baadhi ya mashabiki wamemuunga mkono Nay na
↧
HUYU NDO MSANII WA BONGO MOVIE ANAYEDAI KUWA YEYE NI BIKRA NA HAMJUI MWANAUME
Mwigizaji wa kike anayetesa katika
tasnia ya filamu Bongo Diana Rose kimaro ‘Diana’ amedai kuwa hana
mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote na wala hafikirii kuwa na
Boyfriend kwani yeye bado ni mwanafunzi na akili yake yote ipo katika
masomo .
Wakati ukifika akiwa na maisha yake atachagua ni mwanaume yupi
anastahili kuwa naye kwa maisha yake rasmi lakini si sasa.
“Sijui kabisa
↧
↧
JACK WOLPER ADAI KUWA ANAPENDA KUTEMBEA NA "SERENGETI BOYS" KWA SABABU WANAYAJUA MAPENZI UKILINGANISHA NA WATU WAZIMA WENYE PESA ZAO
Nyota wa tasnia ya filamu , Jaqueline Wolper ‘Wolper Gambe’ amedai kuwa hawapendi sana wanaume wenye
fedha kwani wengi wao ni waume za watu...
Wolper anadai kuwa nao si rahisi
kuonyeshwa mapenzi yao ya dhati kwani mapenzi yao ni ya chumbani tu...
" Unajua
unapokuwa na mtu mwenye fedha zake , alafu mtu mzima, ni lazmia ukose penzi la
kweli kwani mapenzi yenu ni chumbani tu,
↧
VIDEO YA RAIS KIKWETE AKIONGELEA SABABU ZA OBAMA KUJA TANZANIA
↧
MIZENGO PINDA AIPIGILIA MISUMARI KAULI YAKE...ADAI KUWA SERIKALI HAITAMVUMILIA MTU YOYOTE ATAKAYEPANDIKIZA CHUKI NCHINI
Serikali imesisitiza kuwa haitavumilia kuona baadhi ya watu wanaendelea
kupanda mbegu za chuki za kidini na kisiasa miongoni mwa Watanzania na
imesisitiza kuchukua hatua bila huruma kuzimaliza njama hizo.Kauli hiyo ilitolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana, wakati akiahirisha Mkutano wa 11 wa Bunge hadi Agosti 27, mwaka huu.“Nataka
niwahakikishie Watanzania kuwa serikali haitavumilia hata
↧
KINACHOMFANYA MWANAUME AKOROME NA KULALA BAADA YA TENDO LA NDOA NI MAUMBILE NA SIYO HIARI YAKE
Jambo hili
huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu
mzima kama kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao, pale
wenzi wao wanapogeukia upande wa pili na kushikwa na usingizi punde tu
baada ya kumaliza tendo la kujamiiana.
Lakini utafiti uliofanywa hivi na wanasayansi unawapa wanaume ahuweni
katika kuepuka lawama hizo, kwamba, kumbe siyo hiyari yao,
↧
↧
MAOFISA WA MAREKANI WADAI KUWA WAO NDO WATAPANGA MAWAZIRI WA TANZANIA WATAKAORUHUSIWA KUSHIKANA MKONO NA OBAMA AKIJA DAR
Wakati magari 150 ya msafara wa ziara ya Rais Barack Obama
yamewasili nchini, majina ya mawaziri wa Tanzania yatakayoruhusiwa
kumpokea kiongozi huyo kuchujwa na makachero wa FBI.
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius
Nyerere, Moses Malaki aliliambia gazeti hili jana kuwa matayarisho ya
ujio wa Rais huyo ni kabambe na hayajawahi kutokea katika
↧
DOKII ATOA WIMBO WA KUMKARIBISHA OBAMA TANZANIA....
↧
OBAMA ATOA SABABU ZILIZOMFANYA ASIENDE KENYA KWA SASA... SABABU KUBWA NI KESI YA UHURU KENYATTA NA MAKAMU WAKE
US President Barack Obama said Saturday
the “timing was not right” for him to travel to Kenya, his father’s
homeland, during his current Africa tour, but he expected to go there
many times in the future.
Obama said the new government of President Uhuru Kenyatta was
still finding its feet after an election in March, and that Nairobi was
“still working out issues with the international
↧
DIVA WA CLOUDS FM AMVAA TENA HUDDAH....KISA NI PENZI LA PREZZO
Kama utakua ni muumini wa twitter lazima utakuwa unajua kinachoendelea
kati ya mshiriki wa BBA kutoka Kenya (2013), Huddah na mtangazaji Diva
Loveness love.
kiufupi ni bif kupitia twitter kisa kikiwa ni CMB Prezzo
Katika interview iliyofanywa na Huddah, mrembo huyo wa Kenya amesema hana uhusiano na Prezzo,
ni rafiki yake tu, na hana beef yoyote na Diva na kwanza
↧
↧
SUMAYE AWAASA VIJANA KULINDA TAIFA LAO NA WASIKUBALI KUNUNULIWA MWAKA 2015
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ametaka vijana kusimama imara kulinda na kulijenga taifa lao.
Alisitiza maendeleo ya taifa hili, katu hayataweza kusonga mbele,
kama viongozi wake wataendelea kuendeleza vitendo vya rushwa na biashara
ya dawa za kulevya.
Aidha, alisema ataendelea kupiga vita tatizo la rushwa lililopo
nchini, licha ya suala hilo kuonekana kuwa mwiba mchungu kwa
↧
SERIKALI YASHUSHA USHURU WA PETROLI....USHURU WA SIMU WAFUTWA
MFUMO mpya wa Bunge kuanza na bajeti za kisekta na kumalizia na
Bajeti ya Serikali pamoja na uundwaji wa Kamati ya Bajeti, umeonesha
makali yake kiasi na kuilazimisha Serikali, kushusha kodi ya petroli na
kufuta ushuru wa kutuma na kupokea fedha kwa njia ya simu.
Kabla ya Serikali kufikia uamuzi huo jana saa sita usiku, Kamati ya
Bunge na wabunge walivutana na Serikali mara kadha wa
↧
NIKKI LEE: MWANAMKE ALIYEFANYA MAPENZI NA WANAUME 5000 NDANI YA MIAKA 9
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Wakati wapo wanawake ambao
hawapati salamu barabarani, Nikki Lee, 25 amevunja rekodi baada ya
kutimiza idadi ya wanaume 5,000 aliofanya nao ngono.Nikki ambaye
aliibukia katika fani ya urembo anasema alifanya vitendo hivyo kwa muda
wa miaka tisa sehemu mbalimbali alizokuwa akitembelea.Anasema
alikuwa anafanya ngono katika klabu za usiku, ndani ya
↧