Wakati kila mtu akiamini mwalimu wake wa lugha ya
Kiingereza ni Wema Sepetu ‘Madam’ staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond’ ameibuka na kudai aliyemfundisha lugha hiyo ni aliyekuwa
mpenzi wake, Peniel Mungilwa.
Diamond aliwataka watu wote waliokuwa
wakiamini Wema ndiye mwalimu wake wa ung’eng’e wafute imani hiyo kwani
Penny ndiye mpango mzima.
“Ujue kila mtu huwa ana hisia
Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Penny, sio Wema Sepetu
↧
↧
Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass
Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili
ya Sikukuu ya Krismasi imewatokea puani wanawake zaidi ya kumi akiwemo
mke wa mtu baada ya kunaswa mawindoni na kutiwa nguvuni.
Tukio hilo la aibu lilitokea katika msako maalum wa polisi
uliofanyika katika eneo ‘korofi’ la ltinga, Msamvu Kata ya Mwembesongo
mkoani Morogoro, wikiendi iliyopita.
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
↧
Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea Kumnunia
Mastaa mbalimbali wamajitokeza na kumponzea mwanadada Jokate Mwegelo
kwakuweza kupambana na kufanikiwa kuingia mkataba na kampuni kutoka
China , kwaajili ya kutengeneza vitu mbalimbali kama nywele, viatu, na
nk ,kupitia kampuni yake ya KIDOTI.
Mwigizaji Wema Sepetu nae haukuwa nyuma kwani jana kupitia mtandao alimpongeza mwanadada Jokate kwa hatua aliyofikia na akasema hii ni kama
↧
Sakata la Escrow: Rais Kikwete Amfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Anna Tibaijuka.....Muhongo awekwa kiporo
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete ametengua uteuzi wa waziri wa ardhi, nyumba na
maendeleo ya makazi Prof. Anna Tibaijuka kutokakana na makosa ya
ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma hasa namna alivyopokea sehemu
ya fedha za malipo ya Escrow huku akimweka kiporo waziri wa nishati na
madini Prof. Sospeter Muhongo.
Rais Kikwete ameyasema hayo jijini Dar es salaaam alipokuwa
akizungumza
↧
↧
Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyamisisi, Kata ya Kukirango, wilayani
Butiama, Ryakora Kurwijira (34) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shati
lake akiwa ukweni baada ya kukataliwa na mkewe aliyekuwa akiishi naye.
Habari zilizopatikana kutoka kwa ndugu wa karibu, zinaeleza kwamba
marehemu alikuwa akiishi na mkewe aitwaye Doy Nyanyara katika Kijiji cha
Nyatwari wilayani Bunda kwa kipindi
↧
Mtu mmoja Afariki Dunia baada ya kulipuliwa na bomu alilotaka kuwarushia askari Polisi.....Tume yaundwa kuchunguza tukio hilo
Askari polisi aliyejeruhiwa
Jeshi la polisi limeunda timu ya makachero kutoka makao makuu ya
jeshi hilo jijini Dar es salaam wakishirikiana na wa mkoa wa Ruvuma
kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la mtu mmoja aliyelipukiwa na bomu
maeneo ya majengo mjini songea na kujeruhi askari polisi wawili wakati
akijiandaa kuwarushia askari waliokuwa doria na kisha bomu hilo kumuua
mwenyewe.
↧
Diamond Hana Uwezo wa Kumpa Mwanamke Ujauzito
BAADA ya kudaiwa na staa
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba
zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka
na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke
mimba.
Akizungumza na GlobalTV Online hivi karibuni,
Diamond alifunguka: “Nilimpa (Penny) mimba ya kwanza, sikuamini ikabidi
twende naye
↧
Mgombea Uenyekiti na Mfanyakazi wake wauawa kwa kukatwa Mapanga
ALIYEKUWA mgombea nafasi ya Uenyekiti wa Serikali ya kitongoji cha Idodomiya kijiji cha Kanoga na mfanyakazi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa kwa mapanga.
Katibu wa chama hicho Wilaya, Rajabu Hamisi alisema kuwa mauaji hayo yalitokea juzi nyumbani kwake katika kijiji cha Kanoga wilayani Kaliua mkoani hapa.
↧
↧
Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai kwamba sio Raia wa Tanzania
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Mbogwe mkoani Geita Omari Atanas, amekamatwa na maofisa Uhamiaji wilayani hapa kurudishwa kwao nchini Rwanda baada ya kubainika sio raia wa Tanzania.
Akizungumzia tukio hilo, Kaimu Mkuu wa wilaya hiyo, Aman Mwenegoha, alisema Mwenyekiti huyo alikamatwa Desemba 22, mwaka huu na maofisa Uhamiaji na kuhojiwa kwa muda na
↧
Wanaoambukiza UKIMWI kwa makusudi kushughulikiwa
SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.
Akizungumza kwenye maadhimisho ya Ukimwi ambapo kiwilaya yalifanyika Mbeli kata ya Partimbo Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Mainge Lemalali alisema sheria ipo na jambo hilo la kuambukiza kwa makusudi halikubaliki.
“Serikali
↧
Korea Kazkazini yadai Rais Obama ni Sawa na Tumbili
Korea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.
Tume
ya taifa ya ulinzi nchini Korea Kaskazini inasema kuwa Marekani
inavuruga mifumo ya mitandao ya nchi hiyo huku ikimfananishi rais wa
marekani Barack obama na tumbili wa misitu ya tropiki mbali na
kumshutumu kwa kuhusika katika kuonyeshwa ka filamu yenye utata
inayojulikana
↧
Magazeti ya Leo Jumapili Ya Tarehe 28 Disemba 2014
Magazeti ya Leo Jumapili Ya Tarehe 28 Disemba 2014
↧
↧
Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Sakata la Escrow
Siku chache baada ya Rais Kikwete
kumfuta kazi Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makazi
,mbunge huyo amewaambia wapiga kura wake kwamba hawakumchagua
kama waziri bali kama mwakilishi wao.
Tibaijuka alifukuzwa kazi na Rais Kikwete kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta escrow ambapo
alipokea sh.billioni 1.6.
''Mungu anayetoa ndiye aliyechukua jina la
mungu libarikiwe",
↧
Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania
Mbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro
Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu
mwakani.
Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba anao uwezo wa
kuiongoza Tanzania, katika harakati za kuwafikisha kwenye maendeleo
endelevu wanayotaka Watanzania.
Amesema, yuko tayari
kushindanishwa na Watanzania wengine watakaoona kuwa
↧
Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-Wassira
Mh. Stephen Wassira, amekiri kuwa kutochukua hatua za mapema kuhusu
sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni
moja ya sababu ambayo imesababisha chama hicho kutofanya vizuri
katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mh,Wassira
ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu
ameyasema hayo nyumbani kwa Baba wa Taifa
↧
Jiji la Dar es Salaam Lakumbwa na Mafuriko....Maduka yafungwa, Magari yazimika barabarani
Mvua
zilizonyesha kwa muda mfupi katika jiji la Dar es Salaam zimesababisha
mafuriko katika maeneo ya katikati ya jiji na kusababisha baadhi ya
maduka kufungwa na magari kuzimika barabarani kutokana na kuingiwa na
maji kulikotokana na tatizo sugu la miundombunu ya maji taka.
Mpekuzi imetembelea katika maeneo mbalimbali ya jiji katika
makutano ya barabara ya Morogoro na Bibi titi
↧
↧
Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka
Said Fella amedai kuwa mashehe waliwahi kumfuata na kumtaka aache tabia ya kumvalisha suruali Bibi Cheka.
Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi TV, Fella alisema mashehe hao
walimfuata na kumwambia Bibi Cheka anatakiwa kuswali na sio kufanya
muziki.
“Kuna muda si unajua dini yangu ya Kiislam wakatokea mashehe ‘ehh
bwana unajua yule bibi mzee, kwanini mnamvalisha jeans!
"Na mimi
↧
Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani
Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama
mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni
7.3 kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na jarida la Ventures Africa.
Oprah ana utajiri ufikao dola bilioni 2.9 kwa mujibu wa Forbes. Hata
hivyo orodha ya hivi karibuni ya Forbes ilionesha kuwa Alakija ana
utajiri wa dola bilioni 2.5.
Utajiri wa
↧
Wastara: Sajuki aliondoka na nusu ya akili yangu
Muigizaji wa filamu, Wastara Juma Sajuki amesema pengo la mume wake Sajuki halijazibika.
“02.01.2015 Marehemu mume wangu kipenzi Juma Kilowoko
(sajuki)anatimiza miaka 2 tangu atuache tukiwa na majozi tele moyoni
mwetu,” ameandika Wastara kwenye Facebook.
“Ni ukweli usipoingika ameondoka na nusu ya akili yangu maana sifanyi
chochote bila kumfikilia yeye kwa jinsi alivyokua na mawazo
↧
More Pages to Explore .....