MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, matukio hayo yalitokea jana mchana kwenye maeneo mawili tofauti. Tukio moja
Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji akiwa Amelala, Ajuza aangukiwa na ukuta wa nyumba kichwani
↧
↧
Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
MSICHANA mmoja mkazi wa Mtaa wa Zaire eneo la Kijenge Kaskazini mkoani Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru chini ya ulinzi mkali wa Polisi baada ya kujizalisha mwenyewe na kisha kumtumbukiza mtoto wake kwenye ndoo ya maji.
Baba mwenye nyumba ambayo binti huyo alikuwa amepanga chumba cha kuishi, Reuben Mollel alisema msichana huyo alikuwa anajulikana kama ‘Dada Pendo,’
↧
Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki Ghafla Akiwa Jukwaani
Maalim Hassan Hussein, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mtabiri
maarufu nchini, marehemu Sheikh Yahya Hussein, ametabiri mambo 18
yatakayotokea mwakani, likiwamo la kufariki ghafla kwa kiongozi mmoja
mzee ambaye yumo kwenye mbio za urais mwakani.
Hussein
alisema juzi kuwa kiongozi huyo atadondoka ghafla kwenye jukwaa na
kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali.Akitangaza utabiri wa
↧
Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mahakamani
Washtakiwa 11 wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya Aliyekuwa
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi wamegoma
kushuka kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakishinikiza
kuelezwa jalada la kesi yao lipo wapi na imefikia katika hatua gani.
Sakata
hilo lilitokea jana majira ya saa 4:00 asubuhi, muda mfupi baada ya
Wakili wa Serikali, Peter Njike
↧
AJALI: Lori la mafuta lateketea kwa moto huko Tanga
Lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga nguzo ya umeme maeneo ya Amasia huko Handeni mkoani Tanga leo.
↧
↧
Kimenuka: Simba nayo yawatimua Makocha wake
Klabu
ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na
msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu.
↧
Thea: Hatuvai Vimini Kusaka Mabwana, Vimini ni KIKI tu ya Mjini
MWIGIZAJI Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea, amesema wasanii huvaa sketi fupi ‘vimini’ wakilenga kwenda na wakati na si kujipitisha mbele ya wanaume.
Thea aliiambia Mwanaspoti, kuwa ni kama wanatekeleza wimbo wa mwanamuziki Bwana Misosi ‘Nitoke Vipi’, lakini haimaanishi kwamba wavaaji wote ni wahuni.
“Vimini ni ‘kiki’ tu mjini, watu wengi wanaamini ni sehemu mojawapo ya uvaaji au Nitoke
↧
Mapenzi Moto Moto: Diamond Kula Sikukuu ya Mwaka Mpya Rwanda na Mpenzi Wake Mpya.....Kapokelewa kama mfalme huko Rwanda
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Rwanda jana.
Diamond Platnumz (katikati) akiwa kamshika mkono mpenzi wake wa sasa Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Rwanda.
Diamond na The Boss Lady wakifanya yao.
Diamond (kulia)
↧
Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya Idris ( Mshindi wa Big Brother)
Mapenzi /urafiki wa
Idris Sultan na mrembo wa Afrika Kusini aliyekuwa swahiba wake wa karibu
kwenye shindano la Big Brother Africa, Samantha, umefika kwenye hatua
ya juu zaidi.
Samantha ambaye bado yupo nchini amepokelewa kwa mikono miwili na familia ya Idris.
“They’ve only been good to me and I can’t say thank you enough. How
people can love you this much but only no you a few weeks
↧
↧
Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Biashara ya Ngono
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu
wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu
kwa biashara hiyo.
Msako huo unatokana na malalamiko ya
muda mrefu ya wakazi wa Jiji la Tanga hususan wanaoishi mitaa ya
Centrol na Ngamiani ambako biashara hiyo inadaiwa kukithiri.
Akizungumza
na Mwandishi hivi karibuni, Kamanda wa Polisi Mkoa
↧
Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausigeli) , Sina Jinsi…
Nina mke na watoto 3 wote tunafanya
kazi. Tulipozaa mtoto wa pili wife alianza kupunguza umuhimu wa tendo la
ndoa sijua ni kwa kuzoea au kuchoka.
Tumewekana
vikao vyetu binafsi ili kila mmoja abainishe ni vichocheo gani
vinakosekana ili tuviongeze kuboresha mchezo. Wote siyo walevi na tuko
karibu kifamilia.
Ukifuatilia labda mke wangu ana mtu sipewi taarifa zozote
mbaya. Sasa
↧
Ajali Yaua Wanne Moshi....Moto wateketeza maduka 18, magari na pikipiki Handeni
Watu wanne wamekufa na watatu wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti, zilizotokea Moshi mkoani Kilimanjaro na Handeni mkoani Tanga.
Katika ajali ya Moshi, watu wanne wamefariki papo hapo na wengine watano kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Moshi kwenda Same, kupata ajali eneo la Uchira, Moshi Vijijini.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela
↧
Hakimu AJITOA kesi ya Ugaid ya Shekhe Farid
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Hellen Riwa amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake.
Hakimu Hellen alitangaza kujitoa kusikiliza kesi hiyo jana kutokana na uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ulioamuru Mahakama ya Kisutu kusikiliza na kutolea
↧
↧
Mtoto ALBINO wa miaka minne atekwa jijini Mwanza.....Polisi waahidi milioni 3 kwa atakyesaidia kumpata mtoto akiwa hai
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wanne, akiwemo baba mzazi, Emmanuel Shirinde (28) wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel ambaye aliporwa na watu wasiojulikana waliovamia nyumbani kwao.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, tukio la uporwaji wa mtoto huyo lilitokea Desemba 27, mwaka huu saa 4.30 usiku katika kijiji cha Ndami tarafa ya
↧
Kwa heri mwaka 2014 uliyenogeshwa na Vituko Vingi na Matukio motomoto likiwemo la Katiba na Escrow
Hatmaye miezi 12 imekamilika leo ikiashiria kumalizika kwa mwaka 2014 utakaokumbukwa na wengi kwa kuwa na matukio motomoto.
Matukio
ya kukumbukwa ni mengi, hata hivyo andiko hili litahitimishwa kwa kuangazia baadhi ya matukio muhimu yalivyoibua
mijadala ya kitaifa na kuvuta hisia za watu wengi.
Tanzania Kinara wa ujangili
Februari
10, 2014, ikiwa ni siku chache kabla ya Rais
↧
Picha za Mtuhumiwa aliyeuawa kwa kupigwa Risasi na Polisi Mahakamani leo
JESHI la Magereza limefanikiwa kumdhibiti Mahabusu wa Kesi ya dawa za
kulevya ambaye ni Raia wa Sieralioni, Abdul Koroma (33) asitoroke chini
ya Ulinzi wa Askari Magereza ndani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar
es Salaam, kwa kumtwanga risasi na kumuua papo hapo!
Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi, baadhi ya wanausalama
waliopangwa kulinda usalama Katika Mahakama ya
↧
Akamatwa akijiandaa kufanya ujangili
Jeshi
la polisi mkoani Morogoro limeendelea na operesheni shirikishi kwa
kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, askari wa hifadhi ya taifa
TANAPA, hifadhi ya mikumi na wananchi ambapo wamemtia mbaroni mtuhumiwa
mwenye silaha aliyekuwa akitaka kwenda kufanya uhalifu.
Katika tukio lililothibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro
Leonard Paul, mtuhumiwa huyo Juma Salum (
↧
↧
Mvua zasabaisha mafuriko Morogoro
Mvua kubwa zilizonyesha kwa muda mfupi mjini Morogoro zimesababisha
mafuriko na baadhi ya barabara kushindwa kupitika na maji kujaa katika
baadhi ya maduka.
Wakazi
wa mji wa Morogoro wakizungumzia mafuriko hayo wamelalamikia
miundombinu mibovu ya barabara kutokana na kuziba kwa mitaro ambapo
wameitaka halmasauri ya mji wa Morogoro kuzibua mitaro hiyo huku baadhi
ya wafanyabiashara
↧
Wananchi walilia ardhi iliyouzwa kwa mwekezaji
Wakazi
wa kijiji cha Ayalabe kata ya Ganako wilaya ya Karatu wameiomba
serikali isikie kilio chao kwa kuchukua hatua kwa watendaji wa
halmashauri waliohusika katika kuuza hekari 30 za ardhi ya shule ya
msingi Ayalabe pamoja na kuuza mlima pekee wa kijiji kwa mwekezaji huku
wakigawana zaidi ya shilingi milioni 500 za chama cha ushirika cha
kijiji hicho bila kuwashirikisha wananchi.
↧
Mwakyembe atimua watumishi 6 TRL
Waziri wa Uchukuzi nchini Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe amewafukuza
kazi wafanyakazi 6 wa Shirika la Reli nchini (TRL) kwa makosa ya wizi wa
fedha na ameamuru wakamatwe kuanzia jana na wafunguliwe mashtaka mara
moja.
Akiongea
Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yake na wafanyakazi wa TRL
waliopeleka malalamiko ofisini kwake kuhusiana na uonevu wanaofanyiwa,
Dkt. Mwakyembe
↧
More Pages to Explore .....