Siku ya Desemba 17, mwaka huu haikuwa poa hata kidogo kwenye tasnia ya muziki wa dansi Bongo katika kipengele cha unenguaji.
Zilikuwa ni habari mbaya za kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya wa
Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’ inayosimamiwa na Kampuni ya
ASET chini ya mkurugenzi wake, Asha Baraka, Mwanaisha Mohamed Mbegu.
Wengi tulimzoea kwa jina la stejini la Aisha Madinda.
Aisha Madinda: Kutoka Kigoma,Uholanzi,Dubai hadi Kifo
↧
↧
Sakata la Escrow: Tibaijuka Agoma kujiuzulu.....Asema Yeye na Prof Muhongo hawang`oki, Afurahia mgao wa mabilioni Escrow
Siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, kujiuzulu, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, ameibuka na kusema yeye pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, hawawezi kuchukua uamuzi huo kwa sababu Rais Jakaya Kikwete anawategemea kwa uchapaji kazi wao.Prof. Tibaijuka na Prof. Muhongo, ni miongoni mwa
↧
Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2015 Watajwa
Jumla ya wanafunzi 438,960 kati ya wanafunzi 451,392 waliofaulu mtihani
wa darasa la saba nchini Tanzania wamechaguliwa kujiunga na kidato cha
kwanza katika shule za serikali za sekondari kwa awamu ya kwanza.
Akitangaza
matokeo ya ufaulu huo kwa vyombo vya habari na wanafunzi waliochaguliwa
kujiunga kidato cha kwanza, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,
Tawala za Mikoa na
↧
Johari: Namsubiri Mwanaume wa Kunifungua Kizazi
Pamoja na tetesi kuwa nguli wa filamu za Kibongo
Blandina Chagula ‘Johari’, ameshindwa kushika mimba, mwenyewe ameamua
kufunguka na kudai kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni
kumpata mwanaume ambaye atakuwa tayari kumuoa ndipo atakaporuhusu
kuzalishwa.
Akizungumza na Amani, Johari alisema kuwa endapo akitokea tayari yupo
ndani ya ndoa anaweza kufanya hivyo lakini kwa
↧
Hatimaye Mwili wa Aisha Madinda Wafanyiwa Uchunguzi, Kuzikwa Leo Mchana
Baada ya danadana nyingi, hatimaye mwili wa mnenguaji Aisha Madinda
unafanyiwa upasuaji muda huu katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar
es Salaam.
Akizungumza na mtandao wa Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka
amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi
linalotarajiwa kuchukua masaa mawili.
Asha Baraka amesema baada ya zoezi hilo, watauosha mwili wa
↧
↧
Mtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia majeraha bila kutibiwa wala kula chakula.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, mama aliyefanya ukatili huo (jina linahifadhiwa) ni mkazi wa mtaa wa Eden,
↧
Jokate Mwegelo asaini mkataba wa thamani ya Sh8.5 bilioni na kampuni ya Kichina
Mbunifu mavazi, Miss Tanzania wa namba mbili 2006, mwanamuziki na muigizaji wa filamu, Jokate
Mwegelo amesaini makubaliano yenye thamani ya Sh8.5 billion na kampuni ya
Kichina, Rainbow Shell Craft Company Limited
kwa ajili ya kuzalisha na kuuza bidhaa mbalimbali za lebo yake ya Kidoti.Makubaliano
hayo yalisainiwa jana kwenye hotel ya
Serena baina ya Jokate na Afisa Mtendaji mkuu wa
↧
Aisha Madinda Azikwa Kibada Kigamboni
WAKURUGENZI
wa bendi hasimu za dansi Tanzania, African Stars, Asha Baraka na Extra
Bongo, Ali Choki, jana wameongoza mamia ya waombolezaji kumzika aliyekuwa
mnenguaji wa zamani wa bendi hizo, Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’.
Mazishi
ya Aisha Madinda yamefanyika jana kwenye Makaburi ya Kijiji cha
Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika
juzi kutokana na
↧
Serikali "kuwaanika" wanaoiba dawa kutoka MSD
Serikali
imesema itawataja hadharani watu wote wanaodaiwa kujihusisha na wizi wa
dawa zinazonunuliwa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Madawa (MSD) ili
waweze kutambuliwa na wananchi, ambao wamekuwa wakichangia ukosefu wa
dawa katika vituo vya afya na hosipitali za serikali hapa nchini.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk
Dornald Mmbando wakati wa
↧
↧
Wakazi 500 wa Kiseke Mwanza, kuhama kupisha mnara wa Rada
Mamlaka
ya Hali ya Hewa Tanzania – TMA, kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya
Nguvu za Atomiki imewataka wakazi wa Kiseke jijini Mwanza wanaoishi
ndani ya eneo la mita 500 hadi kilometa moja toka eneo ulipojengwa mnara
wa rada ya hali ya hewa kuhama mara moja ili kujikinga na madhara
yanayoweza kusababishwa na mionzi pindi mtambo huo utakapoanza kazi
rasmi.
Meneja wa mradi huo wa
↧
Uchaguzi Serikali za Mitaa: UKAWA Kigoma wafanya Maandamano Makubwa
Mamia
ya wananchi na wafuasi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika kata
ya Kumsenga wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wameandamana kupinga
wagombea wa UKAWA kuondolewa katika uchaguzi wa serikali za vijiji
uliofanyika jumapili iliyopita katika vijiji vya kata hiyo kutokana na
hila za maafisa wa serikali.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani
Kibondo
↧
CCM Mara Watishia Kufanya Maandamano
Chama
cha Mapinduzi wilaya za Rorya na Musoma mkoani Mara wamemtaka
waziri mwenye dhamana na serikali za mtaa kuchukua hatua za haraka
kwa wakurugenzi wa halmashauri hizo kabla ya kuitisha maandamano ya
kuwatoa katika ofisi zao kwa madai ya kuvuruga zoezi zima la
uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya Rorya Samwel Kiboye, amesema
↧
Rais Kikwete Kulihutubia Taifa Tarehe 22, Jumatatu Mchana
Rais Kikwete ameahirisha kulihutubia taifa kupitia "Wazee wa Dar" ambapo sasa ataongea nao Jumatatu wiki ijayo(Disemba 22, 2014). Ikulu
imethibitisha na kusema muda utatangazwa.
Rais kikwete jana tarehe 19 alitarajiwa kulihutubia taifa kupitia wazee wa
mkoa wa Dar es salaam katika mkutano wake ambao ulikuwa ufanyike katika
ukumbi wa Hotel ya Blue Pearl,Ubungo jijini Dar es salaam.
↧
↧
Flora Mbasha awasilisha Mahakamaini Dai la Talaka na Maombi Kuhusu Mtoto na Mali
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini Tanzania,Flora Mbasha,
amekwenda katika mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-Salaam,
akiomba kuvunjwa kwa ndoa yake na mumewe Emanuel Mbasha.
Flora amefungua kesi ya madai namba 64 ya mwaka huu kesi ambayo inasikilizwa na hakimu mkazi, Devota Kisoka.
Flora anadai kuomba kuvunja ndoa hiyo na apewe talaka kutokana na
tabia ya mumewe
↧
Chadema: Uchaguzi Serikali za Mitaa ulihujumiwa
Kamati Kuu ya Chadema imesema
tathmini yao kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Desemba
14, mwaka huu imebaini kuwa ulihujumiwa.
Pia,
kimewataka Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia
kujitathmini na kuchukua hatua za kuwajibika kwa kujiuzulu kutokana na
kushindwa kusimamia ipasavyo
↧
Amtupa Mjukuu nje ya Basi likiwa katika Mwendo
Katika
hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto
wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka
sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo
chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi
mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka,
↧
Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 21 Disemba
Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 21 Disemba
↧
↧
Taarifa ya ziara ya Waziri Mkuu nchini Qatar
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewasili jijini Doha, Qatar jana usiku
(Jumamosi, Desemba 20, 2014) kwa ziara ya siku tatu kwa mwaliko wa
Serikali ya nchi hiyo inayotarajiwa kuanza leo.
Lengo la ziara ya
Waziri Mkuu ni kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, kuangalia
fursa za kiuchumi na miradi mikubwa inayoweza kuzinufaisha nchi hizo na
nje ya mipaka yake kwenye Ghuba ya Arabuni (
↧
CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea Wahusika wa Sakata la Escrow
C/HQ/ADM/PRESS/37 21/12/2014
Ndugu waandishi wa habari,
Tumewaita
hapa baada ya kupata fununu kuwa Rais Jakaya Kikwete anataka
kutumia hotuba yake ya kesho( leo ) na wanaoitwa, “Wazee wa Dar es Salaam”
kutetea wizi mkubwa wa fedha za umma uliofanyika ndani ya Benki Kuu
(BoT), kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Tunazo taarifa kuwa Rais
↧
Ikulu yaitisha mkutano na Wanahabari Jumatatu 22 Desemba saa Tatu Kamili Asubuhi
Taarifa iliyotolewa jana usiku na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu
jijini Dar es salaam, ilieleza kuwa kumeitishwa Mkutano na waandishi wa
habari Jumatatu asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mkutano utafanyika leo saa tatu kamili asubuhi na kila chombo kimetakiwa
kutuma Mwandishi pamoja na mpiga picha ambao wametakiwa kuwa tayari
wameketi vitini ifikapo saa Mbili Unusu bila
↧
More Pages to Explore .....