Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
↧
↧
Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia ghafla
Mgombea uenyekiti kupitia CCM Mtaa wa Swea, Kata ya Mkolani,
Nyamagana, Mwanza, Pius Mihayo amefariki dunia ghafla akiwa mtaani
kwake, muda mfupi baada ya kupiga kura.
Msimamizi wa
uchaguzi huo, Halifa Hida alisema mgombea huyo alifariki dunia ghafla
akiwa kwenye mtaa wake wa Swea na chanzo cha kifo hicho
hakijajulikana... “Sasa kwa mujibu wa taratibu za uchaguzi, tutatangaza
↧
Polisi Kagera yatawanya maandamano ya CHADEMA
Jeshi
la Polisi mkoani Kagera limelazimika kutumia mabomu ya machozi
kuwatawanya wananchi wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakiandamana huku wakifurahia ushindi
walioupata katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Akizungumza mara baada ya kuwatawanya wananchi hao Kamanda wa Jeshi
la Polisi mkoani Kagera Henry Mwaibambe amesema jeshi hilo
↧
CCM Mtwara yakiri kukabiliwa na upinzani Mkubwa
Chama
cha mapinduzi CCM mkoa wa Mtwara kimekiri kuwa upinzani umekuwa mkubwa
hasa maeneo ya mjini baada ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa
kuonesha kuwa CCM imeshinda viti 58, wakati vyama vya upinzani vikiwa
vimeshinda mitaa 53.
Akitoa taarifa ya matokeo hayo katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Shaibu
Akweilombe amesema mitaa iliyoshindaniwa katika manispaa ya Mtwara mjini
ni
↧
Watendaji Waliovuruga Uchaguzi wa Serikali za mtaa Kufukuzwa Kazi
SERIKALI imesema itachukua hatua kali ikiwemo kuwafukuza kazi, kuwavua madaraka, kuwashusha vyeo na kuwakata mishahara viongozi walioshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha kasoro na kuvurugika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya maeneo nchini.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia alisema hayo Dar es Salaam
↧
↧
Mganga wa Jadi awachoma Moto Wateja Wake
Mganga wa tiba za asili, Omari Kikukwa (32) mkazi wa Kijiji cha
Bondo , Kata ya Mswaki wilayani hapa anashikiliwa na polisi kwa
kuwachoma moto wateja wake na kusababisha kifo cha mtu mmoja.
Aziza
Hassani (35) mmoja wa mwanafamilia aliyenusurika kwenye mkasa huo
akisimulia kuwa ilikuwa tarehe 27 mwezi uliopita yeye, mama yake pamoja
na watoto wake wawili walipelekwa kwa mganga wa
↧
CHADEMA Yatikisa Tarime
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.
Matokeo ya awali yanaonesha Chadema imeshinda vitongoji zaidi ya 100 kati ya vitongoji 503, mitaa zaidi ya 30 na vijiji zaidi ya 30 kati ya vijiji 88.
Awali Chadema walikuwa na vijiji 4 na vitongoji zaidi 13. Mkurugenzi
↧
Aliyeshinda CHADEMA Akutwa Amekufa Kisimani huko Geita
Kumetokea hali isiyo ya kawaida iliyowastua wananchi wa mtaa wa Msalala
Road mkoani Geita ya kuondokewa na mgombea wa nafasi ya Wajumbe wa
Serikali za Mitaa (Viti Maalumu) kupitia chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) Bertha Nchimanyi (40) baada ya kukutwa amekufa
kisimani.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana majira ya saa 9:00 wakati mgombea huyo alipotoka nje kuongea
↧
Auawa akishangilia ushindi wa CHADEMA
Imeelezwa kuwa uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Serikali za Mitaa nchini
uliofanyika juzi Jumapili umeendelea kumwaga damu ambapo
mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Simeo Isaka (42), mkazi wa
kijiji cha Ngokolo kata ya Bukomela wilayani Kahama mkoani Shinyanga,
ameuawa kwa kukatwa na jembe kichwani na watu wasiojulikana wakati
akishangilia ushindi wa mgombea wa Chama Cha
↧
↧
Matokeo ya Uchaguzi wa Wenyeviti wa Serikali za Mtaa Mkoa wa Mwanza
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halifa Hida, ofisini
kwake akiwa mbele ya waandishi wa habari ametangaza matokeo ya uchaguzi
wawenyeviti wa serikali za mitaa katika mitaa 175 ya Jimbo la Nyamagana
jijini Mwanza.
Hida amesema katika kata ya Mabatini yenye jumla
ya mitaa 6, CCM 5 Chadema 1, kata ya Mbugani yenye mitaa 6, CCM 3
Chadema 3, kata ya Butimba jumla mitaa 8, CCM
↧
Uchaguzi wa marudio, Katibu wa Mbunge ajeruhiwa Vibaya
Chama
cha Demokrasia na Maendeleo wilayani Iringa kimelalamikia rafu na
kasoro mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa
uliofanyika Disemba 14 na kusema kuwa uchaguzi huo uligubikwa na kasoro
nyingi ambapo wakati uchaguzi huo wa marudio ukiendelea hapo jana, watu wasiojulikana
wamemshambulia kwa nondo na mapanga katibu wa mbunge wa Iringa mjini
Bwana Joseph
↧
CUF:Waziri Mkuu na Waziri wa TAMISEMI wawajibishwe
Chama
cha Wananchi - CUF kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuwajibisha Waziri
Mkuu na Waziri wa TAMISEMI kwa kushindwa kusimamia uchaguzi wa serikali
za mitaa baada ya kuibuka dosari kubwa zikiwemo kukosekana kwa wino,
majina ya wananchi na karatasi za kupigia kura jambo lililoleta vurugu
na kusababisha vituo vingi kurudiwa uchaguzi.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa
↧
CCM yasikitishwa na dosari katika uchaguzi wa Serikali za Mtaa.....Yataka waliohusika na uzembe huo wachukuliwe hatua kali
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema hakioni sababu ya suala la waliohusika
kusababisha dosari zilizojitokeza wakati wa zoezi la upigaji kura
kuundiwa tume au kuchunguzwa wakati wanajulikana.
Chama
hicho kimesema kuwa badala ya hatua hizo, watu hao wachukuliwe hatua,
huku kikieleza kusikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza ambayo wamedai
yalitokana na uzembe wa watendaji wachache.
↧
↧
Watu 7 Wafariki katika Ajali Mbaya ya Basi la Mohammed Trans
Watu saba wamefariki Igunga, mkoani Tabora, ambapo wengi
wamejeruhiwa baada ya basi la Mohammed Trans lililokuwa likitoka Mwanza
kuelekea Dar es Salaam, kukatika 'steering power' na kuacha njia na
kisha kupinduka.
Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti
na majeruhi walipelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.
↧
Kibaka Anusurika "Kuchomwa Moto" Baada ya Kuiba Pikipiki Magomeni Dar
Kijana ambaye jina lake haikufahamika mara moja,
amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kwa tuhuma za wizi wa
pikipiki jijini Dar.Tukio hilo la kusisimua limetokea jana asubuhi
Magomeni-Mwembechai, ambapo lilisababisha foleni ndefu ya magari
wakati kijana huyo akiadhibiwa na wananchi.
Mashuhuda wa tukio hili walisema kijana huyo na wenzake waliiba
pikipiki mbali na hapo
↧
Sakata zima La Mabasi Kutekwa jijini Mwanza ambapo Abiria walijeruhiwa Vibaya na baadhi ya Wanawake Kubakwa
Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa
yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu
wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki
iliyopita, saa 6:30 usiku eneo la Ng’ungumalwa mkoani Mwanza.
Miongoni mwa magari yaliyotekwa, mawili yalikuwa ni mabasi ya abiria,
Super Najmnisa na Princess Mnaa huku mengine yakiwa ni malori na gari
↧
Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema (pichani) Disemba 16 amejiuzulu
nafasi yake na tayari amemwandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dk.Jakaya Kikwete.
Mwanasheria
mkuu, pamoja na baadhi ya wanasiasa na maafisa waandamizi wa serikali
walituhumiwa kuhusika kwa namna moja au nyingine kufanikisha kufanyika
kwa miamala haramu ya fedha za
↧
↧
Wakurugenzi Wafukuzwa kazi kwa uzembe uliojitokeza wakati wa Uchaguzi
Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia
(pichani) leo amewavua madaraka wakurugenzi wa Kasulu, Bunda,
Serengeti, Mkuranga, Sengerema, Kaliua kwa uzembe wakati wa uchaguzi wa
Serikali za Mitaa.
↧
Aisha Madinda Afariki dunia
Aliyekuwa mnenguaji na mwimbaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam.
Akiongea
na Mpekuzi, Mkurugenzi wa bendi ya Twanga Pepeta amesema kuwa alipewa
taarifa na Daktari mmoja kuwa wameona kama mwili wa Aisha Madinda
hospitalini hapo, ndipo akatuma watu kwenda kuangalia akiwemo Luiza
Mbutu ili kuhakikisha kama kweli ni yeye ndipo
↧
Penny- Natamani Mtoto lakini sina wa Kuzaa nae
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ Penniel
Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume
wa kuzaa naye.
Penny alitoa tamko hilo baada ya Diamond kunukuliwa jana (Alhamisi)
na gazeti la Amani kuwa, alimpa mimba mara mbili binti huyo
lakini zikayeyuka katika mazingira ya kutatanisha.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Penny alisema,
↧
More Pages to Explore .....