MTU
mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 27 mpaka 30 ambaye jina
lake halijafahamika mpaka sasa amekutwa akining'inia juu ya mti wa
Mwembe uliopo katika pori lililopo nje kidogo ya mji wa Pongwe,Mkoani
Tanga akiwa amejinyonga.
Hali
ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza
kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi
Mtu Mmoja Akutwa Amejinyonga Porini
↧
↧
Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda
Mastaa wa Tanzania Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na Omary
Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, nyimbo zao zimetajwa kuwania tuzo za HiPipo
Music Awards (HMA2015) za Uganda zinazotarajiwa kutolewa mwakani.
‘Number One’ (original) ya Diamond na ‘Ndagushima’ ya Dimpoz
zinachuana na nyimbo zingine za Afrika Mashariki kwenye kipengele
kimoja cha East Africa Super Hit.
Nyimbo za Ommy na
↧
Ray: Uwezo unao, kwanini unasumbua watu na michango ya harusi
Muigizaji wa filamu nchini, Vicent ‘Ray’ Kigosi amedai kushangazwa na
watu wenye uwezo mkubwa lakini bado kwenye harusi zao wanachangisha
michango.
Akizungumza kwenye kipindi cha Boys Boys cha TV1, Ray ameshauri ni
bora kujipanga kabla ya kuoa kuliko kuwasumbua watu na kadi za michango.
“Sio mtu unawapa watu mizigo isiyo ya kwao,” alisema.
“Kama una uwezo
fanya mwenyewe, kwa
↧
AT ashinda kesi dhidi ya mganga wa jadi aliyemshitaki kwa kutomlipa pesa baada ya kupandisha nyota yake
Muimbaji wa Mduara, AT ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili na
iliyofunguliwa na mganga wa jadi kwa madai kuwa hakulipwa fedha baada ya
kumpandisha nyota na kupata mafanikio mengi.
Akizungumza XXL ya Clouds FM, AT amesema uamuzi huo ni faraja kwake kwakuwa ilimfanya ashindwe kufanya mambo yake.
“Hukumu imetolewa kama dakika tano zilizopita lakini tulikuwa
tumefika toka asubuhi saa
↧
Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 13 Disemba 2014
Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 13 Disemba 2014
↧
↧
Happyness asema sapoti ya watanzania imempa nguvu
Mshiriki
anayeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, Happiness
Watimanya amewashukuru watanzania kwa kuanza kuonesha muamko wa aina
yake na kumpigia kura kuiwezesha Tanzania kuingia katika orodha ya 10
bora ya Chaguo la Watu la washiriki wenye nafasi ya kushinda Miss World
Mwaka huu.
Mrembo huyu ameweza kuongea na Moekuzi akiwa jijini London na kusema kuwa, sapoti ya
↧
Tayo wa Big Brother Akanusha kupewa $350,000 na Bilionea
Mshindi wa pili wa BBA Hotshots, Tayo kutoka Nigeria amekanusha
habari zilisambaa wiki hii kuwa amezawadiwa $350,000 na bilionea wa
Nigeria, Ayiri Emani baada ya kuzikosa $300,000 za BBA zilizonyakuliwa
na Idris wa Tanzania.
Tayo amekanusha habari hizo alipohojiwa na kituo cha Radio 1 South
Africa. Amesema kuwa habari hizo za kupewa kiasi hicho kikubwa cha pesa
na huku hata
↧
Lulu: Hapyy Akishinda Miss World ntaitwa Luppy
MWIGIZAJI wa
sinema za Kibongo, Elizabeth Michael 'Lulu' amendika katika Instagram
kuwa mshiriki wa Tanzania kwenye Miss World, Happiness Watimanywa
akishinda atabadilisha jina na kuitwa Luppy!
↧
Idris Amfungukia Lulu Michael
KWA mara ya kwanza baada ya kutua Bongo, Mshindi wa
Shindano la Big Brother Hotshort (2014), Idris Sultan amemfungukia
mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kudai ni rafiki yake wa karibu.
Kabla mshindi huyo hajakanyaga Bongo, Lulu alishambuliwa mitandaoni
baada ya kujinadi kuwa na urafiki wa karibu na Idris lakini kwa kauli
hiyo, imeonesha dhahiri wawili hao ni marafiki wa kweli
↧
↧
Mke afumaniwa, amgeuzia kibao mume wake Polisi
Jamaa mmoja alisababisha kizaazaa baada ya kuvamia chumbani ambako mtu na mkewe walikuwa wamelala.
Fununu zinasema jamaa huyo baada ya tukio hilo alimhoji mkewe kwamba
huyo aliyeingia bila hodi chumbani kwao wakiwa wamelala ni nani?
Baada ya jamaa huyo, Calvin Murapata kutoridhishwa na majibu ya mke
wake Nomagugu Ncube alimpiga na kumchania nguo, ambapo mwanamke huyo
alifungua
↧
Rolene Strauss wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World
Miss South Africa, Rolene Strauss ndiye Miss World 2014. Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 22 na mwanafunzi wa medical
ameshinda taji hilo kwenye shindano hilo lililofanyika Jumapili jijini
London, Uingereza.
Miss Hungary Edina Kulcsar alishika nafasi ya pili na Miss United States, Elizabeth Safrit akishika nafasi ya tatu.
Kabla ya ushindi orodha ya warembo walioingia Top 10
↧
Vibaka Wamfanyia Kitu maya Aunty Lulu
Huku akiwa bado hajapona jeraha la kuchanwa usoni na
bwana’ke, mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty
Lulu’ amefanyiwa kitu mbaya na vibaka na kumnyang’anya kila alichokuwa
nacho.
Akizungumza na Gpl, Aunty Lulu alisema tukio hilo lilitokea
wiki iliyopita maeneo ya Mwenge, jijini Dar ambapo alikuwa akikatiza
mitaa hiyo usiku, vibaka walimvamia na kumpiga maeneo ya
↧
Majambazi wavunja Kanisa Katoliki Kilema, wapora
Kundi la watu wanaodhaniwa ni majambazi, wamevamia na kupora fedha taslimu na vitu mbalimbali katika Kanisa Katoliki la Kilema, Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro.
Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 14, mwaka huu, ambapo watu hao wakiwa na vifaa maalumu vya kuvunja milango, walivunja lango kuu la kanisa hilo, kuvunja sanduku la sadaka na kupora vifaa vya kufanyia ibada
↧
↧
Shinyanga: Aua mke kwa kumpigia kura mgombea wa CCM
Katika mtaa wa Mwandu kata ya Tinde wilaya ya Shinyanga mkoani
Shinyanga, mwanaume mmoja amemuua mke wake kwa kumpiga makonde kutokana
na kile kinachoelezwa kuwa kwa kumchagua mgombea wa CCM badala ya wa
CHADEMA.
Imeelezwa kuwa mwanaume huyo ni mfuasi wa CHADEMA huku mke wake akiwa ni mfuasi wa CCM.
Tukio
linaelezwa kuwa limetokea jioni ya jana baada ya mume kumuuliza mkewe
↧
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waingia Dosari
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika jana
nchini Tanzania ulitawaliwa na kasoro na vurugu zilizosababisha polisi
kutumia risasi na mabomu ya machozi huku baadhi ya wapiga kura
wakipigana sehemu tofauti tofauti nchini.
Vurugu
hizo zilitokana na uchaguzi huo kugubikwa na kasoro nyingi na hivyo
kusababisha baadhi ya vituo kulazimika kuahirisha uchaguzi hadi
↧
Hausigeli Aliyemtesa Mtoto Uganda Ahukumiwa Jela Miaka Minne
Hausigeli aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda,
amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.
Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia
kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
↧
Tukio la uvamizi Mgahawa uliopo katikati ya Jiji, hali bado tete
Polisi wakimpokea mmoja wa mateka kutoka katika mgahawa wa Lindt jijini Sydney
Hali ni tete katika mgahawa wa Lindt uliopo katikati ya
Jiji la Sydney, Australia baada ya kundi la watu ambao hawajatambulika
kuvamia mgahawa huo na kuwashikilia mateka ambao idadi yao
haijafahamika.
Baadhi ya watu ndani ya jengo hilo wameonekana kupitia madirisha wakiwa wamebeba bendera nyeusi zenye maneno
↧
↧
Samantha wa Big Brother Kutua Tanzania leo kula bata na Idris
Mashabiki wa muungano wa pamoja kati ya mshindi wa Big Brother
Hotshots, Idris Sultan na swahiba wake Samantha wa Afrika Kusini
watawaona tena wakiwa pamoja kuanzia leo
Mrembo huyo anatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu. Awali alikuwa atue jana Jumapili lakini alichelewa ndege.
Hey everyone sadly Samantha has missed her flight because of a few complications but
↧
Majambazi Sita yauawa mkoani Kagera
Jeshi la polisi mkoani kagera limefanikiwa kuwauwa majambazi Sita
waliokuwa wanapanga kuteka mabasi katika eneo la Ngazi Saba wilayani
Biharamulo.
Akizungumza
mkoani Kagera Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera Henri
Mwaibambe amesema jeshi la polisi lilipata taarifa ya kwamba kuna
kundi la majambazi linafanya mpango wa kuteka magari na kufanya
uporaji katika eneo la
↧
Diamond lawamani Mombasa, adaiwa kuwafukuza Nyota Ndogo na wasanii wengine kwenye VIP Lounge
Kunyanyaswa kwa wasanii wa Kenya, kumemfanya Diamond na waandaji wa
show yake ya Mombasa weekend iliyopita kutupiwa lawama na wapenzi wa
muziki nchini humo.
Mtandao wa Standard Media wa Kenya,
umeandika kuwa kwenye show hiyo iliyohudhuriwa na watu kibao, Diamond
alitaka wasanii wengine wote waliokuwa watumbuize kwenye show hiyo na
waliokuwa wamepangiwa kukaa naye kwenye VIP lounge,
↧