Jopo la majaji watatu wa mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam chini ya
jaji Radhia Sheikhe limezuia mjadala wa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi
mkuu wa serikali kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow hadi hapo hoja ya
msingi ambayo ipo mahakamani itakapofanyiwa kazi.
Jopo hilo lililokuwa likiongozwa na Mh Radhia Sheikhe wameagiza
kutofanyika kwa mjadala wotote kuhusu ripoti ya CAG huko
Mahakama Kuu Yasimamisha Mjadala wa Ripoti ya Escrow Kujadiliwa Bungeni
↧
↧
Hakuna wa Kuzuia Escrow Isijadiliwe Bungeni - Anna Makinda
Kufuatia Taarifa za kujadiliwa kwa suala la ufisadi katika akaunti ya
Tegeta Escrow kupelekwa mahakamani ili lisijadiliwe na Bunge, Spika wa
Bunge Bi. Anna Makinda amesema hakuna Muhimili utakaoweza kuingilia
shughuli za bunge.
Akitoa Muongozo wake Baada ya Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh. John
Cheyo kutaka kujua ni hatua gani zitachukuliwa na Bunge dhidi ya suala
hilo kufikishwa
↧
Rais Kikwete Kurejea Nchini Novemba 29, 2014
Taratibu
za matibabu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa
Jakaya Mrisho Kikwete, zimekamilika jana, Jumatatu, Novemba 24, 2014.
Taratibu
hizo za matibabu za Mheshimiwa Rais Kikwete zilikamilika kiasi cha saa
12 asubuhi ya jana wakati madaktari bingwa katika Hospitali ya Johns
Hopkins iliyoko mjini Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani,
walipomfanyia hatua ya
↧
Tweets 3 za Dk.Wilbroad Slaa kuhusiana na kashfa ya Escrow
…Tulisema hili la Escrow mapema.
Akaunti nyingi zilizopokea hela zilikuwa ni mpya, nyingine hazikuwa hata
na vitabu vya hundi. Hatuliachi….”
-“… Ni jambo la kusikitisha sana
kuona hata benki zinazomilikiwa na madhehebu ya dini sasa zimekuwa
sehemu ya kusambaza fedha zilizoibwa…’.
-‘…Fisadi anapoachia ngazi bila
kufikishwa mbele ya sheria ni sawa na kupewa mapumziko kwenda kutumia
↧
Ripoti Ya Escrow.....Leo ndio Leo!!!
Ripoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.
Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
**
LEO ndiyo siku iliyokuwa ikisubiriwa baada ya mbinu za kila aina za
kutaka kuzuia mjadala wa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL ambapo
Kamati ya Hesabu za Serikali (
↧
↧
Ripoti Ya Escrow Yawasilishwa Bungeni.....Bonyeza Hapa Kuisoma Ripoti hiyo.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali katika Bunge la Jamumuhi ya
Muungano wa Tanzania, imewasilisha ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL
na kuhusisha uchotwaji wa shilingi bilioni 306 za kitanzania.
Pamoja na kuwepo tetesi za pingamizi ya mahakama kuzuia kusomwa kwa
ripoti hiyo Bungeni, Mwenyeti wa kamati Zitto Kabwe alisoma ripoti na
kulithibitishia Bunge hilo kwamba viongozi na
↧
Sakata la Escrow: Kamati ya PAC Yamtaka Waziri Mkuu,Mwanasheria Mkuu, Waziri wa Nishati na Madini Waachie Ngazi
WAZIRI MKUU
- Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu,
alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha
kutoka katika akaunti ya ESCROW.
-Kamati, kwa kuzingatia kielelezo namba 22, inathibitisha bila shaka
kwamba, Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri na kwamba
aliridhia muamala huu ufanyike. Ndiyo maana katika maelezo yake ya
↧
Maajabu: Mti Mwingine Uliokuwa Umeanguka miaka Mitano Iliyopita WAINUKA Wenyewe Mkoani Tabora
Lile tukio la ajabu ambalo limestaajabisha wengi la mti ambao ulikuwa
umeanguka kwa zaidi ya miaka mitatu kuinuka, limekaa kwenye
headline tena ambapo viongozi wa Serikali wamezungumzia hilo huku
wananchi wakisisitizwa kuutunza.
Mti huo umeinuka siku ya Oktoba 15 mwaka huu, ambapo Katibu tawala wa Wilaya ya Uyuwi amesema; “…kwa
mazingira tunayoyaona hapa tukio ni kweli limetokea
↧
Bunge laelezwa MAGUNIA yalivyobeba fedha IPTL
WATU mbalimbali na viongozi wa umma waliofaidika na fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, wametakiwa kurejesha fedha hizo, kufilisiwa mali zao na kushitakiwa mahakamani.
Aidha, mmiliki wa Kampuni ya PAP, Harbinder Singh Sethi ameamriwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa makosa ya utakatishaji fedha haramu, ukwepaji wa kodi na wizi.
Pia kwa kutumia
↧
↧
Watendaji 17 Waswekwa Rumande kwa Kushindwa Kusimamia Agizo la Rais Kikwete kuhusu Ujenzi wa Maabara
MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.
Hali hiyo ilitokea katika ziara aliyoifanya kujionea maendeleo ya ujenzi wa maabara hizo, ambazo Rais Jakaya Kikwete alitoa maagizo kwa wakuu wa wilaya zote
↧
Kondomu Feki Zateketezwa
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) jana liliteketeza kondomu feki aina ya Mood vipande 601,100 vyenye thamani ya Sh. milioni 29.7 ambazo zimebainika kutengenezwa India.
Akizungumza jijini Dar es Salaam baada ya zoezi hilo lililofanyika katika eneo la Pugu Dampo, Ofisa Ubora kutoka TBS, Athuman Kisumo, alisema kondomu hizo ziliteketezwa baada ya kuwasili nchini na kubainika hazina ubora na
↧
Baada ya Ishu ya Escrow, haya ni Majibu Mawili ya Waziri Mkuu Pinda ikiwemo Kujiuzulu
Kikao cha Bunge leo Novemba 27 kimeanza kwa maswali mawili kuulizwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
“…Chini ya
uongozi wako kama Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
ukiwa kiongozi wa shughuli za Kiserikali Bungen, tumeiona Serikali
ikikumbana na matatizo na vikwazo vingi ikiwemo ‘Operesheni Tokomeza’
ambayo
↧
Ajali Yaua 11 Tanga
WATU 11
wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya
eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster
yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania namba T 605 ABJ
leo asubuhi .
Katika
ajali hiyo, Coaster lilikuwa likitoka mkoani Tanga kwenda Lushoto na
madereva wa magari yote mawili hawajulikani walipo baada ya ajali.
↧
↧
Sakata la Tegeta Escrow: Kikao cha Bunge Jioni Hii
MWENYEKITI ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu:
Wananchi wanataka kujua ukweli, na anatoa nasaha zake ili bunge
lisilete fujo
Tundu Lissu: Anaomba radhi ya kauli ya jana kuhusu tuhuma ya wakili kumuua mkewe.
Escrow:
Muhongo kapotosha, viambatanisho haviwakilishi alivyosema. Muhongo
ameleta vitu viwili tofauti na ni upotoshaji mtupu. Pesa za Escrow ni za
↧
Mahakama Kuu Yamuachia Huru Sheikh Ponda Leo
Mahakama Kuu ya Tanzania imemuachia huru aliyekuwa Katibu wa Taasisi
za Kiislam, Sheikh Ponda Issa Ponda baada ya kuona hana hatia dhidi ya
Kesi ya madai ya Ardhi ya Agrekanza inayomilikiwa na Afidhi Self
iliyokuwa inamkabili.
Akisoma Mashtaka hayo Mwanasheria wa Serikali, Tumaini Kweka mbele ya
Jaji, Augustino Shangwe alisema baada ya kupitia vifungu vyote mahakama
imejiridhisha
↧
Diamond na Zari Waumbuka
Licha ya madai wanayoyatoa mastaa wawili hot kwa sasa, Nasibu Abdul
‘Diamond’ na Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady kuwa si wapenzi
bali kuna project wanaifanya, wawili hao wameumbuka.
Kuumbuka huko kumekuja kufuatia kuvuja kwa picha inayowaonesha mastaa hao wakidendeka huku wakiwa kwenye hisia kali.
Katika picha hizo ambazo kwa sasa zinapatikana mtandaoni, Zari
anaonekana
↧
Waziri Muhongo Azomewa Bungeni
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amekumbana na wakati mgumu, ikiwa ni pamoja na kuzomewa na wabunge na kukatizwa wakati akitoa maelezo kufuatia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kupendekeza yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa serikali, akiwamo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wawajibishwe.
Mbali na kukumbana na wakati mgumu kabla na
↧
↧
Askofu Kilaini na Nzigirwa wazungumzia tuhuma za Wizi wa Pesa za Escrow
Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri
kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James
Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa
mfanyabiashara huyo kwa kuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi
miradi ya jamii.
Askofu huyo alikuwa akizungumzia
Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), iliyosomwa
↧
Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.
Serikali imesema kuwa
VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni
mwa taasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa, kuendeshwa na
kusimamiwa ama kijijini, kitongojini na hata kwenye kata.
Hayo yamebainishwa leo
Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu
swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David
↧
Baraza la Maaskofu lazungumzia 'mgawo wa escrow' kwa Makasisi wake
Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) limezungumzia sakata la
maaskofu wa kanisa hilo, Methodius Kilaini na Eusebius Nzigirwa kudaiwa
kupewa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow na kusema kwa sasa hawawezi
kuzungumzia suala hilo kutokana na kuwa linagusa watu binafsi.
Limesema
kuwa suala hilo halihusu baraza na inaweza kufanyiwa kazi kwa taratibu
za kanisa kwa kadri uchunguzi
↧
More Pages to Explore .....