Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mshauri wa Rais Uhuru: Mauaji ya Kenya Yanalenga Kuzua Uhasama wa Kidini

0
0
Baadhi ya miili ya abiria waliouawa juzi na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi. Wanajeshi wakiwa eneo la tukio. Baadhi ya miili ya watoto ambao nao waliuawa katika shambulio hilo. Miili ya marehemu ambao wengi walikuwa siyo waislamu. Ndugu wa marehemu wakiwa na simanzi wakati wa kupokea miili ya

Sakata Zima La Mtoto Aliyenusuka Kufa Baada ya Kupewa Kipigo Kizito na Hausigeli ( Dada wa Kazi)

0
0
Habari kutoka Rukungiri, Uganda zinasema kuwa mtoto mdogo wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha. Jolly alimpiga mtoto huyo Jumamosi iliyopita wakati akimlisha mtoto huyo aliyekuwa mgonjwa, baada ya kushindwa kula haraka kama alivyotarajiwa na kutapika. Bila kujua kuwa nyumba hiyo

Agness Masogange: Sina Mpango wa Kurudi Tanzania

0
0
Mrembo aliyejizolea umaarufu katika video mbalimbali za wasanii Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hatarajii kurejea nyumbani hivyo mashabiki wake watamsubiri sana. Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu, Masogange alisema kuwa alivyoondoka nchini na kuelekea Afrika Kusini ameona baadhi ya vitu vyake vinamuendea sawa na maisha yake yanasonga mbele siku hadi siku

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Wiki ya SHIDA Bungeni: Saa za Waliobeba Mabilioni ya Pesa IPTL Zahesabika......CCM Yasema Kila Mtu Atabeba Msalaba Wake

0
0
 Ni wiki ya shida. Wiki hii inatarajiwa kuwa ya vikao mfululizo na mijadala isiyokoma. Ndiyo wiki inayotarajiwa kuuweka hadharani mtikisiko wa tano katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wakati ripoti ya uchunguzi wa sakata la IPTL itakapowasilishwa rasmi kwa wabunge na Taifa kwa jumla mjini Dodoma keshokutwa na kuhitimisha minong’ono na uvumi.   Ni wiki ambayo Bunge litaamua juu ya

Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa Ujipatie Dawa Lishe ya kuongeza na kunenepesha mwili

0
0
Je  una  mwili  mwembamba  na  unataka  kuongeza  na  kunenepesha  mwili  wako ? Umedhoofika  kutokana  na  maradhi  mbalimbali  na  unataka  kurejesha  afya  yako  na  mwili  wako ? Unataka  kutengeneza  shape  ya  mwili  wako  kwa  vitu  vya  asili  visivyo  na  madhara  kwa  afya  yako ? Kama  jibu  ni  ndio  basi, hii ni  habari njema  sana  kwako. Neema  Herbalist  ni  wauzaji  wa 

Mdahalo wa Jaji Warioba kufanyika kesho Dar

0
0
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), imeandaa mdahalo maalumu wa Katiba utakaofanyika kesho kwenye Ukumbi wa Mlimani City ambao mzungumzaji mkuu atakuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.   Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Joseph Butiku alisema jana kwamba mdahalo huo wa amani ni kwa ajili ya Watanzania wenye mapenzi mema na utakuwa wa wazi, ikiwa ni

Ni mwanamke ndiye aliyelifanya kundi la Wanaume TMK kumeguka!

0
0
Kundi la Wanaume TMK aka ‘wazee wa mapanga shaaa’ lilijichukulia umaarufu mkubwa enzi likiwa na members wote waliolianzisha. Hata hivyo kundi hilo lilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili, Wanaume Halisi linaloongozwa na Juma Nature na TMK Wanaume Family ambalo lipo chini ya Said Fela likiwa na wakali kama Chege na Mheshimiwa Temba. Na sasa imebainika kuwa ni mwanamke ndiye

Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni

0
0
Baada ya maneno kusemwa juu ya staa wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na binti mrembo wa Uganda, Zari ‘the boss lady’ kuwa huenda wakawa na kitu kinaendelea zaidi ya kazi, picha ya wawili hao wakila ‘denda’ imesambaa mtandaoni. Zari na Diamond walianza kutawala vichwa vya habari wiki mbili zilizopita baada ya kupost picha wakiwa kwenye ndege wakitokea Afrika Kusni kuja Tanzania.na

Jibu la Diamond la kwanini ametumia tena wazungu kwenye video mpya ‘Ntampata wapi’

0
0
Baada ya Diamond kuachia video ya ‘Ntampata wapi’ iliyofanyika Afrika Kusini, amekutana tena na maswali aliyokutana nayo kipindi alipoachia video ya ‘Mdogo mdogo’, ya kwanini amewatumia zaidi wazungu kwenye video ya wimbo wake wenye ladha ya Kiafrika. Hili ndio jibu la Platnumz baada ya kuulizwa swali hilo kwenye kipindi cha Power Jamz kupitia East Africa Radio:   “Kuna kitu kimoja,

Watu wenye Albinism nchini wanaogopa kujitokeza kushiriki katika chaguzi mbalimbali wakihofia usalama wao.

0
0
Shirika linalojishughulisha na watu wenye Albinism la UNDER THE SAME SUN limesema watu wenye Albinism nchini wanaogopa kujitokeza kushiriki katika chaguzi mbalimbali nchini wakihofia usalama wao, huku likiwatahadharisha kuwa waangalifu kipindi hiki ambapo taifa linaingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwani matukio mengi yamekuwa yakitokea msimu huu.   Hayo

Rais Kikwete Apokea Salamu za Kheri toka kwa Rais Barack Obama wa Marekani

0
0
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya M rishoKikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama jijini Baltimore, Maryland, Marekani. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea kwa furaha na ujumbe kutoka Ubalozi wa Tanzania ulioko jijini Washington DC uliomtembelea kumjulia hali na kwasilisha salamu za Rais

Dully Sykes Atoa Ufafanuzi Kuhusu Wimbo wake uliojaa MATUSI

0
0
Siku chache baada ya wimbo wake wa Thats The Way uliojaa matusi yasiyoweza kuandikika  kuanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao , msanii wa kitambo wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ amefunguka kuwa halikuwa kusudio lake kuachia wimbo huo bali ulivuja kwa bahati mbaya mitandaoni.    Akiongea na Mwandishi wetu, Dully alisema kuwa wimbo huo aliomshirikisha mwanadada

Mtoto Aliyezaliwa na Miguu na Mikono Minne India na Kupewa Jina la "Mungu Mvulana"

0
0
Imetokea nchini India baada ya mama mmoja kujifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’ ....   Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘ kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu na watu walisafiri kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo  

Askari wa FFU Apigwa Jiwe Kwa Kombea na Kung'olewa Meno 6 na Wananchi

0
0
Kumetokea tukio la aina yake katika mgodi wa madini ya almasi wa Mwadui uliopo katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga  ambapo askari polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga Pc Idd Makame(25) amejeruhiwa vibaya mdomoni kwa kung’olewa meno sita baada ya kupigwa jiwe kwa kutumia kombeo (kwa lugha ya kisukuma Nh'ago) na watu wanaodaiwa kuwa ni wachimbaji

Watu 9 wafariki dunia na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali mkoani Shinyanga.

0
0
Watu tisa wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Hiace kutoka mjini Kahama kuelekea mjini Shinyanga kupinduka katika eneo la Buhangija kona kwenye barabara kuu ya lami ya Tinde – Shinyanga.   Wakizungumza na mwandishi wetu, mashuhuda wa ajali hiyo na majeruhi wamesema imetokea muda wa saa 4.30 asubuhi wakati dereva wa gari

Mbunge Felix Mkosamali afikishwa mahakamani

0
0
Mbunge wa jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo mkoani Kigoma kupitia chama cha NCCR Mageuzi Felix Mkosamali amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kibondo akituhumiwa kumzuia  karani mwandikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji kufanya kazi yake.   Mh.Mkosamali ambaye alilala rumande baada ya kukamatwa na polisi Jumatatu jioni amefikishwa mbele ya

Mgogoro wasababisha wanafunzi 400 kuacha masomo na 10 kupata mimba,mkoani manyara.

0
0
Wanafunzi 387 wa vijiji vya kata ya nambisi wilayani mbulu mkoani manyara wanaosoma katika shule ya sekondari ya kata ya Murray wamelazimika kuacha masomo baada ya  kushindwa kutembea umbali mrefu wa  zaidi ya km 30 wa kwenda na kurudi  kila siku kutokana na wanachi wa vijiji hivyo kuibua mgogoro  wa kutaka kila kijiji kujenga shule yake.   Makamu mkuu wa shule hiyo Bw.Denis Lohay

Raia wa Kigeni ajeruhi sita kwa Risasi Zanzibar

0
0
Jeshi la polisi Zanzibar linawashikilia raia wawili wa kigeni baada ya kukutwa na silaha na risasi kinyume na sheria huku mmoja ya raia huyo wa ufaransa amewajeruhi watu sita kwa kuwapiga risasi kutokana na mgogoro wa umiliki wa hoteli.   Akithibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao katika matukio tofauti Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar Kamishna Msaidizi

Katiba Inayopendekezwa Haifai - Jaji Warioba

0
0
Baadhi ya wajumbe wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba wameitaka serikali ichapishe kwa wingi na kuzisambaza kwa wananchi nakala za katiba pendekezwa, ili wananchi waisome, waitafakari na kuielewa kabla ya kuipigia kura ya maoni huku wakitahadharisha uwezekano wa nchi kuwa na katiba isiyokidhi matarajio na maslahi ya wananchi endapo wataipigia kura kabla ya kuisoma na kuiielewa.  
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images