Siku moja baada ya Kamati ya PAC kuweka hadharani uchunguzi wa
Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu
Akaunti ya Tegeta Escrow, watu wa kada mbalimbali wamependekeza hatua
kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika.
Zanzibar
Viongozi
wa upinzani Zanzibar wamesema wote waliotuhumiwa kuhusika na vitendo
vya ufisadi kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow
Kila Kona Wanataka "Watuhumiwa" Escrow Wafilisiwe
↧
↧
Tibaijuka: ''Nilipokea Pesa za Escrow''
Mjadala kuhusu kashfa ya uchotaji wa mamilioni
ya fedha katika akaunti ya ESCROW ya Benki Kuu ya Tanzania umezidi
kuunguruma nchini Tanzania kufuatia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge
ya Hesabu za Serikali, PAC, na ripoti ya serikali kuhusu kashafa hiyo.
Mambo yaliyojitokeza
katika ripoti ya PAC ni kutaja majina ya viongozi na maafisa wandamizi
wa serikali walionufaika na mgao huo
↧
Mjadala wa Sakata la Akaunti ya Escrow Leo Bungeni
Nchambi: Anailaumu
serikali kwa kuchelewesha kuleta jambo husika bungeni, watanzania wana
hamu ya kujua fedha ni nani? Wakili wa TANESCO (Mkono) alishauri
kufunguliwa akaunti (ananukuu maandiko ya biblia kuhusu kuheshimu
mamlaka), anasema kila mtu atawajibika kwa namna yake.
Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Masoud Nchambi.
Hasara nyingine tuliyoipta ni gharama za mawakili(bilioni
↧
Mbunge Lugola Awavunja Wabunge Mbavu Baada ya Kuomba Kuvaa Kininja ili Asiwatazame wahusika wa Escrow Usoni
MBUNGE wa
Mwibara (CCM), Alphaxard Kangi Lugola wakati akichangia katika Ripoti ya
PAC kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow bungeni leo, ameomba
kuchangia huku akiwa amevaa 'Kininja' ili kutowaangalia usoni wahusika
wa sakata hilo.
Mbali na
kuvaa hivyo, Lugola pia aliomba kama kanuni zinaruhusu achangie tena
akiwa amevaa nguo za chama chake cha CCM ili kuonyesha kuwa CCM haiungi
↧
Bunge "Lawaka Moto" baada ya Freeman Mbowe naye kuhusishwa na Mgawo wa Pesa za Escrow
Kuliibuka Majibishano Makali Bungeni baada ya Mbunge Assumpta (CCM) Kumtaja Freeman Mbowe kuhusika na mgawo wa pesa za Escrow, hali iliyomfanya John mnyika asimame na kumtaka mbunge huyo kuthibitisha kauli yake....
Bonyeza hapo chini kujionea mabishano hayo.
↧
↧
Wananchi wagoma kujiandikisha kupiga Kura
Wakazi
zaidi ta 350 wa vijiji vitatu vilivyopo kata ya Maere jijini Tanga
wamelalamikia zoezi la kujiandikisha katika daftari la wapiga kura
kufuatia kituo walichozoea kujiandikisha katika chaguzi mbalimbali
zilizopita kuhamishiwa umbali wa kilomita Saba kutoka katika makazi yao
hatua ambayo inawalazimu baadhi ya wasamaria wema kujitolea kukodisha
usafiri wa pikipiki almaarufu boda
↧
Aunty Lulu Asimulia Alivyobakwa
Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za
Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefungua kinywa na kutoa
la moyoni akisimulia tukio baya lililowahi kumkuta la jinsi alivyobakwa.
Akizungumza na Gpl, Aunty Lulu asiyeishiwa na vimbwanga alisema
kwamba, kamwe hawezi kusahau tukio hilo maishani mwake.
Aunty Lulu
aliyeng’ara kwenye Sinema ya Lost Soul
↧
Aibu: picha Chafu za Lulu wa Y-Tone zavuja mtandaoni
Wauza nyago wanaotumika katika video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva (video queens) wametia fora kwa kurekodiwa mikanda ya utupu na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na simu za kupangusa.
Ukiachana na Agness Gerald ‘Masogange’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, Rehema Fabian, Husna Maulid ambao walisharipotiwa huko nyuma, mrembo maarufu kwa jina moja la Lulu ambaye ameuza
↧
UKAWA Wachafua Hali ya Hewa Bungeni Baada ya Kugoma Wakishinikiza Waziri Muhongo Awajibishwe......Bunge Laahirishwa
Vurugu za aina yake ziliibuka Bungeni jana usiku baada ya UKAWA Kugoma kuendelea na mjadala wa Bunge wakishinikiza Waziri Muhongo awajibishwe....
Vurugu hizo ziliibuka baada ya kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, mh. Freeman Mbowe kusimama na kumtuhumu Spika wa bunge kuwakumbatia wezi wa Pesa za Escrow, hali iliyowafaya wabunge wa
↧
↧
Habari kwa Kina Kuhusu Vurugu Zilizoibuka Jana Bungeni na kupelekea Bunge Kuvunjika
Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana usiku kilivunjika baada ya vurugu kutawala ukumbini humo.
Vurugu hizo zilianza saa 04:42 usiku hadi saa
04:49 usiku wakati Spika Anne Makinda alipolazimika kuahirisha Bunge
hadi leo saa tatu asubuhi.
Chanzo cha vurugu ni kutokana na ugumu wa
kutokukubaliana na azimio la tisa, lililolenga kumwajibisha moja kwa
moja Waziri wa
↧
Lowassa aomba watu wapuuzie akaunti ya Twitter yenye jina lake
Toka bunge limeanza mjadala wa kadhia ya Escrow account, kuna mtu au
kikundi kwa sababu wanazozijua wao wenyewe wameanzisha akaunti ya
mtandao wa Twitter kwa jina la Edward Ngoyai Lowassa, @edwardlowasa.
Kwa
kutumia ukurasa huo, mtu huyo amekuwa akiandika masuala kadhaa
kuhusiana na suala hilo la escrow account na kile kinachoendelea
bungeni, ikionekana kama ni kauli ya Mhe. Lowassa.
↧
Haya hapa majina yaliyoteuliwa na PAC kuandika maazimio ya kuwawajibisha watuhumiwa wa Escrow…
Baada ya Spika wa Bunge kuahirisha Bunge
mara mbili siku ya leo Novemba 29 ili kuipa nafasi kamati ya PAC iweze
kufanya marekebisho ya maneno yaliyoandikwa kwenye maazimio
yaliyowasilishwa na Kamati ya PAC, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Zitto Kabwe ametaja majina ya walioteuliwa na Kamati hiyo kuandika maazimio ya kuwajibisha watuhumiwa wa Tegeta Escrow.
Kupitia ukurasa wake wa
↧
Helikopta ya Maliasili (TANAPA) Yadondoka jijini Dar....Watu Watano Wakiwemo Rubani na Polisi Wafariki Dunia
Helikopta ya Maliasili (TANAPA) imedondoka maeneo ya Gongo la Mboto, Moshi Bar jijini Dar na kuua watu wote watano wakiwemo rubani na Polisi.
↧
↧
Rais Kikwete Atua Dar Es Salaam Leo Akitokea Marekani Kwenye Matibabu
Rais Jakaya Kikwete amesema amepona saratani baada ya kufanyiwa upasuaji mapema mwezi huu nchini Marekani.
"Niligundulika
kuwa na hatua ya pili ya saratani ya kibofu, ambayo baadaye ikaonekana
kuwa ni hatua ya kwanza," alisema Kikwete katika hotuba yake aliyoitoa akiwa uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam
baada ya kurejea kutoka Marekani.
Aliongeza kuwa madaktari
wamesema sasa
↧
Bunge Laazimia Muhongo na Wenzie Wawajibishwe Kutokana na Kashfa ya Wizi wa Bilioni 321 Tegeta Escrow.
Bunge limeazimia waziri wa nishati na madini Mhe.Prof Sospeter
Mhongo,Waziri wa ardhi Prof. Anna Tibaijuka,Mwanasheria mkuu wa serikali
jaji Fredrick Werema na katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini
pamoja na bodi ya wakurugenzi wa Tanesco wawajibishwe kwa kuishauri
mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wao.
Akiwasilisha maazimio hayo mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Kabwe
amesema bunge
↧
Hotuba ya Waziri Mkuu Pinda Aliyoitoa Wakati wa Kuhitimisha Shughuli za Bunge Tarehe 29 Novemba 2014
I: UTANGULIZI
a) Masuala ya jumla
Mheshimiwa Spika,
1. Leo
tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa
Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi
wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,
2.Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza:
↧
Diamond Platnumz Anyakua Tuzo Tatu za Channel O Music Video Awards 2014 ( CHOAMVA14 )
November 29, haitakumbwa kwenye maisha ya Diamond Platnumz na familia
yake pekee, bali pia kwenye muziki wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa
ujumla, baada ya hitmaker huyo wa ‘Number One’ kunyakua tuzo tatu kwenye
tuzo za Channel O.
Diamond alikuwa ametajwa kwenye vipengele vinne. Vipengele hivyo ni
pamoja na Most Gifted East Video, Most Gifted Afro Pop Video na Most
Gifted Newcomer.
↧
↧
Wema ampongeza Diamond, amuita ‘kaka’..... Zari achukua nafasi yake rasmi, amsindikiza kwenye #CHOAMVA14
It’s official, Diamond na Wema Sepetu hawapo pamoja tena.
Habari hiyo imekuja katika siku ambayp Diamond amegeuka shujaa kwa
kunyakua tuzo za tatu za Channel O. Miongoni mwa watu waliompongeza kwa
ushindi huo ni Wema Sepetu ambaye tumezoea akimuita staa huyo ‘my baby’,
awamu hii ameitwa ‘kaka’.
“Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must
say he did
↧
Hiki ndicho alichokiongea yule Hausigeli ( Dada wa kazi ) aliyempiga Mtoto Uganda.
Baada ya habari za yule msichana anayefanya kazi za ndani Uganda
kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Duniani, leo
kipo ambacho amekizungumza kwa mara ya kwanza tangu afanye kosa hilo.
Msichana huyo Jolly Tumuhiirwe ambaye kwa sasa amekamatwa na Polisi amesema sababu iliyomfanya amtese mtoto Arnella Kamanzi, ni kutokana na kuchanganyikiwa baada ya waajiri wake
↧
Big Brother Africa: Mshiriki wa Tanzania Afanikiwa kuingia Fainali za Mashindano haya.......Washiriki wanne jana waliondolewa
Habari ikufikie kutoka ndani
ya jumba la Big Brother Africa #BBA9_Hotshots kwamba November 30 2014, washiriki wengine Wanne wametolewa kwenye jumba hilo na kufanya game iendelee
kunoga.
Goitse mshiriki wa kutoka Botswana, Ellah mwakilishi kutoka Uganda, Sheillah mwakilishi wa Botswana na Trezagah kutoka Msumbiji ndio washiriki walioyaaga haya mashindano Novemba 30 2014.
Idadi ya
↧
More Pages to Explore .....