Hit maker wa ‘Dear God’, Kala Jeremiah amepinga vikali kuwa amepotea
kwenye game toka alivyohit na wimbo wa ‘Dear God’, huku akidai kuwa huu
ndio mwaka ambao ameingiza pesa nyingi kuliko miaka mingine aliyokaa
kwenye muziki.
Kala amesema licha ya kutoonekana akifanya
show kwa wingi mwaka huu, lakini ameingia mikataba mingi na makampuni
mbalimbali.
“Mwaka huu ni mwaka mzuri kwangu
Kala: Mwaka huu nimeingiza kipato kikubwa kuliko miaka yote. Akanusha kupotea kwenye game
↧
↧
Taarifa ya Diamond kutunikiwa PHD na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, yakanushwa
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof. Rwekaza
Mukandala amekanusha taarifa zilizozagaa zinazodai kuwa msanii wa Bongo
Fleva Diamond Platnumz atatunukiwa Shahada ya Uzamivu (PHD) kutokana na
mchango wake kwa jamii.
Akizungumza na Power Jams ya East Africa Radio, Prof. Rwekaza
Mukandala ambae yupo nje ya nchi kwa sasa amesema taarifa hizo si za
kweli ni uzushi tu.
↧
Msichana aliyeigiza kwenye video ya ‘Nampenda Yeye’ ya Temba afariki dunia
Msichana aliyeigiza kwenye video ya wimbo wa Mheshimiwa Temba aliomshirikisha Dully Sykes, ‘Nampenda Yeye’ amefariki dunia.
Temba amesema msichana huyo aitwaye Batulli alifariki juzi.
“RIP Batuli. Dada yng mungu
akupunguzie adhabu ya kaburi tutakukumbuka kwa mema yote. Batuli
ulijitolea kwa nguvu na mali ktk video yng ya nampenda yy na kwa nguvu
za mungu tulifanikiwa,” ameandika
↧
Aunt Ezekiel: Sina ujauzito, nimenenepa tu!
Habari zilizozagaa mitaani kupitia mtandao wa Instagram kuwa staa wa
filamu za Kibongo Aunt Ezekiel huenda ni mjamzito, zimekanushwa na
muigizaji huyo.
Alipoulizwa kupitia U Heard ya XXL ya Clouds Fm kama anatarajia kuwa
mama, Aunt amesema hana ujauzito wowote isipokuwa anachojua yeye
amenenepa tu na kama mimbo ipo basi watu wataona.
Baadhi ya mashabiki
wake wamekuwa wakimuuliza
↧
Wananchi wachoma jengo la bunge na kuvamia ikulu nchini Burkina Faso
Waandamaji wenye hasira nchini Burkina Faso wamelichoma moto jengo la
bunge kufuatia mipango ya Rais Blaise Compaore kutaka kurefusha kipindi
chake cha utawala uliodumu kwa miaka 27.
Mamia ya watu walivuka ulinzi mkali katika jengo la bunge katika mji
mkuu Ouagadougou, ambapo walichoma moto magari kabla ya kukivamia kituo
cha runinga cha serikali na kisha ikulu.
Mtu mmoja aliuawa
↧
↧
Mwanaume Atiwa Mbaroni baada ya kukutwa akifanya Mapenzi na Kondoo
Mtu mmoja mkazi wa Kiamaina,
Nakuru amekamatwa na kufikishwa kituo cha Polisi baada ya
kukutwa akifanya mapenzi na kondoo.
Mtu huyo aliyetambulika kwa jina la John
Chege mwenye umri wa miaka 27, ambaye ni fundi wa kukarabati mabomba ya
maji katika eneo hilo amekiri kufanya kosa hilo japo amelalamika kuwa
mama yake mzazi amehusika kumuandalia mtego wa kumkamata akifanya
kitendo
↧
Wema Sepetu Ampiga Chid Diamond.....Wakutana kwenye sherehe, wachuniana kama hawajuani
Pamoja na kujishaua mbele ya kamera za
wanahabari na simu za kuteleza (smart phones) kisha kutupia kwenye
mitandao ya kijamii wakizuga wapo pamoja, habari ya mjini inadai kwamba,
sexy lady wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’
amemmwaga staa wa Ngoma ya Mdogomdogo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni
rafiki mkubwa wa wapenzi hao,
↧
Polisi Waanza Msako Mkali wa Madereva Wawili WALIOUA Abiria 12 jijini Arusha
POLISI mkoani Arusha inawasaka madereva wawili wa magari mawili ambayo yalisababisha ajali iliyoua abiria 12 na kujeruhi wengine watatu.
Madereva hao ni wa basi dogo la abiria aina ya Nissan lenye namba za usajili T519 BDJ na lori la mafuta aina ya Scania lenye namba za usajili T 582 ACR ambao magari yao yaligongana katika barabara ya Arusha Moshi eneo la Madira baada ya basi hilo kutaka
↧
Taarifa ya CAG ya ukaguzi maalum wa IPTL wa akaunti ya Tegeta Escrow
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inapenda
kuujulisha Umma kuwa Ukaguzi Maalum wa akaunti ya Tegeta Escrow ambao
unafahamika kama Ukaguzi wa IPTL unaendelea na unaongozwa na Hadidu za
Rejea (ToR) zilizotolewa na kisha kuridhiwa na Ofisi ya Bunge na Wizara ya Nishati na Madini.
Ukaguzi wa akaunti ya Tegeta Escrow uliombwa na Katibu wa Bunge na
Katibu Mkuu Wizara ya
↧
↧
Lowassa, Makamba ‘wagongana’ kanisani
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Naibu Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba wamewaomba viongozi
wa dini kuwasamehe viongozi wa Serikali waliokwaruzana nao wakati wa
mchakato wa Katiba na kuliombea Taifa lipate viongozi wenye hekima na
uwezo katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Viongozi hao walisema hayo jana katika maadhimisho
ya miaka 50 ya Kanisa
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Lipumba: Kwanza CCM ing’oke, ruzuku baadaye
Wakati Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akisema
suala la ruzuku na viti maalumu ni changamoto kwa Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema
hicho si kipaumbele.
“Tunachokitaka ni kuunganisha nguvu zetu ili
kuhakikisha tunaing’oa CCM madarakani kwanza, masuala mengine kuhusu
ruzuku tutaweka utaratibu maalumu baadaye,”
↧
Askari Polisi Amkata Vidole Vinne Mfanyakazi wake wa Ndani akimtuhumu kumwibia deki.....RPC Mwanza Ageuka Mbogo, aunda tume kubaini ukweli
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa
Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi
wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa
panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20
mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu
↧
↧
Basi la Simba Mtoto lagongana uso kwa uso na lori Daraja la Wami leo.
Basi
la Simba mtoto linalofanya safari zake kati ya Dar na Tanga
limegongana uso kwa uso na Lori la mizigo katikati ya Daraja la Mto Wami
mkoani Pwani.
Dereva wa lori hilo amefariki papo hapo na wengine
kujeruhiwa.
↧
Jeshi Lagawanyika kuhusu Uongozi Burkina Faso
Mgawanyiko umeripotiwa ndani ya jeshi la Burkina Faso kuhusu ni nani
anayefaa kuliongoza taifa hilo kufuatia kujiuzulu kwa rais Blaise
Campaore baada ya miaka 27 uongozini.
Kituo kimoja cha radio kilitangaza taarifa
kutoka kwa naibu mkuu wa kikosi cha kumlinda rais kanali Isaac Zida
iliyosema kuwa amechukua jukumu la kuliongoza taifa hilo.
Mkuu wa majeshi ya Burkina Faso Jenerali
↧
Chidi Benz asimulia story nzima jinsi ilivyokuwa hadi kukamatwa na dawa za kulevya Airport
Rashid Makwiro a.k.a Chidi Benz ambaye ameachiliwa kwa dhamana
Jumatano wiki hii, amesimulia jinsi ilivyokuwa hadi kukamatwa Ijumaa
iliyopita Oct.24 na dawa za kulevya kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa
Julius Nyerere.
Chidi alizungumza na Soudy Brown kupitia So So Fresh ya Clouds FM jana.
“Sikuwaambia natumia, niliwaambia dawa ambazo nilikuwa niko nazo
lazima nitakuwa
↧
CCM kushika dola uchaguzi ujao - Nape
Chama
Cha Mapinduzi (CCM), kimesema ushindi wa Urais nchini Msumbiji, ni
salamu kwa vyama vya upinzani nchini kuwa uchaguzi ujao, CCM itaendelea
kushika dola.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Nape Nnauye, aliyasema hayo
jana jijini Dar es Salaam, wakati chama hicho kikitoa salamu za pongezi
kwa Rais mteule wa Msumbiji, Filipe Nyusi, aliyeshinda kiti hicho katika
uchaguzi
↧
↧
Big Brother Africa: Video za Washiriki Wakioga Bafuni ziko hapa ( Video hizi ni kuanzia siku ya 18 hadi ya 26)
Video za washiriki wa jumba la big brother wakioga bafuni ziko hapa. Video hizi ni kuanzia DAY 18 hadi DAY 26.
Kabla
hujaangalia video hizi, taarifa zikufikie kuwa mshiriki mmoja
au wawili watayaaga mashindano haya jumapili ya wiki hii.
Usikae mbali na TV yako kujua nani ataondolewa siku hiyo na kama huna DSTV, basi hakikisha huchomoki
↧
Vurugu: Ngumi zapigwa wakati wa mdahalo wa katiba
Vurugu
zilizoambatana na ngumi kurushwa zimetokea katika Ukumbi wa
Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo
wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama
ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba.
Vurugu hizo
zimezuka baada ya watu waliokuwa na mabango
↧
Padri Mtarajiwa Aaibika Gesti baada ya kufumaniwa na mke wa mtu
Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Leonard Celestine ambaye anasomea
upadri, anayemalizia masomo ya falsafa (philosophy) mwaka wa tatu
katika Chuo cha Jordan mjini Morogoro, anadaiwa kuaibika gesti, kisa
kikiwa ni mke wa mtu gesti.
Kwa mujibu wa shuhuda wetu, tukio
hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni kwenye Gesti ya Silver Inn
iliyopo maeneo ya Msamvu mjini Morogoro ambapo
↧
More Pages to Explore .....