Msichana
Kulwa Joseph (21) mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) mkazi wa kijiji cha
usonga kata ya sirambo wilayani kaliua mkoani Tabora, amenesurika kuuawa
na majambazi watatu, ambapo awali walimteka Balozi wa nyumba kumi na
kumpiga ili awapeleke kwa mlemavu huyo naye kwa kubaini nia mbaya
akawapeleka nyumba nyingine.
Akizungumza katika kituo cha kulelea yatima na wanaoishi katika
Mlemavu wa ngozi anusurika kuuawa
↧
↧
Mchungaji akamatwa na dawa za kulevya za bil.2
Jeshi la Polisi kitengo cha Kupambana na Dawa za kulevya limekamata
kilo40 za dawa za kulevya aina ya heroine zenye thamani ya shilingi
bilioni2.
Tukio hilo lilitokea juzi eneo la Tegeta nje kidogo ya Jiji la Dar es
salaam ambapo Polisi walifaniikiwa kuwanasa watu wawili wakiwa na dawa
hizo ndani ya nyumba inayomilikiwa na mchungaji ambaye wakati huo alikua
katika kanisa lake lililopo
↧
Mbunge aongoza wananchi kujigawia ardhi Arusha
MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari juzi aliongoza wapiga kura wake kugawa shamba linalomilikiwa na Chama cha Ushirika mkoani Arusha (ACU), akisema amechoka kuona wananchi wake wakisotea ardhi ilhali kuna maeneo hayaendelezwi.
Nassari aliongozana na wapiga kura wake hadi eneo la shamba la Valeska na kuanza kuwagawia ardhi bila ya kuwa na kibali kutoka kwa mmiliki wa
↧
Kijans Alipukiwa na bomu kwenye gari, afa
KIJANA Juma Rashid anayesadikiwa kuwa na umri kati ya 21 na 23 amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kilicholipuka ndani ya gari na kumkata kiganja cha mkono, mguu na tumbo, huku watu wengine watatu waliokuwa ndani ya gari hilo nao wakijeruhiwa.
Tukio hilo lililothibitishwa na Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Longinus Tibishubwamu, limetajwa
↧
Moshi kuwa Jiji Ifikapo 2015
MKOA wa Kilimanjaro umepitisha rasmi azimio la kuiomba Serikali kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kuwa jiji ifikapo mwaka 2015.
Azimio hilo limepitishwa katika kikao cha ushauri cha mkoa huo (RCC), chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni Mkuu wa Mkoa, Leonidas Gama ambaye amewataka watendaji wa ngazi mbalimbali kutekeleza vigezo vichache vilivyobaki ili kupandishwa hadhi hiyo
↧
↧
Waliofungwa Kesi ya EPA Waachiwa huru
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mume na mke, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi sita jela kwa sababu ya wizi wa Sh bilioni 1.1 katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Walioachiwa huru ni mume Manase Makale na mkewe Edda Makale, na mfanyabiashara mwingine Bahati Mahenge.
↧
Sakata zima la Vurugu za Mdahalo wa Katiba NA Jinsi Jaji Warioba alivyodhalilishwa na "Wahuni" Waliomvamia na kumpiga
MDAHALO wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya
Mwalimu Nyerere, jana ulivunjika baada ya kutokea vurugu ambako
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph
Warioba, alipigwa vibao shingoni na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa
CCM.
Hali hiyo ilijitokeza kwenye Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo
Dar es Salaam, baada ya kuvunjika mdahalo
↧
Kidato cha nne waanza mtihani wa Taifa
Wanafunzi 297,488 wa kidato cha nne wanaanza mtihani wa kuhitimu
elimu ya sekondari utakaokamilika baada ya siku 20, huku watahiniwa
wakionywa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu.
Idadi ya watahiniwa wa mwaka huu ni pungufu ikilinganishwa na ya mwaka jana wakati walipokuwa wanafunzi 367,399.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
Jenista Mhagama alisema juzi kwamba kati
↧
Fumanizi Mstuni: Mchungaji Afumaniwa na mke wa Afisa wa Polisi wakingonoka kwenye gari
Habari kubwa iliyoenea kwenye mitandao
ambayo huenda hujabahatika kukutana nayo leo ni kuhusiana na fumanizi
lililofanywa na askari polisi katika gari ambapo watu wawili wamekutwa
wakifanya mapenzi mchana wa jua kali.
Mitandao ya Zimbabwe imeandika kuhusiana na mchungaji Novert Chivese kukutwa akifanya mapenzi na mke wa afisa wa polisi msituni.
Habari zinaarifu kuwa baada ya
↧
↧
Kaimu Mkurugenzi wa TPDC na mwenyekiti wake wa bodi watupwa rumande kufuatia kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa PAC.
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petrol nchini Tanzania
(TPDC) Michael Mwanda na Kaimu Mkurugenzi wa Shirika hilo James Andilile
wanashikiliwa na polisi kwa kushindwa kuwasilisha mikataba 26 ya TPDC
kama ilivyoagizwa na Kamati ya bunge.
Hatua
hiyo imekuja baada ya Shirika la Maendeleo ya Petrol nchini Tanzania
(TPDC) kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa Kamati ya
↧
Makonda Akana Kumpiga Jaji Warioba......Asema anamheshimu kama baba yake!
Katibu wa Hamasa na Chipukizi wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM, Paul
Makonda amekanusha taarifa ya kwamba amehusika kumpiga Waziri Mkuu wa
zamani Jaji Joseph warioba jana.
Amesema hawezi kumfanyia kitendo kama kile Jaji warioba kwani anamuheshimu kama mzazi wake.
Katika
vurugu hizo, Makonda anatuhumiwa kumpiga aliyekuwa Mwenyekiti wa
Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji
↧
Spika wa Bunge, Anne Makinda Achaguliwa kuwa Rais Mpya wa Bunge la SADC
MKUTANO wa 36 wa Bunge la nchi wanachana wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), umemchagua kwa kishindo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda kuwa Rais wa Bunge hilo kwa kipindi cha miaka miwili ijayo.
Mbunge wa Malawi, Njovya Lema amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais. Makinda, ambaye hakuwa na mpinzani katika uchaguzi huo uliofanyika juzi,
↧
Rais Kikwete ataka mafunzo yenye ufanisi kukabili Rushwa
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), kuanzisha mafunzo yatakayotolewa kwa watu maalumu kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa namna ya kupambana na rushwa nchini kwa ufanisi.
Alisema hayo jana alipofungua Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Taasisi za Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa
↧
↧
Padri wa Kanisa Katoliki akerwa na USHOGA
PADRI wa Kanisa Katoliki nchini amedai kupokea maombi ya watu wanaotaka kufungishwa ndoa ya jinsia moja, kitendo alichokilaani na kukikemea, akisema ni kinyume kabisa na taratibu za kanisa hilo, huku akiapa maishani mwake hatafungisha ndoa za aina hiyo.
Aidha, ametishia kuacha kazi ya kumtumikia Mungu endapo atalazimishwa kufanya hivyo, kama ndoa za aina hiyo zikiridhiwa na kanisa hilo
↧
Janga:Bodaboda zinaua watatu kila siku nchini
Licha ya kutoa ajira kwa maelfu ya vijana wa Kitanzania na pia kupunguza tatizo la usafiri mijini litokanalo na foleni, usafiri wa pikipiki maarufu kama 'bodaboda' umeendelea kuua watu kimyakimya na kuwasababishia ulemavu wa kudumu maelfu ya manusura wa ajali za vyombo hivyo kila uchao.
Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE umebaini kuwa mbali na vifo na ulemavu, bodaboda zimeathiri pia utoaji
↧
Rais Kikwete Aomba Yasimkute ya Jaji Warioba.....Polisi watoa tamko, CUF Waapa kulinda midahalo ya Jaji Warioba!
Rais Jakaya Kikwete amesema anaomba yasimkute ya Mwenyekiti wa
iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba
aliyeshambuliwa katika mdahalo wa katiba uliofanyika Dar es Salaam,
juzi.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo Mwanza jana katika
mkutano wa 12 wa Shirikisho la Taasisi za Kupambana na Rushwa (Safac)
unaojumuisha nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa
↧
Rufaa ya Sheikh Ponda Yatupiliwa Mbali
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyatupilia mbali maombi
ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa
Ponda ya kuitaka isimamishe kesi ya uchochezi inayomkabili katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro hadi itakapotoa uamuzi wa rufaa yake.
Jaji
Lawrence Kaduri aliyatupilia mbali maombi hayo baada ya kukubaliana na
pingamizi la awali lililowasilishwa
↧
↧
Walimu watumia MIHOGO kuandikia Biharamulo
Walimu wawili wanaojitolea katika
Shule ya Msingi Msali, Kata ya Nyakahura, wilayani Biharamulo, mkoani
Kagera wanatumia vipande vya mihogo mikavu na mkaa kuandikia ubaoni
baada ya kukosa chaki.
Wakizungumza shuleni hapo juzi,
walimu hao walisema hawana chaki za kuandikia na kwamba wanatumia vitabu
viwili vya hesabu na kiswahili kufundishia wanafunzi 200.
Mwalimu
mkuu wa shule
↧
BAVICHA kutumia chopa kupinga Katiba mikoani
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake
la vijana, kimetangaza kuzindua Bavicha Operesheni itakayohusisha
matumizi ya chopa kuzunguka katika mikoa ya kanda za Kati na Magharibi
kueneza ujumbe wa kuikataa Katiba Inayopendekezwa sambamba na kujipanga
kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Operesheni
hiyo itakayojumuisha mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi
↧
Wassira aitahadharisha CCM uteuzi wa wagombea
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wassira, amekitaka chama Cha Mapinduzi (CCM), kutokufanya makosa ya kusimamisha wagombea wasiokubalika katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Wassira alisema mwaka 2010 CCM ilifanya makosa katika baadhi ya maeneo kwa kusimamisha wagombea wasiokubalika, hatua ambayo ilisababisha chama kupoteza majimbo na kata ambazo zilichukuliwa
↧
More Pages to Explore .....