Askari polisi wanne wamenusurika kulipuliwa kwa bomu la kienyeji usiku wa kuamkia jana lililotegwa eneo wanalokaa asakari hao.
Tukio hilo limetokea wakati wakikagua magari jirani na transimita ya kituo cha TBC Songea katika eneo la mshangano mkoani Ruvuma.
Hata hivyo polisi kwa kushirikiana jeshi la wananchi wamefanikiwa kutegiua bomu hilo.
Kutokana na kishindo kikubwa wakati wa
Askari Polisi wanusurika kulipukiwa na bomu Songea
↧
↧
Ray C Aifuta Kesi ya Chid Benzi
Wakati nyota wa muziki wa
Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ akikamatwa Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa na madawa ya kulevya akiwa njiani
kuelekea Mbeya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ aliyekuwa amemfungulia kesi ya
kumpiga katika kituo cha Polisi cha Oysterbay, amefuta shauri hilo na
kumsamehe.
Akiongea na Gpl, Ray C alisema ameamua kumsamehe kwa
sababu yeye ni mtu
↧
Serikali ya Tanzania yakataa Rasmi kutambua Ndoa za Mashoga ( Jinsia moja)
SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja
(ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015
mpaka 2030 katika mkutano wa Umoja wa Mataifa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa majadiliano ya
malengo ya milenia yanayotazamiwa kumalizika mwakani na kuanza malengo
mapya, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi
↧
Rais aipasua kichwa Ukawa Uchaguzi Mkuu 2015
Baada ya vyama vinne vya upinzani nchini kusaini makubaliano ya
kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote
zijazo, umoja huo sasa unakabiliwa na kazi ngumu ya kuweka sawa mambo,
ikiwa ni pamoja na mchakato wa kumpata mgombea urais, kabla ya filimbi
ya uchaguzi kupulizwa.
Vyama hivyo vitalazimika kufanya uamuzi katika
sera tofauti za vyama vyao, kukabiliana
↧
TCRA yatoa mwongozo wa uchaguzi Mkuu Ujao kwa vyombo vya habari
Ukiwa umesalia mwezi mmoja kuanza kwa uchaguzi wa Serikali za
Mitaa nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa rasimu ya
mwongozo kwa vyombo vya habari vya utangazaji utakaongoza namna ya
kuripoti habari zote za uchaguzi.
Mwongozo huo utawabana pia wanasiasa ambao hupenda
kutumia vyombo vya habari kujisifia wakati wa kampeni kwa kutoa misaada
mbalimbali kwa jamii.
↧
↧
Polisi Yatumia Mabomu ya Machozi kuwatawanya Wafuasi wa CHADEMA waliokuwa katika mkutano wa Halima Mdee
Jeshi la Polisi wilayani Kyerwa limetumia mabomu ya machozi kupambana na wafuasi wa Chadema waliotaka kufanya mkutano wa ndani.
Mkutano huo ulikuwa uhutubiwe jana na Mwenyekiti
wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee ambaye yuko ziarani
katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Msafara wa Mdee uliwasili katika Kijiji cha
Karukwara, Kata ya Isingiro saa 8:35 mchana na kwenda
↧
Uozo vyama vya siasa....Mabilioni ya fedha yatafunwa, CCM, CUF, NCCR-Mageuzi na CHADEMA Vyapata hati ya shaka
Na Patricia Kimelemeta-MTANZANIA
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka
2012/13, imeibua uozo mkubwa katika hesabu za vyama vya siasa.
Mbali ya uozo huo, CAG pia amebaini baadhi ya vyama havina ofisi
badala yake vimepanga hotelini na vingine sehemu za uchochoroni.
Ripoti hiyo inaonyesha Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi
(CUF), Chama cha
↧
Mwanamke Anayedaiwa kupigwa na mumewe baa afariki dunia
MWANAMKE Sakina Kopa (41) amefariki dunia siku tatu baada ya kupigwa na kujeruhiwa na mumewe anayedaiwa kuchukizwa kwa kumkuta akiwa baa usiku.
Aidha, katika tukio jingine linalohusishwa na wivu, dereva wa bodaboda amemjeruhi kwa visu mpenzi wake ambaye ni Mwalimu, na baada ya kudhani amemuua, naye alijichoma kisu hadi utumbo kutoka nje, ingawa bado yu hai.
Matukio hayo
↧
Serikali Yashauriwa Kulifuta Jiji la Mwanza
KAMATI ya Bunge inayoshughulikia Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeishauri Serikali kuifuta Halmashauri ya Jiji la Mwanza baada ya kubaini upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 40.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Rajab Mohammed Mbarouk alishauri hayo jana wakati wa kikao cha kupitia taarifa ya CAG ambapo alisema ubadhirifu huo ni wa kati ya mwaka 2010 hadi 2013.
Alisema hesabu za miaka
↧
↧
Fisi Wavunja NDOA Ya Watu Mkoani Singida
Katika hali isiyo ya kawaida, Limu Jumanne mkazi wa mkoani Singida, amemtimua na kumrejesha mkewe kwa wazazi wake akidai ni mvivu na mzembe kutokana na kushindwa kudhibiti kundi la fisi walioshambulia na kuua ndama sita wa ng’ombe akiwa machungani.
Limu anayeishi kitongoji cha Itigi, kijiji cha Irisya wilayani Singida anadaiwa kufanya ukatili huo mwishoni mwa wiki baada ya mkewe kurejea
↧
Hatimaye Chid Benz Apata Dhamana
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro ’Chid
Benz’ amepata dhamana mapema hii leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu baada ya kukamilisha taratibu zote za wadhamini wawili baada ya
hapo jana kurudishwa rumande alipokuwa hajakamilisha taratibu hizo.
↧
AJALI: Lori la Mafuta lagonga tuta na kulipuka jijini Dar
Lori la mafuta aina ya Scania likiwa limesheheni dizeli likitokea bandarini
jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani, liligonga tuta katika Barabara ya
Morogoro, eneo la Kimara-Baruti, likapoteza mwelekeo na kupinduka
kisha kuwaka moto na kuteketea kabisa.
Wakati lori
hilo likiwaka, mafuta yenye moto yalisambaa na kutaka kuunguza nyumba za
jirani lakini Kikosi cha Uokoaji na Zima Moto
↧
Rais wa Zambia, Michael Sata afariki dunia jijini London.....Sata anakuwa Rais wa Pili Zambia kufariki akiwa madarakani
Aliyekuwa rais wa Zambia Michael Sata amefariki usiku wa jana tarehe
28 Oktoba kutokana na ugonjwa ambao bado serikali ya nchi hiyo haijaweka
wazi.
Sata (77) amefariki akiwa anatibiwa nchini Uingereza alikokuwa amelazwa kwa zaidi ya mwezi mmoja.
Rais huyo amefariki siku 4 baada ya nchi
hiyo kusherehekea madhimisho ya miaka 50 tangu ipate uhuru, ambapo
kutokana na kuwepo nje ya
↧
↧
Ajali Yaua Watu 9 Mkoani Arusha baada ya Hiace Kugongana Uso kwa Uso na Lori la Mafuta
Watu
9 wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa vibaya katika ajali ya
barabarani iliyotokea katika eneo la Makumira wilayani Arumeru baada ya
basi dogo aina ya Hiace kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas amesema kuwa
ajali hiyo imetokea majira ya saa Kumi jioni baada ya basi hilo dogo
aina ya Nisan lenye namba za usajili T519 DBV
↧
Mlegezo Wamponza Chid Benz Mahakamani
Kuonesha wapo
‘serious’ na mavazi, polisi walimtaiti staa wa Bongo Fleva, Rashid
Makwiro ‘Chid Benz’ na kumtaka akavae vizuri kisha arejee mahakamani.
Tukio hilo lilitokea juzi, Jumanne katika Makahama ya Hakimu Mkazi
Kisutu jijini Dar, wakati staa huyo alipokuwa amefikishwa kusomewa
mashtaka yake ya kukutwa na madawa ya kulevya.
Akiwa katika viunga hivyo vya mahakama,
Chid
↧
Wema Sepetu: Najuta Kuwa Maarufu
‘BEAUTIFUL Onyinye’, WEMA Isaack Sepetu ‘Madame’ ametoa ya
moyoni na kufichua kwamba maisha yake ya umaarufu anayoishi yanamtesa
kwa asilimia 40.
Pamoja na mateso hayo, staa huyo wa filamu alisema
anafurahia maisha yake kama mtu maarufu ikiwamo na kuandikwa na vyombo
vya habari mara kwa mara.
“Kuna wakati najutia kuwa maarufu kwa asilimia kama 40 hivi lakini nashukuru kwani kwa
↧
Kesi ya Miss Tanzania bado mbichi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemruhusu Prashant Patel
kubadilisha hati ya madai katika kesi aliyoifungua dhidi ya mshirika
wake, Hashim Lundenga.
Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Frank Moshi,
amemruhusu Patel kupitia wakili wake Benjamin Mwakagamba wa kampuni ya
Uwakili ya BM, baada ya kuiomba mahakama hiyo kufanya hivyo ili aweze
kuingiza gharama ambazo zilijitokeza baada ya
↧
↧
UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa NABII Wavunja NDOA ya Muumini Wake
UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika.
Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.
Ndoa ya wawili hao
↧
MSIBA : Muigizaji Mzee Manento afariki dunia.
Muigizaji Mzee
Manento amefariki dunia usiku wa kuamkia jana.
Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na
marehemu Kanumba ambazo ni Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k.
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.
↧
Bosi wa Apple Tim Cook atangaza kuwa ni shoga
Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Apple Tim Cook ametangaza kuwa ni shoga na kwamba anajivunia kuwa hivyo.
Cook alitoa tamko hilo ili kujaribu kuwasaidia watu wanaong’ang’ana
kutangaza jinsia zao katika ripoti iliochapishwa katika gazeti la
biashara la kila wiki la Bloomberg. Wiki hii Cook alitoa changamoto kwa
jimbo lake la Alabama kuhakikisha kuwa haki za mashoga na wale
wanaobadili
↧
More Pages to Explore .....