Katibu wa maendeleo ya jamii katika jiji
la Abuja Nigeria, ametangaza ‘kiama’ kwa wanawake wanaofanya ‘biashara
ya kujiuza’ pamoja na wateja wao.
Taarifa iliyochapishwa na Today Internet Newspaper
imesema, katibu mkuu huyo Blessing Unoh amesema serikali imetoa amri ya
kusitisha biashara hiyo ndani ya saa 48, kwa yeyote atakayekiuka hatua
kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Hukumu ya kifo yatangazwa kwa wanawake wanaojiuza pamoja na wateja wao
↧
↧
Big Brother Africa: Video za Washiriki Wakioga Bafuni ziko hapa ( Video hizi ni kuanzia siku ya 10 hadi ya 18)
Video za washiriki wa jumba la big brother wakioga bafuni ziko hapa. Video hizi ni kuanzia DAY 10 hadi DAY 18.
Kabla
hujaangalia video hizi, taarifa zikufikie kuwa mshiriki mmoja
au wawili watayaaga mashindano haya jumapili ya wiki hii.
Usikae mbali na TV yako kujua nani ataondolewa siku hiyo na kama huna DSTV, basi hakikisha huchomoki
↧
CHADEMA wapata hati ya SHAKA ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepata hati yenye
shaka kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
baada ya kupokea ripoti ya ukaguzi wa hesabu zake zinazoishia Juni
2011/12 na 2012/13
Ukaguzi huo ulifanyika kwa mujibu wa sheria namba 5
ya mwaka 1992 ya vyama vya siasa, iliyofanyiwa marekebisho na sheria
namba 7 ya mwaka 2009, unampa CAG mamlaka
↧
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akana kuwepo mgonjwa wa Ebola
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Leonidas Gama amekanusha uvumi ulioenea kuwa yupo mgonjwa wa Ebola mkoani humo.
Akizungumza na mwandishi wa habari wa Redio Sauti ya Injili katika
kipindi cha Dira kilichosikika hewani baada ya saa mbili usiku wa
Alhamisi, Oktoba 23, 2014, aliyemwambia kuwa zipo taarifa kuwa yupo
mgonjwa amegundulika na dalili za ugonjwa wa Ebola huko Shirimatunda,
↧
Ni marufuku kwa wanafunzi wa chuo kikuu kupigana busu
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Zimbabwe hawaruhisiwi kupigana mabusu. Hiyo ni moja ya sheria kali kwenye chuo hicho.
Uongozi wa chuo hicho umedai kuwa wanafunzi watakaokutwa kwenye pozi la kimahaba watachukuliwa hatua za kinidhamu.
“Katika umri huu kusema siruhusiwi kumbusu au kumkumbatia mtu..
haiingii akilini,” mwakilishi wa wanafunzi wa chuo hicho, Tsitsi
Mazikana aliiambia BBC.
↧
↧
Alikiba akanusha kuandaa watu wamzomee Diamond kwenye Fiesta
Alikiba amekanusha uvumi unaodai kuwa huenda aliaandaa watu maalum wa
kumzomea Diamond Platnumz kwenye show ya Fiesta iliyofanyika October 18
katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Alikiba amesema kuwa hajui uvumi huo umeanza vipi.
“Hamna ukweli wowote, naanzaje?,” amehoji. “Siwezi kufanya kitu kama
hicho. Kikubwa ni kuwashukuru wana Dar es Salaam walivyonipokea,
↧
BASATA lina siku 7 tu kubaini ukweli kuhusu skendo ya Sitti Mtemvu
Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limeanza kuifanyia uchunguzi skendo
inayomkabili Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuhusiana na kudanganya
umri wake. Baraza hilo lina siku saba tu kukamilisha kazi hiyo.
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni, Juma Mkamia
aliiambia gazeti la Champion kuwa serikali imelikabidhi suala hilo kwa
Baraza la Sanaa la Taifa ili wafanye uchunguzi
↧
Chid Benz Akamatwa na Madawa ya Kulevya Airport
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid
Makwiro 'Chid Benz' amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya heroine na
bangi akiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dar es Salaam, jana.
Akizungumza Kamanda wa Kuzuia na Kupambana
na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP, Alfred Nzowa, amethibitisha kutokea
kwa tukio hilo na kusema kuwa msanii huyo alikuwa njiani
↧
Big Brother Africa: Mshiriki wa kike wa Tanzania ( Laveda ) anaswa na kamera Akipiga Puli ( Akijichua).....Idris Aingilia kati
Leo ni siku ya 20 tangu Big Brother Africa ya Mwaka huu ianze. Naamini kwa wale wanaoifuatilia wanaburudika vya kutosha na mambo yanayotendeka ndani ya jumba hilo.
Ni Shindano ambalo halikuanzishwa kwa lengo la kuenzi mila na desturi za kiafrika, bali lilianzishwa kwa lengo moja tu la kutoa burudani ya kutosha ambayo mwisho wa siku
↧
↧
MAONI: Uchunguzi ufanyike utata wa umri wa Miss Tanzania
Wizara ya
Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa
la Taifa (Basata), wameamua kuunda tume maalumu kuchunguza sakata la
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Mbali ya kuunda tume hiyo itakayofanya kazi kwa
wiki moja, kwa siku mbili mfululizo wizara na Basata wamekuwa na vikao
virefu vya kujadili suala hilo ambalo hivi sasa limezua gumzo nchini.
Suala
↧
Tanzania yapeleka vipimo vya ebola Nairobi
Vipimo vya mgonjwa aliyetoka nchini Senegal na kuwekwa kwenye
karantini mjini Moshi kwa tahadhari ya ebola, baada ya kukaa nchini kwa
siku 14 vimepelekwa katika maabara ya jijini Nairobi nchini Kenya kwa
uchunguzi.
Mbali na vipimo hivyo, lakini madaktari na wauguzi
wote waliomhudumia na wanaendelea kumhudumia mgonjwa huyo, nao
wamewekwa kwenye karantini wakisubiri majibu ya
↧
Nec yaanza kuboresha Daftari la Wapigakura
Kitendawili cha tarehe rasmi ya Watanzania kupiga Kura ya Maoni
itakayopitisha au kukwamisha Katiba Inayopendekezwa, kitateguliwa kwa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(Nec) baada ya kukamilisha uboreshaji Daftari
la Kudumu la Wapigakura Aprili mwaka ujao.
Nec imebainisha hayo jijini Dar es Salaam jana
ikieleza kuwa tayari Serikali imetoa Sh15 bilioni za uboreshaji huo na
kwamba
↧
Pinda asukiwa zengwe....Tuhuma zabuniwa dhidi yake, Lengo ni kupunguza nguvu zake Urais 2015
Mkakati
wa kumdhibiti Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, katika mbio za kuelekea
Uchaguzi Mkuu wa 2015, umeelekezwa kwa jamii ya wakulima na wafugaji
hususani waliopo mikoa ya kanda ya Ziwa Victoria.
Hatua hiyo inadaiwa kufikiwa katika mkutano ulioratibiwa na Chama cha
Wakulima wa Pamba (Tacoga) na kufanyika juzi katika ukumbi wa Benki Kuu
(BoT) jijini Mwanza.
Pamoja na kulenga ajenda
↧
↧
Sababu za Lucy Nkya (Naibu Waziri wa zamani na Mbunge wa Morogoro Kusini) kurushiana risasi za moto na mwanaye wa kumzaa zabainika.
Kufuatia taarifa zilizozagaa mjini Morogoro na kuripotiwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mbunge wa jimbo
la morogoro kusini, Dk Lucy Nkya na mwanaye Jonas Nkya ambaye ni mjumbe
wa halmashauri kuu ya CCM taifa kupitia vijana, kurushiana risasi kwenye
ofisi yao binafsi ya faraja trust fund, watu hao wawili wamekanusha
madai hayo na kudai yameleta athari kubwa katika familia yao.
↧
Taarifa: China, Tanzania zasaini mkataba wa mabilioni ya uwekezaji
Tanzania na Jamhuri ya Watu wa China leo, Alhamisi, Oktoba 23, 2014,
zimetiliana saini Hati za Makubaliano (Memorandum of Undestanding)
ambako taasisi za China zitawekeza mabilioni ya dola za Marekani katika
uchumi wa Tanzania.
Shughuli hiyo ya utiaji saini imekuwa sehemu
ya Mkutano wa Tatu wa Uwekezaji Kati ya Tanzania na China uliofanyika
kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Nyumba ya
↧
Fisi Azua Tafrani Singida
Katika
hali isiyo ya kawaida wakazi wa manispaa ya Singida wameingiwa na
taharuki na kuanza kukimbia ovyo baada fisi kuonekakana katikati ya mji
wa Singida akiwa anakimbia na kuingia katika maduka ya wafanya
biashara.
Wakieleza kwa hisia tofauti baadhi ya wakazi huku wengine wakiwa
wamepanda juu ya mapaa ya nyumba pamoja na watoto wao kwa hofu ya
kuumwa,wamesema kuonekana kwa
↧
UKAWA kutoa msimamo wao Jumapili Jangwani
Kamati
ya ufundi inayoshughulikia Oganizesheni ya Mikutano ya Umoja wa Katiba
ya Wananchi nchini Tanzania (UKAWA) imeandaa mkutano wa hadhara
unaotarajiwa kufanyika Jumapili wiki hii katika viwanja vya Jangwani
Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti
wa Kamati hiyo Bw. Singo Benson Kigaila amesema tayari wamesha fuata
taratibu zote za kufanyika kwa mkutano huo wa hadhara ikiwemo
↧
↧
Mwanamke aliyejinusuru kubakwa na kumuua mbakaji, ahukumiwa kunyongwa.
Reyhaneh Jabbari mwenye umri wa miaka 26
amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mtu mmoja
ambaye alifanya jaribio la kumbaka.
Taarifa iliyoripotiwa na CNN
inasema mwanamke huyo amenyongwa katika gereza la Tehrain, Iran ambapo
alikuwa amefungwa baada ya kutenda kosa hilo mwaka 2007 wakati huo akiwa
na umri wa miaka 19.
Mwanamke huyo amekutwa na hatia hiyo
↧
Mabomu manne ya kivita yakamatwa Zanzibar
Jeshi
la Polisi Zanzibar limefanikiwa kumkamata mtu mmoja akiwa na mabomu
manne ya kivita ambayo yanasadikiwa ni miongoni mwa mabomu yanayotumika
katika vitendo vya uhalifu yaliyotokea sehemu mbali mbali nchini.
Kamishna wa jeshi la polisi Zanzibar CP Hamdani Omar Makame
amethibitisha kukamatwa kwa mtu huyo ambaye kwa mujibu wa jeshi hilo mtu
huyo amekiri kuwa anajishughulisha na
↧
Kukamatwa kwa Chidi: Nzowa atoa onyo kali
Kufuatia tukio la Msanii wa muziki Chidi Beenz kukamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam, Kamanda wa Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa aonya vijana kutokujihusha na dawa hizi kabisa.
Kamanda Nzowa amesema kuwa tukio la kukamatwa kwa msanii huyu mkubwa, ni nafasi ya jamii na vijana kujifunza na kuachana na dawa hizi ambazo
↧
More Pages to Explore .....