Watu
watatu wamekufa na wengine hawajulikani walipo baada ya kuzuka mapigano
ya kugombea ardhi kati ya Wafugaji na Wakulima katika kijiji cha
Kinyinya kata ya Nyamtukuza wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma.
Mapigano
hayo yametokea siku ya Jumatatu (Oktoba 20) katika eneo la mashambani
katika kijiji hicho, baada ya mfugaji mmoja kuuawa na mifugo yake
kukatwakatwa Jumatano iliyopita,
Watu Watatu wauawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji huko Kigoma
↧
↧
Muigizaji Wa Filamu Nchini Sherry Charles Magali Afariki Dunia.
Muigizaji wa filamu hasa za vichekesho nchini Sherry Charles Magali
amefariki dunia jana saa nne asubuhi katika hospitali ya rufaa Morogoro.
Sherry
ambaye amecheza filamu nyingi amefariki baada ya kuugua muda mrefu. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
↧
Ufisadi wa kutisha.......CAG afichua Sh. milioni 214/- zilivyolipwa waliofeli UDOM, IFM na mabilioni yanavyoliwa Tanesco
Ripoti
ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inayoishia
Juni 30, mwaka 2013, imeanika matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ripoti hiyo imehusisha mashirika mengi ya umma yakiwamo Shirika la Umeme
nchini (Tanesco), Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB),
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta), Bodi ya Korosho,
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),
↧
JWTZ na Jeshi la China Wafanya Mazoezi ya Kijeshi Pamoja......Picha zote ziko hapa
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kamandi ya Jeshi la
Wanamaji kwa kushirikiana na Jeshi la Watu wa China wamezindua mazoezi
ya siku 30 kwa kikosi maalumu cha Marine.
Lengo la mazoezi hayo ni kubadilishana uzoefu na kuongeza ujuzi kwa
maafisa ikiwa ni njia mojawapo ya kukuza uhusiano uliodumu kwa miaka
mingi kati ya China na Tanzania.
Mkuu wa mafunzo na utendaji wa
↧
Watu 40 wakamatwa mkoani Katavi baada ya kukutwa wakinywa pomba saa za kazi za ujenzi wa taifa.
WAKAZI 40 wa Tarafa ya Inyonga, Makao Makuu ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamekamatwa baada ya kukutwa wakinywa pombe asubuhi vilabuni na kwenye maduka yanayouza aina mbalimbali ya vinywaji.
Wakazi hao ni pamoja na wanywaji wenyewe na wauzaji wa pombe hizo wakiwemo pia wachezaji wa mchezo wa pool ambapo walikiuka amri ya Mkuu wa Wilaya, Kanali Ngelela Lubinga ya kutocheza pool au
↧
↧
Kimenuka sare za jeshi ( JWTZ) .....Meneja wa Diamond akamatwa na Polisi, Nay wa Mitego naye matatani
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Diamond Platnumz, Nay wa Mitego na wasanii wengine waliovaa sare za
jeshi kwenye show ya Fiesta Jumamosi iliyopita wapo matatani. Wasanii
hao wamepewa amri na jeshi la polisi kuzirudisha wao wenyewe sare hizo
kwenye kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Kuna taarifa kuwa meneja wa Diamond, Babutale alikuwa akishikiliwa na
polisi
↧
Taarifa kuhusiana na bweni la wanafunzi wa shule ya Sekondari kuteketea kwa moto huko Tabora
Ajali kubwa ya moto ambao chanzo chake
bado hakijafahamika, imetokea na kuteketeza bweni la wanafunzi wa shule
ya Sekondari ya Mtakatifu Petro iliyopo eneo la Iwanzari, Tabora pamoja
na vitu vyote vilivyokuwemo ndani ya bweni hilo.
ITV wameripoti kuhusiana na tukio hilo,
ambapo moto huo umezuka ghafla wakati wanafunzi wakiwa katika ibada na
hata baada ya taarifa kuwafikia askari wa
↧
Mwanajeshi wa JWTZ Aliyeua Mtu akimtuhumu kumsumbua Mkewe Afikishwa Mahakamani
Polisi wakiondoka mahakama ya wilaya Temeke leo na Mwanajeshi huyo.
******
Mwanajeshi wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki
iliyopita akimtuhumu kumsumbua mkewe wakati wakiwa baa, Octavian Maurus Gowele amefikishwa mahakama ya wilaya Temeke
leo akishtakiwa kwa mauaji.
Mwanajeshi huyo amekana shitaka hilo na kesi yake
imeahirishwa mpaka Novemba 4, 2014.
↧
Kauli rasmi ya Serikali kuhusu tetesi za kuwepo 'mgonjwa wa Ebola' Nchini
Utangulizi
Mnamo tarehe 18 Oktoba 2014, Wizara ilipokea taarifa kutoka Ofisi ya
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ya kuwepo kwa mgonjwa aliyehisiwa kuwa na
ugonjwa wa Ebola. Mgonjwa huyu aliyekuwa na umri wa miaka 17, jinsia ya
Kike na mkazi wa kijiji cha Bupandwa Tarafa ya Kahunda Wilaya ya
Sengerema, alilazwa akiwa na dalili za homa kali, manjano, kutokwa na
damu sehemu mbalimbali za
↧
↧
Diamond Platnumz akamatwa na jeshi la Polisi.....Ahojiwa kwa masaa kadhaa na kuachiwa kwa Dhamana!
Baada ya meneja wake kukamatwa jana jioni na wacheza shoo wake kukamatwa leo asubuhi, hatimaye Diamond naye amejisalimisha Kituo cha Polisi cha Oyster Bay...
Baada ya msanii huyo kujisalimisha, alihojiwa kwa masaa kadhaa
kisha akaachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZ kituoni
hapo.
↧
Picha: Wengi wajitokeza kumzika msanii wa TMK Wanaume Family, YP
Mwili
wa msanii 'YP' ambaye alifariki usiku wa kuamkia juzi katika hospitali
ya Temeke Jijini Dar es salaam, umezikwa jana kwenye makaburi ya
Chang'ombe.
Mwili
wa marehemu YP uliagwa jana mchana huko TCC Sigara Chang'ombe ambapo
wasanii na wadau mbalimbali katika tasnia ya burudani walihudhuria
mazishi ya msanii huyo kutoka kundi la TMK Wanaume Family.
Mungu ailaze roho ya
↧
Vyeti vya Miss Tanzania 2014 vyaanza kuchunguzwa na RITA, ikibidi Polisi kuhusishwa
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), imeanza uchunguzi wa vyeti vya Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu, baada ya kuibuka utata wa taarifa za kuwapo vyeti viwili vinavyotofautiana maelezo.Uchunguzi wetu umethibitisha kuwapo upekuzi maalumu wa nyaraka alizowasilisha Sitti katika ofisi za RITA Temeke ili kubaini kwanza uhalali wa cheti, kabla ya kutafuta ukweli wa taarifa
↧
Pinda atangaza Rasmi Kuwania Urais 2015
Siyo tetesi tena. Sasa ni rasmi kwamba Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda ambaye amekuwa akitajwa kuwania urais amethibitisha wazi kuwa
atagombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu mwakani.
Alitoa uthibitisho huo juzi akiwa London,
Uingereza ambako yuko katika shughuli za kikazi. Hatua hiyo inaondoa
uvumi ambao umekuwapo kwa takriban miezi mitatu sasa kwamba naye tayari
ameingia katika
↧
↧
Kiwango cha uwekezaji wa China kinavutia – Kikwete
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amesema kuwa anafurahishwa na kiwango cha uwekezaji wa makampuni ya
Jamhuri ya Watu wa China katika uchumi wa Tanzania ambao hadi mwishoni
mwa mwaka jana ulikuwa umefikia miradi 522 yenye thamani ya dola za
Marekani 2,490.21 milioni (dola bilioni 2.5).
Rais Kikwete amesema kuwa kiwango hicho kinaufanya
↧
Mauaji yasababisha machimbo kufungwa Kigoma
Serikali
mkoani kigoma imeyafunga machimbo madogomadogo ya dhahabu katika kata
ya Nyamtukuza wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, kutokana na kudaiwa kuwa
chanzo cha mauaji ya watu watatu yaliyotokea mwishoni mwa wiki kufuatia
ugomvi wa kugombea ardhi katika kijiji cha Minyinya.
Akihutubia wananchi katika kijiji cha Minyinya, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
Luten Kanal Mstaafu Issa Machibya amesema,
↧
Mgombea Udiwani 2015 Anaswa na Mwanafunzi Gesti
Mwanaume mmoja anayesemekana ni
mfanyabiashara ambaye pia anatajwa kugombea udiwani wa kata moja
iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam, aliyetajwa kwa jina moja la
mzee Beno amenaswa akiwa chumba cha gesti na mwanafunzi wa chuo kimoja
kilichopo Kibamba jijini Dar.
Tukio hilo la aina yake lilijiri Oktoba 20, mwaka huu ndani ya gesti
moja iliyopo Kimara-Suka jijini Dar es Salaam
↧
Rais Kikwete Asema Urais ni kazi ngumu sana....Aona muda wa kumaliza Ngwe yake 2015 unachelewa, Aeleza anavyotamani kuishi baada ya kutoka Ikulu
RAIS Jakaya Kikwete amesema mfumo unaotumika Tanzania ambako Rais anatumikia nafasi ya uongozi kwa muhula wa miaka mitano na si zaidi ya miaka 10 ni mzuri na unaovutia kwa sababu unaiwezesha nchi kupata fikra na mawazo mapya.
Aidha, Rais Kikwete amesema, anaamini Tanzania itapata Rais bora zaidi kuliko yeye, atayeiwezesha Tanzania kusonga mbele kwa kasi kubwa zaidi.
Rais Kikwete pia
↧
↧
Mume Ajinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya KUMUUA Mkewe kwa kumchinja Shingo
MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30 amejinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya kumuua mkewe kwa kumchinja shingo kwa kisu kutokana na kile alichodai kuwa ni kudharauliwa na mkewe.
Tukio hilo limethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela ambaye amemtaja mwanamume huyo kuwa ni Ramadhani Abdallah, mkulima na mkazi wa kijiji cha Makale katika kata ya Mitundu,
↧
Majambazi yapora Sh. Bilioni moja Benki ya Stanbic Dar....Wafanyakazi tisa wa Benki hiyo watiwa mbaroni
Watu 13 wakiwamo wafanyakazi tisa wa Benki ya Stanbic jijini Dar wanashikiliwa na polisi baada ya majambazi kuiba fedha zaidi ya Sh1
bilioni jana jioni.
Watu hao wanashikiliwa katika Kituo cha Oysterbay
kwa uchunguzi zaidi wa uporaji huo uliofanywa na majambazi yenye silaha
yaliyoingia katika Tawi la benki hiyo la Mayfair Plaza lililopo Barabara
ya Mwai Kibaki na kutokomea na kitita
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
More Pages to Explore .....