Polisi wawili wa kituo cha polisi wilaya ya Geita, Ernest Silayo na
mwingine ambaye jina lake halikufahamika mara moja juzi walikamatwa na
walinzi wa Chadema, Red Brigedi, wakitaka kuhujumu mkutano wa hadhara wa
Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha).
Askari hao walikuwa wamevalia sare za Chadema na wanadaiwa walikuwa wanarekodi hotuba za viongozi wa Baraza hilo.
Askari hao
Polisi mbaroni wakidaiwa kuhujumu mkutano wa Chadema Mkoani Geita
↧
↧
Big Brother Africa: Video ya mshiriki wa kiume wa Tanzania ( Idris ) akioga na mabinti wawili iko hapa
Tukiwa tunasubiria kwa hamu kubwa kuona ni nani ataondolewa leo usiku, hapo chini kuna video ya mshiriki wa kiume wa Tanzania ( Idris ) akiwa bafuni na mabinti wawili wakioga.....
Kama kawaida, washiriki wa Tanzania wanajitahidi kutunza heshima zao kwa kuoga kistaraabu.
Unataka kuiona video? >
Ingia hapo juu kuiona video
↧
Yaliyojiri katika Viwanja vya Jangwani kwenye Mkutano wa UKAWA
Yametimia!! Vyama vya Chadema, NCCR Mageuzi,
CUF na NLD vimesaini makubaliano ya kuwa na ushirikiano katika shughuli
za siasa ikiwa ni pamoja kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi
mbalimbali za uchaguzi kuanzia uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa hadi
Uchaguzi Mkuu 2015.
↧
Chidi Benz kufikishwa mahakamani kesho Asubuhi
Msanii
wa muziki Chidi Benz anatarajiwa kufikishwa mahakamani siku ya kesho
kujibu mashitaka kutokana na kesi ya kukamatwa na Dawa za Kulevya, tukio
lililotokea Ijumaa wiki iliyopita.
Kwa
mujibu wa Kamanda Geofrey Nzowa ambaye ni Mkuu wa Kikosi cha kupambana na dawa
za Kulevya nchini, Chidi Benz atafikishwa katika mahakama ya Kisutu
ambapo atasomewa mashitaka yake kwa mara ya
↧
Rais Kikwete Avunja Rekodi ya Dunia ....Apokelewa kwa pikipiki za Polisi China na kuongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China
inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza
duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi na kuongozwa na pikipiki
hizo kwa muda wote wa ziara katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Rais Kikwete ambaye aliwasili nchini
↧
↧
Nakala ya makubaliano ya vyama vinavyounda UKAWA iko hapa
Pichani ni viongozi wa juu wa vyama vinne vya siasa nchini Tanzania
vilivyoingia makubaliano ya ushirikiano wa shughuli mbalimbali za siasa
Oktoba 26, 2014.
Miongoni mwa mambo hayo ni kusimamisha wagombea wa pamoja katika
uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani,
Wawakilishi na Rais katika uchaguzi ujao.
↧
“Ushindi wa CCM uchaguzi ujao hauepukiki.....Wapinzani Mtasubiri sana” asema Dk Shein mkutanoni Kibandamaiti
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
amewataka wananchi wa Zanzibar wasikubali kugawiwa kutokana na mchakato
wa Katiba unaoendelea
Akihutubia maelfu ya wana CCM na wananchi
wa Zanzibar katika Mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika viwanja vya
Demokrasia
↧
Nuh Mziwanda achora Tattoo ya pili yenye sura ya mpenzi wake Shilole
Wakati Nick Cannon ametoka kufunika Tattoo yenye jina la mke wake
Mariah Carey ambaye wametengana kwa kuongeza mchoro mwingine juu yake
hivi karibuni, msanii wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda ameongeza Tattoo ya
pili ya mpenzi wake Shilole kwenye mkono wake.
Nuh amesema mchoro huo wa pili kwenye mwili wake una sura ya Shishi baada ya ile ya kwanza ambayo ni jina la ‘Shishi Bybee’.
“Tattoo
↧
Big Brother Africa: Mshiriki wa Kike wa Tanzania Atolewa.....Kupiga Punyeto hadharani kwamponza, Africa nzima Ilimchukia ndani ya Sekunde!
Mshiriki wa kike wa Tanzania, Laveda, jana alitolewa rasmi katika jumba la big Brother Africa na kuifanya Tanzania kubaki na mshiriki mmoja tu ambaye ni Idris.
Pamoja na
kutoka akiwa na skendo ya kupiga punyeto mbele ya wenzake, Laveda
amesema hakuna anachojutia kwa muda wote aliokaa katika jumba hilo .
“Oh trust me when I say this, I would not change
↧
↧
Channel O Yamtaja Diamond Platnumz Miongoni Mwa Wanamuziki 10 Waliobadilisha Muziki Wa Afrika.
Juhudi na bidii za Diamond Platnumz katika muziki zinaonekana hata
katika vituo vya kimataifa.
Channel O imemtaja Diamond Platnumz kama
mmoja wa wanamuziki walioleta mabadiliko makubwa katia mzuiki wa Africa
kupitia kipindi chake cha Top Ten Most ambacho kinatangazwa na Jokate
Mwegelo na Ice Prince atika msimu wake huu mpya.
Katika list hiyo Diamond amewekwa nafasi ya kumi
↧
Vurugu zazuka Mkutano wa BAWACHA Muleba
Mkutano
wa mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama cha Demokrasia na
maendeleo Chadema Halima Mdee umeingia dosari baada ya vijana wanaodaiwa
kuwa ni wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM kuingia na mabango yao katika
mkutano uliokuwa ukifanyika kijiji cha Kyamiorwa kata Kashalunga
wilayani Muleba na kusababisha vurugu.
Mwenyekiti wa baraza la wanawake Chadema Halima Mdee
↧
Polisi wateketeza mashamba ya bangi Morogoro
Jeshi
la Polisi mkoani Morogoro limeendesha operesheni maalum ya kutokomeza
bangi katika mkoa huo, kwa kuteketeza hekari Tano za mashamaba ya bangi
mkoani humo.
Baadhi
ya wananchi wa tarafa ya Mgeta wilayani Mvomero na maeneo mengine
mkoani Morogoro, wameacha shughuli halali za uzalishaji mali na
kuchangia maendeleo ya huduma muhimu kama za elimu na afya, badala yake
kuelekeza
↧
Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue akiri Udhaifu Serikalini
Katibu
mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue amekiri kuwepo kwa mapungufu katika
mfumo wa ufuatiliaji wa tathmini ya fedha na rasilimali za serikali hali
inayochangia kuongezeka kwa vitendo vya rushwa na utendaji mbovu katika
idara na taasisi za serikali kwenye utoaji huduma kwa umma huku miradi
mingi ya maendeleo hasa kutoka kwa wahisani kusitishwa kwa sababu ya
vitendo hivyo.
Balozi
↧
↧
Freemasons Walipasua kanisa la Anglikana
Sakata la baadhi ya
waumini wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Nicholas Mwanza (DVN) kumkataa Askofu
Mkuu, Boniphace Kwangu wakimtuhumu kuwa mwanachama wa imani ya
Freemason limechukua sura mpya baada ya baadhi ya waumini juzi
(Jumapili) kutotokea kanisani hapo kwa madai kwamba mpaka hali ikae
sawa.
Baadhi ya waumini hao ambao hawakutaka majina yao yaandikwe,
walisema wamepoa majumbani
↧
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya atumiwa PAKA Watatu Ofisini kwake
Paka watatu wenye macho mekundu walimshangaza Kamanda wa Polisi
Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP
Godfrey Nzowa pale alipowakuta katika mlango wa ofisi yake na
kumng’ang’ania miguuni.
Sakata hilo lilitokea wiki iliyopita wakati Kamanda Nzowa akitoka
ofisini na mgeni wake aliwakuta paka hao mlangoni.Kufuatia hali hiyo,
wageni na baadhi ya askari
↧
Usiri mikataba ya gesi wazua tafrani kamati ya Zitto
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (PAC), imetoa siku
mbili kwa uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)
kuwasilisha mikataba 26 ya gesi kwa Katibu wa Bunge.
Uamuzi wa kamati hiyo umetokana na menejimenti ya TPDC kushindwa
kuwasilisha mkataba hata mmoja kati ya mikataba 26 iliyoombwa na kamati
hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja sasa.
Akizungumza
↧
CCM: Ndoa ya Wapinzani (Chadema,Cuf,Nccr-Mageuzi & Nld) ni FEKI.....Yasema CCM kuing’oa madarakani ni ndoto za alinacha
NA Selina Wilson (Uhuru)
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na ni sawa na ndoa ya mkeka.
Pia kimesema ni
ndoto za alinacha kwa wanandoa hao wa msimu, ambao kila mmoja anatafuta
ulaji, kuing’oa CCM, ambayo imesimamia maendeleo ya nchi pamoja na
↧
↧
Mfanyabiashara Aliyejilipua kwa Risasi jijini Arusha Aibua Mambo Mazito
NA Lilian Joel ( Uhuru)
SAKATA la
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kitalii ya DAGT, Timoth Mroki, kujiua kwa
kujilipua kwa risasi, limeibua mambo mapya kutokana na kuelezwa kuwa
wivu wa kimapenzi.
Habari
zilizopatikana jijini Arusha, zinasema kuwa Mroki (36), alikuwa na vimada
wawili ambao ni wake za watu na kuwa kabla ya kujilipua kwa risasi na
kupoteza maisha, alitoa taarifa kwa
↧
Utata wa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu kulivua Taji hilo
Siku moja baada ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ‘kueleza’
kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii Facebook kulivua taji hilo,
waandaaji wa mashindano hayo, Lino Agency International wamesema
hawajapokea barua rasmi kutoka kwa mrembo huyo ya kulivua taji hilo.
Juzi zilizagaa taarifa kuwa mrembo huyo amelivua
taji baada ya kuwapo ujumbe katika mtandao wa facebook ambao
↧
Chidi Benz afikishwa mahakamani akikabiliwa na Makosa 3
Rapa
Chidi Benz, jana alifikishwa katika mahakama ya Kisutu na kusomewa
mashtaka yake kutokana na kosa la kupatikana na Dawa za Kulevya aina ya
Heroine mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kutokana na tukio hilo, Chidi amepatikana na makosa matatu ikiwepo kukutwa
na dawa hizo haramu, kusafirisha dawa na pia kukutwa na vifaa vya
kutayarisha uvutaji, utumiaji wa dawa hizo za kulevya.
↧
More Pages to Explore .....