Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kachero wa Kenya atoa ushahidi mahakamani Dar

$
0
0
Mkuu wa Uchunguzi wa Maandishi wa Jeshi la Polisi Kenya, John Kimani ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwa saini zinazodaiwa kusainiwa na Ramadhani Balenga katika hati ya uhamishaji umiliki wa kiwanja pamoja na mkataba wa mauziano ni za kughushi.   Kimani alidai hayo katika mahakama hiyo wakati akitoa ushahidi katika kesi ya kughushi inayomkabili Mkurugenzi wa

Kanusho la JWTZ Kuhusu askari wake kuwapora wavuvi

$
0
0
Kanusho  la  JWTZ  Kuhusu  askari  wake  kuwapora  wavuvi

Orijino Komedi wanunua nyumba 7 za NSSF, zina thamani ya shilingi milioni 840

$
0
0
Kundi la uchekeshaji la Orijino Komedi limenunua na kuwakabidhi wasanii wake nyumba saba zenye thamani ya shilingi milioni 840 ambapo kila nyumba moja ilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 120. Kundi hilo limeweka picha za nyumba hizo kwenye akaunti yake ya Instagram na kuandika:   “ItsOfficialNw Bwn Mseli Abdallah-Planning & Investment Manager wa NSSF akimkabidhi @

27 Wateuliwa kuwa Makatibu wa CCM Wilaya

$
0
0
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa jana Oktoba 15, 2014 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete imefanya uteuzi wa Makatibu 27 wa wilaya kuziba nafasi zilizo wazi kutokana na sababu mbalimbali. Nape Moses Nnauye,     KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA, ITIKADI NA UENEZI 16/10/

Umri wa Miss Tanzania MPYA , Siti Mtemvu umezua mjadala mkubwa miongoni mwa jamii. Inadaiwa si kweli kuwa ana miaka 18

$
0
0
Siku chache baada ya kutwaa Taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu ameibua mshangao wa aina yake kutokana na utata wa umri wake.   Utata huo uliibuka saa chache mara baada ya shindano hilo kufanyika Oktoba 10, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar ambapo wadau mbalimbali walianza kuhoji. Mara baada ya mrembo kutangazwa mshindi, habari za chini kwa chini

Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni

$
0
0
Wakati Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.   Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Rajab Rutengwe.   Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani

Mama na mwanawe wachinjwa kikatili mkoani Shinyanga wakituhumiwa kuwa ni wachawi

$
0
0
WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.   Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 14

Raia wa kigeni wafa hotelini jijini Dar

$
0
0
WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.   Kwa mujibu wa taarifa za Jeshi la Polisi, raia wa Afrika ya Kusini, Roxxane Hillier (27), aliyekuwa Meneja wa Mgahawa uitwao Water Front katika Hoteli ya Slipway Masaki na rafiki yake wa kiume aitwaye Hylton William aliyekuwa fundi wa

Jambazi aliyeua Afisa Usalama wa Taifa naye Auawa

$
0
0
 Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, amethibitisha kuwa Jeshi lake limefanikiwa kumkamata jambazi sugu aitwaye Paulo Thamas Milanzi maarufu Chinga (35), Mmakonde mkazi wa Chanika. Amesema baada ya majibizano ya risasi jambazi hilo lilijeruhiwa na kufikishwa hospitali ya Muhimbili kwa matibabu lakini baadaye alifariki dunia. Alisema jambazi huyo lilikuwa

Shule yageuzwa Danguro....Wake za watu wafanya Uzinzi hadharani, Wanafunzi wageuza kondomu mapulizo ya kuchezea!

$
0
0
 Danguro hatari linaloendesha shughuli zake katika eneo la shule limefichuliwa baada ya kumnasa mwanamke aliyedai ni mke wa mtu akifanya uzinzi na mtu ambaye hakufahamika mara moja. Tukio hilo la aibu lilijiri ndani ya eneo la shule ya msingi Shekilango, iliyopo Mapambano, Sinza jijini Dar es salaam, hivi karibuni ambapo mke huyo wa mtu alikuwa akichepuka. Wawili hao, baada ya

Picha 5 za Majeruhi wa Moto Mbagala Dar waliolazwa hospitali ya Muhimbili

$
0
0
Majeruhi 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.   Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la

Uchawi wa kutisha: Ndege aliyekuwa Anapaa Ageuka kuwa Mwanamke. Picha zote ziko hapa

$
0
0
Mapema wiki hii katika kijiji cha Oshindi nchini Nigeria wananchi walishuhudia sinema ya  bure  ambapo kamera zao zilikuwa macho yao na simu zao pale ndege aliyekuwa anapaa angani ghafla alianguka chini baada ya kudandia nyaya za umeme na kugeuka mwanamke. Kitendo hicho kiliwaacha wananchi vinywa wazi wasijue la kufanya huku wakibaki kupiga picha kwa  kutumia simu zao za mikononi.

Jamaa huyu alijikuta akipigishwa mbizi kwenye dimbwi la maji ya MACHAFU kwa kukutwa kavaa sare za jeshi ( JWTZ)

$
0
0
Picha unazoona sio utani wala sinema, ni raia wa kawaida akiogelea kwenye dimbwi kwa amri ya mwanajeshi. Raia huyo alikutana na adhabu kali za mwanajeshi huyo baada ya kukutwa amevaa mavazi halisi ya jeshi la Tanzania maeneo ya Kariakoo Dar es Salaam. Jamaa huyo alipokamatwa na kushindwa kutoa maelezo ya kuridhisha akaamriwa kuvua mavazi hayo na kisha kuaza kutumikia mazoezi ya hatari .

Kijana Apigwa mawe na kisha kuchomwa moto baada ya kuiba ng'ombe wawili huko Kahama

$
0
0
Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Sabo mwenye umri wa miaka kati ya 30 hadi 34 ameuawa kwa kupigwa mawe na fimbo na wananchi waliojichukulia sheria mkononi kisha mwili wake kuchomwa moto baada ya kutuhumiwa kuiba ng’ombe wawili katika kijiji cha Shininga kata ya Kilago,tarafa ya Dakama wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SACP

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Hii ni Video ya Tukio Zima la Mama MCHAWI Aliyedondoka wakati akijiandaa kwenda kumuua mjukuu wake!

$
0
0
Leo  asubuhi  tuliweka  hewani tukio  zima  la  mama  mchawi  wa  kinigeria  alyekuwa  amedondoka  chini  huku  akiwa  uchi  na  mwili  ukiwa  na  vidonda  sehemu  zote... Mama  huyo  alidondoka  dakika  chache  baada  ya  kujigeuza  ndege  na  kupaa  hewani  akienda  kuua  mtoto  mchanga  wa  binti  yake  wa  kumzaa. Inadaiwa  kuwa. binti  huyo  amekuwa  akizaa  watoto  na  kufariki 

BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii

$
0
0
Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa kura na washiriki wengine kutoka ni Esther na Ellah (

Elani (Kenya) kutumbuiza Jumapili hii kwenye Big Brother Africa

$
0
0
Kundi la Kenya, Elani, linaloundwa na watu watatu, Bryan Chweya, Maureen Kunga na Wambui Ngugi litatumbuiza Jumapili hii kwenye shindano la Big Brother Africa. Kundi hilo lililotajwa pia kuwania tuzo za CHOAMVA 2014 lina album iitwayo ‘Barua Ya Dunia’ na linafanya Afrika Mashariki na kwingineko. Matukio  yote  ya  Big Brother Africa  yanaruka  hewani  masaa  24  kupitia  site  yako

Serikali yafuta Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti

$
0
0
SERIKALI imefuta mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti kuanzia mwaka huu ili kuboresha kiwango cha elimu nchini.   Tamko hilo limetolewa jana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt.Shukuru Kawambwa wakati akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Tabora, kilichoko Manispaa ya Tabora.   Alisema kuanzia mwaka huu, Serikali imeyafuta mafunzo hayo ikiwa ni mkakati maalumu wa kuboresha

Mahakama ya Kisutu yamzuia Davido kuperform katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu, Dar es Salaam imemzuia msanii kutoka Nigeria, Adedeji Adelek maarufu kama ‘Davido’ kuperform katika tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds Fm na Prime Promotion, October 18,2014.   Amri hiyo imetolewa jana (October 17) na hakimu mkazi wa mahakama ya kisutu , mheshimiwa D. Kisoka kufuatia maombi ya dharura yaliyowasilishwa mahakamani hapo na
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images