Rais wa Marekani Barack Obama amejikuta katika wakati mgumu baada ya
kadi yake ya muamana (credit card) kukataliwa katika mojawapo ya
migahawa iliyopo jijini New York.
Obama amekiri kukutana na mkasa huo alipokuwa akizunguma na waandishi
wa habari baada ya kusaini agizo la rais litakalotumika kama sheria ya
matumizi ya kadi za muamana ambayo itasaidia katika kuzuia wizi wa kadi
Kadi ya Rais Obama Yakataliwa
↧
↧
Wasichana 200 waliotekwa na Boko Haram watarajiwa kuachiwa huru
Serikali ya Nigeria na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la
Boko Haram, wamefikia makubaliano ya usitishaji mapigano na kuachiliwa
huru wanafunzi wa kike wanaoshikiliwa na kundi hilo.
Hayo yameelezwa na mkuu wa vikosi vya jeshi la Nigeria, Meja Jenerali
Alex Sabundu Badeh na Hassan Tukur, Katibu wa ikulu ya rais ya nchi
hiyo na mshauri wa karibu Rais Goodluck Jonathan na
↧
Rayuu Ataka Wolper akapime UKIMWI..
Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amemtaka msanii mwenzake, Jacqueline Wolper apime Ukimwi kama alivyofanya yeye.
Akiongea na mwandishi wetu, Rayuu alisema anamheshimu Wolper na
kamwe hawezi kumsema vibaya lakini alishangaa kuambiwa na mashosti wake
kwamba anamsema yeye ana Ukimwi.
“Nilishangaa sana kwa kweli hilo jambo liliniumiza roho na linaniuma
mpaka kesho,
↧
Madereva wanaonuka Pombe kufutiwa Leseni
KAMATI Maalumu iliyoundwa na Serikali kutathmini ongezeko la ajali za barabarani nchini, imependekeza madereva watakaokutwa wakinukia pombe, wafutiwe leseni.
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Augustine Shio, alisema hayo jana alipokuwa akikabidhi ripoti ya Kamati hiyo kwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka.
“Sheria ya usalama
↧
NEC ya CCM yaunga Mkono Katiba inayopendekezwa kwa asilimia 100
HALMASHAURI Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyomaliza kikao chake jana jioni Mjini Dodoma, imeunga mkono katiba iliyopendekezwa kwa asilimia 100.
Katika mkutano wake na waandishi wa habari mara baada ya kukamilika kwa kikao hicho, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema Bunge Maalumu la Katiba lilifanya kazi nzuri ambayo inastahili kupongezwa.
Kutokana na hilo,
↧
↧
Katibu wa CHADEMA akipiga chini chama hicho kwa siasa za kidikteta...Ajiunga CCM
Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.
Alisema amekerwa na kuingizwa kwa udini katika siasa kwa kuwashirikisha maaskofu wenye mwelekeo wa Chadema kwa kusingizia Jukwaa la Kikristo.
Alisema
↧
Picha: Shilole Azindua Video yake mpya
Jana (Ijumaa) msanii wa muziki na maigizo Bongo, Zuwena Mohammed
’Shilole’ amezindua video ya ya wimbo wake wa ‘Namchukua’ ndani ya
viwanja vya Ufukwe wa Coco Beach, ambapo watu mbalimbali walihudhuria.
↧
Picha: Vanessa Mdee Akitoa burudani ya nguvu Serengeti Fiesta 2014
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa
Mdee akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014
viwanja vya Leaders Club jijini Dar.
↧
Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wakiwasha moto wa nguvu serengeti Fiesta
Msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dar Leaders Club.
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akifana yake na Ommy Dimpoz.
Madansa wa Vanessa Mdee wakifanya yao.
Ommy Dimpoz akiimba juukwani wimbo wake wa Nani kama Mama.
↧
↧
Davido Akitoa burudani ya nguvu Serengeti Fiesta 2014....Jukwaa liliwaka moto wa shangwe baada ya Diamond kupanda kumpa Sapoti
Msanii kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido' akikamua kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar.
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akifanya makamuzi na Davido (kulia).
↧
T.I , Diamond Platnumz balaa tupu Serengeti Fiesta 2014....Ilikuwa ni zaidi ya SHANGWE!
Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Harris,'T.I' akitoa burudani kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar.
Staa wa Bongo Fleva Nasib Abdul 'Diamond Platinum' akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya Leaders Club.
↧
Kizimbani kwa kucheza “vigodoro” wakiwa UCHI
WAKAZI wa eneo la Masasi Mbovu katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara wamefikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani kujibu shitaka linalowakabili la kucheza wakiwa watupu kwa staili ya vigodoro kwenye sherehe ya ndoa.
Jemima Jordan (22), Aziza Chukachuka (20), Anna Yohana (25) pamoja na mtoto mwenye umri wa miaka 17 (Jina linahifadhiwa) walifikishwa mahakamani hapo juzi mbele
↧
Mwanafunzi wa darasa la sita abakwa na watu sita
Mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13 wa shule ya msingi ya Themi iliyopo jijini Arusha mkoani Arusha hali yake siyo nzuri baada ya kunajisiwa na watu sita.
Tukio hilo lilitokea majira ya saa 1 usiku Oktoba 7 mwaka huu katika kata ya Daraja Mbili jijini Arusha. Imeelezwa kuwa sehemu yake ya kizazi imeharibika kutokana na unyama huo.
Akizungumza na mwandishi jana
↧
↧
Ruzuku, sheria kuwazuia UKAWA Kusimamisha mgombea mmoja wa Urais 2015
MGAWANYO wa ruzuku na kikwazo cha Sheria ya Vyama vya Siasa, vinatarajiwa kugeuka kisu kikali, kitakachotishia muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi.
Tayari Ukawa imetangaza nia ya kusimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu, na mgombea udiwani, ubunge na urais mmoja
↧
Big Brother Africa: Video za Washiriki Wakioga Bafuni ziko hapa ( Video hizi ni kuanzia siku ya 1 hadi ya 10 )
Video za washiriki wa jumba la big brother wakioga bafuni ziko hapa. Video hizi ni kuanzia DAY 1 hadi DAY 10.
Mbali na video hizi, kuna video moja ya washiriki wakifanya mapenzi live ndani ya jumba hilo.
Kabla hujaangalia video hizi, taarifa zikufikie kuwa mshiriki mmoja au wawili watayaaga mashindano haya leo usiku.
Usikae mbali na TV
↧
Aunt Lulu Ampa Somo Johari
Staa wa Bongo Movies, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumtaka
msanii mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kukubaliana na matokeo ya
aliyekuwa mpenzi wake Vincent Kigos ‘Ray’ kwamba kwa sasa ana uhusiano
na mtu mwingine.
Akizungumza na mwandishi wetu, Aunty Lulu alimtaka Johari kukubaliana
na matokeo na aige mfano wake kwani aliachana na Bond Bin Sinan ambaye
kwa sasa ana
↧
Dr. Cheni: Rushwa ya Ngono wanaitaka wenyewe, hakuna anayewalazimisha
Staa wa filamu za Kibongo, Muhsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ amekanusha
tabia ya wasanii wakubwa kuwaomba rushwa ya ngono wasanii chipukizi na
kudai wanaziendekeza wao wenyewe.
Akiongea na mwandishi wetu, Dk. Cheni alisema yeye hajawahi
kumuomba msanii rushwa ya ngono, isipokuwa anaamini walio wengi
huanzisha mahusiano yaliyo rasmi kwa makubaliano yao kutokana na hisia
zinavyowasukuma.
↧
↧
Lulu Angekuwa Hollywood Na Selena Gomez Pasingetosha ..... Aachia Ngazi Penzi La Justin Bieber.
Star mkubwa wa filamu nchini Tanzania Lulu Elizabeth Michael anaonekana
kumpenda sana Justin Bieber kama alivyowahi kueleza huko nyuma kuwa
anampenda kweli kiasi cha kumfuatilia kwa ukaribu Selena Gomez ambaye ni
girfriend wa Bieber.
Hata hivyo Lulu ameonekana kuachia ngazi kwa
Bieber baada ya takribani miaka 4 akiwa anaugulia penzi lake moyoni bila
mafanikio !
Kama unavyojua
↧
Maajabu: Mti Uliodondoka Miaka Mitatu Iliyopita Wainuka na Kusimama Wima Kama Zamani huko Tabora, Wananchi wagombea magome yake
Wananchi wa kijiji cha Mfuto katika Kata ya Ufulumo huko Wilayani
Uyui, Tabora wamepatwa na mshituko na kuingiwa na hofu baada ya mti aina
ya msufi, uliong'oka na kuanguka miaka mitatu iliyopita, kuinuka na
kusimama wima kama zamani.
Mti huo wenye kipeo cha futi mbili inaelezwa kuwa ulianguka kwa upepo
mkali na kuungua kwa moto wakati wa kuandaa mashamba. Mtangazaji wa TBC
anasema
↧
Marekani Yashambulia Wanamgambo wa Syria kwa ndege
Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria.
Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.
Marekani wameshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika
mji wa Kabane, Syria kwa makombora kwa kutumia ndege za kijeshi.
Mashambulizi hayo yamesababisha kuwarudisha nyuma wanamgambo hao
↧
More Pages to Explore .....