Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuzindua rasmi ujenzi
wa barabara ya kilometa 16 kutoka Usagara hadi Kisesa mkoani Mwanza
jana.Rais Kikwete yupo mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua daraja la Nyashishi lenye urefu wa
mita 67 lililopo katika barabara ya Usagara Kisesa wakati alipokwenda
kuweka jiwe la msingi
Rais Kikwete Aweka jiwe la msingi barabara ya Usagala- Kisesa , Pai afungua daraja la mabatini jijini Mwanza
↧
↧
Rais Kikwete Afungua Jengo La PPF jijini Mwanza
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega
uchumi la mfuko wa pensheni la PPF mjini Mwanza jana jioni.Wengine
katika picha kutoka kushoto,ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli,
Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana Wiliam Erio, Naibu Waziri wa Fedha Mhe.
Adam Malima, Mwenyekiti wa Bodi ya PPF Bwana Ramadhani Kija, na Mkuu wa
Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evaristi
↧
Watangazaji waiponza Times Fm Radio....TCRA Yaipiga faini ya Milioni 1
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa kituo cha Redio cha Times Fm, pamoja na faini ya kulipa kiasi cha Sh milioni 1, kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo.
Akisoma hukumu hiyo jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Margareth Munyagi,
↧
Ubalozi wa Somalia nchini Tanzania Wafungwa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia, Dk. Abdirahman Duale Beyle amesema
kuwa, balozi za Somalia nje ya nchi zimepunguzwa na kufikia 31 kote
ulimwenguni.
Duale amesema kuwa, balozi hizo zimepungua tangu kulipofungwa balozi
tisa za nchi hiyo barani Afrika, Mashariki ya Kati, Asia na hata
Ulaya. Ofisi hizo za uwakilishi wa kisiasa zilifungwa kwa muda kufuatia
kuongezeka gharama za
↧
Wasanii wa Tanzania kugawiana Mashamba Nyerere Day
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umeandaa ibada maalum ya
kumkumbuka Baba wa taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere itakayofanyika
katika mashamba yao yaliyopo kijiji cha Ngarambe, Mkuramga mkoa wa
Pawani.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana kuwa katika ibada hiyo
itaongozwa na Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwa
upande wa Waislam na
Padri John
↧
↧
Askari Polisi Waliombambika Dereva Makosa na kusababisha kifo cha abiria waondolewa kikosini
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewahamisha askari
wake, WP 5863 Quine na WP 3548 Koplo Maeda kutoka Kikosi cha Usalama
Barabarani Mkoa wa Ilala kwa kukiuka maadili ya kazi.
Taarifa ya ndani ya Oktoba 2, mwaka huu ya Kikosi cha Usalama Barabarani
Makao Makuu Dar es Salaam iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii,
imesema askari hao walisimamisha gari dogo na baada ya
↧
Big Brother Africa 2014: Video ya Washiriki wa Botswana na Nigeria Wakioga Pamoja ( Wanaume kwa Wanawake ) Iko Hapa
Baada ya Jana kukuletea Episode Tano muhimu zilizopewa jina la Video 5 Hatari toka jumba la Big Brother Africa zikianika kila kitu tangu shindano la mwaka huu lianze, hii ni nafasi nyingine tena ya kukuletea maisha binafsi ya washiriki wa jumba hilo wakioga pamoja bafuni....
Kamera za jumba hilo la kikubwa zimewamulika na kuwanasa live mshiriki
↧
Binti wa Mbunge wa Temeke Atwaa Taji la Miss Tanzania 2014
Siti, binti wa Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu, usiku wa kuamkia jana ameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha kumsaka mrembo wa Tanzania (Redd’s Miss Tanzania 2014) katika shindano lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Mlimbwende huyo, ambaye kabla ya kutwaa taji hilo alitawazwa kuwa Miss Temeke, aliwabwaga warembo wengine 30 waliokuwa wakiwania taji hilo mwaka
↧
Katiba Pendekezwa Imekosewa......Sasa kuchapishwa upya
Uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba, umemuagiza Mpigachapa Mkuu wa Serikali, kupiga chapa upya Katiba Inayopendekezwa, baada ya kubaini makosa ya uchapaji, ikiwemo kuandikwa kwa makosa kwa mjumbe wa bunge hilo kupitia NCCR-Mageuzi Zanzibar, Haji Ambar Khamis.
Katika chapisho la Katiba Inayopendekezwa, mjumbe Khamis ameonekana kama vile alishiriki katika awamu ya pili ya Bunge Maalumu la
↧
↧
TID achukizwa na kukanusha taarifa ya mtandao wa Kenya kuwa alidhalilishwa kimapenzi akiwa jela
Msanii mkongwe wa muziki nchini Khalid Mohamed aka TID amefunguka na
kuelezea kuchukizwa kwake baada ya kuandikwa vibaya ya mtandao wa Kenya
uitwao Mpasho kuwa alitendewa matendo machafu akiwa gerezani miaka
kadhaa iliyopita.
Akizungumza na Bongo5, TID amesema habari hiyo si ya kweli na imemdhalilisha.
“Mimi sijawahi hata siku moja kudhalilishwa jela wala kufanyiwa kitu
chochote.
↧
Diamond afunguka juu ya tofauti zilizokuwa zikizungumzwa baina yake na Alikiba
Diamond na Alikiba ndio wasanii wa bongo fleva wenye timu mbili kubwa
za mashabiki waliogawanyika na kuwashindanisha kwa niaba yao, Team
Diamond v/s Team Alikiba, ushindani ambao umevalishwa ‘mask’ za ‘beef’
ambayo Nasib Abdul amedai kuwa haipo.
Platnumz ambaye alikuwa bado hajaamua kuzungumzia tofauti hizo
ameamua kufunguka juu ya ushindani pamoja na ‘beef’ iliyokuwa
inazungumzwa
↧
Hizi ni nchi duniani ambazo raia wa Tanzania hahitaji visa kwenda
Zifuatazo ni nchi ambazo raia wa Tanzania anaweza kwenda bila kuwa na visa.
Botswana – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Burundi – No visa is required for a maximum stay of 30 days
GAMBIA – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Guinea – No visa is required
Kenya – No visa is required for a maximum stay of 3 months
Lesotho – No visa is required for a maximum
↧
Mariah Carey – kufuli nje nje kwenye show ya China (Picha)
Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya
kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo
yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani
Asia.
Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko
Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si tu burudani lakini
pia kuwaonesha kufuli lake nje nje.
↧
↧
Marekani yapata mgonjwa wa pili wa Ebola
Mfanyakazi wa kituo cha afya aliyemtibu, Thomas Dancun kabla ya kifo
chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya
ugonjwa wa Ebola.
“Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na
tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni
kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas”
Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo
↧
Rapper Wakazi arithi mikoba ya Gardner, awa maneja mpya wa Lady Jaydee
Rapper Wakazi ndiye meneja mpya wa Lady Jaydee. Amechukua nafasi hiyo kutoka kwa Gadner G Habash.
Akizungumza na gazeti la Mtanzania Wakazi alikiri kwamba yeye ndiye
meneja mpya wa Jaydee japo hakuwa tayari kueleza lolote kuhusu ndoa ya
binamu yake Jaydee na Gardner kwa maelezo kwamba yeye si msemaji wao
katika masuala ya mapenzi na ndoa yao.
“Mimi sijui chochote, maana
↧
Ajali mbaya ya basi la Happy Nation na gari dogo....Mfanyakazi wa benki na watu wengine watatu wafariki dunia
Wafanyakazi wa Benki moja hapa nchini wamekumbwa na simanzi
iliyosababishwa na kifo cha mwajiriwa mwenzao kilichotokana na ajali
iliyotokea jana jioni huko Hedaru, Wilayani Same mkoani Kilimanjaro
iliyohusisha gari lenye namba za usajili T653 BZR na basi la Happy
Nation.
Imeripotiwa kuwa watu wote wanne waliokuwemo ndani ya gari dogo walipoteza uhai papo hapo.
Picha
↧
Waziri wa maliasili na utalii nchini, Mh. Lazaro Nyalandu azungumzia madai ya kutoka kimapenzi na Aunt Ezekiel
Juzi gazeti moja la habari za mastaa nchini liliandika kuwa ndoa ya Mh.
Lazaro Nyalandu ambaye ni mbunge na waziri wa maliasili na utalii nchini
na Faraja Kota ambaye ni mshindi wa taji la Miss Tanzania 2004
inatikisika kisa kikidaiwa ni star wa filamu nchini Aunty Ezekiel kudaiwa kutoka na mh. Nyalandu mara baada ya kukutana nchini Marekani katikati ya mwezi September mwaka huu.
Aunty
↧
↧
Taswira kutoka eneo la mbagala Rangi 3 baada ya Lori la mafuta kuteketea kwa moto na kuua
WATU kadhaa
wanadaiwa kupoteza maisha kwa kuungua kwa moto uliolipuka wakati
wakichota mafuta kutoka kwenye lori lililopata ajali usiku wa kuamkia
leo eneo la Mbagala Rangi Tatu, Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu
wa mtu aliyekuwa eneo la tukio ni kwamba watu hao walikuwa wakiiba
mafuta baada ya lori lililokuwa limebeba shehena ya mafuta kupata ajali
kabla ya kulipuka na
↧
Mwanafunzi wa kikie Ajichoma Kisu kisa Wivu wa Mapenzi
Mwanafunzi wa Chuo cha T.I.A tawi la mkoani Singida, Moza Kasim
Mohemed (20) ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam, amejichoma kisu
tumboni kwa madai ya kuchoshwa na usaliti wa mpenzi wake aitwaye Joel
ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho.
Tukio hilo la kushangaza lilitokea usiku wa kuamkia Oktoba 10, mwaka
huu maeneo ya Jovena katika Hosteli za Miami ambapo Moza alikuwa akiishi
↧
Tukio la Moto Mbagala: Watatu wafariki dunia.....6 Wana hali mbaya Muhimbili
Watu watatu wamefariki na wengine sita wakiwa
katika hali mbaya Hospitali ya Muhimbili kufuatia tukio la moto
uliolipuka kwenye gari la kubeba mafuta jana maeneo ya Mbagala jijini
Dar es Salaam.
Alizumgumza na mwandishi, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu
Kamishna Mohammed Mpinga, alisema ajali hiyo haikuleta athari yoyote
baada ya gari lile kupata ajali ila athari
↧
More Pages to Explore .....