Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Taswira za Mkutano wa CHADEMA jijini Arusha jana

$
0
0
Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akihutubia katika mkutano uliofanyika jana kwenye Uwanja vya Samunge, Kilombero jijini Arusha. Makamanda wa Chadema wakifuatilia mkutano huo. Umati wa wakazi wa Arusha waliohudhuria mkutano huo jana.

watu 7 wauawa kwa imani za ushirikina Kigoma

$
0
0
Watu saba toka familia Nne tofauti wameuawa na nyumba 18 zimechomwa moto Jumanne wiki hii katika kijiji cha murufiti wilaya ya kasulu mkoani kigoma, baada ya wananchi kuvamia wakazi wa nyumba hizo kutokana na imani za kishirikina.   Wakizungumzia tukio hilo ndugu wa watu waliokufa na wakazi wa kijiji hicho wamesema tukio hilo lilitokea usiku , ambapo baada ya tuhuma za ushirikina

Rais Kikwete Ahudhuria Sherehe za Miaka 52 ya Uhuru wa Uganda

$
0
0
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akiwakaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Salva Kiir wa Sudani ya kusini kuhudhuria sherehe za Uhuru wa Uganda zilizofanyika huko kololo Kampala.(picha na Freddy Maro) Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa entebbe Uganda kuhudhuria sherehe za miaka 52 za uhuru wa Uganda.

Baraza la Maadili Latoa Amri ya Kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe

$
0
0
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili. Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu

Rais Kikwete: Katiba Inayopendekezwa Imewajali Watu wa Rika Zote

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amewapongeza wajumbe wa bunge maalum la katiba kwa kupendekeza katiba ambayo imejali maslahi ya makundi yote wakiwemo wanawake na walemavu. Rais Kikwete amesema hayo  mjini Dodoma wakati alipokuwa akikabidhiwa katiba iliyopendekezwa na wajumbe wa bunge maalum la katiba mara baada ya kumalizika kwa vikao vya bunge hilo maalum la katiba

Wanaoandika Maneno ya Uchochezi kwenye kuta Wasakwa

$
0
0
Watu wasiofahamika, usiku wa kuamkia juzi wameandika maneno kwenye kuta ikiwamo ukuta wa Kampuni ya Bakhressa katika maeneo ya Tazara wakidhihaki Katiba Inayopendezwa sanjari na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.     Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imesema inafuatilia kubaini watu wanaoandika maneno ya uchochezi kwenye kuta na kwamba wakigundulika watashitakiwa kwa

Mpira wa Katiba Mpya sasa kwa Wananchi

$
0
0
Ni msemo maarufu wa wahenga ambapo Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein aliutumia vilivyo juzi katika hotuba yake baada ya yeye na Rais Jakaya Kikwete kupokea Katiba Inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel Sitta mjini Dodoma.     Alisema: ‘Hayawi hayawi sasa yamekuwa’ na akaendelea zaidi kwa kusema: ‘Waliosema hayawezekani sasa yamewezekana’.  

Afande Sele: Katiba aliyokabidhiwa Kikwete ina makosa mengi, haitodumu

$
0
0
Rapper na mwanaharakati Seleman Msindi aka Afande Sele amezungumzia makabidhiano ya katiba mpya yaliyofanyika juzi katika viwanja vya Jamhuri Dodoma ambapo spika wa bunge maalum la katiba, Swamwel Sitta alimkabidhi rais Jakaya Kikwete katiba inayopendekezwa. Afande Sele amempongeza rais Kikwete kwa hatua hiyo lakini akaonya kuwa katiba hiyo ina makosa mengi.   “Kwa namna yoyote

Shughuli za kijamii zamfanya Ray C aweke muziki pembeni kwa muda hadi November

$
0
0
Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C Foundation’, amesema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye dimbwi la matumizi ya madawa hayo imemfanya auweke muziki pembeni.   Ray C amesema kuwa tangu January mwaka huu alikuwa na mpango wa kuachia kazi yake mpya lakini majukumu ya kijamii

Irene Uwoya kuja na ‘Kisoda’, akanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na na Msami

$
0
0
Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amesema anajiandaa kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’. Uwoya amesema alisafiri hadi Afrika Kusini ili kutafuta location tofauti zitakazoifanya filamu hiyo kuvutia.   “Filamu ya Kigoda ni filamu ya aina yake katika filamu ambazo nimewahi kuzifanya,” amesema Uwoya.    “Filamu inahusu drama and music, imeshagharimu pesa nyingi sana. Ndani

DCI awasilisha jalada la Mbowe kwa DPP

$
0
0
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI), Isaya Mungulu amesema jalada la upelelezi wa kesi ya mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe limeshakabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa ajili ya kumfikisha mahakamani.    DCI Mungulu alisema hayo jana alipozungumzia mwafaka wa shauri la mwenyekiti huyo aliyetangaza maandamano ya amani kwa wafuasi wa chama chake mara baada

Jambazi Sugu lililokuwa likiwaua kwa Risasi wanawake jijini Arusha Lauawa na Jeshi la Polisi

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limefanikiwa kumuua jambazi aliyekuwa anajihusisha na mauaji ya wanawake mkoani humo ajulikanae kwa jina la Ramadhani Abdallah Jumanne mwenye umri wa miaka 37. Jamabazi huyo ambaye alikuwa anasakwa kwa muda mrefu aliuawa katika majibizano ya risasi yaliyotokea usiku wa wa kuamkia leo wakati ambao Polisi walifika anapoishi jambazi huyo kwa ajili ya kumkamata.

Video 5 HATARI Toka Ndani ya Jumba la Big Brother Africa Ziko Hapa

$
0
0
Huu  ni  Mkusanyiko  wa  Episodes  5  za  Matukio  yote  yanayotendeka  ndani  ya  jumba  la  Big  Brother  Africa tangu  lianze  Jumapili  ya  tarehe  5. Katika  mkusanyiko  huu  wa  Video, utafanikiwa  kujionea  tukio  zima  la  uzinduzi, jinsi  washiriki   wanavyokabiliana  na  task  mbalimbali  wanazopewa  pamoja  na  maisha  yao  binafsi  wakiwa  ndani  ya  vyumba  vyao. Kumbuka 

Rais Museven amekataa watu kusalimiana kwa kushikana mikono

$
0
0
October 9 2014 nchi ya Uganda iliazimisha uhuru wake huku rais wake Yower Museven akizungumza mambo muhimu matatu kwa wananchi wake ambapo ishu ya kwanza ni kuwataka wananchi wake kuwa makini kutokana na tishio la magonjwa ya Marburg pamoja na Ebola hivyo waache kusalimiana kwa kushikana mikono pamoja na kukumbatiana bila kuwepo ulazima wa kufanya hivyo.    Alisema magonjwa hayo kwa

Maofisa polisi 120 watimuliwa

$
0
0
Maofisa wa Polisi wapatao 120 wa Jeshi la Polisi, waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya kupandishwa vyeo katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), wametimuliwa chuoni hapo.    Habari za uhakika zilizopatikana jana kutoka ndani ya chuo hicho zamani kikijulikana kama CCP, zimedai uamuzi wa kuwaondoa chuoni ulitangazwa jana na mkuu wa chuo hicho, Matanga Mbushi.   Vyanzo mbalimbali

Mwalimu wa Sekondari Auawa Wakati Akifanya maombi kanisani

$
0
0
Watu wasiojulikana wamemuua Mwalimu Dionizi Ng’wandu wa Shule ya Sekondari Kagemu iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba na kumkata mguu mtu mwingine wakati wakifanya maombi kanisani.    Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Ijumaa wakati mwalimu huyo pamoja na mwenzake aliyetambuliwa kwa jina moja la Themistocles ambao ni waumini wa Kanisa la Pentecostal Asemblies of God (PAG)

Kimbunga cha Kinana Chawazoa Katibu wa CHADEMA na wafuasi wake 26 Nyololo, Mufindi

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akionesha kadi 27 za wananchama wa Chadema  waliokihama chama hicho na kujiunga na CCM kaatika mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Nyololo, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010. Kulia aliyevaa shati jeupe ni aliyekuwa Katibu wa Kata ya Igowole, Josephat Soda ambapo wengine ni miongoni

Wema Sepetu, King Majuto Na Diamond Platnumz Kucheza Filamu Pamoja

$
0
0
Msanii maarufu wa filamu nchini King Majuto amesema kuwa ana nia ya kufanya filamu ya pamoja na Wema Sepetu na Diamond Platnumz. Akizungumza na Bongo5,  King Majuto ambaye filamu zake nyingi zinafanya vizuri sokoni alisema kuwa amekutana na Wema hivi majuzi na kumueleza hilo na kumtaka azungumze kuhusu project hiyo ili Diamond akikubali wafanye kazi pamoja.     Majuto alisema kuwa

"Sina Uhusiano Wa Kimapenzi Na Master J" - Shaa

$
0
0
Shaa ambaye ni mwimbaji maarufu wa vibao vya Sugua Gaga na Subira  amekana kuwa na uhusuiano na producer maarufu wa muziki wa kizazi kipya Master J.   Akizungumza na jarida moja linalotoka kila mwezi Shaa amesema kuwa ameshangazwa na media kuandika ni wapenzi wakati yeye na master Jay wapo kikazi zaidi. Hata hivyo wakati Shaa akiyasema hayo inadaiwa tayari familia ya Master J

Miss Tanzania kufanyika leo Mlimani City jijini Dar

$
0
0
Shindano la kumsaka mrembo wa Tanzania linatarajiwa kufanyika leo, ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, ikiwa ni ruhusa kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutupilia mbali pingamizi la mashindano hayo lililowasilishwa mahakamani na mmoja wa waanzilishi wa Miss Tanzania, Prashant Patel. Shindano hilo litashirikisha warembo zaidi ya 20 ambapo watachuana
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images