Habari mpya zinasema kuwa Wema Sepetu anamsaka meninah kwa udi na
uvumba sababu ikidaiwa ni Meninah kutoka kimapenzi na Diamond kwa siri
kubwa huku Wema akiwa hana hili wala lile mpaka mapenzi ya wawili hao
yalipoanza kukomaa na kuchanua nje na watu kujua.
Inadaiwa kuwa Meninah tayari pia amejua kuwa
anasakwa na Wema hivyo kuingiwa na hofu, ingawa akizungumza na gazeti
moja la
Wema Sepetu Amsaka Meninah Kwa Kumkwapulia Diamond Platnumz.
↧
↧
Kivazi cha Jokate Utata Mtupu....Atinga Mtaani na suruali iliyonichanika
Mwanamitindo na mtangazaji mahiri Bongo, Jokate Mwegelo amezua utata baada ya kupiga picha akiwa ametinga suruali iliyochanika.
Akizungumzia picha hiyo ambayo imevuja
katika baadhi ya mitandao, Jokate alisema alivalia mavazi hayo hivi
karibuni Afrika Kusini alipokuwa amekwenda kurekodi wimbo wake mpya
(hakuutaja jina) na alivaa makusudi ili kuonesha utofauti.
“Nimeamua tu kuwa
↧
Mchungaji Awashangaza Waumini wake baada ya kumpiga chini mke wa kwanza na kuamua kuoa wa Pili "Dogodogo"
MCHUNGAJI Peter Rashid
Abubakari wa Kanisa la RGC lililoko Mbezi ya Shamba jijini Dar, amedaiwa
kuoa mke wa pili aitwaye Pamela Didas Asenga akiwa na umri wa miaka 20
tu ‘dogodogo’.
Kwa mujibu wa chanzo, ndoa hiyo ilifungishwa na Askofu Innocent
Lugagi wa Kanisa la White House la Durban, Afrika Kusini, Agosti 29,
mwaka huu.
Mke mwingine wa mtumishi huyo wa Mungu anaitwa
↧
Diamond azungumzia tetesi za kupanga kumuoa Meninah ........‘Nahuzunishwa sana’
Na Rama Nnauye-Bongo5
Hatimaye Diamond Platnumz amefunguka kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa ameachana na Wema Sepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoa na Meninah, Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa.
“Unajua hizi habari kiukweli zimekuwa zikinihuzunisha sana,” amesema superstar huyo wa muziki wa Bongofleva Tanzania.
“Unajua mie ni mtu mmoja
↧
Kajala: Watu wanaamini sana magazeti, sina utajiri huo wanaousema na wala sina ubavu wa kumwajiri Wema Sepetu
Kajala Masanja amedai kuwa maisha yake hayajabadilika sana kama ambavyo magazeti ya udaku yamekuwa yakiandika.
Muigizaji huyo wa filamu alisema kuwa tetesi kuwa ana fedha nyingi
kiasi cha kuwa na mpango wa kumwajiri Wema Sepetu ni uzushi mtupu.
“Mbona maisha yangu ni ya kawaida sana,” Amesema Kajala.
“Mimi naona nipo vilevile hakuna kubwa sana lililongezeka. Nafanya
shughuli
↧
↧
Jaji Warioba: Tutakutana mtaani.....Ni kuhusu Rasimu ya Katiba mpya.....Ataka Wajumbe wawaeleze wananchi sababu za kubeza maoni yao
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji
Joseph Warioba amesema Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Kamati ya
Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba imeondoa mambo manne muhimu
yaliyokuwa kiini cha kupata Katiba ya mageuzi.
Akiyataja mambo hayo muhimu ambayo ni maadili ya
viongozi wa umma, madaraka ya wananchi, mgawanyo wa madaraka na
muungano.
“Tutakutana
↧
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta atumiwa Meseji za Matusi
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta amesema anapokea
meseji za simu zaidi ya 50 kwa siku za kumtukana na kusisitiza
ataendelea kupambana kuhakikisha Katiba inayopendekezwa inapatikana.
Sitta alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma jana
wakati akielezea kutoridhishwa kwake na kile alichodai ni namna hukumu
ya kesi iliyofunguliwa na Saed Kubenea inavyopotoshwa na wanaomchukia.
↧
Serikali yang'aka kuyafungia magazeti
Serikali
imesema haina mpango wa kuvifungia vyombo vya habari yakiwamo magazeti
badala yake itaendelea kuvionya vinavyokiuka maadili.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia,
alisema hayo jana kufuatia gazeti la NIPASHE kuandikiwa barua na ofisi
ya Msajili wa Magazeti, kutaka lijieleze baada ya kuchapicha habari
kuhusu Bunge la Katiba jinsi linavyotumia
↧
Mbunge azomewa na wananchi mbele ya Kinana
Mbunge wa Jimbo la Korongwe Mjini, Yusuph Nassir, jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na wananchi wake wakidai kuwa hatembelei katika jimbo lake.
Zomea hiyo ilifuatia baada ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kuwataka wananchi waulize maswali kwenye mkutano wa hadhara ili viongozi wake wayajibu.
Akijibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na
↧
↧
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma ( UDOM ) Afungwa Jela Miaka 6
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu kifungo cha miaka sita
jela, Melkiad Kabunduguru(28) baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia
fedha kwa njia ya udanganyifu na kukutwa na noti bandia.
Kabunduguru ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu
cha Dodoma(Udom) atatumikia kifungo hicho baada ya Mahakama kuridhika na
ushahidi uliotolewa dhidi yake.
Katika shtaka la kwanza la
↧
Ubunge wa wabunge Wa EAC shakani.....Mahakama yasema taratibu zilikiukwa......Serikali kulipa gharama zaote za kesi
Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), jana imesema uchaguzi wa
wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki ni batili kutokana
na kukiuka ibara ya 50 ya mkataba wa kuanzishwa Jumuiya ya Afrika
Mashariki.
Jaji Kiongozi, Jean Bosco-Butasi akiwa na majaji
wengine wa mahakama hiyo, Isaac Lenaola na Jaji Faustine Ntezilyayo,
walitoa uamuzi huo katika hukumu ya kesi iliyofunguliwa
↧
Serengeti Fiesta Yatikisa Mjini Songea kwa Shoo Kali ya Kihistoria
Maelfu ya mashabiki wa mji wa Songea jana ijumaa walikusanyika katika uwanja wa Majimaji mjini humo kushuhudia shoo kali ya kihistoria iliyoporomoshwa na wasanii nyota wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini.
Kwa mara ya kwanza katika historia, shoo ya Serengeti Fiesta iliingia katika viunga vya mji wa songea na shoo kali zilizokonga vilivyo nyoyo za mashabiki wa mji huo mara baada ya
↧
Wahalifu wanaotubu kanisani kuripotiwa Polisi
KANISA Anglikana linakabiliwa na shinikizo la kutakiwa kulegeza masharti ya sheria zake ili wachungaji waweze kuripoti uhalifu wanaousikia kutoka kwa waumini wao wanaoungama. Utaratibu huo umeshaanza kutekelezwa na Kanisa Anglikana Australia ambalo limeruhusu wachungaji kuripoti polisi uhalifu uliobainika wakati wa maungamo ya waumini.
Askofu wa zamani wa kanisa hilo, Dayosisi ya
↧
↧
Mtuhumiwa Auawa kwa Kuchomwa Moto baada ya Kushindwa Kujieleza
MTU mmoja mwenye umri kati ya miaka 25 na 30 ambaye jina lake halifahamiki, ameuawa baada ya kushindwa kujieleza juu ya pikipiki ambayo yeye na mwenzake walikuwa wanajaribu kuiuza Chalinze.
Watu hao walifika Chalinze wakidai kutokea Gairo wakitaka kuuza pikipiki aina ya Toyo yenye namba za usajili T 336 BZC.
Lakini walipobanwa kuhusu kadi ya pikipiki walibabaika na hivyo kuanza
↧
Jaji Warioba Ashambuliwa.....Afananishwa na maiti iliyokufa ikafufuka
Mbunge
wa Mbinga Kusini, Kapteni John Komba, kwa mara nyingine amemshambulia
aliyekuwa Mweyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph
Warioba, kwa ‘kuwaingilia’ na amemuomba Rais Jakaya Kikwete, amuite na
kumkanya.
Katika mchango wake bungeni jana, Komba alianza kwa kusema, “Ninalo moja
kubwa la kuchangia hapa, juzi nilizungumza habari hapa, jamani eh...,
mtu akishazikwa,
↧
Mh. Sugu ambaye ni mbunge wa Mbeya Mjini amwagana na Mke wake......Mwanamke afunguka mazito
Mwigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe
wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ...
Kupiia Instagram, Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana
na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema.
↧
Wiki ya kufa au kupona kwa Bunge la Katiba inaanza leo.....Kura kuanza kupigwa Leo
Wiki ya kufa au kupona kwa Bunge la Katiba, inaanza leo mjini
Dodoma wakati wajumbe watakapoanza kuzipigia kura ibara na sura za
Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Shughuli hiyo itaanza huku kukiwa na hofu ya
kutopatikana kwa theluthi mbili ya kura kwa wajumbe kutoka Tanzania Bara
na theluthi mbili ya wajumbe kutoka Zanzibar inayotakiwa kwa mujibu wa
kanuni, sheria na Katiba ya nchi
↧
↧
Rose Ndauka na Mchumba wake Wamwagana
Wachumba wa muda mrefu, staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus
Ndauka na Malick Bandawe ambao maisha yao ya kimapenzi yamekuwa
yakitawaliwa na msuguano wa chini kwa chini, hatimaye wameachana.
Chanzo cha uhakika
kimesema kuwa wachumba hao ambao walivalishana pete kwa mbwembwe
miaka mitatu iliyopita huku wakipika na kupakua lakini wamekuwa katika
mzozo wa muda mrefu wa kifamilia,
↧
Ray alia na 'Maprodyusa' uchwara
Staa
wa filamu hapa Bongo, Vicent Kigosi ama Ray kwa jina maarufu, ametoa
angalizo juu ya kuibuka kwa wingi Watayarishaji wa Filamu ambao
wamekuwa hawazingatii viwango vya ubora wa kazi na hivyo kuharibu soko
la sanaa hiyo.
Ray
akiwa kama msanii mwenye mafanikio tayari, amesema kuwa, sanaa hiyo
inaendelea kukuwa isipokuwa, Watayarishaji filamu hawa wameongezeka sana
na kuna
↧
Maslahi ya taifa yamezingatiwa katika Rasimu ya katiba ya sasa- Kingunge
Mwanasiasa
Mkongwe nchini Tanzania Kingunge Ngombale Mwiru amesema Katiba ya sasa
imezingatia masuala ya Msingi na kuwa bora zaidi na kuongeza kuwa
vipengele viliyoondolewa ni kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Akichangia
rasimu iliyopendekezwa jana bungeni mjini Dodoma Kingue alisema hata
kuondolewa kwa mfumo wa Serikali Tatu ni kwa kuwa muundo huo ulikua
umelenga kuuvunja
↧
More Pages to Explore .....