Diamond Platinumz ameonesha jinsi ambavyo penzi lake na Wema Sepetu
linazidi kuimarika tofauti na habari zilizokuwa zimesambaa kwenye
magazeti hivi karibuni.
Mdogomdogo Diamond amemzawadia kichuna wake gari jipya aina ya Nissan Morano kama zawadi ya birthday.
Mwimbaji buyo alishare picha ya gari hilo kwenye Instagram na
kumuandikia ujumbe mtamu mrembo wake aliyekuwa miss
Diamond Amzawadia Gari Wema Sepetu
↧
↧
UVCCM wamvaa Jaji Warioba
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umemtaka aliyekuwa
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba, aingie
mtaani kupambana akiwa na chama cha siasa badala ya kuendelea kutumia
mwamvuli wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Tamko hilo lilitolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar,
Shaka Hamdu Shaka alipozungumza na mjini Dodoma nje ya viwanja vya
↧
CUF Yatangaza mkakati mzito
CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimesema kitakuwa tayari kuingia mitaani na kuungana na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba, kupinga rasimu itakayopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba kwa madai kuwa haitokani na mawazo ya wananchi.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama hicho wilayani Kaliua mkoani Tabora, Naibu Katibu wa CUF Tanzania Bara,
↧
Muuguzi Adaiwa kusababisha kifo cha mama mjamzito na watoto wake mapacha kwa uzembe.....Wananchi Wacharuka
HOSPITALI ya Serikali mkoani Shinyanga juzi ilijikuta katika wakati mgumu baada ya kundi la wananchi kuvamia wodi ya wazazi, wakilalamikia uzembe uliofanywa na muuguzi kushindwa kutoa msaada kwa mwanamke aliyekuwa akijifungua na kusababisha kifo chake na watoto wake mapacha aliokuwa anajifungua.
Hali hiyo ilijitokeza saa 12 juzi jioni baada ya wazazi wa mjamzito huyo aliyekuwa
↧
CHADEMA Waliteka jiji la Mwanza.....Polisi watumia Mabomu Kuwatawanya
Baada
ya Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza kuzuia maandamano ya wafuasi wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katikati ya wiki iliyopita, umati
mkubwa wa wakazi jijini hapa jana walifurika katika uwanja wa Shule ya
Msingi Mbugani kuwasikiliza viongozi wao wa kitaifa.
Viongozi hao ni Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika na Naibu Katibu Mkuu
Zanzibar, Salum Mwalimu.Mkutano huo
↧
↧
Big Brother Africa 2014: Picha na Video zote za washiriki wakioga, wakicheza ziko hapa
Ni siku 6 tu zimesalia kabla ya shindano la Big Brother Africa kuanza ambapo Mshindi wake ataondoka na Dolla 300,000.
Usikubali kupitwa na tukio lolote kutoka ndani ya jumba hilo. Picha, Video, Live Updates, Video zao Wakioga na Mengine Mengi yatakuwa yakiruka mtandaoni moja kwa moja kupitia site yako pendwa ya
www.bigbrotherafricans.com
↧
Picha: Beyonce apata shida baada ya nguo kufunguka na kuacha kifua chote wazi akiwa jukwaani
Beyonce Knowles alipata tatizo la aina yake alipowasapraiz mashabiki
wake kwa kuungana jukwaani na mumewe Jay Z ghafla katika Global Citizen
Festival iliyofanyika wikendi iliyopita.
Akiwa katika harakati za kuimba na kucheza, ghafla top yake nyeupe
ilifunguka na kifua chake kubaki wazi huku ‘maziwa’ yakitoka nje ya bra
iliyokuwa na rangi ya ngozi yake.
Hata hivyo, kitendo hicho
↧
Sad: Msanii Wa Bongo Flava Side Boy Mnyamwezi Afariki
Habari za kusikitisha zilizothibitishwa, zinaeleza kuwa msanii wa
bongo aliyekuwa anajulikana kama Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia jana
Side alifikwa na umauti katika hospitali ya Nyangao iliyopo katika mkoa wa Lindi.
Msanii huyo alifahamika zaidi kwa wimbo wake wa ‘Kua uyaone’ aliomshirikisha Ali Kiba.
Nyimbo nyingine alizowahi kutoa ni pamoja na ‘Hujafa
↧
TCRA yaanza kuwashughulikia wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea
kuwakumbusha wananchi kutumia njia ya mawasiliano ipasavyo ili
kujijengea heshima kwani kwa sasa hatua kali za kisheria zimeanza
kuchukuliwa kwa wale wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii.
Akizungumza na Times fm, Meneja mawasiliano wa (TCRA) Inocent Mungy
amesema kuwa ipo haja kwa wasichana kujiheshimu kwani picha nyingi
mbaya
↧
↧
Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa saa nane usiku, Wiz asema alifanya makusudi
Uamuzi wa Amber Rose kutaka kutalakiana na mumewe Wiz Khalifa ulizua
maswali mengi huku ‘uchepukaji’ ukitajwa kuwa chanzo cha yote.
Lakini kwa mujibu wa TMZ, Amber Rose alichukua uamuzi huo baada ya
kumfumania Wiz Khalifa akiwa na mwanamke mwingine nyumbani kwake majira
ya saa nane usiku.
Taarifa hizo zimeunganishwa na tweet ya Amber Rose inayoeleza kuwa anaendelea kulikumbuka
↧
Jeshi la Polisi latumia Risasi za Moto na Mabomu kutawanya wafuasi wa CHADEMA Manzese, Dar es Salaam
Wafuasi wa Chadema jana waliandamana katika
mitaa ya Manzese na kusababisha tafrani baada ya polisi kuwatawanya kwa
mabomu ya machozi na risasi.
Maandamano hayo yaliyoanza saa nne asubuhi jana,
yalihusisha wanachama takriban 30 kutoka maeneo mbalimbali ya Jimbo la
Ubungo. Yalianzia Manzese Midizini na kuishia Ofisi za Chadema Kata ya
Manzese.
Awali, waandamanaji hao waliokuwa
↧
Tibaigana: Nchi hii inahitaji Rais Dikteta
Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji
kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi
wabadhirifu na wazembe, lakini Kamanda wa Polisi mstaafu wa Kanda
Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Alfred Tibaigana amekwenda mbali
zaidi; anataka rais dikteta.
Kamishna Tibaigana alitoa kauli hiyo katika
mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani
↧
Umoja wa Ma-Girlfriend Tanzania Watoa Tamko baada ya Diamond kutoa zawadi ya Gari kwa mpenzi wake Wema Sepetu
September 26 ilikua ni siku ambayo mrembo kutoka Tanzania Wema Sepetu
alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ndani ya siku yake hii
ukitoa party aliyoifanya kulikuwa na vitu mbalimbali vya kuvutia.
Siku hiyo Diamond platnumz aliamua kumzawadia zawadi ya gari mpenzi wake Wema Sepetu gari aina ya Nissan Murano.
Mbali na zawadi aliyoitoa Diamond Platnumz ya gari hilo pia Meneja wake
↧
↧
BAKWATA Yatangaza Siku ya Sikukuu ya Idd el Haji
Baraza Kuu la Waislam Tanzania, BAKWATA limetangaza kuwa sikukuu ya Idd
el Haji itafanyika siku ya Jumapili ya tarehe 5 Oktoba 2014.
Akizungumza na TBC, Kaimu Mufti wa Tanzania ambaye pia ni Shehe Mkuu wa
Mkoa wa Shinyanga, Ismail Habib Mwakusanya amsesema swala ya sikukuu
hiyo itaswaliwa Kitaifa katika msikiti wa Al Farouq uliopo Kinondoni
jijini Dar es Salaam na kufuatiwa na Baraza
↧
Watu 250 Hoi Hospitalini.....Walazwa baada ya kunywa Togwa yenye Sumu mkoani Ruvuma
Zaidi ya watu 250 miongoni mwao wakiwemo watoto, katika kijiji cha
Litapwasi katika wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wamenusurika kufa baada
ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Watu hao wamekunywa togwa hiyo katika sherehe ya kipaimara iliyofanyia kijijini hapo juzi, Jumapili.
Watu 27 kati yao walilazwa katika hospitali ya Mtakatifu Joseph ya
Peramiho huku wengine
↧
Waziri Mkuu Mizengo Pinda aiokoa Mahakama ya Kadhi.....Asema Januari mwakani Serikali itaandaa Muswada ili kuitambua Mahakama hiyo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alilazimika kuokoa jahazi la
‘kuzama’ kwa Katiba Mpya kwa kupoza hasira za Waislamu kuhusu Mahakama
ya Kadhi kutoingizwa kwenye Katiba inayopendekezwa.
Badala yake Pinda aliwaahidi kuwa Januari mwakani,
Serikali itawasilisha bungeni muswada wa sheria ili kuutambua uamuzi
unayofanywa na Mahakama za Kiislamu.
Tamko hilo lilitokana na kuwapo kwa
↧
Kura ya HAPANA yatikisa Bunge Maalumu la Katiba
Wajumbe wa Bunge la Maalumu la Katiba jana
walianza kupiga kura za kuamua ibara za Katiba inayopendekezwa, huku
kura za wajumbe kutoka Zanzibar zikiibua wasiwasi wa iwapo theluthi
mbili itapatikana au la.
Dalili za kupiga kura za hapana kutoka upande wa
Zanzibar zilianza kujionyesha mapema baada ya taarifa za ndani kueleza
kuwa zikikosekana 10 kutoka upande huo wa Muungano hakuna
↧
↧
Nyota ya Jaji Joseph Warioba Yang'ara Shinyanga
BAADHI ya wakazi wa Mji wa Shinyanga, wamepinga vikali kitendo cha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kumshambulia kwa maneno ya kejeli aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba wakidai mashambulizi hayo yaelekezwe kwa wananchi waliotoa maoni yao katika tume.
Wakizungumza na Majira kwa nyakati tofauti mjini humo jana, wakazi hao wamedai
↧
Kwa Nini Waganga Wanaweza Kuwasaidia Watu Kuwa Matajiri Wakati Wao Ni Masikini?.....Bofya hapa kujua Wanachokifanya
Kuna watu ambao wanapata mafanikio makubwa kwa kutumia uchawi. Ila mafanikio yale hayaletwi na uchawi bali imani ya mtu husika.
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja
↧
RUVUMA: Jeneza laibwa msikitini, lakutwa kwa afisa mtendaji
Jeshi
la Polisi mkoani Ruvuma linawasaka watu wasiofahamika wanaotuhumiwa
kuingia msikitini na kuiba jeneza, Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma.
Baada ya kuiba jeneza hilo, watu hao wanadaiwa kwenda nyumbani kwa Afisa
Mtendaji wa Kijiji cha Kitanda, wilayani humo, Fidea Mbawala (30) na
kuliweka mlangoni, likiwa limesheheni matofali.
Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Mihayo Msikhela,
↧
More Pages to Explore .....