Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Audio: Hotuba ya Rais Kikwete Kwenye mkutano wa Tabia Nchi- Umoja wa Mataifa

$
0
0
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi, alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon  kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani.   Hii ni hotuba yake (kwa hisani ya Umoja wa Mataifa).

Hackers watishia kuvujisha picha za utupu za muigizaji wa Harry Porter Emma Watson kufuatia hotuba yake ya UN

$
0
0
Staa wa filamu ya ‘Harry Potter’, Emma Watson alitoa hotuba kwenye Umoja wa Mataifa kuwataka wanaume kuungana katika harakati za usawa wa kijinsia. Hackers wametishia kuvujisha picha za utupu za mrembo huyo ambaye ameamua kujitolea kutetea haki za wanawake. Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, mtandao wa 4chan ambao umevujisha picha za mastaa kibao wa Marekani siku chache

Picha: Amber Rose ashare picha yake ya utupu Instagram

$
0
0
Wakati mastaa wengine wanahaha baada ya picha zao za utupu kuvujishwa mtandaoni bila ridhaa zao, stripper wa zamani na mke wa rapper Wiz Khalifa, Amber Rose ameamua kutowasubiri hackers wafanye mambo, kwa kuamua kuvujisha mwenyewe picha yake ya utupu kupitia akaunti yake ya Instagram. Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja alishare picha hiyo na kuandika:   “Well before anyone tries

Sandra: Sijawahi kutoa Rushwa ya Ngono kwa Director

$
0
0
MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa wengine. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Sandra alisema kuna baadhi ya wasanii wanafikiri kuwa na

"Si lazima kujua Kingereza hata Messi hajui" - Ray

$
0
0
Mkurugenzi wa Kampuni ya filamu Rj Company,Vicenti Kigosi amesema si lazima kujua Kingereza maana hata Messi hajui.   Ray amesema hayo alipokuwa akichat Live na mashabiki zake kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachokukutanisha na watu mahiri kila siku ya jumatano kuanzia saa sita za mchana mpaka nane kamili. Mkali huyo ambae kwa sasa

Wafuasi watano wa CHADEMA Mbaroni

$
0
0
Wafuasi watano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kufanya mkusanyiko usio halali. Wafuasi hao akiwemo Mratibu wa Chadema Kanda ya Magharibi, Christopher Nyawanji wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma mbele ya Hakimu wa mahakama hiyo, Verynice Kawiche.   Washtakiwa wengine ni Laurent Manguweshi ambaye ni katibu

Orodha ya Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Vyuo Vikuu Mbalimbali 2014/ 2015

$
0
0
Bofya jina la chuo kupakua faili lenye orodha ya majina ya waliochaguliwa BUGANDO BScN_2014.pdf (82.4 KB) BUGANDO MD.pdf (106.2 KB) BUGANDO MEDICAL LABORATORY SCIENCES.pdf (79.7 KB) BUGANDO PHARMACY.pdf (80.0 KB) BUGANDO NURSING.pdf (76.0 KB) IFM BACHELOR DEGREE 2014 MAKUMIRA PROPOSED STUDENTS 2014/2015 MUM Undergraduate Selection - Direct.pdf (561.3 KB) MUM Undergraduate Selection -

Mchongo mpya alioupata Diamond Platnumz,huu unahusu application ya simu.

$
0
0
Ingawa hajaweka wazi namna dili hii itakavyokuwa lakini kupitia ukurasa wake wa Instagram,Diamond Platnumz amepost picha ambayo imebeba maandishi yasemayo "Ningependa kukutaarifu shabiki wangu pendwa kuwa kijana wako sasa ni balozi wa application mpya iitwayo Mziiki"   Hii ni application ambayo itatumiwa na watu wenye simu za androad kusikiliza muziki.Huu ndiyo muonekano wake

Nakala ya Rasimu ya Katiba Mpya iliyopendekezwa: Ibara 28 zimefutwa, 42 Zimeongezwa....47 zimebaki kama zilivyo na 186 zimerekebishwa

$
0
0
Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba jana ilikabidhi bungeni Rasimu ya Katiba inayopendekezwa ikiwa na ibara 289 kulinganisha na 271 za Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba.    Rasimu hiyo pia ina sura mpya mbili ambazo ni Mamlaka na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na nyingine inayohusu Ardhi, Maliasili na Mazingira.   Akiwasilisha rasimu hiyo,

Tcu yakifungia chuo cha IMTU kudahiri wanafunzi wapya

$
0
0
Tume ya vyuo vikuu nchini Tanzania imesitisha udahili wa wanafunzi wapya katika chuo kikuu cha IMTU kwa mwaka wa masomo 2014/15 na kukipa muda wa miezi 3 chuo hiko kurekebisha kasoro zinazojitokeza mara kwa mara ikiwemo kudahili wanafunzi wengi.   Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo Kaimu katibu mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Prof. Magishi Mgasa

Mahakama yatoa hukumu kesi ya Kubenea kuhusu Bunge maalumu la Katiba

$
0
0
Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Majaji Augustine Mwarija, Aloysius Mujulizi na Dr Fauz Twaib imetoa uamuzi wake leo kufuatia maombi ya Saed Kubenea kama ifuatavyo;   1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.   2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge

Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) latangaza maandamano kwenda Ikulu kuonana na Rais Jakaya Kikwete

$
0
0
Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) limetangaza maandamano kwenda Ikulu kumuomba Rais Jakaya Kikwete asikubali kutia saini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iwapo itapitishwa na Bunge.    Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee alisema jana kwamba maandamano hayo yatafanyika mwishoni mwa wiki ijayo, baada ya maandalizi yatakayofanyika kwa siku saba kuanzia jana kukamilika.   Mdee

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watishiwa maisha.....Vipeperushi vyasambazwa kila kona ya mkoa wa Dodoma

$
0
0
Siku tatu kabla ya Bunge la Katiba kuanza kupigia kura Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, watu wasiojulikana wameanza kusambaza vitisho vya kuwatia hofu wajumbe wa Bunge hilo.    Watu hao wamesambaza vipeperushi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Dodoma usiku wa kuamkia jana, wakiwataka wajumbe kutoingia bungeni vinginevyo yatakayowapata watajuta, huku wajumbe kutoka Zanzibar

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Vanessa Mdee, Diamond na Peter Msechu watajwa kuwania 'All Africa Music Awards 2014'

$
0
0
Wasanii wa Tanzania, Vanessa Mdee, Diamond Platinumz na Peter Msechu wametajwa kuwania tuzo za AFRIMA za nchini Nigeria.   Come Over imemuwezesha Vanessa kutajwa kuwania tuzo katika vipengele viwili vya Best African RnB Soul na Best Female Artist in Eastern Africa.   Peter Msechu kupitia wimbo wake Nyota na Diamond kupitia Number One wametajwa kuwania tuzo ya Best Male Artiste In Eastern

Wakazi wa Songea kupata burudani ya Serengeti Fiesta LEO kwa mara ya kwanza

$
0
0
Baada ya kushusha burudani ya aina yake katika mikoa ya Iringa na Morogoro wiki iliyopita, Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 linaendelea na sasa limejipanga kwa ajili ya kuwasha moto kwa wakazi wa mji wa Songea na viunga vyake kwa mara ya kwanza katika historia ya tamasha hilo nchini. Burudani hiyo ya kihistoria itafanyika leo katika Uwanja wa Majimaji mjini humo.   Kila kitu kipo sawa kwa

Katibu Mkuu wa CCM ndg.Kinana Ziarani Mkoani Tanga

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima shamba la mpunga kwenye mradi wa kilimo kwanza wa Skimu ya Mahenge.  Mifereji ya maji kwenye shamba la skimu ya Mahenge. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kufyeka majani kwenye eneo la soko la sabasaba mjini Korogwe.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kujenga zahanati Mahenge

Video: Pastor aliyewalisha majani waumini wake, sasa awanywesha petroli kwa madai kuwa itageuka kuwa Juisi ya Nanasi

$
0
0
Mchungaji wa Afrika Kusini aliyewahi kuwalisha waumini wake majani, sasa anawanywesha petrol.   Pastor Lesego Daniel wa Rabboni Centre Ministries aliwahi kuandikwa sana na vyombo vya habari duniani kwa kuwaagiza wafuasi wake kula majani kama wanyama kwa madai kuwa binadamu wanaweza kula chochote kilichotoka kwa Mungu.   Kitendo hicho kiliwaacha waumini wengi wakitapika na kuharisha.

China: Kujiunga chuo, kujifunza udereva, ukitaka kuoa au kuolewa sharti uchangie damu

$
0
0
Ajali za barabarani duniani hutokea kila uchao, na wahitaji wa damu wanazidi kuongezeka huku idadi ya wachangia damu nayo ikizidi kushuka siku hadi siku na kuleta hatari kwa maisha ya wahitaji. Kutokana na hali hiyo mji wa Baoji nchini China uko kwenye harakati za uhamasishaji uchangiaji wa damu kwa mtindo wa kipekee , kampeni ambayo imewekwa ni kwamba kama unahitaji kujiunga na chuo,

UKAWA Yaitaka Polisi Kuzuia Mikutano ya Kinana Nchini

$
0
0
UMOJA wa Katiba ya Wananchi “Ukawa” wamemtaka Mkuu wa Jeshi la  Polisi nchini,  kuzuia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana,  kama alivyozuia mikutano na maandamano ya vyama vya siasa  vinavyoundwa  na Ukawa.   Hayo yamezungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Lissu wakati akizungunmza na waandishi wa habari leo,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images