Askari Polisi wakiwa eneo la tukio kuimarisha ulinzi
Eneo la tukio likiwa limezungushiwa alama na Jeshi la Polisi. Mkuu
wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwangu akizungumza jambo
katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma baada ya kuwatembelea majeruhi hao. Kamati ya ulinzi na Usalama wakiwa Hospital ya mkoa wa Ruvuma. Aliye lala kitandani ni WP ambaye amejeruhiwa akiwa amelazwa katika hospital ya Mkoa
Askari Watatu Wajeruhiwa kwa Bomu Songea, Ruvuma
↧
↧
Mwenyekiti Wa CHADEMA Atinga Makao makuu ya Jeshi la Polisi Kuhojiwa huku akisindikizwa na Wanachama wake.....Vurugu Zaibuka, wananchi watawanywa
Baadhi ya wapenzi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), wakishangilia baada ya gari lililokuwa limembeba Mwenyekiti
wa chama hicho, Freeman Mbowe, alipowasili leo Makao Makuu wa Jeshi la
Polisi jijini Dar es Salaam, kwa mahojiano.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakimpa kichapo mwandishi wa
habari wa gazeti la Tanzania Daima, Josephat Isango, nje ya
↧
Vurugu makao makuu ya Polisi: Waandishi Wa Habari wapigwa na kufukuzwa kwa kutumia Mbwa
Vurugu zimezuka leo asubuhi katika makao makuu ya jeshi la Polisi jijini
Dar es Salaam nchini Tanzania, muda mfupi baada ya Mwenyekiti taifa wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema, Freeman Mbowe, kuwasili kwa
ajili ya mahojiano.
Mbowe
aliitwa na polisi kwa ajili ya kutoa maelezo kuhusiana na kauli
aliyoitoa hivi karibuni ambapo kiongozi huyo alinukuliwa akihamasisha
↧
Dodoma nako Hali Haikuwa nzuri.....Baadhi ya barabara zilifungwa kwa Muda, Polisi Wapanda farasi nao walitumika kuwakabili Wafuasi wa CHADEMA
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) akiongea na waandishi wa habari.
*******
Polisi Mkoani Dodoma leo asubuhi ililazimika kuzifunga baadhi ya barabara za mkoa huo ili kukabiliana na waandamanaji wa CHADEMA waliokuwa wamepanga kuvamia Bunge Maalum la katiba wakitaka Lisitishwe.
Kaimu Kamanda wa
↧
Picha: Muigizaji mkubwa aliyedai amenyanyaswa na polisi, alikutwa akifanya mapenzi kwenye gari, Picha ziko hapa
Ukweli haufichiki daima labda kuuchelewesha tu! Ndicho kinachomkuta
muigizaji wa kike wa filamu ya ‘Django Unchained’ wa Marekani, Daniele
Watts aliyewapa wakati mgumu polisi wa Los Angeles kwa kuwatuhumu
kumnyanyasa na kumfanyia ubaguzi wa rangi alipokuwa na mpenzi wake Brian
James.
Awali Daniele alisababisha matatizo kwa polisi hao baada ya kuonekana
katika picha akiwa analia
↧
↧
Kinana Awaponda Wapinzani kwa tabia yao ya kuandaa Maandamano badala ya Maendeleo ya Wananchi
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) akihutubia katika mkutano wa
hadhara mjini Maneromango jana wakati wa ziara yake wilayani Kisarawe,
Pwani ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo
inayotekelezwa kwa kuata Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho pamoja na
kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi.
Wananchi
wa Kata ya Maneromango
↧
Jeshi la Polisi nchini Lathibitisha kuwa Mlipuko Uliowajeruhi Askari Polisi Songea ni Bomu la Kienyeji
JESHI la polisi nchini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa
kinadaiwa kuwa ni bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16
mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari
polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono
lililotengenezwa kienyeji.
Akitoa taarifa ya uchunguzi
wa tukio hilo kwa waandishi wa
↧
Nicki Minaj aalikwa kuzungumza na wanafunzi wa shule nyingine baada ya kukataliwa na ile aliyosoma
Nicki Minaj amealikwa kwenda kuzungumza na wanafunzi wa shule ya
jijini New York baada ya ombi lake la kutembelea shule aliyosomea
kukataliwa wiki iliyopita.
Hivi karibuni rapper huyo alizungumza na uongozi wa shule ya
Fiorello H. LaGuardia High School na kuuomba aitembelee kama na
kuzungumza na wanafunzi lakini uongozi ulimtosa. Kwenye ujumbe wa
Twitter, Nicki aliandika:
“I
↧
Habari Kamili kuhusu Vurugu za CHADEMA Zilizosababisha Barabara na Vituo vya Redio kufungwa pamoja na waandishi wa habari kupigwa
Mtikisiko mkubwa wa kisiasa jana umelikumba taifa, baada ya wafuasi wa Chadema kupambana na polisi katika maeneo mbalimbali.
Hali hiyo, ilianza kuonekana mapema jijini Dar es Salaam, wakati
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliwapowasili Makao Makuu ya Jeshi
la Polisi saa tano asubuhi kwa ajili ya kuhojiwa.
Mbowe aliitwa kuhojiwa na viongozi wa jeshi hilo kwa madai ya kutoa
↧
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Watoto Wamuua Baba yao kwa Fimbo wakimtuhumu kuuza Chakula cha Familia
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.
Alisema siku ya tukio, watuhumiwa hao, ambao hakuwataja
↧
Mwanaume Amuua Mkewe kwa Nyundo......Achukua Watoto na kutokomea kusikojulikana
Mwanaume mmoja mkoani Katavi anasakwa na
polisi kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumpiga nyundo kichwani kisha
kuufungia mwili wa marehemu ndani ya nyumba.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri
Kidavashari alisema tukio hilo lilitokea kijijini hapo Septemba 14,
mwaka huu saa 1.30 asubuhi ambako mwanamke aitwaye Bernadeta Bwetel (38)
mkazi wa Kijiji cha Uruwila Wilaya ya Mlele
↧
UJASILIAMALI: Kwa nini Wengi hawafanikiwi kwa Biashara ya Duka??
Wengi wamekuwa na ndoto za kufungua maduka wakiamini yanaweza kuwa
daraja la kuelekea kwenye mafanikio. Siyo mbaya kwani nawajua wengi tu
ambao wamefanikiwa kwa kuanzisha vioski, baadaye maduka na sasa ni
wafanyabiashara wakubwa.
Lakini wakati baadhi wakifanikiwa kwa njia hiyo, wapo ambao wamekuwa
wakifungua maduka na baada ya muda kuyafunga huku wakiwa wameambulia
hasara.
↧
↧
Nape Ageuka Mbogo: Amtaka Mbowe Amtangulize Mkewe na Watoto wake wakati wa Maandamano yao ya CHADEMA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Bw. Nape Nnauye, amewataka wananchi wasikubali kuandamana kwa shinikizo la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ili kushinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishe vikao vyake kabla ya Oktoba 4,2014.
Bw. Nnauye aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani na kusisitiza kuwa, maandamano
↧
Mbakaji Ahukumiwa Kuchapwa Viboko 20 Nkasi mkoani Rukwa
MKAZI wa Kijiji cha Karundi, Wilaya ya Nkasi, mkoani Rukwa, Moses Kang'ombe (17), amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 20 baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji na kusababisha mimba.
Hukumu hiyo imetolewa juzi na Mahakama ya Wilaya hiyo baada ya kumtia hatiani katika makosa mawili la ubakaji na kusababisha mbakwaji ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba (jina tunalihifadhi), kupata
↧
Serikali za Tanzania na Malawi Zasema hazina tofauti juu ya mpaka wa ziwa Nyasa
Na Mbeya Yetu Blog , Lilongwe Malawi.
Waziri wa Habari,Utalii na Utamaduni nchini Malawi Mheshimiwa
Kondwani Nankhumwa alisema kuwa Serikali ya Malawi haina mgogoro na
Serikali ya Tanzania kuhusiana na mpaka wa ziwa Nyasa.
Aliyasema hayo baada ya kukutana na Jopo la Waandishi Habari wa
Mkoa wa Mbeya waliotembelea ofisini kwake katika mfululizo wa ziara ya
waandishi
↧
Update: Polisi Wavamia Ofisi za CHADEMA Mkoani Morogoro
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Polisi wamevamia ofisi za CHADEMA wilaya ya Morogoro na kuwakamata Viongozi waandamizi Watano wa chama hicho waliokuwa wakijiandaa kuongoza maandamano ya kupinga Bunge Maalumu la Katiba.
Wakati hayo yakijiri, taarifa kutoka Zanzibar zinaarifu kuwa Polisi mjini Magharibi wamepiga marufuku mkutano wa CUF
↧
↧
Kitabu cha "Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi" sasa kinapatikana Bure Mtandaoni
Habari za
leo ndugu wapenzi
wasomaji. Tunapenda kuwafahamisha
kuwa, tumepewa idhini na mwandishi
pamoja na wachapishaji
wa kitabu cha “Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi“.
Habari njema
kwako ni kwamba, kitabu hiki
sasa utakisoma bure
kabisa kupitia blog ya
Ulimwengu Usioonekana.
Kusoma kitabu
hiki kuanzia sura
ya kwanza hadi
ya mwisho, tembelea :
↧
Vanessa Mdee: Jux ni rafiki yangu tu, hakuna zaidi
Vanessa Mdee aka Vee Money amekanusha tetesi zilizopo kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na muimbaji wa ‘Nitasubiri’ Jux.
Siku za hivi karibuni, Vanessa na Jux wamekuwa karibu kiasi cha watu kuhisi kuwa ni wapenzi.
“Unajua labda watu hawafahamu tu lakini mie na Jux tumefahamiana muda
sana na ni mtu ambaye huwa tunashauriana hasa mambo ya kazi zetu,”
amesema Vanessa aliyecheka baada ya
↧
Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots
Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya
I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa
tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa.
Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa
pili.
Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na
ukikaa naye kwa muda mfupi lazima
↧
More Pages to Explore .....