Mwimbaji wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda aliwashitua wengi baada ya
kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ‘Shilole’, tattoo ambayo
haifutiki daima. Kitu ambacho kiliwashitua wengi.
“Mimi nimefanya hivi kwa kupenda kwangu, sijalazimishwa na mtu.
Nimejisikia kufanya hivi kwa sababu nampenda sana Shilole…tukiachana
basi lakini mimi nitabaki nayo hadi nitakapoenda kaburini.” Alisema
Nuh Mziwanda wa Shilole alikopi kwa Nick Cannon na Mariah Carey? ( Cannon ana 33, Mariah ana miaka 44)....Sasa amepata fundisho
↧
↧
Sitta Awajibu Wanaofananisha Tume Ya Warioba na Bunge la Katiba
Baada ya watu na taasisi kadhaa kudai kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kupokea maoni ya wananchi na kuyaongeza kwenye rasimu ya Katiba mpya, ni kuingilia kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samwel Sitta, alisema bunge hilo lina mamlaka makubwa kuliko tume hiyo.
Amesema hata wajumbe wa bunge hilo wanaoendelea kupitia rasimu hiyo, siyo mazuzu, wana akili zao
↧
Rais Kikwete Anena: ...."Kuinua Maisha ya Watanzania Sio Kumwaga Fedha Mifukoni"
Rais Jakaya Kikwete amesema dhamira ya Serikali ni kuinua maisha ya Watanzania na dhamira hiyo iko pale pale na kwamba wanaofikiri nia hiyo ni kuwajaza wao fedha mifukoni uwezo huo haupo.
Rais alitoa kauli hiyo jana katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wakati akizindua ujenzi wa barabara ya Mbande hadi Kongwa, itakayojengwa kwa kiwango cha lami.
Alisema dhamira ya Serikali ya
↧
Penzi la Mainda Lagombewa na Wanaume
Staa wa Filamu za Kibongo aliyeamua kumpokea Yesu, Ruth Suka 'Mainda' amesema amekuwa akipata wakati mgumu kumjua mwanaume wa kweli ni yupi ambaye anaweza kumuoa na ndoa yake ikawa na raha badala ya majuto kama ilivyo kwa baadhi ya wasanii wenzake....
Mainda alisema hakuna kipindi kigumu kama kujua yupi ni mwanaume sahihi wa kumuoa na
↧
Ajali Yaua Watu 10 na kujeruhi 7 Mbalizi mkoani Mbeya
Daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace baada ya kuparamia lori.
Lori lenye namba za usajili T 158 CSV lililoparamiwa na daladala.
Askari wa usalama wa barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo.
Eneo ambalo daladala hiyo iliyofumuka.
Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea.
Lori hilo baada ya ajali.
Hivi ndivyo daladala hiyo
↧
↧
Uchumba wa Agness Masogange Watibuliwa
SIKU chache baada ya kupata uraia wa Afrika Kusini,
uchumba wa Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ na mpenzi wake, Louis
Dolnard umetibuliwa.
Hali hiyo ilijiri kutokana na madai kuwa kuna wanaume wamepeleka
maneno ya kimbeya kwa mpenzi wake huyo yakiashiria kuwa mrembo huyo
hajatulia.
Hata hivyo, Agnes amefunguka kuwa kamwe hawezi kuachana na mchumba wake huyo.
“Wanaume
↧
Babu wa Miaka 90 ateketea kwa moto Akiwa Usingizini
Mkazi wa Kimara Temboni, Felix Makundi (90) amekufa papo hapo baada ya kuteketea kwa moto wakati akiwa amelala.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema kuwa mzee huyo aliteketea juzi baada ya moto kuzuka katika nyumba yenye vyumba vitatu mali ya Benson Makundi na kumuunguza mzee huyo mwili mzima hadi kufa pamoja na kuteketeza mali zote zilizokuwamo ndani.
↧
Rais Kikwete Atoa Onyo kwa Viongozi MADALALI wa Ardhi
Rais Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu wa kuweka akiba kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Pia amewataka viongozi wa Halmashauri hizo za wilaya nchini kuweka utaratibu wa kupima viwanja kwa ajili ya ujenzi wa viwanda, na kuacha
↧
Diva na Aunt Ezekiel Washikana Mashati kisa Ujauzito wa Aunt anaodaiwa kupewa na mume wa mtu
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt
Ezekiel Grayson amemvaa prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio
Clouds FM, Lovennes Malinzi ‘Diva’ kwa madai kwamba amemtangaza
mitandaoni kuwa amepachikwa ujauzito na mume wa mtu ambaye ni densa wa
Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Peter ‘Moze Iyobo’, jambo ambalo ni uongo.
Akizungumza kwa masikitiko ya hali ya juu, Aunt alisema kuwa
hakutegemea mtu
↧
↧
Uraia Pacha Wabezwa Bunge Maalumu la Katiba
Suala la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa na uzalendo kupungua.
Katika semina iliyoandaliwa kwa Wajumbe wa Bunge hilo na mada kutolewa na Idara ya Uhamiaji, Abdallah Khamis Abdallah ambaye ni Kamishna wa Udhibiti na Mipaka wa
↧
Majambazi Yabaka Mwalimu....Mwingine Aporwa milioni 20
Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamemteka na kumvamia mwalimu mmoja na kumpora kiasi cha zaidi ya Sh milioni 20 na kisha kumbaka mwalimu mwingine wa kike katika kijiji cha Nassa Ginery wilayani Busega mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Simiyu, tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi kijijini hapo.
Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoani Simiyu,
↧
Rais Kikwete kukutana na UKAWA Leo Jioni mkoani Dodoma.....Makanisa yatoa Onyo
Wakati Rais Jakaya Kikwete akikutana na viongozi wa vyama vya
siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia
mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), limesema amani ya
nchi iko mikononi mwa kiongozi huyo mkuu wa nchi.
Kwa maana hiyo viongozi wa vyama vya siasa hasa
vile vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wanatarajiwa
kusafiri hadi
↧
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Awatoroka Waandishi wa habari
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda jana alilazimika kutumia mlango wa uani kuondokea badala ya ule mkuu
kwa kile kinachohisiwa kuwakwepa waandishi wa habari waliokuwa
wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje na
mazingira kutoka nchi za Afrika.
Pinda ambaye alikuwa akifungua mkutano huo, aliondoka mara tu baada
ya kumaliza shughuli iliyompeleka huku akiacha kushiriki tukio
↧
↧
Mgombea urais 2015 atinga Vatican kwa nia ya kutafuta uungwaji mkono wa Kanisa Katoliki duniani
WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 likiendelea kupanda
miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaohusishwa na
harakati za kuwania urais, mmoja wa makada hao amekwenda Vatican kwa nia
ya kutafuta uungwaji mkono wa Kanisa Katoliki duniani.
Habari za uhakika kutoka katika chanzo cha karibu na kada huyo ambaye
pia ni waziri kwenye moja ya wizara nyeti nchini, kimedai
↧
REMIX: Nick Minaj AJAMBA VIBAYA Kwenye video yake ya ANACONDA.....Bofya hapa ucheke mpaka upasuke
Video ya Nicki Minaji ambayo ni booty-shaking imefanyiwa cheeky remix ikiwa na
addition ya sauti ya kujamba aka ushuzi!!!.
Team ya comedy ya South Africa and the Sunday Blues wali-share ngoma hiyo kwenye YouTube siku ya Jumane August 24.
Badala ya kuwa muziki wa Minaj the soundtrack ya video ilikuwa ni Nicki
Minaj akijamba all the way!.
ITAZAME HAPO CHINI
↧
Serengeti Super Nyota Divaz Moshi yampata Sia Mary kama mwakilishi wao.
Mashindano ya serengeti Super Nyota Divaz ambayo ni sehemu ya wasanii
wachanga au vipaji vipya kuonekana kwa mikoani hasa upande wa wakina
dada ambao wamekua wakiikosa fursa ya kuonekana yamemalizika kwa Moshi.
Mkoa wa Kilimanjaro,Manispaa ya Moshi imewakilishwa na msichana
ambaye ana Rap,inaweza kuwa kwa sababu utamaduni wa Kaskazini ni hip hop
lakini huyu ameonyesha kuipenda sana
↧
Majambazi Watano Wauawa kwa Kuzamishwa kwenye Maji
Watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya sub machine gun (SMG).
Tukio hilo lilithibitishwa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Lazaro Mambosasa.
Kamanda Mambosasa alisema watu waliouawa katika tukio hilo la
↧
↧
Binti Mdogo toka Mtwara Ashinda milioni 50 za Shindano la TMT
Mshiriki kutoka Mtwara, Mwanaafa Mwinzago ameibuka kidedea katika Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Katika shindano hilo ambalo washiriki 10 walikuwa wakizitolea macho Shilingi milioni 50, Mwanaafa aliweza kuzoa kura nyingi zaidi na hivyo kujiwekea kibindoni mamilioni hayo na kuwatimulia vumbi
↧
Licha ya skendo, Flora Mbasha Aibuka na Jipya tena
Msanii wa muziki Florah Mbasha, Baada ya kufunguka mengi kuhusiana na
matatizo katika ndoa yake wiki hii, ameweka wazi kuwa shughuli zake za
muziki bado zinaendelea huku akiwa na albam mpya kabisa kwaajili ya
wapenzi wa sanaa yake.
Frorah
Mbasha amesema kuwa, anamshukuru Mungu kwa kufanikisha kutoa albam mpya
inayokwenda kwa jina Nipe Nguvu ya Kushinda, kazi ambayo tayari jamii
↧
Vazi la Lulu Michael Lawatesa Wanaume Wapenda Sketi
Vazi alilokuwa amevaa Lulu Michael katika fainali za Shindano la TMT lilizua balaa kubwa kwa wanaume wapenda sketi baada ya vazi hilo kuanika hadharani maungo nyeti ya msanii huyo.
Katika shindano hilo, Binti mdogo toka Mtwara, Mwanaafa Mwinzago, aliibuka kidedea na kujinyakulia milioni 50
↧
More Pages to Explore .....