Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rais Kikwete Amwandalia Njia Safi Rais Ajaye

$
0
0
Mrithi wa Rais Jakaya Kikwete, atakayepatikana baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwakani, ameanza kuandaliwa makao yake Ikulu, yatakayomwezesha si tu kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania tajiri, bali pia kuanza kazi bila viporo vya miradi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Nne.   Tayari, Rais Kikwete ameshatangaza azma yake ya kutaka kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania masikini na katika tangazo hilo

Shahidi Aelezea jinsi Alivyofanyishwa Mapenzi na Mganga wa Jadi

$
0
0
Shahidi wa pili katika kesi ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu inayomkabili mganga wa kienyeji, Yahaya Michael (34) ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jinsi alivyoingiliwa kimwili na mganga huyo kwa madai kwamba atampatia dawa ya kupata mtoto.   Mwanahamisi Omary (26) alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Hassan Juma kuwa alimfahamu mganga huyo baada ya kusumbuliwa na tumbo la

Kesi ya Trafiki Feki Yaahirishwa tena

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya Ilala, imeendelea kupiga kalenda kesi ya aliyejifanya askari wa Usalama Barabarani, Jemes Hassan (45) kutokana na mshitakiwa huyo kuumwa.   Akiahirisha kesi hiyo jana, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Hassan Juma alisema shauri hilo litaendelea kusikilizwa Septemba 10, mwaka huu kutokana na mshitakiwa huyo kutofika mahakamani.   Kesi hiyo ambayo imefikia hatua ya

Mahakama ya Kadhi yaibua mjadala mzito....Wajumbe Washauri Isiingizwe kwenye Katiba

$
0
0
Suala la Mahakama ya Kadhi limeleta mjadala mkali katika majadiliano na wabunge wameamua suala hilo lisiingizwe kwenye Katiba.    Mjadala huo mkali uliibuka katika Kamati namba Saba ilipojadili sura ya Nne ya kwenye rasimu hiyo inayozungumzia juu ya uhuru wa imani ya dini ambapo Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hassan Ngwilizi alisema baada ya mjadala mkali wamekubaliana kutoingizwa kwenye

Video Mpya: Prokoto- Victoria Kimani Feat. Diamond & Ommy Dimpoz

$
0
0
Victoria Kimani ameachia video ya ‘Prokoto’ akiwa na wakali wa Bongo Flava, Diamond Platinumz na Ommy Dimpoz. Imeongozwa na Kevin Bosco Jnr. Itazame  hapo  chini

Mtuhumiwa Kinara wa Mauaji ya Wanawake jijiini Arusha Anaswa na jeshi la polisi

$
0
0
Mtu mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini Arusha ametiwa mbaroni.   Mtuhumiwa huyo ametiwa mbaroni juzi usiku na polisi na alipopekuliwa nyumbani kwake alikutwa na bastola mbili  na risasi saba na amekiri kuhusika katika mauaji na kujeruhi wanawake

Mhehimiwa Temba kuachia ngoma mpya Jumamosi hii.....Serengeti fiesta Moshi wapewa fursa ya kuonja radha ya wimbo huo

$
0
0
Mhehimiwa Temba ametangaza rasmi kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la “Wazee wa jiji” jumamosi hii. Serengeti fiesta Moshi wamepewa fursa ya kuonja radha ya wimbo huo siku ya Jumamosi katika uwanja  Majengo Jijini humo.   Mheshimiwa Temba ambaye ni mzawa wa jiji hilo anatarajia kutumia fura ya Serengeti fiesta Moshi kuuzindua wimbo huo kwa mara ya kwanza.    “Ni matumaini

Tamko la Serikali: Waombaji Ajira wazingatie taratibu

$
0
0
Serikali ya Tanzania imewataka waombaji wa kazi kuzingatia taratibu zinazotakiwa katika kuwasilisha maombi ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza kutokana na kuwepo wa tatizo la kuwasilisha nyaraka pungufu.   Akizungumza Jijini Dar es Salaam Msemaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Riziki Abraham amesema kumekuwepo na kutokufuata taratibu kwa waombaji wa kazi

Baba yake Beyonce afichua siri ya tetesi za talaka kati ya Jay Z na Beyonce....Bey aripotiwa kuwa mjamzito

$
0
0
Baba yake Beyonce Knowles, Mzee Mattew Knowles amefichua siri ya kuwepo ripoti kuwa mwanae anataka kuachana na Jay Z huku akigusia pia kuhusu kilichosababisha ugonvi kati ya Solange na Jay ndani ya lift.   Katika mahojiano aliyofanya na Roula &Ryan Show wiki hii, Mzee Mattew alieleza kuwa anachofahamu ni kwamba tetesi hizo za talaka ilikuwa mbinu ya kuuzia tiketi zaidi za tour yao.  

Kondom za MALAYA wa Morogoro zawaathiri watoto.... Mkuu wa Mkoa anawa mikono, Asema hadhi yake haimruhusu kuongelea suala hilo

$
0
0
Biashara ya ngono iliyokithiri katika mji wa Morogoro imegeuka kuwa kero kwa wakaazi wa eneo hilo na familia zao hali inayowaweka hatarini zaidi watoto wadogo wasio na hatia wanaokutana na kondom zilizotumika huku mkuu wa Mkoa huo, Mheshimiwa Joel Bendera akinawa mikono kuhusu suala hilo.   Wakati hayo yakiendelea Morogoro, serikali kuu imekuwa ikitafuta dawa kali ya kuweza kudhibiti

Mkurugenzi wa Airtel Tanzania ajimwagia maji ya barafu kujiunga na kampeni ya Fistula Ice Bucket Challenge(Video)

$
0
0
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Airtel Tanzania, Sunil Colaso amejimwagia maji ya barafu kuashiria kampuni yake kujiunga na kampeni iliyoanzishwa na Vodacom kuchangia matibabu na elimu kuhusu ugonjwa wa Fistula unaowapata akina mama wajawazito zaidi ya 30,000 nchini.   Airtel Tanzania wamepost picha kwenye ukurasa wao wa Instagram na video katika channel yao ya YouTube ikimuonesha

Umeisoma ripoti ya leo kuhusu chai na chakula kwenye bunge la katiba?....Kikombe cha chai wanalipiwa elfu 10 kwa siku, msosi Elfu 16 kwa kila mjumbe

$
0
0
Gazeti la Mtanzania August 28 2014 ndio limeripoti hii stori kuhusu Bunge la Katiba linaloendelea Dodoma, kikubwa ni gharama mbalimbali zinazotumiwa na Wajumbe.  Wameandika bunge la katiba lateketeza mamilioni ya fedha ambapo kikombe cha chai na biskuti au karanga kinalipiwa shilingi elfu 10 kila siku kwa kila Mjumbe mmoja licha ya kwamba kila Mjumbe anapokea posho ya siku ambayo ni laki

Kesi ya kupinga bunge maalum la katiba yapangiwa jopo la majaji watatu

$
0
0
Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imeanza mchakato wa kusikiliza kesi dhidi ya Bunge la Katiba baada ya kupanga jopo la majaji wa kuisikiliza.   Kesi hiyo namba 28 ya 2014, ilifunguliwa mahakamani hapo na mwandishi wa habari, Saed Kubenea kupitia kwa Wakili Peter Kibatala, dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akiiomba mahakama hiyo itoe tafsiri sahihi ya mamlaka ya Bunge hilo.

SMS za Usagaji za Aunt Lulu Zanaswa.....Zilikuwa zinaenda kwa binti wa kidato cha pili, Ukiziona hutaamini

$
0
0
Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara  ambaye ni denti wa kidato cha pili. MSIKIE MAMA MWENYEWE Akizungumza kwa hasira, Mama Zahara aliwaka: “Mimi nina mtoto huyu tu wa

Mbowe: Mimi ni Kisiki cha CHADEMA.....Ajitosa rasmi kugombea Uenyekiti wa chama hicho, awataka wenye uwezo wapambane naye

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka awanie tena kiti hicho, ombi ambalo alilikubali na kufungua milango kwa wanachama wengine ‘kupimana naye kifua’.    “Nafasi bado ipo, anayetaka kupima kifua na mimi ajitokeze. Tena nawaomba viongozi wangu msizuie fomu kwa anayetaka,” alisema Mbowe ambaye

Aliyehisiwa kufa kwa ebola azua mjadala Geita....Alikuwa anatapika na kuhara damu, Mwili wazikwa na Serikali

$
0
0
Utata umegubika kifo cha Bertha Boniface (25) ambaye amefia Hospitali ya Wilaya Geita, kutokana na uvumi kuwa kifo chake kinatokana na ugonjwa wa ebola. Hata hivyo, madai hayo yamekanushwa na uongozi wa wilaya hiyo.    Viongozi hao wamedai hakuna mgonjwa aliyekufa kwa maradhi hayo na wala ugonjwa huo haupo. Umesema Bertha alikuwa akihisiwa kuwa na dalili za ebola.   Akizungumzia

Mkurugenzi TBS Atupwa Gerezan

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege na kumwamuru kurejesha Dola za Marekani 42,543 (Sh68,068,800).    Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando alimtia hatiani Ekelege baada ya kupitia ushahidi uliotolewa na mashahidi saba wa upande wa mashtaka, vielelezo

Pochi Yamuokoa Kajala Masanja kukaa nusu Uchi

$
0
0
Msanii wa filamu, Kajala Masanja, hivi karibuni alijikuta akiwa kwenye wakati mgumu baada ya kukaa kwenye kiti na kuachia sehemu zake nyeti kiasi cha kuwatoa udenda baadhi ya wanaume. Tukio hilo lilijiri mkoani Tanga wakati msanii huyo alipokwenda kwenye Tamasha la Fiesta, alipokaa kwenye kiti alijikuta akikaa vibaya mazingira yaliyomfanya ahangaike ili kuziba maeneo yake muhimu.  

Polisi amgonga mtoto, Atoka nduki na kutelekeza gari

$
0
0
Polisi mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, aliyekuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kasi, Jumapili iliyopita alimgonga mtoto wa kike, Zahara Almeda katika barabara ya Mji Mpya  mkoani  Morogoro. Katika tukio ambalo mwandishi wa habari hizi alilishuhudia, mara tu baada ya kumgonga mtoto aliyekuwa akitoka sokoni kununua magimbi na mihogo, askari huyo aliteremka na kukimbia

Ajinyonga shambani na kuacha ujumbe; “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”

$
0
0
Mtu mmoja ambaye hakujulikana jina, amekutwa akiwa amejinyonga ndani ya kibanda shambani huku akiwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”.    Mwenyekiti wa Kijiji cha Kibiki, Ally Hussein alisema kijana huyo mwanamume amekutwa saa mbili usiku akiwa amefariki na hivyo kutoa taarifa katika Kituo cha Polisi Chalinze.   Alisema askari walifika na kuukuta
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images