WAKATI Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiendelea na msimamo wa
uwapo wa mfumo wa Serikali tatu, Bunge Maalumu la Katiba limeanza
kujadili baadhi ya sura ambazo ziliachwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko
ya Katiba kwa ajili ya Katiba ya Tanganyika.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, Mwenyekiti wa
Bunge hilo, Samuel Sitta, alisema sura hizo ni pamoja na ile ya
Katiba ya Tanganyika yaingizwa kwenye Muungano
↧
↧
Bomu larushwa ndani ya basi Kigoma, watatu wauawa, sita wajeruhiwa
Watu watatu wamekufa akiwepo mtoto mchanga na wengine
sita kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria (Hiace) kurushiwa bomu na
watu wasiojulikana huko Kasesema, Kigoma alfajiri ya leo.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa
Polisi Wilaya ya Buhigwe (OCD), Samwel Utonga alisema basi hilo lilikuwa
likotokea Kilelema kwenda Kasulu Mjini ambapo watu hao walilirushia
kitu
↧
Makalio ya Aunty Lulu Yasababisha Ajali
Msanii wa filamu aliye pia mjasiriamali, Lulu
Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kali ya mwaka alipotoa kauli kwamba
kutokana na makalio yake makubwa, anapokuwa anatembea barabarani
husababisha ajali kwani baadhi ya madereva wakware hukosa umakini kwa
kumkodolea macho.
Akizungumzia makalio yake na matiti anayodaiwa kuyabusti kwa dawa za
Kichina, Aunty Lulu alisema: “Unajua umbile langu
↧
Uhamiaji Yafanya Maamuzi Magumu.....Yafuta Ajira 228 Zilizotolewa kiupendeleo kwa ndugu na marafiki.....Ajira hizo kutangazwa upya, Waliosababisha kukiona
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imezifuta rasmi ajira 200 za nafasi ya Konstebo na Koplo wa Uhamiaji baada ya kupokea ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza tuhuma za upendeleo katika ajira hizo ikidaiwa baadhi ya walioitwa katika ajira ni watoto wa jamaa, ndugu na Maofisa wa Idara ya Uhamiaji.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak
↧
CHADEMA Watunga Wimbo Maalumu kwa Ajili ya Maandamano ya UKAWA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetunga wimbo maalumu kwa ajili ya maandamano yaliyopangwa na chama hicho na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kushinikiza Bunge Maalumu la Katiba ambalo linaendelea Mjini Dodoma, lisitishe vikao vyake hadi kuwepo maridhiano.
Wimbo huo ambao ni mahususi kwa ajili ya maandamano ambayo haifahamiki yatafanyika lini,
↧
↧
Boko Haram Wateka kituo cha Polisi Nigeria
Kundi la wapiganaji la Boko Haram wamevamia shule
moja ya mafunzo ya kipolisi iliyopo kwenye kitongoji cha Gwoza karibu
na mpaka wa nchi ya Cameroon ambacho hufundisha maofisa wa Polisi nchini
Nigeria.
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch wametoa
takwimu ya vifo vilivyosababishwa na kundi hilo kua watu zaidi ya elfu
kumi mpaka sasa wameuawa tangu walipoanzisha
↧
Aunt Ezekiel: Sidhani kama Wema Sepetu ni mtu wa kufundishwa...ana maisha yake
Aunt Ezekiel ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema Sepetu,
amejibu kauli ya Diamond Platinumz kuwa Wema ana marafiki wanaomfundisha
tabia mbaya na kwamba kama anataka kuendelea aachane nao.
Akiongea na Bongo5, Aunt Ezekiele ameeleza kuwa anachofahamu Diamond
aliongea kwa niaba ya watu walio karibu nae na hakumtaja yeye kwa jina.
Lakini hata kama angemtaja yeye hadhani kama Wema ni mtu wa
↧
Rais Kikwete asafiri kwa Treni ya TAZARA katika ziara yake Mkoani Morogoro
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipanda treni ya TAZARA
kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Mkuu
wa Mkoa wa Morogoro Mhe Joel Bendera, Mbunge wa Morogoro Kusini
Mhe Innocent Kalogeris na KAtibu wa Rais Bw. Prosper Mbena wakiongea
ndani ya behewa maalum la VIP la treni la TAZARA wakati wa safari ya
Rais Kikwete kuelekea Kisaki mkoani Morogoro.
Mama
↧
Fahamu kiwango kipya anacholipwa Diamond kwa show Tanzania, ataingiza zaidi ya milioni 600 kwa shows Marekani .....Akanusha kuuza madawa ya kulevya
Tangu mwaka juzi tulifahamu kuwa Diamond Platinumz ndiye msanii wa
Tanzania anaelipwa kiasi kikubwa cha pesa, na mwaka jana ikaelezwa kuwa
bila milioni 10 au 8 za Kitanzania humpati kwenye show yako.
Lakini kiwango kipya kilichotajwa jana kitawapa kizunguzungu zaidi
hasa mapromota wenye mitaji midogo wenye ndoto za kufanya kazi na
mwimbaji huyo.
Kwa mujibu wa, Babu Tale ambaye
↧
↧
Familia ya Kichina yakosolewa kwa kumgeuza mtoto mfano wa 'msosi'
Familia ya kichina imekosolewa vikali na watu mbalimbali wanaopigania
haki za watoto baada ya kuonesha picha ya mtoto wao mchanga akiwa
katikati ya misosi huku akiwekewa mboga kama sehemu ya salad.
Mama yake mzazi, Qu Quan amesema kuwa wao walifanya kwa utani na
walikuwa wakicheka sana kumuona mtoto akijaribu kuamka kutoka kwenye
bakuli hilo huku akishindwa na kuendelea kulia na
↧
TCRA kutoa mafunzo kwa jeshi la Polisi
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imeanza zoezi la kuzunguka nchi
nzima kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa jeshi la polisi kwa lengo la
kupambana na uhalifu unaofanyika kupitia mitandao ya mawasiliano.
Meneja
Mawasiliano wa (TCRA) Innocent Mungi amesema leo kuwa polisi wakiwa
walinzi wa amani na usalama wa raia wanapaswa kujipanga katika kufanya
kazi yao vizuri kwa kushirikiana na
↧
Amchana Mwanaye kwa Wembe aweze kujisaidia.....Mtoto huyo alizaliwa bila kuwa na sehemu ya haja kubwa
Mkazi
wa Kata ya Kitangiri katika Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, Anastazia
Ngilitu, amemchana kwa wembe mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili na
wiki mbili baada ya mtoto huyo kuzaliwa bila kuwa na sehemu ya haja
kubwa.
Aidha, amebainisha kuwa wakati wa kujifungua, mtoto huyo alifanyiwa
upasuaji katika Hospitali ya Bugando na kuwa baada ya muda mchache hali
hiyo ilijirudia
↧
Mwanamitindo ayashitaki Makampuni kwa kuonesha sehemu zake za siri kwenye TV Show
Mwanamitindo Jessie Nizewitz ambaye alikuwa kati ya wasichana
waliokuwa kwenye mashindano ya series ya ‘Dating Nak8d’ amefungua
mashitaka dhidi ya makampuni yanayowezesha show hiyo kwa kurusha vipande
vinavyomuonesha akiwa mtupu bila kuficha sehemu zake za siri.
Katika shitaka hilo, Jessie anadai fidia ya $10 million kutoka kwa
makampuni ya Viacom, Firelight Entertainment,
↧
↧
Mjumbe wa CCM ‘ajiunga’ UKAWA
Jana ilikuwa kama sinema pale viongozi wa
Kamati Namba Moja ya Bunge Maalumu walipojikuta wakibishana na mjumbe
wao mbele ya waandishi wa habari, huku siri za mambo ya ndani ya vikao
zikianikwa hadharani.
Kamati hiyo inaongozwa na Naibu Waziri, Ofisi ya
Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu na makamu wake ni Waziri wa Sayansi na
Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, huku ikiwa imesheheni
↧
Nicki Minaj ashindwa kufanya 'clean version' ya video ya Anaconda, aeleza ujumbe alioutaka uwafikie wasichana
Rapper wa Young Money, Nicki Minaj aliachia video ya ‘Anaconda’
ambayo kimaadili bila kusita haifai na huenda wengi bado tunasubiri
kuona video nyingine ya toleo safi.
Kwa bahati mbaya hakutakuwa na toleo safi la video hiyo ambayo kila sekunde yake ina mengi.
Akiongea na Nick Martinez katika mahojiano maalum kabla ya kuachia
rasmi video hiyo, rapper huyo ameeleza kuwa hajui ni
↧
Roma Mkatoliki Kuachia Ngoma Mpya Serengeti Fiesta Tanga Jumamosi hii
Mwanamziki mashuhuri wa miondoko ya Hip-Hop hapa nchini, Roma Mkatoliki ametangaza rasmi kuachia ngoma zake mpya usiku wa Serengeti Fiesta-Tanga, katika uwanja wa Mkwakwani jumamosi hiii.
Mwanamuziki huyo ambaye ni Mzaliwa wa Tanga na kipenzi cha wengi Jijiji hapo amesema kwamba, ngoma hizo mpya zitasindikizwa na vibao kama vile Mr. President, Pastor, Mathematics, 2013, KKK pamoja na
↧
Marekani Yaanza kuwasaka Waliomchinja Mwandishi wa Habari James Foley
Kitengo cha sheria nchini ya Marekani kimeanza
kufanya uchunguzi wa jinai dhidi ya kifo chamwandishi wa habari mwenye
asili ya Marekani ,James Foley aliyeuawa na wapiganaji wa kiislamu wenye
msimamo mkali.
Mwanasheria mkuu wa kitengo hicho,Eric Holder
ameweka wazi kuwa wote waliohusika na mauaji ya mwandishi huo watawatia
mkononi muda si mrefu.
Maofisa wa serikali ya Marekani
↧
↧
Jokate Na Vanessa Mdee Katika Beef Zito Kisa Penzi La Ommy Dimpoz
Habari ya Mjini ni kuhusu Jokate Mwegelo kutoka kimapenzi na Ommy Dimpoz ambaye ni star wa Bongofleva.
Habari zaidi zinasema kuwa Jokate na Ommy Dimpoz
wamekuwa wapenzi kwa muda sasa ila kwa siri kubwa ikidaiwa wote hawakuwa
tayari kuweka uhusiano wao hadharani wakiogopa media kuanza kuwafuatilia.
Inadaiwa pia kuwa Ommy alikuwa anatoka kimapenzi na Vanessa Mdee lakini
baada
↧
Baada ya kupokea Mashahara Mnono, Fundi Auawa....Atupwa Bwawani
Fundi ujenzi aliyefahamika
kwa jina la Omari Mkulu (25) amedaiwa kuuawa na kutupwa ndani ya bwawa
baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani kwa takriban siku tatu.
Tukio hilo lilitokea maeneo ya Mabwawa
Saba, Mabibo jijini Dar ambapo majirani wa eneo hilo walidai kuwa
waliiona maiti ya Omari ikiwa inaelea kwenye moja ya bwawa eneo hilo
lakini kutokana na maiti hiyo kuvimba haikuwa
↧
Wolper Alia kutopata Mtoto.....Madaktari wamwambia amwombe Mungu, bibi yake Amuongezea Machungu
Super Star kunako tasnia ya sinema za Kibongo,
Jacqueline Wolper Massawe (26), anadaiwa kuangua kilio kisa kutopata
mtoto.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni
mtu wake wa karibu, staa huyo amekuwa akihaha kusaka mtoto huku
shinikizo likitoka kwa bibi yake, mzaa baba ambaye amekuwa akimuuliza
juu ya yeye kumpata mtoto kwani umri unazidi kuyoyoma.
Habari zilidai kwamba
↧
More Pages to Explore .....