Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Nafasi Za Kazi CRDB Bank , Umoja wa Mataifa, UNICEF, EWURA, NHIF

$
0
0
NAFASI ZA KAZI CRDB BANK PLC , Umoja wa Mataifa, UNICEF, EWURA

▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬

==>>Benki ya CRDB imetangaza nafasi mbalimbali za Kazi. Mwisho wa kutuma Maombi ni Tarehe 14 Mwezi huu, Tarehe 15 mwezi huu na Tarehe 18 Mwezi huu

👉 Specialist; Internal Communication

👉 Senior Manager; Financial Crime Compliance

👉 Manager: Transactional Monitoring

👉 Manager,​ Operational Risk​

👉 Analyst; Transactional Monitoring

👉 Analyst; Market & Liquidity Risk 
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 

==>>Pia zipo nafasi mbalimbali za kazi UMOJA WA MATAIFA, UNICEF, EWURA, NHIF

Bonyeza hapo chini kujua zaidi

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Dawa Komesha Ya Maumbile Madogo , Nguvu Za Kiume Na Magonjwa Mengineyo

$
0
0
*NGETWA MIX*/
√Hii ndio dawa bora ya mitishamba kiboko ya maumbile Madogo(KIBAMIA) Hurefusha na kunenepesha maumbile  mafupi pia  yaliyoingia ndani kutokana na kitambi ama kuathirika na punyeto

*📌SUPER MORINGA MIX*/
Ni dawabora ya nguvu za kiume yenye mchanganyiko wa miti shamba 10 yenye maajabu yafuatayo:/
🔖(1)Inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimarisha misuri   ilio legea na kusinyaa wakati wa tendo la ndoa/
🔖(2)Kuongeza hamu ya tendo kukufanya uweze kurudia tendo hadi mara tatu bila kuchoka
🔖(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-30 kwa tendo la Kwanza na utakuwa na uwezo wa Kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3-4 bila hamu kuisha na inatibu kabisa/
.
*MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA*/
🔖(1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖(2) Choo kuwa kama Cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(5)Kisukari/
🔖(6)Presha ya kupanda na kushuka/
🔖(7)Vidonda vya tumbo,/
.
Na haya yote husababisha/
📍Kuishiwa kwa nguvu za kiume 📌/
. _______________________
Bado hujachelewa dawa hizi ni mpya kabisa  ni tofaut na ulizo wahi kutumia pia zimeonesha mafanikio kwa watu wengi sana/

Pia tuna tibu  KISUKARI,PRESHA,VIDONDA VYA TUMBO N.K/
._______________________
DR .SELEMANI OMARY ANAPATIKANA  DAR ES SALAAM , PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO  NDANI NA NJE YA NCHI .SIMU NO:/
*📞+255788468114*

Download App Yetu Kwenye Simu Yako Ili Uweze Kupata Habari Zetu Kwa Haraka Zaidi

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

$
0
0
MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0620510598

watsap +255 0758840958

Huduma hii inakufikia popote ulipo

Makonda aagiza maduka yote Dar kesho yafunguliwe saa 5 asubuhi Ili Kutoa Nafasi Kwa Wananchi Kujiandikisha Kwenye Daftari La Wapiga Kura.

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Paul Makonda amesema, siku ya kesho maduka yote mkoani humo yatafunguliwa kuanzia saa 5 asubuhi ili kupisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuenzi miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa

Makonda ametoa agizo hilo leo Jumapili Oktoba 13, 2019 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
 
RC Makonda amesema kwakuwa kesho ni Siku ya Kumbukumbu ya Miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ameona ni vyema Wananchi wote wakamuenzi Baba wa Taifa kwa kuhakikisha wanapata Nafasi ya Kutosha ya Kujiandikisha ili waweze kuchagua Viongozi wa mitaa wanaoweza kutatua matatizo yao.
 
Aidha RC Makonda amewasihi Wamachinga, Bodaboda, Makondakta, madereva, Viongozi wa Taasisi, wafanyakazi wa Bar, Saloon, wamiliki na wafanyakazi wa Sehemu za Starehe kuhakikisha wanajiandikisha kwenye Ofisi za Serikali ya Mtaa, Shule za Msingi,  sekondari na sehemu zilizowekwa mahema maalumu ya kujiandikisha.

Waziri Jafo Aongeza Siku Tatu Uandikishaji Daftari La Orodha Wapiga Kura Serikali Za Mitaa

$
0
0
Na Oscar Job, Kisarawe
Waziri  wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameongeza siku tatu kwa wananchi kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 24 Mwaka huu.
 
Akizungumza kabla ya kujiandikisha Kijijini kwake Kimani,Kisarawe mkoani Pwani , Waziri Jafo alisema kuongezwa kwa siku tatu hizo kumetokana na sababu mbalimbali ambazo kimsingi zimesababisha wananchi kuikosa fursa hiyo.
 
Alisema kimsingi siku za uandikishaji huo zilizoongezwa kutoka leo hadi Oktoba 17, kumesabishwa na tatizo la mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali na hivyo kuleta shida kwa wananchi wengi kujiandikisha.
 
Aliitaja sababu nyingine kuwa ni pamoja na uwepo wa zoezi la wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, hali iliyoleta dhana  kwa baadhi ya wananchi kuwa kitambulisho cha mpiga kura kitawawezesha kupiga kura katika uchaguzi huo wa Serikali za mitaa.
 
“Kutokana na sababu hizo na kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka 2019 na matangazo ya Serikali Na 371,372,373 na 374 ya Mwaka 2019 Waziri mwenye dhamana na Serikali za mitaa ana mamlaka ya kutoa miongozo mbalimbali kuhusu uchaguzi wa  Serikali za Mitaa”  alisema Jafo
 
Alisema kutokana na kanuni hizo na changamoto zilizojitokeza Wizara yake imeona vyema kuongeza siku hizo tatu ili kuwapa nafasi wananchi kujiandikisha na hivyo kutumia fursa yao ya kikatiba kuwachagua viongozi wanaowataka.
 
Aidha alisema tangu kuanza kwa Oktoba 8 hadi Octoba 12 Mwaka huu wananchi zaidi ya Milioni 11 walikuwa tayari wamejiandikisha nchi nzima kushiriki uchaguzi huo huku akilitaja zoezi hilo kuwa lenye mafanikio makubwa ikilinganishwa na kipindi kingine chote.
 
Alisema kufuatia mabadiliko, ratiba ya uandikishaji wa orodha ya wapiga kura na matukio yanayohusu uandikishanji yatakuwa na mabadiliko fulani fulani ikiwemo kubandikwa kwa orodha ya wapiga kura litakalofanyika kuanzia Oktoba 18, utoaji wa pingamizi kuhusu uandikishaji wapiga kura litakalofanyika Oktoba 14 hadi 24.
 
Mabadiliko mengine ni pamoja na uamuzi kuhusu pingamizi litalofanyika kuanzia Oktoba 24 hadi 25,marekebisho ya orodha ya wapiga kura kuanziaa Oktoba 25 hadi 25 pamoja na ukataji wa rufaa dhidi ya uamuzi wa pingamizi utakaofanyika Oktoba 24 hadi 26 sambamba na ukataji wa rufaa utakaofanyika Oktoba 24 hadi 29 Mwaka huu.
 
Aidha alisema matukio mengine yote zikiwemo kampeni za wagombea zitaendelea kubaki kama kawaida huku akiwataka wananchi kuendelea kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili kuwa na sifa ya kupiga kura katika uchaguzi huo.

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

$
0
0
MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0620510598

watsap +255 0758840958

Huduma hii inakufikia popote ulipo

Naibu Waziri wa Ardhi Dr Mabula Alitaka Shirika La Nyumba Kujenga Majengo Yenye Ubora

$
0
0
Na Munir Shemweta, WANMM MWANZA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha linajenga majengo yenye ubora katika miradi mbalimbali inayopewa kujenga nchini.

Dkt Mabula alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Kanda ya Ziwa (TFS) eneo la Mkolani jijini Mwanza akiwa katika ziara yake ya kuangalia utendaji kazi wa sekta ya ardhi katika Kanda ya Ziwa pamoja na kukagua miradi ya ujenzi inayofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)

Alisema ni vyema shirika hilo likahakikisha miradi yoyte inayopewa ya ujenzi inakuwa na viwango na kuepuka udanganyifu wowote unaoweza kufanyika kama vile kuweka kiwanga kidogo cha saruji katika ujenzi jambo linaloweza kusababisha majengo yasiyo na ubora.

Aliwataka wafanyakazi wa mradi wa ujenzi wa jengo la TFS mkoani Mwanza kuwa waaminifu wakati wote wa ujenzi ili kuepuka sifa mbaya ya udokozi inayoweza kusababisha shirika la Nyumba kukosa kazi nyingine kwa kujenga majengo yaliyo chini ya kiwango.

‘’Uaminifu lazima uwepo ili ikitokea kazi nyingine mpewe awamu hii NHC mko vizuri’’ alisema Mabula.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alilisifu shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa kufanya kazi vizuri katika ujenzi wa Ofisi na nyumba za watumishi na kulitaka shirika hilo kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa majengo yake katika kipindi kifupi kwa kuwa linahitaji kufanya kazi usiku na mchana.

Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza Fadhili Ntahena alisema, ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) Kanda ya Ziwa unaosimamiwa na shirika lake unagharimu zaidi ya shilingi Bilioni 1.5 na ulianza Septemba mwaka huu ikiwa ni sehemu ya miradi mbalimbali ambaloShirika hilo limepewa na serikali kuijenga.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Magreth Ezekiel alisema, NHC imejipanga katika miradi yake mbalimbali iliyokabidhiwa na mipango ya Shirika ni kuhakikisha miradi yote inakamilika ndani ya miezi sita na mradi wa ujenzi wa jengo la TFS Mkolani Mwanza walipanga kumaliza April 2020 ingawa jengo hilo linaweza kukamilika kabla ya mwezi huo.

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

$
0
0
MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0620510598

watsap +255 0758840958

Huduma hii inakufikia popote ulipo

Naibu Waziri wa Ardhi Dr Mabula Alitaka Shirika La Nyumba Kujenga Majengo Yenye Ubora

$
0
0
Na Munir Shemweta, WANMM MWANZA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha linajenga majengo yenye ubora katika miradi mbalimbali inayopewa kujenga nchini.

Dkt Mabula alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Kanda ya Ziwa (TFS) eneo la Mkolani jijini Mwanza akiwa katika ziara yake ya kuangalia utendaji kazi wa sekta ya ardhi katika Kanda ya Ziwa pamoja na kukagua miradi ya ujenzi inayofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)

Alisema ni vyema shirika hilo likahakikisha miradi yoyte inayopewa ya ujenzi inakuwa na viwango na kuepuka udanganyifu wowote unaoweza kufanyika kama vile kuweka kiwanga kidogo cha saruji katika ujenzi jambo linaloweza kusababisha majengo yasiyo na ubora.

Aliwataka wafanyakazi wa mradi wa ujenzi wa jengo la TFS mkoani Mwanza kuwa waaminifu wakati wote wa ujenzi ili kuepuka sifa mbaya ya udokozi inayoweza kusababisha shirika la Nyumba kukosa kazi nyingine kwa kujenga majengo yaliyo chini ya kiwango.

‘’Uaminifu lazima uwepo ili ikitokea kazi nyingine mpewe awamu hii NHC mko vizuri’’ alisema Mabula.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alilisifu shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa kufanya kazi vizuri katika ujenzi wa Ofisi na nyumba za watumishi na kulitaka shirika hilo kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa majengo yake katika kipindi kifupi kwa kuwa linahitaji kufanya kazi usiku na mchana.

Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza Fadhili Ntahena alisema, ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) Kanda ya Ziwa unaosimamiwa na shirika lake unagharimu zaidi ya shilingi Bilioni 1.5 na ulianza Septemba mwaka huu ikiwa ni sehemu ya miradi mbalimbali ambaloShirika hilo limepewa na serikali kuijenga.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Magreth Ezekiel alisema, NHC imejipanga katika miradi yake mbalimbali iliyokabidhiwa na mipango ya Shirika ni kuhakikisha miradi yote inakamilika ndani ya miezi sita na mradi wa ujenzi wa jengo la TFS Mkolani Mwanza walipanga kumaliza April 2020 ingawa jengo hilo linaweza kukamilika kabla ya mwezi huo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu October 14

Waziri Hasunga Aviagiza Vyama Vya Ushirika Kushiriki Katika Ununuzi Wa Mbolea Kwa Pamoja (BPS)

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Katavi
Kutokana na kuwepo kwa mfumo wa ununzi wa mbolea kwa pamoja (BPS) serikali imeviagiza Vyama vya ushirika vya msingi (AMCOs) na vyama vikuu (FCU) kuanza kushiriki kwenye ununzi wa mbolea kwa pamoja (BPS) ili kuhakikisha upatikanaji wa mbolea kwa bei nafuu na kwa wakati.

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) ametoa agizo hilo wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya mbolea Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika leo tarehe 13 Octoba 2019 katika viwanja vya shule ya msingi Kashaulili Wilayani Mpanda mkoani Katavi.

Amesema kuwa ili kuongeza matumizi ya mbolea nchini, Wizara ya kilimo kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeweka mikakati mbalimbali ya kuhakikisha mbolea inapatikana kwa wakati na kwa bei nafuu ikiwemo mfumo wa unuzi wa mbolea kwa pamoja (BPS).

Pia, imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo kutoa elimu kwa njia tofauti kwa lengo la kuongeza uelewa wa umuhimu na kuongeza matumizi ya mbolea nchini hivyo ili tija na uzalishaji viongezeke vyama vya ushirika havina budi kushiriki kwenye ununuzi wa mbolea ili kuwarahisishia wanachama wao ambao ni wakulima kupata mbolea kwa wakati na kwa bei nafuu.

Mhe Hasunga ametoa mwito kwa wafanyabiashara wa mbolea kuuza mbolea kwa bei elekezi iliyopangwa na serikali na wazingatia bei hizo kwa mbolea za kupandia (DAP) na kukuzia (UREA) ambazo zinaingizwa nchini kwa mfumo wa Uingizaji wa Mbolea kwa Pamoja yaani Bulk Procurement System BPS.

“Kama mnavyofahamu, Serikali imeendelea kuratibu utoaji wa mikopo yenye riba nafuu kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo (Tanzania Agriculture Development Bank-TADB), Benki ya Uwekezaji (Tanzania Investment Bank TIB) na Mfuko wa Pembejeo wa Taifa. Hivyo, nitoe wito kwa wakulima wote wa Mkoa wa Katavi na Mikoa mingine kujiunga katika ushirika ili kuweze kutumia fursa zinazotolewa na taasisi hizi ili kujiletea maendeleo” Alikaririwa Mhe Hasunga

Waziri Hasunga amesema kuwa ili kuwa na matumizi sahihi ya mbolea, ufahamu juu afya ya udongo ni muhimu; hivyo, ameiagiza Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kutoa taarifa ya afya ya udongo kwa wakulima na wadau wengine ili matumizi ya mbolea yaendane na mahitaji ya zao na udongo husika.

Niwakumbusha wafanyabiashara wakubwa kuwa mbolea zinahitajika zaidi mikoani; hivyo ni wakati muafaka wa kuanza kusambaza mbolea mikoani haraka iwezekanavyo. Pia ni wakati sahihi wa kufungua matawi ya mauzo na maghala mikoani badala ya mbolea nyingi kurundikana kwenye maghala yaliyoko Dar es salaam ambako mahitaji yake ni madogo.

Ameongeza kwa kusema kuwa ili mbolea iweze kuwafikia wakulima kwa wakati, amelitaka shirika la reli Tanzania (TRC) kutoa kipaumbele katika usafirishaji wa mbolea kwa mikoa ya Tabora, kigoma na Katavi huku akiitaka Mamlaka ya udhibiti wa mbolea (TFRA) kuhakikisha inasimamia ubora wa mbolea kuanzia bandarini inapoingia hadi kwa muuzaji anayemuuzia mkulima.

Kauli mbiu ya maadhimisho haya ni ‘matumizi sahihi ya mbolea kwa uhakika wa chakula na uchumi wa viwanda’. Ambapo lengo la maadhimisho ya siku ya mbolea duniani nchini Tanzania ni kupata wigo mpana zaidi kwa Wadau kuelezea masuala mbalimbali katika tasnia ya mbolea.

Masuala hayo ni pamoja na mafaniko ya tasnia ya mbolea nchini, kuwahabarisha wadau wa mbolea hususani wakulima na wafanyabiashara wa mbolea mifumo mbalimbali ya upatikanaji na usambazaji wa mbolea; pia kutoa elimu kuhusu sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia tasnia ya mbolea.

Siku ya mbolea duniani ilianza kuadhimishwa kwa mara ya kwanza tarehe 13 Oktoba, 2016 huko nchini Uingereza. Siku hii ilianzishwa mahsusi kwa lengo la kuhamasisha Wadau wa tasnia ya mbolea duniani kote kutambua jukumu kubwa walilonalo la kuhakikisha kuwa wakulima wanatumia mbolea bora na sahihi ili kuleta mapinduzi ya kijani kwa uhakika wa chakula.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Juma Homera amesema kuwa tayari serikali imetangaza bei elekezi ya mbolea hivyo wafanyabiashara watakaokiuka na kuanza kuuza kwa bei zaidi ya hiyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Amesema kuwa serikali inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli imedhamiria kuwanufaisha wakulima kwenye sekta ya kilimo hivyo kukiuka maelekezo ya serikali kwa wafanyabiashara wa mbolea hawana tofauti na wahujumu uchumi.

Akizungumzia kuhusu uzalishaji wa mazao ya chakula amesema kuwa mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo utahamasisha wakulima kulima mazao mengi kwa tija ili kuongeza uzalishaji utakaoimarisha usalama wa chakula nchini.

Kwa upande wake Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania (TFRA) Dkt Steven Ngailo amesema kuwa mbolea kwa ajili ya kukuzia na kupandia tayari imewasili nchini hivyo wakulima wana fursa mahususi kabisa ya kujitokeza na kuendeleza sekta ya kilimo katika kuongeza uzalishaji wa chakula kwa ajili ya biashara.

Ameitaja kuwa siku ya mbolea Duniani ni kumbukizi ya maadhimisho ya uvumbuzi wa mbolea aina ya Amonia uliofanywa na Bwana Fritz Haber mwaka 1908. Uvumbuzi huo ulichochea mapinduzi ya kijani katika karne ya 20 yaliyowezesha kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao kutokana na matumizi ya mbolea yaliyosaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa janga la njaa na kuleta uhakika wa chakula katika nchi nyingi duniani.

MWISHO

Waziri Mhagama Awataka Vijana Kuenzi Mchango Wa Baba Wa Taifa

$
0
0
Na; Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amewataka vijana nchini kuenzi na kuziishi fikra na mitazamo za Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kuendeleza umoja uliopo nchini.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere lililofanyika Mkoani Lindi Oktoba 13, 2019, Waziri Mhagama alisema kuwa vijana wanapaswa kuendeleza mambo mema yote aliyoyafanya Baba wa Taifa enzi za uhai wake ili waendelee kujivunia juu ya misingi ya amani na umoja iliyopo nchini.

“Vijana mna kila sababu ya kujivunia amani na umoja ulipo katika taifa letu kwa kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi aliyewapenda watu wote bila kujali imani zao wala itikadi zao, alikuwa mzalendo na alitaka watanzania wote waishi kwa umoja,” alisema Mhagama.

Aidha alifafanua kuwa, Amani na umoja zilikuwa ni miongoni mwa tunu na falsafa kuu za Baba wa Taifa ambayo ndiyo matokeo ya umoja na mshikamano wa taifa uliopo sasa.

Aliongeza kuwa miongoni mwa mambo muhimu ambayo Baba wa Taifa alikuwa akisisitiza katika kuwaunganisha watanzania ni pamoja na kulijengea uhuru taifa na watu watu wake, kudumisha amani, upendo, umoja, uzalendo, mshikamano na  kuandaa sera za kukabiliana na ujinga, umaskini na maradhi.

Pamoja na hayo alisisitiza pia vijana na wananchi kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kwa kazi kubwa anayoifanya kuendeleza maono ya Baba wa Taifa ikiwemo mageuzi ya kiuchumi yenye manufaa kwa taifa.

Akitolea mfano sekta ya elimu ambayo serikali ya awamu ya tano imekuwa ikitoa elimu bure ilikuwa ni falsafa ya Mwalimu katika kuwajenga watanzania fikra ya kujitegemea ili waweze kuukabili umasikini.

Waziri Mhagama alitumia fursa hiyo pia kuwahimiza wananchi kuendeleza maudhui ya Mwenge wa uhuru ambao umesaidia kwa kiasi kikubwa kuwaunganisha watanzania na kuwahamasisha kufanya kazi kwa bidii ili wajiletee maendeleo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi alisema kuwa Mwalimu Julius Nyerere ataendelea kukumbukwa na Watanzania kwa mchango wake aliojitolea katika kulijenga taifa.

MWISHO

Ufadhili wa Kusoma Nje ya Nchi | Scholarships for Tanzanian Students

$
0
0
📚 FURSA ZA UFADHILI  WA KUSOMA NJE YA NCHI

▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬

    🎓Tanzanian Scholarships

Kama wewe ni Mtanzania mwenye Ndoto ya Kusoma nje ya Nchi lakini hukuwa na uwezo, basi hii ni Nafasi yako. Kuna Nafasi Nyingi sana za Ufadhili zimetangazwa (Scholarships)

*📌 PHD
*📌 MASTERS
*📌 UNDERGRADUATE

 

ZIKO WAPI😳😳
✈(1)Zipo za Hong Kong
🛩(2) Marekani
✈(3)Uingereza
🛫(4)Canada

 Zote Hizo ni Full Funded( Unalipiwa kila Kitu) Japo kuna zingine utachangia kidogo
. _______________________
Bado hujachelewa, Deadline ni kuanzia Mwezi huu wa kumi mwishoni hadi Mwakani-2020
._______________________ 

Bofya hapo chini kujua zaidi
👇👇👇👇👇👇👇👇


http://ajirazote.com/scholarship/

LIVE: Kilele Cha Mbio Za Mwenge Wa Uhuru, Kumbukumbu Ya Baba Wa Taifa Mwalimu JK Nyerere Mkoani Lindi.

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anahudhuria maadhimisho ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru, Kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Wiki ya Vijana Kitaifa katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi

Mvua Yaleta Maafa Tanga....Watoto Watano Wafariki Dunia, Mamia Wakosa Makazi

$
0
0
Watoto watano wamekufa maji kutokana na mafuriko wilayani Korogwe mkoani Tanga na kufikisha idadi ya waliofariki kufikia 12 mkoani hapa kutokana na mvua.

Aidha, kaya zaidi ya 300 zimekosa makazi kutokana na mvua hizo zinazoendelea kunyesha kwa takribani wiki mbili sasa katika maeneo mbalimbali ya mkoani Tanga.

Pia daraja la Mto Mandera lililopo Kata ya Segera mpakani mwa Wilaya za Handeni na Korogwe mkoani Tanga limekata mawasiliano ya barabara kati ya mikoa mitano ya Tanga, Dar e Salaam, Arusha, Pwani na Manyara na kusababisha magari zaidi ya 200 kukwama kwa zaidi ya saa 36, huku abiria takribani 800 wakilala nje.

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Kissa Gwakisa, alisema mafuriko hayo yametokea katika Kitongoji cha Magunga - Mzia Kata ya Foroforo baada ya nyumba iliyokuwa na watu wanane wa familia moja nyumba yao kuanguka nawatoto watano kati yao kusombwa na maji ambapo kati yao miili yote mitano imepatikana.

Kufuatia hali hiyo, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Korogwe ilifika katika kijiji hicho pamoja na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ambapo kwa kushirikiana na wananchi wamefanikiwa kufukua miili ya watoto hao iliyofunikwa na mchanga usiku wa kuamkia jana.

Gwakisa alisema watu 120 ambao makazi yao yamezingirwa na maji wamehifadhiwa katika kambi maalum kijijini hapo, na ametoa tamko la watu kutokurudi katika makazi yao hadi tamko la serikali hata kama hali itarejea kuwa ya kawaida.

Ndege mpya Dreamliner ya ATCL yafanyiwa majaribio Marekani

$
0
0
Ndege  mpya ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8 5H-TCJ Dreamliner ipo katika hatua za mwisho nchini Marekani kuja nchini, ambako inaundwa.

Jana, ofisa wa kitengo cha habari cha kampuni ya Boeing, Jennifer Schuld alituma picha za ndege hiyo aina ya Boeing 787-8 na kueleza kuwa ipo kwenye majaribio.

“Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania imeanza majaribio ya kuruka leo. Ndege hii 787 inaitwa Rubondo Island,” aliandika ofisa huyo kwenye ujumbe alioutuma kwenye akaunti yake ya Twitter ikiwa sambamba na picha kadhaa za ndege hiyo.

Rais Magufuli Aaahidi Kuendelea Kumuenzi Mwalimu Nyerere

$
0
0
Rais  Magufuli ameahidi kuwa serikali ya awamu ya tano itaendelea kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere bila uoga wowote kwa kutekeleza mambo mbalimbali ambayo alitamani kuyafanya enzi za uhai wake.

Ametoa ahadi hiyo leo Jumatatu Oktoba 14, alipokuwa akihutubia wananchi katika hafla ya maadhimisho ya kilele cha mbio za mwenge wa uhuru, kumbukizi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na wiki ya vijana kitaifa inayofanyika katika uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi.

“Serikali ninayoingoza itaendelea kumuenzi Baba wa Taifa, kuheshimu tunu za mwenge pamoja kuendelea kuwathamini vijana ikiwemo kuwateua kushika nafasi mbalimbali za uongozi na wito wangu kwa vijana watakaoteuliwa kushika nafasi hizo wajitahidi kufanya kazi kwa bidii na uzalendo mkubwa,”.

“Tumejitajidi kumenzi Baba wa Taifa kwa kupambana na vitendo vya rushwa, wizi, ubadhilifu wa mali za umma mambo ambayo aliyachukua enzi za uhai wake na katika hilo tumeanzisha kitengo maalumu cha mahakama cha kushugulikia mafisadi pia tumeondoa watumishi hewa takribani 20,000 na wafanyakazi wenye vyeti vya kughushi takribani 14,000,”

“Ili kuendelea kuenzi mchango mkubwa uliotolewa na Baba wa Taifa hatuna budi kuwafundisha vijana wetu kuhusu mambo muhimu ambayo yalisimamiwa na baba wa Taifa katika uhai wake ikiwemo uzalendo, uaminifu, nidhamu, uchapakazi na moyo wa kujitolea kwani tusipofanya hivyo tutakuwa tumeliangamiza taifa letu kwasababu vijana ni kundi kubwa na ndio viongozi wa leo na kesho,” amesema Rais Magufuli.

Aidha amewataka Watanzania kumuishi Mwalimu Nyerere kwa kutimiza maono yake aliyotamani kuyatimiza, kusimamia miiko ya azimio la Arusha pamoja na kudumisha umoja bila kubaguana kwa dini waka kabila.

Rais Magufuli amkabidhi Naibu Mkurugenzi wa Takukuru ripoti ya miradi 107 yenye Dosari

$
0
0
Rais   Magufuli amemkabidhi naibu mkurugenzi wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbungo ripoti ya miradi 107 iliyobainika kuwa na dosari.

Miradi hiyo ilibainika kuwa na kasoro ilipotembelewa kwa ajili ya kuzinduliwa na kukaguliwa katika mbio za Mwenge wa Uhuru zilizofikia kilele chake leo Jumatatu Oktoba 14, 2019.

Rais Magufuli amekabidhi ripoti hiyo leo katika maadhimisho ya kilele hicho na kumbukumbu ya miaka 20 ya kifo cha mwalimu Julius Nyerere yaliyofanyika mkoani Lindi.

Awali, kiongozi wa mbio hizo kitaifa, Mzee Mkongea Ally alimkabidhi Rais Magufuli ripoti ya miradi ya Sh90.28 bilioni iliyokutwa na dosari.

“Sogea hapa mbele nikukabidhi ripoti hii, zege halilali. Naikabidhi hii ripoti ukafanye ukaguzi kila ukurasa, kila nukta na ukachambue wale wote wanaohusika wapelekwe mahakamani. Usisite wapeleke mahakamani,” amesema Rais Magufuli wakati akimkabidhi Brigedia  Jenerali Mbungo ripoti hiyo.

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

$
0
0
MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0620510598

watsap +255 0758840958

Huduma hii inakufikia popote ulipo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images