Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba imetoa mapendekezo kwa Kamati ya Uongozi kwamba Bunge Maalumu liendelee na mkutano wake wa pili wa Bunge hilo kuanzia Agosti 5 mwaka huu.
Katika ngwe hiyo ya pili mkutano huo uzingatie upya baadhi ya kanuni za Bunge hilo ambazo ni kikwazo katika kuhakikisha kazi ya kujadili na kupitisha katiba inayopendekezwa inakamilika kwa siku 63
Bunge la Katiba Ruksa kuendelea bila Wajumbe wa UKAWA
↧
↧
Davina Apewa Kichapo kizito na mumewe baada ya kunaswa akiongea na mwanaume mwingine kimahaba
Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa
kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba
na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume mwingine.
Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa msanii huyo, Mbezi-Beach, Dar,
Julai 22, mwaka huu ambapo Davina alikutwa akizungumza na mwanaume
ambaye haikujulikana mara moja ni nani ndipo mumewe alipomshushia
↧
Magazeti ya leo Jumamosi ya Tarehe 26 July 2014
Magazeti ya leo Jumamosi ya Tarehe 26 July 2014
↧
Bifu la Ali Kiba na Diamond Lafika Pabaya......Ni vita ya kugombea nyota ya Ustaa, Lulu, Wolper na Wema Sepetu wahusishwa
Hatimaye Kwa mara ya kwanza staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani
na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba ameibuka na kumlipua hasimu wake,
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, hali inayotafsiriwa kwamba bifu lao
sasa limefika pabaya ikidaiwa kwamba wanagombea nyota (ustaa).
Kupitia Kipindi cha The Sporah Show, usiku wa Jumanne wiki hii kwenye
CloudsTV, Kiba alimchakaza Diamond ambapo
↧
Bahati Bukuku apata Ajali mbaya ya Gari
Muimbaji wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku amepata ajali ya gari
akiwa na dereva wake, Eddy maeneo ya Kongwa Dodoma usiku wa kuamkia leo.
Akiongea kwa simu Bahati amesema: “Ni Mungu tu aliyetuokoa, tulikuwa
tunaelekea Kahama kwenye huduma ghafla tukagongana uso kwa uso na lori,
gari yetu aina ya Toyota Nadia iliruka na kubiringika kama mara tatu
hivi, tumetoka tukiwa tumeumia sana.
↧
↧
Watalii 17 Wavamiwa Hotelini Mkoani Kilimanjaro ......Wajeruhiwa, waporwa fedha, simu, kamera na laptop
Kundi la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto
na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora
kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato (Laptop), kisha
kuwajeruhi wanne na kutoweka.
Tukio hilo kubwa kuwahi kutokea siku za hivi karibuni mkoani
Kilimanjaro, limetokea juzi alifajiri eneo la Mailisita kwenye hoteli ya
kitalii ya
↧
Dida afunguka..."Simu ndio chanzo cha kuachana na Mume wangu Ezden, nilikuta ameiwekea Password....Nilipomuuliza akaanza kunipiga"
Dida Shaibu, mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani amefunguka
Exclusively kupitia Sunrise ya 100.5 Times Fm na kueleza chanzo cha ndoa yake na Ezden ‘The Rocker’ Jumanne
kuvunjika. Ndoa iliyodumu kwa muda wa mwaka mmoja tu.
Dida ameeleza kuwa mzizi wa tatizo lililopelekea ugomvi mkubwa kati
yao ni simu ya mkononi ya mumewe huyo wa wazamani baada ya kutaka
kuitumia kucheza
↧
Mh. Lowassa Awaandalia Futari waumini wa kiislamu Monduli
Mbunge
wa jimbo la Monduli Edward Lowassa akizungunza na waumi wa dini ya
kiislam (hawapo pichani), katika hafla aliyofuturisha katika Msikiti
Mkuu wa Monduli mjini.
Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi akizungumza na waumini wakati wa futari iliyoandaliwa na Mh. Lowassa.
Baadhi ya waumini wakipata futari iliyoandaliwa na Mbunge wa Monduli Mh. Edward
↧
Taarifa ya Jeshi la Polisi kuelekea sikuu ya Eid- El - Fitr
Jeshi
la Polisi Tanzania linapenda kutoa shukrani za dhati kwa wananchi wote,
vyama vya siasa, taasisi mbalimbali za serikali, madhehebu ya dini,
asasi za kiraia na vyombo vya habari kwa ushirikiano wa dhati katika
kusimamia masuala ya amani na usalama hapa nchini.
Tunapoelekea
kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi
linatoa wito kwa wananchi wote kuwa
↧
↧
Audio: Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi
Jokate Mwegelo yupo jijini Nairobi, Kenya ambapo hata hivyo hajaweka
wazi ameenda kufanya nini lakini aliweza kukutana na Mzazi Willy M Tuva
kwenye show ya redio inayosikilizwa zaidi nchini humo, ‘Mambo Mseto’ ya
kituo cha Radio Citizen kuzungumzia masuala mbalimbali kuanzia filamu,
muziki, biashara, ushindani kati ya Alikiba na Diamond na uhusiano.
Kuhusu nyimbo mpya za Alikiba
↧
Shilole apanga kugombea ubunge Igunga 2015
Shilole si mgeni katika kuota vitu vikubwa. Kutoka kwenye ndoto yake
ya kufanya kolabo na Jennifer Lopez, awamu hii ameenda mbali zaidi.
Muimbaji huyo amechoka ‘Kuchuna Mabuzi’ na sasa anataka kuingia
mjengoni. Mrembo huyo ambaye jina lake halisi ni Zuwena Mohamed,
amepanga kugombea ubunge kwenye jimbo analotokea la Igunga mkoani Tabora
katika uchaguzi wa mwaka 2015!
Akizungumza
↧
Sakata Zima la Hussein Machozi KUFUMANIWA Akizini na mke wa Mwanasiasa Maarufu wa Mombasa Kenya
Lundo la vyombo vya habari nchini Kenya limeandika habari kuwa
hitmaker wa ‘Kwaajili Yako’, Hussein Machozi amekamatwa akizini na mke
wa mwanasiasa maarufu mjini Mombasa, Kenya.
Habari za kukamatwa akiwa na mwanamke huyo zimeenea kwa kasi nchini
humo. Gazeti la The Star limedai kuwa Hussein alikuwa na uhusiano wa
siri na wa muda mrefu na mwanamke huyo na mume wake alikuwa ameshtuka
↧
Shekhe Mkuu atangaza Swala ya Idd Kitaifa
Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ametangaza
Swala ya Sikukuu ya Idd El Fitri inayotarajiwa kufanyika kitaifa katika
mkoa wake.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye kikao maalumu katika Ofisi
za Mkoa wa Dar es Salaam za Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) hii leo,
Shekhe Alhad alisema kuwa swala hiyo sambamba na hotuba mbalimbali
inatarajiwa kufanyika saa
↧
↧
Nahofia Kuachwa Jamani, Nipo katika Mahusiano kwa miaka 6 , lakini sioni dalili za kuolewa
Mimi ni msichana wa umri wa miaka 19. Nimekuwa katika uhusiano wa
kimapenzi na kijana mmoja kwa muda wa miaka sita sasa.
Isitoshe sisi ni
majirani wa karibu. Aliniahidi atanioa, lakini kwa jinsi muda
unavyokwenda naona kama kuna tofauti. Nahofia kuachwa.
Naombeni ushauri jamani
Mary
↧
MUHAS: Tunatumia maiti 25 kwa mwaka kufundishia
Wakati sakata la kuokotwa kwa viungo vya binadamu likiendelea
kutikisa nchi, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili
(MUHAS), kimesema kuwa hutumia maiti 25 kwa kuwafundishia wanafunzi kila
mwaka.
Pia chuo hicho hakijawahi kuagiza maiti kutoka nje
ya nchi na kwamba ni mtu mmoja tu aliyewahi kutaka maiti ya mtoto wake
itumike kufundishia.
Kauli hiyo ya MUHAS imekuja
↧
Mwigulu Awabembeleza UKAWA kurudi bungeni
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM bara), Mwigulu
Nchemba ameutaka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni
ili kukamilisha Mchakato wa Katiba Mpya kwa amani na utulivu.
Rai hiyo imekuja wakati mijadala mbalimbali
inaendelea juu ya hatima ya wajumbe hao na mchakato huo tangu walipotoka
bungeni na kususia vikao vya Bunge hilo Aprili 17 na kukataa kurejea,
huku
↧
Wasanii wa Injili wamuunga mkono January Makamba......Waahidi kumpigia kampeni za Urais 2015
Wasanii wa nyimbo za Injili nchini wamemtaka Naibu Waziri wa
Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba kuendelea na nia yake
ya kugombea urais wakieleza kuwa wapo tayari kumpigia kampeni.
Makamba aliyetangaza nia ya kugombea urais akiwa
London Uingereza, alipata ahadi ya kuungwa mkono pia na Mtandao wa
Walimu Vijana waliokutana mkoni Dodoma hivi karibuni.
Wakizungumza
↧
↧
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
Kwa mara nyingine Diamond Platnumz ameendelea kuipeperusha vizuri
bendera ya Tanzania kimataifa, baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA 2014
(African Muzik Magazine Awards) zilizofanyika July 26, Eisemann Center
Richardson, Texas, Marekani. Diamond ameshinda kipengele cha
mwanamuziki bora wa kiume Afrika mashariki.
Mtanzania mwingine aliyeing’arisha Tanzania katika tuzo hizo ni Lady
↧
CHADEMA Yaumbuka tena.....Mgombea wake akisaliti Chama hadharani na kummwagia Sifa mgombea wa CCM
Diwani wa Kata ya Masoko, Mbeya Vijijini kupitia Chadema, Edward
Mwampamba , juzi alikiweka njiapanda chama chake baada ya kujitoa
katika kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na kumsifia
mgombea wa CCM kwamba anafaa kupewa kura zote.
Tukio lilitokea kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo na kuwafanya madiwai wa CCM kushangilia.
Awali Mwenyekiti wa
↧
Wassira amtaka Tundu Lissu Awaombe Radhi Maaskofu na Mashehe
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wassira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.
Aidha, Wasira pia amemtaka msemaji wa Ukawa, Tundu Lissu kuwaomba radhi mashehe na maaskofu ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kwa kudai ni
↧
More Pages to Explore .....