Mwanadada kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph
‘Batuli’ amefunguka kuwa anaumia kuona listi ndefu ya Wabongo
wanaosubiri kunyongwa nchi mbalimbali kwa kukutwa na dawa za kulevya.
Batuli alisema kinachowaponza vijana wengi ni kupenda fedha za
chapuchapu, matokeo yake wanaambulia kifungo cha maisha na wengine
kunyongwa katika nchi zenye misimamo mikali.
“Inashangaza sana wasichana
Madawa ya kulevya yamtesa Batuli.....
↧
↧
Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 24 July 2014
Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 24 July 2014
↧
Diamond Platnumz To Release A Second Video For "Mdogo Mdogo". Find Out Why
Diamond Platnumz gifted his fans and especially his mother who is his
biggest fan with two videos on her birthday. Mdogo Mdogo and another
massive collaboration with Iyanya dubbed ‘Bum bum’.
Both videos were on point although MdogoMdogo sparked alittle
controversy for his choice to use a white lady as the video vixen.
Diamond however explained that it was in line with the message he
↧
Serikali Yawataka Wananchi kuwa Makini na Matapeli
Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam.
Serikali
imewataka wananchi kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi
za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari
hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah
Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema
kuwa Taasisi hizo zimekuwa
↧
Mwanamke aliyeasi Uislamu na kuolewa na Mkristo Asafirishwa kwenda Italia
Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na
kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada
ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi ya mwezi
mmoja.
Meriam na familia yake wameondoka na ndege ya Serikali ya Italia
wakisindikizwa na Makamu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Lapo
Pistelli.
Awali Meriam
↧
↧
Ndege Ya Algeria Yapoteza Mawasiliano ikiwa na Abiria 116
SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano
na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers
kupita Sahara.
Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza.
Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo.
Chanzo cha habari
↧
Kesi ya Watuhumiwa wa Mtoto Wa Boksi Yaahirishwa tena
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro bado imeendelea kuahirisha kesi inayowakabili watuhumiwa watatu wanaokabiliwa na shitaka la kusababaisha kifo cha mtoto Nasra Rashidi (4) kwa madai ya kutokamilika upelelezi.
Watuhumiwa hao ambao ni baba mzazi wa mtoto huyo, Rashid Mvungi (47) mkazi wa Lukobe pamoja na wanandoa Mariam Said (38) na Mtonga Omari (30) wote wakiwa ni wakazi wa mtaa
↧
Jaji wa Mahakama kuu afungua kesi ya madai ya sh.Milioni 300 kutokana na Ajali iliyosababishwa na Uzembe wa Dereva
Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga.
Amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya dereva Kamota Hassan, Michael Mosha na kampuni ya bima ya Zanzibar. Kesi hiyo itatajwa Agosti 4 mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi Hellen
↧
Wanaodaiwa kulishambulia Gari la Magereza kwa Risasi Wapandishwa Kizimbani
Watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la kushambulia gari la magereza kwa risasi, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na mashitaka matatu.
Watuhumiwa hao, Peter Mushi (36) dereva na Godlisten Mongi (40) ambaye hati ya mashitaka imemtambulisha kwamba ni mhandisi, walipandishwa kizimbani jana kwa mashitaka ya kula njama, unyang’anyi wa
↧
↧
Waliotupa Viungo vya Binadamu Hadharani kukiona Cha Moto
Tukio la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam, linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.
Wakati serikali ikiendelea kuchunguza tukio hilo, ikiwemo kuunda tume nyingine chini ya Wizara ya Afya na Ustawi, kujiridhisha kabla ya hatua kuchukuliwa, Baraza la Madaktari limetwishwa mzigo wa
↧
Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 25 July 2014
Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 25 July 2014
↧
Jokate Asaka Bwana wa Kumuoa
Katika kuonyesha amechoshwa na upweke, mwanamitindo Jokate Mwegelo
‘Kidoti’ ameibuka na kusema kuwa sasa anasaka mwanaume wa kumuoa huku
akitaja vigezo vya anayestahili kumuita mume.
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema kuwa hana ‘mtu’
ila atakapotokea mwenye vigezo anavyotaka, hatakuwa na sababu ya
kumkataa. “Kwa sasa sina mpenzi wala mchumba, akitokea sina
↧
Kamati ya Mashauriano yatoa Wito kwa wajumbe waliosusia Mikutano ya bunge maalumu la Katiba kurejea Bungeni
Katibu wa
Bunge Maalumu la Katiba,Yahya Khamis Hamad akizungumza na Wanahabari
mapema leo mchana katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania jijini Dar,kuhusiana na maoni na ushauri wa kikao cha kamati ya
Mashauriano ya Bunge maalum la katiba kilichofanyika jana julai,24,2004
katika Ofisi ndogo za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini
Dar.Mh. Yahya alisoma
↧
↧
Kundi lingine la uhalifu laibuka mkoani Dodoma....Vijana hao wanajiita "Wadudu wa Dampo "
Kundi kubwa la vijana wanaojiita wadudu wa dampo limeibuka mjini Dodoma
na kufanya matukio ya uhalifu huku likihusishwa na mauaji ya watu wanne
yaliyotokea hivi karibuni.
Uwepo
wa kundi hilo umezua hofu na taharuki kwa wakazi wa mji huo hasa
nyakati za usiku kutokana na wingi wao huku wakitembea na silaha
mbalimbali za jadi wakati wakitekeleza matukio ya uhalifu.
Kundi hilo lenye
↧
Nick Minaj Ajianika Akiwa Nusu Uchi katika Cover la Wimbo wake mpya "Anaconda'
Nicki Minaj ni miongini mwa wasanii wa kike ambao hupenda kutengeneza
attention na kiki kubwa kabla kazi yake kutoka na kuingia mitaani.
Sasa
jipya ni kuhusu cover la wimbo wake mpya “Anaconda”. Picha ya cover
hili inamuonyesha Nicki akituonyesha umbolake kwa nyuma huku akiwa
amevalia nguo ya ndani aina ya g-string, bra ya michezo na Jordans
miguuni.
Kazi mpya inatoka Jumanne
↧
Baada ya Kimya Kingi....Ali Kiba Aibuka na Ngoma Mpya Mbili, Bofya hapa kuzisikiliza
Baada ya wapenzi wa muziki Tanzania kusubiri kwa muda mrefu sasa wamepata nafasi ya kujiburudisha na ngoma mpya kutoka kwa Alikiba.
Tarehe 25 Julai, 2014 Alikiba ameachia single mbili mpya kwa wakati mmoja ziitwazo “Mwana” na “Kimasomaso”.
Alikiba anajulikana ndani na nje ya Tanzania kwa hit zake kama Cinderella, Mapenzi yanarun dunia, Single boy, na Dushelele. Cinderela ndiyo wimbo
↧
Lulu Michael Amfungukia Ali Kiba Na Kuwakoromea Wanaoendekeza Ushabiki.....Bofya hapa kuona alichosema
Ali Kiba ameachia nyibo mbili kwa mpigo ambapo response ya mashabiki ni nzuri. Sasa kupitia Instagram star wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu" amefunguka mambo mengi sana kuhusiana na Ali Kiba.......Hiki ndicho alichokisema:
"Haya sasa.....maelezo hatimaye yamepatikana....mnivumilie ni marefu Kidogo...!
1. Pongezi kwa @officialalikiba nimesikia Mwana wa Dar es Salaam
↧
↧
Rais Kikwete Amuapisha Jaji kiongozi wa mahakama kuu ya Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe.
Shaban Ally Lila leo jijini Dar es Salaam.
Jaji Kiongozi wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Jaji Shaban Ally Lila (kulia) akitia saini hati ya Kiapo mbele ya Rais
Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya kuapishwa kwake leo jijini Dar es Salaam. Katikati mwenye
↧
Aibu: MJOMBA Afumaniwa na Mke wa MPWA wake wakingonoka Gesti
Timbwili la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja
iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia
kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu
aliyedai ni mjomba wake, Joseph akiwa na mkewe wa ndoa, Emiliani.
Mkasa huo wa ajabu ulijiri usiku wa Jumamosi iliyopita kwenye gesti hiyo iliyopo Mbezi ya Afrikana jijini Dar es Salaam.
Mama mmoja
↧
Sakata la Viungo vya Binadamu Vilivyotupwa Dar: Serikali Yaifunga Hospitali ya IMTU
Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) kinachohusishwa na utupaji wa viungo vya binadamu mithili ya takataka, imefungiwa kwa muda usiojulikana baada ya kugundulika kutokidhi viwango na maadili ya utoaji huduma za hospitali nchini.
Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imechukua jukumu la kuifungia hospitali hiyo baada ya
↧
More Pages to Explore .....