Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema yeye mwenyewe atayafuta makanisa yote yanayoleta vurugu na uvunjifu wa amani kwa kuwa hayatoi taswira ya kile wanachopaswa kufanya na ni aibu kwa Mungu wanayemtumikia.
Amesema ni aibu kwa viongozi wa makanisa kupigana hadharani wakati wa Ibada na kupishana katika vituo vya Polisi wakishtakiana jambo alilosema linachochea shari na
Makanisa Yanayoendekeza Vurugu Kufutiwa USAJILI Wake
↧
↧
Wanafunzi Watano WALAWITIWA Kwa Mpigo na Mwenzao
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina
linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti
wenzake watano kwa mpigo.
Tukio hilo la kusikitisha lilijiri katika Mtaa wa Twanga Pepeta
Kijiji cha Fulwe-Dindili Kata ya Mikese Wilaya ya Morogoro Vijijini
mkoani hapa ambapo dogo huyo alidaiwa kufanya tukio hilo ambalo ni gumzo
kwa sasa huku
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 28 July 2014
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 28 July 2014
↧
Shule kuwatimua Watumia VIPODOZI na Wavaa MILEGEZO
Shule ya Sekondari Mwadui iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, imetangaza kufukuza wanafunzi wote wanaotumia vipodozi, wanaovaa sketi fupi, milegezo na wanaotumia simu za mkononi shuleni.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria, Mchungaji Yohana Nzelu, alisema hayo jana katika kikao
↧
Dk Slaa aibua upya sakata la viungo vya maiti vilivyotupwa.....Amtaka Waziri wa Afya AJIUZULU
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amemtaka Waziri wa Afya
na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kujiuzulu kutokana na sakata la
utupaji viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam.
Akizungumza katika hafla ya kuuaga uongozi wa
Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Chadema (Chaso) na kufungua Tawi la
Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba Muhimbili (Muhas) jana,
↧
↧
Mke wa Kingwendu Abakwa.....
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko Mbagala Kingugi kwa Kisauti.....
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya kuvamiwa na
↧
Hongera Ray C: Video Queen wa wimbo wa Ice Cream aanza kupona UTEJA Uliosababishwa na matumizi ya madawa ya kulevya
Mrembo Doreen aliyekuwa video Queen wa wimbo uliotokea kutamba miaka ya nyuma wa Ice Cream ulioimbwa na Haji Nura 'Noorah' akimshirikisha Suma Lee ameanza kurejea katika hali yake ya kaaida ikiwa ni baada ya kutopea katika matumizi ya dawa za kulevya.....
Doreen anakuwa wa kwanza kuionyesha jamii juu ya taasisi ya mwanamuziki Rehema
↧
Picha Tatu za Bahati Bukuku akiwa Hospitalini baada ya kupata Ajali mbaya ya Gari
Nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Bahati Lusako Bukuku ameumia mgongo
na maeneo kadhaa ya mwili (nusu kifo) kiasi cha kushindwa kukaa,
kusimama wala kutembea kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea kwenye
eneo la Ranchi ya Narco wilayani Kongwa, Dodoma saa tisa usiku wa
kuamkia Jumamosi.
Katika ajali hiyo ambayo Bahati alikuwa
akienda Kahama, Shinyanga kwenye mkutano wa Injili, dereva wa
↧
Mitambo na Ving'ora katika Tawi la Stanbic Bank Kariakoo Vyawakurupusha Majambazi kabla ya kukamilisha Dhamira ya kupora Fedha za Benk
Jeshi
la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeanzisha msako mkali wa
kuwatafuta majambazi watano ambao jana tarehe 27/7/2014 saa 8.00 mchana
walifika katika benki ya Stanbic Tawi la Kariakoo lililoko mtaa wa
Swahili.
Watatu
kati yao waliingia ndani ya benki hiyo wakiwa na mifuko mikubwa
wakijifanya ni wateja waliopeleka fedha nyingi katika benki hiyo. Watu
hao watatu walipoingia
↧
↧
Sikukuu ya IDD: Ulinzi Waimarishwa jijini Dar.....FFU, Polisi Wanamaji, Askari wa Mbwa na Farasi, Helkopta ya Polisi na Magari ya Washawasha yatatumika kulinda Amani
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka mikakati ya mpango kazi kama ifuatavyo:-
1.
Limepanga kushirikiana na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama ikiwa
ni pamoja na Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji, Kampuni binafsi za ulinzi,
Vikosi vya uokoaji wakati wa majanga, na vikundi vya Ulinzi Shirikishi
ili kuhakikisha kuna udhibiti wa matukio ya uhalifu au fujo zinazoweza
↧
Majambazi 10 HATARI Wakamatwa na Bunduki 8.....Mmoja ni mwanamke anayejua kutumia SMG
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao hatari wa majambazi wapatao kumi (10) mmoja wao akiwa ni mwanamke anayeshiriki kikamilifu wakati wa matukio ya ujambazi.
Majambazi hao wamekamatwa katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam katika harakati za kuhakikisha kwamba maisha na mali za wakazi wa Dar es Salaam vinalindwa kikamilifu.
Katika
↧
Breaking News: Sakata la Viungo vya binadamu kutupwa.....Viongozi wa Chuo na Hospitali ya IMTU Wafikishwa Mahakamani, DPP AWAFUTIA Mashitaka
Mkurugenzi
wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo
Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) na baadaye kuwaondolea mashitaka
kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashtaka ya kushindwa kufukia viungo
vya binadamu na kupeleka hati ya kufukia viungo vilivyotumika
kufundishia kwa Kampuni Coroner.
Vigogo
hao ni, Venkat Subbaian (57), Appm Shankar (64),
↧
Breaking News: Serikali YASITISHA Ajira Mpya katika Idara ya Uhamiaji kutokana na tuhuma za Upendeleo wa utoaji wa nafasi hizo
↧
↧
Baba Awacharaza Viboko Walimu Wawili wa Shule ya Msingi Mkoani Tabora......Kisa ni mkasa ni mwanae kurudishwa nyumbani kushona kaptura
Vitendo vya baadhi ya wazazi, kudhalilisha walimu vinaendelea, ambapo mzazi mmoja Selemani Juma, amewashambulia walimu wawili kwa viboko.
Amefanya hivyo kupinga mwanawe kurudishwa nyumbani, akashone kaptura. Alifanya hivyo mwishoni mwa wiki iliyopita.
Taarifa zilizomfikia mwandishi zilibainisha kuwa Juma alidhalilisha walimu wawili wa Shule ya Msingi Nzogimlole iliyopo wilayani
↧
Uchaguzi CHADEMA: Dr. Slaa, Mbowe kutetea Nafasi Zao
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa rasmi ratiba yake ya uchaguzi wa ndani, ambapo viongozi wa taifa wa chama hicho, akiwemo mwenyekiti na katibu mkuu wapya wanatarajiwa kutangazwa Septemba 11, mwaka huu.
Pia chama hicho kimesema Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Katibu wake Mkuu, Dk Wilbroad Slaa, wanayo haki ya kuendelea kutetea nafasi zao hizo kwa mujibu wa Katiba
↧
Sangoma Amfyeka Nyeti Mtoto wa Mwaka Mmoja na Kutoweka Nayo
Ni jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali
ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi
mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na muuguzi)
kufikishwa hospitalini hapo akiwa amekatwa nyeti na mtu aliyedaiwa ni
mganga wa kienyeji ‘sangoma’ na kuipeleka kusikojulikana.
Akizungumza na Uwazi kwa masikitiko makubwa mwishoni mwa
↧
Swala ya Eid El Fitr Yaswaliwa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar Leo
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal
(katikati),Sheikh Mkuu,Issa Shaaban Simba,Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam,Mh. Said Meck Sadick na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam,Sheikh Mussa Salum wakijumuika na Waumini wengine wa Dini ya
Kiislam kwenye Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja
vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.
↧
↧
Picha za Rais Kikwete katika Swala ya Eid El Fitr jijini Dar es Salaam
Baadhi
ya waumini wa dini ya kiislamu wakiswali sala ya Iddi El Fitr katika
masjid Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya
kiislamu muda mfupi baada ya kuswali sala ya Iddi El Fitr katika
msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
"...Eid Mubarak....Eid Mubarak..."
Rais
↧
Askofu: Waziri Chikawe hana ubavu wa kulifunga Kanisa la Moravian
Askofu Kiongozi wa Kanisa la Moravian nchini, Alinikisa Cheyo
amesema Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe hana ubavu wa kulifuta
kanisa lake.
Cheyo alitoa kauli hiyo jana ikiwa ni siku moja
baada ya Waziri Chikawe kutishia kulifuta kanisa hilo na madhehebu
mengine yatakayoendekeza migogoro.
Akizungumza Dar es Salaam kwenye maombezi ya
kuliombea Taifa yaliyoandaliwa na
↧
UPDATE: Taarifa ya kusitishwa kwa Ajira za Konstebo na Koplo wa Uhamiaji iliyotolewa jana na Wizara ya mambo ya ndani haihusiani na Ajira 70 za Mkaguzi msaidizi wa Uhamiaji
Baadhi ya Vyombo vya
Habari leo tarehe 29 Julai, 2014 vimeandika kwa makosa kuwa ajira za Uhamiaji
zilizositishwa jana zinahusiana na 70 zilizopatikana baada ya usaili uliofanyika
katika Uwanja wa Taifa.
Ukweli ni kuwa usaili
wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa
Uhamiaji ambao awali ulianzia Uwanja wa Taifa ulienda vizuri hadi
wakapatikana wasailiwa wa kujaza nafasi 70
za Mkaguzi Msaidizi wa
↧
More Pages to Explore .....