MBUNGE wa Rungwe Mashariki na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalumu,
Profesa Mark Mwandosya, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuelezea
mwelekeo wake wa kisiasa na hasa nia yake ya kuwania urais mwaka 2015.
Mwandosya, ambaye alikuwa akizungumza katika mahojiano maalumu na Mtanzania, tayari ameeleza wazi kuwa hatatetea tena kiti chake cha
ubunge mwaka 2015.
Akizungumzia suala la urais
Profesa Mwandosya atangaza nia yake ya Kugombea Urais 2015.....Asema itakuwa ni heshima kubwa kwake endapo CCM itamteua kuwania nafasi hiyo
↧
↧
Frederick Sumaye anusurika kifo kwenye ndege
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amenusurika kifo hivi karibuni
baada ya ndege ya shirika la Precision Air, iliyokuwa ikitoka Mwanza
kwenda Dar es Salaam kupata hitilafu ya injini.
Ndege hiyo, ambayo iliondoka Mwanza saa 2:30 usiku, ilipata hitilafu
ya injini moja muda mfupi tu baada ya kuruka, hali iliyomlazimu rubani
wa ndege hiyo kubadili mwelekeo na kutua katika Uwanja wa
↧
Ahadi ya Rais Kikwete Yatimia.....Wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha Mafunzo kwa wasanii wa Tanzania
Terrence
Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo yatayoendeshwa na magwiji wa sanaa kutoka Marekani sasa imetimia.
Akizindua Kampeni ya Uzalendo kwa Vijana inayoendeshwa na Muungano wa Wasanii Tanzania kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma mwezi
↧
Kanisa lawataka wachungaji wajiuzulu CHADEMA
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini ambaye pia ni Mchungaji wa
Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Joseph Matare
amejiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kanisa lake kuwataka wachungaji
wake ambao ni viongozi wa vyama vya siasa kuachana na nafasi zao za
kisiasa.
Joseph Matare akizungumza na waandishi wa habari
mjini Songea amesema kuwa ameamua kujiuzulu
↧
Ujerumani ndo Mabingwa wa kombe la Dunia 2014.....Kipa wa Ujerumani atwaa tuzo ya kipa bora, Messi atwaa tuzo ya mchezaji bora
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya nne nchini Brazil usiku huu.
Kocha wa Ujerumani, Joachim Low akinyanyua juu Kombe la Dunia.
Mario Gotze akiifungia Ujerumani bao pekee na la ushindi dhidi ya Argentina usiku huu.
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia na Gotze.
Aliyekuwa
mchezaji wa Barcelona, Carles Puyol (kushoto) na modo wa Brazili
↧
↧
Mdomo Wamponza Kafulila.....IPTL Yamdai fidia ya sh. Bilioni 310
Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
Katika kesi hiyo ya madai, Kafulila anadaiwa kuidhalilisha kampuni hiyo, kutokana na kauli alizotoa dhidi yake (IPTL).
IPTL na walalamikaji
↧
Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 14 July 2014
Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 14 July 2014
↧
Aunt Ezekiel: Sina Gundu na Wanaume
Baada ya kudaiwa kuwa na gundu kufuatia kila mwanaume anayeishi naye
kuandamwa na majanga, staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson
ameibuka na kukanusha madai hayo akisema hayana ukweli.
Baada ya maneno hayo kutufikia,
wanahabari wetu walimsaka Aunt ili kumsikia anazungumziaje taarifa hizo
ambapo alitiririka:
“Sina gundu na wanaume jamani, uzuri ni kwamba
kila niliyeishi naye
↧
Warioba kaa pembeni -Tendwa
Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemtaka
aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph
Warioba kuacha kuitetea Rasimu ya Katiba kwa maelezo kuwa kazi yake
ilikuwa ni kuiandaa na siyo kushawishi kila mtu akubaliane nayo.
Amesema kazi sasa imebaki kwa Bunge Maalumu la
Katiba, ambalo linaijadili rasimu hiyo na kutoa mapendekezo yatakayofaa
na
↧
↧
Mastaa wa Bongo Muvi watwangana wakigombea penzi la Steve Nyerere
Mastaa wawili wa kike Bongo Muvi, Vivian Minja na Najma wanadaiwa
kutoleana maneno machafu kisha kuzichapa kavukavu chanzo kikidaiwa eti
walikuwa wakimgombea Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movies, Steven
Mengere.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Vivian na Najma walifanya yao kwenye
hafla ya chakula cha usiku waliyokuwa wamealikwa na Steve iliyofanyika
kwenye Mgahawa wa Great Wall ulipo
↧
January Makamba: Sitarudi nyuma kuhusu urais 2015 na wanaonibeza hawawezi kunikatisha tamaa
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January
Makamba amesema hatakatishwa tamaa na hatorudi nyuma katika harakati
zake anazoziita za fikra mpya na mawazo mapya za kushika dola na kwamba
wazee wakae kando.
Hata hivyo, Makamba ambaye pia ni mbunge wa
Bumbuli (CCM) amewashukuru watu wanaozungumzia nia yake ya kuwania urais
mwaka 2015 na kutengeneza mjadala unaoendelea
↧
Hali ya mtoto Devota aliyefungiwa Uvunguni kwa miaka Sita yabadilika na kuhamishiwa hospitali ya rufaa Morogoro.
Mtoto Devota Malole aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kilosa kufuatia mama yake kumtesa kwa kumfungia ndani na kumlaza chini kwa muda wa miaka mitano amehamishiwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro baada ya afya yake kiafya kubadilika.
Mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya kilosa Dr Shedrack Mponzi amesema wamelazimika kumuhamishia mtoto huyo katika hospital ya
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni mapema?....Bofya hapa ukutane na maajabu ya korodani za mbuzi na kuku na dawa ya Jiko katika kutibu tatizo hilo
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na
athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa.
Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa
hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.
↧
↧
Shilole akataliwa Ukweni kisa Umri mkubwa
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh
Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena
Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu
yao.
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya
wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa
kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani
↧
Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 15 July 2014
Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 15 July 2014
↧
Watu wawili wahofiwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi mkoani Kilimanjaro
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa
na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa
ajili ya uchongaji wa matofali.
Tayari
mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian,
mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro
umepatikana.
Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha
↧
Vigogo wa Juu Mamlaka ya Bandari wapandishwa kizimbani Dar
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA) na Msaidizi wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka.
Washitakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu, Ephraim Mgawe pamoja na aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu, Hamad Koshuma.
Walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka na Wakili kutoka
↧
↧
Mtuhumiwa wa Tindikali Zanzibar Atiwa mbaroni
Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja, Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Mtu huyo anatuhumiwa kuhusika na tukio la kummwagia tindikali Sheha wa Shehia ya Tomondo mjini Zanzibar, Mohammed Omar Saidi Kidevu. Anatuhumiwa kuwa baada ya kutenda kosa hilo alitoweka.
Hayo yamesemwa na Ofisa Habari Mkuu
↧
Hausigeli wa miaka 8 Ajeruhiwa vibaya na bosi wake
Mtoto Miseto (8), anayedaiwa alikuwa
akifanya kazi za ndani kwa mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Mary
Jerald mkazi wa Kijiji cha Busurwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara
ameokotwa ufukweni mwa Ziwa Victoria Juni 28, mwaka huu akiwa
amejeruhiwa na anayedaiwa ni bosi wake.
Taarifa kutoka kwa shuhuda wa tukio hilo, Akeyo Thomas ambaye ni
mchuuzi wa samaki katika maeneo hayo alidai kwa
↧
Nafasi za Mafunzo na Kazi toka RafikiElimu Foundation ( Mafunzo ya usimamizi wa taasisi zisizo za kiserikali )
Taasisi
ya RAFIKIELIMU FOUNDATION kupitia MRADI WA WANAWAKE
SALAMA TANZANIA, inatangaza nafasi za MAFUNZO YA USIMAMIZI
NA UENDESHAJI WA TAASISI ZISIZO KUWA ZA KISERIKALI yaani
NGO MANAGEMENT & OPERATION.
Wahitimu
wa mafunzo haya watapata nafasi ya kufanya kazi ya USIMAMIZI
NA UENDESHAJI WA VIKUNDI VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI katika MRADI
WA WANAWAKE SALAMA
↧
More Pages to Explore .....