Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya
Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya
kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mfawidhi wa
wilaya hiyo, Denis Mpelembwa mbele ya Mbowe, wakili wake, Issa Rajabu na
mwendesha mashtaka, Inspekta Marwa Mwita.
Mpelembwa
Mahakama Yamtia Matatani Freeman Mbowe .....Yasema ana kesi ya kujibu katika mashitaka ya kumshambulia mwangalizi wa uchaguzi mkuu wa 2010
↧
↧
Kortini kwa tuhuma za kumteka trafiki wa Kike
Alexander
Msowoya (35), ambaye ni mkazi wa Chang’ombe, jijini Dar es Salaam,
amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Magomeni akikabiliwa na shtaka la
kumteka nyara askari wa kike wa usalama barabarani.
Akiwa anaendesha gari, mshtakiwa huyo anadaiwa kumteka Kostebo Ester
katikati ya maeneo ya Tameke na Chang’ombe kabla ya kukamatwa maeneo ya
katikati ya Mabibo na Ubungo baada ya msako
↧
FDLR wameomba kuweka chini silaha - Benard Membe
Wapiganaji wa kundi la waasi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC
la FDLR limeandika barua kwa nchi za Jumuiya ya maendeleo kusini mwa
Afrika SADC ya kuomba kuweka silaha chini na kutaka amani nchini humo.
Akitoa
taarifa juu ya kundi hilo kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini
Tanzania, Waziri wa Mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa
Benard Membe amesema
↧
Tangazo la Nafasi za Kazi
Neema Recruitment Agency ni wakala wa ajira
na nafasi za kazi. Kwa niaba ya mteja wake, kampuni inatangaza nafasi za kazi
za saloon ( SALOON WORKERS ) kwa waombaji
wenye sifa zifuatazo :
1. Awe wa jinsia ya kike
2. Elimu kidato cha nne na kuendelea
3. Awe anaishi Dar Es salaam.
4. Walio na uzoefu na kazi za saluni watapewa kipaumbele.
IDADI YA NAFASI : Nafasi Ishirini( 20 )
JINSI YA
↧
David Kafulila: Siogopi kushitakiwa na IPTL
MBUNGE wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, David Kafulila, amesema haogopi kushtakiwa na kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited ( IPTL) kwani hata watu wasio na haki wana ujasiri wa kwenda mahakamani.
Hayo yamebainishwa kwenye taarifa iliyotolewa na mbunge huyo kwa vyombo vya habari akidai huo ndio msimamo wake baada ya kupata taarifa kupitia vyombo vya
↧
↧
Baby Madaha: Wasanii Wengi ni WACHAWI
Staa wa kike anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki na filamu nchini, Baby Joseph 'Baby Madaha' amewatolea uvivu wasanii wenzake kwa kuifumua tasnia hiyo kuwa asilimia kubwa ya wasanii ni washirikina na wanalogana....
Msanii huyo amewashutumu baadhi ya wasanii Bongo kuwa hawawezi kufanya jambo lolote muhimu bila kufanya ushirikina na wengine
↧
Mfanyakazi wa Kampuni ya Ving'amuzi Apiga Picha za Utupu
Mfanyakazi wa kampuni ya ving'amuzi ( jina kapuni) tawi la Moshi anayefahamika kwa jina moja la Neema, anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu ameipaka matope kampuni hiyo baada ya kupiga picha za utupu....
Picha hizo chafu zaidi ya nne zinamuonyesha akiwa mtupu kama alivyozaliwa huku akiyanadi maubile yake nyeti kiasi cha kuonekana bayana....
↧
CHADEMA Yawatuliza Wananchi.......Yaahidi Katiba Mpya ni lazima Ipatikane
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Katiba mpya ya Tanzania itapatikana na kusisitiza kuwa suala la kundi la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni, linategemea utekelezaji wa masharti yao.
Bunge Maalumu la Katiba linatarajia kuendelea na vikao vyake Agosti 5 mwaka huu baada ya kuahirishwa Aprili 25 mwaka huu,
↧
Magazeti ya Leo Jumatano ya tarehe 16 July 2014
Magazeti ya Leo Jumatano ya tarehe 16 July 2014
↧
↧
Mahakama Yamsaka Padri wa Kanisa Katoliki anayekabiliwa na kesi ya Kumlawiti Mtoto wa Miaka 17
Jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa, limeshindwa kusikiliza rufaa iliyokatwa na upande wa Jamhuri kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyomwachia huru Padri wa Kanisa Katoliki, Sixtus Kimaro aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumlawiti mtoto wa miaka 17.
Rufaa hiyo ilipangwa kusikilizwa hivi karibuni lakini hata hivyo padri huyo pamoja na wakili wake hawakufika mahakamani. Upande wa
↧
Ramadhani Yamaliza BIFU la Wema Sepetu na Penny
Staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema baada
ya kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu na mtangazaji maarufu Bongo,
Peniel Mungilwa ‘Penny’, sasa ameamua kumsamehe rasmi kwa heshima ya
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Wema alisema: “Kwa moyo mweupe,
nasema nimemsamehe Penny, hata nikikutana naye popote nitasalimiana naye
kama kawaida.
↧
Kesi ya Waliokutwa na Bomu bila Kibali Yaahirishwa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Julai 29 mwaka huu kuendelea kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamhuri katika kesi ya kukutwa na bomu bila kibali, inayowakabili watu wanne.
Washitakiwa katika kesi hiyo ni Fadhil Kitogo, Idd Muhina, Shukuru Kitogo na Julius Chonya.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, washitakiwa hao wanadaiwa kutenda kosa hilo, Julai 30, mwaka jana, katika eneo
↧
Kuitwa Kwenye Ajira Nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao waliofaulu usaili wa kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Mtaa wa Loliondo Kurasini, Dar es Salaam tarehe 29 Julai 2014, saa 2:00 asubuhi.
Aidha, wahusika wote wanaelekezwa kufika kwa wakati wakiwa na vyeti halisi vya
↧
↧
Shilole amtetea Serengeti Boy Wake, Asema wako sawa Kiumri
Mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa
kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametetea maisha yake ya
kimapenzi na Nuh Mziwanda, akisema madai kwamba ni kijana mdogo kuliko
yeye, siyo kweli kwani wanalingana umri.
“Mimi na Mziwanda wangu tunalingana kiumri lakini nawashangaa sana
wanaonisema kila siku eti ninatembea na Serengeti boy, jamani mpenzi
wangu siyo
↧
Maajabu ya Dawa ya JIKO katika Kumaliza na Kuponyesha Tatizo la Nguvu za Kiume
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
UTAFITI: Harufu mbaya ya Kujamba ( Kutoa Ushuzi ) Inazuia Magonjwa ......Magonjwa yapi?, Bofya Hapa
Kila mmoja wetu kwa wakati fulani huhisi kuvimbiwa na gesi nyingi tumboni.
Suluhu ya pekee hapa huwa ni kujamba ili kupunguza gesi hiyo tumboni
Sasa Wanayansi katika chuo kikuu cha
Exeter, nchini Uingereza, wanasema kuwa wamegundua harufu mbaya kama
vile ya kujamba japo inachukiza kwa pua, ina manufaa makubwa kwa afya ya
binadamu.
Wanasayansi hao wanasema kuwa harufu hiyo
↧
Moto wateketeza nyumba tatu Mwananyamala jijini Dar.....Askari wa Zima moto wapigwa Mawe na Wananchi
MOTO mkubwa unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme, jana asubuhi umeteketeza nyumba ya mkazi wa eneo la Mwananyamala Hospitali, iliyopo Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Mkwanda Rajabu.
Mbele ya nyumba hiyo, kulikuwa na fremu tatu za maduka ya majokofu (friji), ushonaji wa nguo na vyumba sita vya kulala ambapo moto huo uliteketeza kila kitu na kusababisha hasara kubwa kwa
↧
↧
Matokeo Ya kidato cha 6 -2014 Yatangazwa.....Bonyeza hapa kuyaona Matokeo Yote
Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21,
yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu
katika madaraja ya I- III.
Jumla
ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya
mtihani kidato cha 6 wamefaulu.
Wasichana waliofaulu ni 12,080 na
wavulana waliofaulu ni 26,825.Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420
↧
Matokeo ya FOMRM SIX 2014: Shule 10 Zilizoongoza na Shule 10 za Mwisho ziko Hapa
Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21,
yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu
katika madaraja ya I- III.
Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa
waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni
12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825.
Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420
↧
Alichokisema Baba yake Nuh Mziwanda baada ya kusikia mwanae kajichora tatoo yenye jina la Shilole.
Wiki kadhaa zimepita tangu Nuh Mziwanda aamue kujichora tatoo yenye
jina la mpenzi wake Shilole. Leo baba yake mzazi kazungumza juu ya hatua
hii aliyoamua kuifanya mtoto wake Nuh kwa upande wake.
Baba yake Nuh amezungumza hilo baada ya kuulizwa na Soudy Brown
kuhusiana na stori zilizosambaa juu ya kusemekana kumkataa
Shilole,msikilize Baba yake Nuh akizungumza na Soudy Brown.
↧
More Pages to Explore .....